Mzee mwenyewe anatia uruma yani ajiurumii kabisa akaachana na hayo mambo
@DesertTears2 ай бұрын
Hili lifungwe tu😂😂😂😂
@khalsasalim79302 ай бұрын
Nimemuonea huruma sijui kwa nn😢
@enockabumba75132 ай бұрын
Balikiwa kwa uluma ako kwake Hata mimi namuonea uluma wamwache mzee wa watu jmn ni baba wa famiria
@checkchannel38762 ай бұрын
Yaani Yanga wamfanye huyu kama walivyofanya kwa Feisal... Yaani mpaka Mama aingilie tena kati (na ninajua hana huo muda)! Asipoingilia kati, Yanga watembee na hicho kichwa!!!
@NelsonElias-h1p2 ай бұрын
😂😂😂😂😂💚💛🌷💛💚💛💚
@RichardAmosi-hz3nm2 ай бұрын
Tatizo ww mzee akiri huna ww unachukuria poa sana utaumia uwezo wenyewe huna
@zahiruhamisi41622 ай бұрын
Amejutaaa...😅😅😅
@kulwastima39932 ай бұрын
Hii nchi nahic uhuru umezidi Sasa Magoma huyu hkn mwanayanga anayemsapoti kinachofuata ni kuomba huruma na sura yake ilivyo ulichezea ujana xaxa uzeen huna pensheni unataka utrend kpitia yanga.
@KS-iw7qv2 ай бұрын
Jamani wana familia mshaurini huyu mzee aachene na hili jambo... ameanza kupauka anaanza kukosa raha yaani anajikaza tuu....😢😢😢 Atakondeana soon... mtihani kwa kweli...... Hataweza kushinda
@NelsonElias-h1p2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@eliashagai79202 ай бұрын
Mmmh la kweli Kuna moto na peponi kazi tunayo binadam
@NelsonElias-h1p2 ай бұрын
Magoma kesi Bado hazijaisha zipo nyingi xana ukidhaminiwa hiyo tunaleta zingine 5 Hadi useme poo😂😂😂😂😂😂
@jonasamos5552 ай бұрын
Mwanasheria inaonesha kabisa yupo upande wa polis, magoma tafuta pesa acha ubabaishaji
@kuchimillionaire66832 ай бұрын
Mzee huyu pesa anazitafutia wapi?
@IreneMacha-d5q2 ай бұрын
Magoma achana na haya mambo ..mwisho wa cku uje kuuza kibanda watoto walale njee
@bennymochiwa48002 ай бұрын
"Tukutane Mahakamani hapo"😂😂😂
@sonicaghendewa98862 ай бұрын
Duhhhh asa ya nini na uzee huo jaman tulia ufe kwa heshima wewe Duhhh ona sasa umechokaaaa😂
@SaidiKimenya-fs6di2 ай бұрын
Waandishi wapunguze uchochezi sasa anauliza kuhusu FIFA ili iweje?
@edwardmwaliko90782 ай бұрын
Mzee tafuta kazi ya kufanya
@ezekielmwakyagi93302 ай бұрын
jamani tumchangie mzee magoma amlipe wakili mama aangalie haki ya magomq
@UmmyHamisi-ru2rw2 ай бұрын
Mama anakaz nyingi za kufanya 😂mchangie wew ela zako si hazina kazi 😂😂
@sarahsaimon40952 ай бұрын
Uyu mzee tatizo pesa jamani njaa mbaya sana. Mzee km huyu sio wakuzunguka kila ck na kesi mahakamani alitakuwa awe na family yake ametulia. Pesa yenyewe yashida km yangu kesi za nn? Huu pira sio wako pekeyako? Km anawatu wa karibu bhas wangemshauli aache tamaa. Adi sshv amebabaika, ayupo sawa kiakili. Tulia mzee maisha tuliyonayo nihaya haya, unatengeneza vitu ambavyo at ukipata shida ayupo ambaye atakuwa karibu yako zaidi ya wanao na ndugu.
