SNS is having very talented men starting by the CEO SKY himself but I confess that DJ SMAA is another phenomenon. Kudos to the whole team of SNS. Watching from D.R.CONGO
@abuuabuu2743 ай бұрын
Allah amekujaalia ufaham na akili nyingi ungekua Kuweza kufumbua kitu good job DJ sma
@abuuabuu2743 ай бұрын
MashaAllah
@kassimbayuu3 ай бұрын
Amyn
@JeannetteManirambona-o6m3 ай бұрын
Kipaji kikubwa icho kabisaa
@ramamabinda50633 ай бұрын
Mwalimu DJ sma, mwenyez Mungu akujaalie maisha mareefu yenye afya njema, akulinde leo na kesho, akufungulie milango ya rizki na aijaalie familia yako maisha marefu yenye afya njema, aamin
@BenyassearButoyialfred3 ай бұрын
Hakuna cha uwalimu hapo. Bali hawa wajama hua wanatafsiri hari zawengine japo simbaya. Ila sio wachambuzi.
@sosbrayantbenjamin97013 ай бұрын
@@BenyassearButoyialfred tafsili na ww bas fungua channel yako tuangalie
@GeorgeAkasha-zx2rj3 ай бұрын
@@BenyassearButoyialfredUna roho mbaya sana na uchawi juu yote sababu ya umasikini mkubwa ulionao.
@TheSadicLife3 ай бұрын
@@BenyassearButoyialfredbado ni elimu tosha, labda hufahamu nini maana elimu.
@athumanijumanne41143 ай бұрын
@@BenyassearButoyialfredhater sana we jamaa, chambua na ww basi kama unauwezo
@kilogreekachananawatuwasio40543 ай бұрын
TUNAJIVUNIA MAENDELEO YA WACHAMBUZI WATU TANZANIA MAELEZO NA VITENDO MBALIKIWE CHANNEL YETU ❤❤❤🎉🎉🎉
@charlesboniphace22493 ай бұрын
Waulize kuhusu bongo hawana taarifa yoyote😂😂
@bigowillythomaskayanda77633 ай бұрын
Aisee Wanajua vizuri sana, sema kuna kitu filani hivi kwa ajili ya mambo ya kiusalama. Ila kama wewe unajambo lako linalohusu humu inchini kwetu, wee wafuate private ndiyo utajua kama wanajua. 🤗🤗🤗🤗
@JELSONMAUKI3 ай бұрын
@@charlesboniphace2249. 😅😅😅 Una mwanasheria ww
@allymwalim63633 ай бұрын
Noumah kweli....brother uko vzr sana ninakufatilia kutoka zanzibar
@RAMAMOHA-vn9xv3 ай бұрын
DJ SMA on
@jumawaziri85013 ай бұрын
Dj smaa Mungu akubariki sana na azidi kukupa maarifa zaidi
@josphatmbugua90973 ай бұрын
Dj sma uko Sawa Kwa uchabuzi wako mzuri kabisa, be blessed tunakufwatilia tukiwa huku Nairobi
@CollisBill-mu3zp3 ай бұрын
Safiii sana...kaziii nzurii 🎉🎉🎉🎉
@salumadam28623 ай бұрын
Dj smaa wewe ni next level 🔥🔥
@lettysalala25043 ай бұрын
Safi sana kaka unafanya kazi nzuri
@ramadhanimtozeni80303 ай бұрын
Mchambuzi wa kiwango cha juu sana. DJ smaa, may God bless you.
@martinhipolitichuwa3663 ай бұрын
Aisee huu uchambuzi ni wa uhakika mnooo. Hongera sana ndugu yangu
@officiallugano89912 ай бұрын
I got you, man. You have touched the right place.
@blueboybajos68803 ай бұрын
upo vizuri bro🔥🔥🔥
@eve38943 ай бұрын
Wow amazing kazi nzuri kweli. Asante kwa kutufungua macho ❤
@joneskessy56493 ай бұрын
Hizi ndo contents nazo zitaka ytb zina ujazo wakutosha..big up sana dj sma..kazi nzuriii mnoo I appreciate🙏
@thelaoban62363 ай бұрын
Good Job Dj Smaa you are the Best 👍
@Nyanda5063 ай бұрын
Upo reality sana ..Walinzi wazembe ama walipanga hilo tukio kama raia tu walimuona akitambaa juu paa .😮😮
@shaabanramadhan67703 ай бұрын
Tanzania tunamtu mkubwa san big up bro wewe si wahapa niwambali sanaa
@jumaamsuya53 ай бұрын
Hii serikali isipojua inamtu muhim sana pamoja naali bs tena
@paulrutechura-oe7tu3 ай бұрын
I appreciate. From Shinyanga
@sharifahabsi50043 ай бұрын
Pamoja from Oman 🇴🇲
@yohanachacha88902 ай бұрын
Kazi nzuri big up ufike mbali
@Joseph-u4p2w3 ай бұрын
I commend the efforts and time to put all these together brother 🙏
@joycekonga40953 ай бұрын
dj smaa umetishaa🔥🔥🔥
@IsakaMgeje3 ай бұрын
Nakubali Sana Bro. Najua sio rahisi kutengeneza video kama izi . Ila naona kama Trump watamfanyia mchezo hatoshinda Uchaguzi huu .
@dadychaps75273 ай бұрын
Uko vizuri mzee baba💯🙌🔥
@hamadiselemani86653 ай бұрын
Fact And Logic
@ludanchuwa50543 ай бұрын
Dj sma maneno ya Jeffrey Sachs yametimiya hongera sna
@AmaniSelemani-in1ln2 ай бұрын
Bro vipi kuhusu protest ya bangladesh imekuaje ukiposti video itakuwa unyama❤
@zamalisaide32093 ай бұрын
MashaaAllah DJ smaa upo vinzuli MashaaAllah
@NurudinZuberi3 ай бұрын
Kaka unatisha km putin salute kwako
@saidjuma78783 ай бұрын
Dg sma nakupata kutoka zanzibar
@MenMakona3 ай бұрын
Kazi nzuri sana bro
@LazaroRaymond-vr2kd3 ай бұрын
Uchambuzi mzuri keep going broh
@saidalflan65153 ай бұрын
upo vizur san mkuu
@water_music403 ай бұрын
Nigaiye namba ya huyo alie kutengenezea meza me mwenyewe na studio yangu nataka anitengenezee
@MkomboziMwachanga3 ай бұрын
Kikubwa dua popote 😊
@abel_esam3 ай бұрын
DJ Sma. Umetisha, you are a pro my brother💪🏾
@waithirahnaomy15733 ай бұрын
Safi sana mkuu habari nzurie
@jacksonngusi41223 ай бұрын
Bro umetisha sana
@Mwamba673 ай бұрын
Smaa sio Dj niamini mimi,,,!!
@bigowillythomaskayanda77633 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂 tuambie aisee,.
@erickericsson35843 ай бұрын
Asante sana dj sma
@chrisbee78763 ай бұрын
Upo vizuri Sana di sma nakukubali sanaaa
@ntezealoyce70433 ай бұрын
Umetisha kwa uchambuzi mzuri sana mpaka
@KhadijaMasoud-d2z3 ай бұрын
Asante mwalimu wangu naendelea kukuamini
@JohnmuvungaVitale3 ай бұрын
Unaogee kwli so far watasema ww ni mpinzani walivyo wajinga from? 277
@hamsikrasheedi17963 ай бұрын
djsima mungu akulinde ❤mashaallah
@thestonetown33023 ай бұрын
Akili mingi sana❤️❤️❤️
@benmcdream22683 ай бұрын
Dj smaa hakuna mchambuzi bora kam wew Afrika
@Daidizz01chinga3 ай бұрын
Dj smaa wewe ni atari
@ms_teeonly3 ай бұрын
Dj sma safi sana, asante
@zainulahmed82063 ай бұрын
DJ kwa heshima yako Sio kujoin Dort ni ku connect dort umesema kuwa usharekebisha ila uko vizur kwa Analysis
@dulayowakiba5693 ай бұрын
Ungetumia nguvu kutoa udadavuzi wa matukio ya nchi yako.. uyo Trump ana magwiji ya usalama sema alishaliwek tegemeo Kwa mungu wake basi.