@godfreyelibarikilaizer61782 ай бұрын
Mzee magoma uenda Yuko sawa au pengine hayuko sawa amefwata ushawishi na wanaomshawishi wako chonjo likitokea kubwa wamtelekeze kwakua wao CV zao zimepanda mzee ajitathimini binafsi sioni Kama anachofanya kikimnufaisha Bali kumdhalilisha
@kwilasacharles17472 ай бұрын
Kuna mawakili wengine kama madalali wanajua kabisa hapa hakuna kitu lakini wanakudanyanya tu
@AsiaNgoleka2 ай бұрын
Hawaachi pesa watamla mpaka wahakikishe wajukuu awaache wakisaidiwa kwa misaada.
@yunusimchala65692 ай бұрын
Mdomo utamponzaa
@ZainabuHassani-fe8ur2 ай бұрын
Kichwa kama boga😅😅😅
@NelsonElias-h1p2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@AzhadSaid-j1t2 ай бұрын
😅😅
@yugemasanza10082 ай бұрын
Kichwa cha baba yako kinafananaa na nini?
@Farajabaraka-f7e2 ай бұрын
😂😂😂😂
@abdulkarimabdallah95362 ай бұрын
😅😅😅😅😅 uso kama pono😅😅😅😅
@AllyAthuman-z9b2 ай бұрын
Mzee utajiumiza sana kaka
@nicodemuswidambe51322 ай бұрын
Nyie mawakili mnamdanganya huyo mzee. Atafungwa kwa kutaka kwenu umaarufu.
@nyenza2 ай бұрын
Waache mawakili wale Hela za muse
@TM.Sullusi2 ай бұрын
Ikumbukwe aliyemshtaki Magoma kwenye hiyo jinai ni Yanga, kwahyo ulitaka mshtakiwa asipewe dhamana? Au asijitetee?
@IbrahDeDonny-lv2lo2 ай бұрын
Lakini mbona mm kila nkimtazama Mzee Magoma nkama huyu Mzee akili zake hazipo sawa!
@jitabojilala61622 ай бұрын
ipo siku Tanzania itafungiwa mpira ,ni mambo ya hovyo sana haya
@philiminamlosa2 ай бұрын
Huyu ni chiz kama machiz wengne2 😂 na afungwe hata miaka 1000
@GabrielSky642 ай бұрын
😂😂mzee kautaka. Lakini tuanzie kwa walio mdhamini huyu Mzee atakua anakundi.kubwa nyuma sio bure
@florencemeza65402 ай бұрын
Ni ahmedy ally na group lake
@SylivesterKilunga2 ай бұрын
Huyu mzee anawatu nyuma yake tena wenyeakiri wasiyopenda ujinga
@charlestobby60312 ай бұрын
@@SylivesterKilungaeti wenye akili wasiopenda ujinga akili hizo si wakapeleke kwenye familia zao huko😅
@DennisFandi2 ай бұрын
Mbona Yanga nyuma Wana Mwiko😂😂😂😂
@ntegrity2772 ай бұрын
Huyu mzee ni mbumbavu sana
@moshizle1732 ай бұрын
Mungu akujahalie,, uzee mwema😢🟢🟡
@Mmenga_junior2 ай бұрын
Huyu mzee anajitia nuksi hajui tu
@PaulTango-he8qo2 ай бұрын
Wakili hana kosa ila uyu mzee katafuta mwnyw afu anajitia mtoto wa mjn asipoenda jela ajiandae kulipa fain ani mtu mzm hajui kuomba msamaha
@IreneMacha-d5q2 ай бұрын
Mwisho aje kuuza kibanda cha familia😅😅😅😅
@shabanimbega402 ай бұрын
Huyu mzee lazima ashughulikiwe kienyeji ili awe mfano kwa wengine
@desolz38092 ай бұрын
Kurujuani inakuhusu
@Joe-tr2vk2 ай бұрын
Atakushushia kurjuan uhangaike nayo
@ezekielmwakyagi93302 ай бұрын
wewe ikanyage peke yako
@MuhamedHassan-l5u2 ай бұрын
Jamani kesi juu ya kesi
@songombingo1082 ай бұрын
Kukosa kazi mjini ni tatizo kwa wengi. Mmoja wapo ni Magoma. Huyu mnamwita Mzee lakini ni shida tu za kimaisha.