@jamilaathumani54813 ай бұрын
Kaka dj smaa naomba utufahamishe kuhusu kenya ...nasikia mambo sio mazuri kabisa nasikia watu wanauwawa ovyo na watoto wanatekwa na watu wananyonywa damu na wanauza viungo eti nikwel kaka dj smaa??naomba utufahamishe kaka..kuhusu kenya nikweli hali ni mbaya sana??? Nataka utufahamushe mim nakuelewaga sana wewe dj smaa ukiwa unaelezeaga
@djsma2553 ай бұрын
Nitaifanyia kazi🙏
@blueboybajos68803 ай бұрын
kabsa kaka @@djsma255
@alexmugo31593 ай бұрын
May you have whatever you need to upgrade your equipment to highest level in GOD's
@murtalla28263 ай бұрын
Fundi mwanetu #DJSMAA🎉🎉
@AlliyMohamedAlliy3 ай бұрын
🤦♂️Hii ni mipango ya kicyasa inawaumiza kichw!
@niyongabofreddy3 ай бұрын
Uchambuzi mzuri sana dj sma nakufwatilia kutoka Burundi
@athanasius79213 ай бұрын
mpka sasa....sidhamn kama hilo limetambulika lakn.. kwa akiri yaziada wenda hata aliefanya tukio is second sniper...
@mwalitv45553 ай бұрын
Safi sanaaaa tunahitaji chambuxi za hivi wwl donee kk
@africanmandetraveler28473 ай бұрын
Dj Smaa ni KGB intelligence service. Umetusha mkuu kwa uchambuzi.
@yohanakashinje15483 ай бұрын
Kazi nzuri Dj
@omarwahab71913 ай бұрын
Hongera yako mkuu kwa uchambuzi wako mzuri
@POLITICS_WAR_DIPLOMACY3 ай бұрын
DJ SMA umetisha
@pirminmatumizi54643 ай бұрын
Huyu mzee maadui zake lazima wamo ktk Serikali ya the Democratic. Trump ni tishio kwao kwa uchaguzi wa November. They wanted to accomplish the game early in the morning. Ila tu tukio hilo is a shame to a big Nation as USA. Congrats Dj Smaa!
@denisrenatus49353 ай бұрын
Walikua wanasubl afanye mauwaj wamuue pia mchezo uishee haya mengine n kutuvuruga
@Tinge-Tanzania3 ай бұрын
Aiseee Yani unavyochambua ni kama vile Alex Mohone kwenye Prison Break. Umetisha sana
@THEFACTTVCHANNEL-b2x3 ай бұрын
❤❤❤❤😂😊 Much love brother
@kyangwesignermohamed78673 ай бұрын
Pia kaka huyo mdunguaji alijua vipi kua kwenye lile Jengo hawajaweka ulizi akaenda huko juu haliyakua huwa walizi hawatoi taalifa kua watakaa maendeo gani😊
@DonMooFILMES_Express3 ай бұрын
Umeona eee😂 huu ni mchezo
@coolsinare88242 ай бұрын
uchambuzi mzuri sana lakini vipi Tundu Lissu?ile si ilikuwa hatari kuliko hii??au kwa vile….?????
@sicac333 ай бұрын
Nice content, ila its why kuna baadh ya watu wanasema SS na FBI they have a lot to answer to this scenario. Au watu wanasahau issue ya JF Kennedy's assassination, the involvement of the gvt.
@SalumMajorhood3 ай бұрын
Nakukubali sana DJ sma a.k.a van diesel
@nzeyimanaayubu3 ай бұрын
Uko vizuri
@radirapperrecord3913 ай бұрын
This one is dope
@iddsimba38493 ай бұрын
Wao wazungu mwenyewe sisi watu weusi anatuchukia alafu nyinyi mnajipendekeza kwake
@JumaSaid-g5u3 ай бұрын
Nilitazama movie ya Shooter the same scenario exactly Happened.
@XhebbyMandevu-u1h3 ай бұрын
🎉🎉🎉
@DonMooFILMES_Express3 ай бұрын
Kwauchambuzi huu inatosha kusema kuwa huu mchezo umechezwa na baadhi ya walinzi au kikundi chote na Tramp akiwemo. Hata kama ni nchi isiyokuwa makini kiasi gani wabgeona mtu anapanda juu wangemchangamkiabharaka haraka, iweje nchi kubwa kama hiyo dakika 2 zote zipite bila kuambizana na kumshughulikia. Halafu risasi ilipomchubua sikio akazuiwa na walinzi alipata wapi ujasiri wakuinuka wazi wazi bila kinga ya walinzi akinyoosha mkono juu? Yeye alijiakini vipi kuwa adui ni mmoja tu ameshadhibitiwa!?. Hata ukiangalia walinzi waliokuwa nae jinsi wanavyomkinga ni kizembe zembe sana kama sio tukio kubwa na kama vile hawamlindi mtu aliyewaki kuwa raisi. Action walizochukua hazilingani hata therusi na action ambazo wangechukua walinzi wa nchi za Africa kwa tukio kubwa la namna hiyo.... HILI TUKIO HALINIINGII AKILINI nikijumlisha uchambuzi huu hapana.
@BoazCharlesTz3 ай бұрын
Ata kama ingekuwa trump ndio amepanga, kwanini secret service wasingefanya kazi Yao maana secret service hawaongozwi na trump wao wanafanya wajibu wao wa kuhakikisha usalama, kwahiyo walivyoona mtu anapanda au ata anaonekana ataharakati hatarishi kwanini wasichukue hatua means wanahusika coz wangeweza kuzuia shambulio Pili unajua risasi Haina macho ebu assume jamaa amekksea kidogo tuu hapo sianaondoka na kichwa, sio rahisi kujipangia kupigwa risasi ni Bora kama Ingekuwa ni ufyatuaji wa risasi juu kuwashitua watu ila hii ni amepigwa yeye, so issues ni kwamba secret service wanahusika na kama hawahusiki moja kwa moja basi wame neglect kazi na wajibu wao kitu ambacho kinawatia kwenye hatia Tatu point muhimu hawakuweka snipers kama water tower na alipokuwa mdunguaji
@MS.independent89343 ай бұрын
Kwa maelezo hayo ni wazi kbs ishu imetengenezwa tu kama movie ili apate uruma Kwa watu kwasababu endapo ingelikuwa ni kusudio haswa la mauwaji na watunguwaji wazuri wangepewa kazi iyo asingelikuwa mzima hd leo huo ni mchungo umetengenezwa tu
@juliusjoseph63203 ай бұрын
Wanadamu ni mungu ufalme wa mungu kama mbingunii kama duniani
@MohammadMohammad-n2q3 ай бұрын
❤ Oman
@kagoyemwambal90613 ай бұрын
Asantee Kwa kutuelimesha
@ramadhanimtozeni80303 ай бұрын
As per what you have shown, it is clear that the secret service agency has proved failure.
@franklukazula3 ай бұрын
Big up bro❤
@itaelmanang29683 ай бұрын
God is great
@FrankKashamakula-xb1pc2 ай бұрын
if you got a big screen, your work would be easier brother
@Is-hakaAbdallah3 ай бұрын
Nakubali kazi kaka
@fortyyellu99713 ай бұрын
Dah uko sawa kabisa kk😢😢
@NdovuDentalClinic_3 ай бұрын
Asante bro
@RAMAMOHA-vn9xv3 ай бұрын
Yes
@ElishaMgale3 ай бұрын
UNAFANYA NJEMA SANA MKUU
@dunstunnchimbi79943 ай бұрын
Dj sma nimependa sana huo uzinduzi wa uchambuzi. Sidhani kama kutakuwa na taarifa tofauti sana na hiyo. Mwenyewe naamini kabisa huo ni mchongo kabisa uliolenga kumuua Trump. Na haujatoka nje ya serikali. Na kuna sababu kwanini kwenye water tower hakukuwa na counter sniper. Na kuna sababu kwanini walipuuza taarifa ya eyewitnesses. Na kuna sababu ya kwanini walidai kwamba ile sehemu ambayo gunman alikaa haikuwa kwenye mamlaka yao. Naomba kuwasilisha.
@dunstunnchimbi79943 ай бұрын
Leo nmekuwa wa kwanza. Wa kununa wanune tu 😂😂
@RamadhaniMohamedi-de2vc3 ай бұрын
Chukua🎉🎉🎉yako kwa kuwai
@dunstunnchimbi79943 ай бұрын
@@RamadhaniMohamedi-de2vc Shukrani. Dah kuna jamaa mmoja alipanic sana siku moja hapa hapa sns et kwasababu tu mi nlisema leo nmekuwa wa kwanza. Nlimshangaa sanaaa. Vitu vya kawaida kama hivi anapanic. Tuendelee kula madini.