Uyu mzee hana hakili anashindana na yanga wakati selikali iko hapo muone bichwa lake
@barikilangoy47372 ай бұрын
Hizo pua sasa 😂😂
@IreneMacha-d5q2 ай бұрын
😅😅😅😅😅😅nmecheka Kama fala
@sallyeliya52132 ай бұрын
Wakili yupo kimaslahi zaidi,ila kama mzee ana ndugu wamshauri atulie,japo huyu mzee anaonekana kuwa mjuaji mjuaji sana bila shaka inawezekana kisha shauliwa ila ujuaji ndio unamburuza.
@jameskivelege67212 ай бұрын
Nyie mnampa promotion huyu mzee bila sababu, anachochea migogoro ili club zia nguke
@EmmanuelChrispin-bo5xh2 ай бұрын
Hapa duniani bana noma sana mwenye haki ameshindwa
@RabsonSalmon-ys7bf2 ай бұрын
Uyu mwana sheria anazdi kumla era😂 Mzee usipo kuwa makn utafilisk
@IsihakaOG2 ай бұрын
HUYU MZEE KWANI ANA NDUGU WAMSHAURY AACHE MBONA ANAZEEKA VIBAYA NA HUYU WAKILI VIPI.
@gregory61652 ай бұрын
Hawa ndiyo wanakuwaga wale ndugu ambao hawashauriki au walishaga achwa kushauriwa au kuambiwa kwasababu wanakuwaga watata sana, unakuta wamesha gombana sana na ndugu kwenye mamb meng 😂
@abdalahmjomba4712 ай бұрын
Oya bilion 1 unashangaa nini? Huyu mzee aburuzwe ajibu vzr leo tunaendeshwa na katiba ya mwaka gani? Katiba ni swala la muda so huyu mzee na alie nyuma yake wanyoooshwe
Kuna wat wasio zijua hizi timu mbili za siasa,nakumuona huyu mzee ni boya,ila ipo siku mtayakumbuka haya ya mzee magoma.
@AllanKabuga-k2d2 ай бұрын
Hana hela angekua boss 2 mambo yangeenda mrama
@iddikibwana91852 ай бұрын
Tukutane mahakamani 😂😂😂😂
@RizikiMbembela-b6h2 ай бұрын
Hiv huyu mtu anaujasir gan kushindana nawenye hera?
@BabMuniwe-pg7el2 ай бұрын
Huyu mwanasheria wa magoma Kwa Nini asishikwe maana ndo anashauli magoma na atamumalizia Hera magoma huyu mwana Sheria ni njaa tu
@kolosii43512 ай бұрын
Ajira ngumu. Kila mtu atafuta mkono uende mdomoni.
@ZainabuBakari-yb4vj2 ай бұрын
Duuu, kweli magoma
@FestoJoseph-i8i2 ай бұрын
Watu wanakoswa kaz am wanataka kik am kujulikana am wanataka kùihalibu yang axhindwe
@sallyeliya52132 ай бұрын
Mpo hapo kibiashara tu,mumpige noti mzee huyo wakati mnafahamu wazi hatoboi,mshaurini kadri anavyo jifanya kukaza utawatia hasira Yanga bure,mwambieni zama hubadirika Yanga hii sio ileee🎉🎉🎉🎉
@KassmMussa2 ай бұрын
Ungeenda kuomba era t yakula basi ila umeingia kwenye ayo mambo umefeli naalio kushauli amekupnza
@tegemeakyangenyenka61112 ай бұрын
Mpaka atakonda,skio la kufa halisikii dawa,Yanga ameikuta na ataicha watakuja wengine
@PauloAlfayo-qi1gn2 ай бұрын
😂😂😂😂wajinga ndio waliwao wakili kwenda tu polisi ni ghrama Mzee Bado anasematukutane mahakamani atauxa nn maskini
@absm80842 ай бұрын
😂😂😂😂😂 mzee ametengeneza jina😂😂 kwa muda mfupi
@Dantata92 ай бұрын
Magoma vp kurijuani,,
@laithalfairuz11892 ай бұрын
Hawana akili afu mtu mzima hovyo kwani akiachana na hizo habari itakuwaje
@StevenKapugi2 ай бұрын
😂😂😂😂😂huyu jama ananikera sana
@EmmanuelNyinyigwa-m1o2 ай бұрын
Mzee umejichanganya unamariza pesa kuwalipa mawakili wakati ungemalizia uzee wako ukimuomba mungu akuepushe nayote uliyo yafanya ukiwa kijana sasa ulicho kitafuta ukiwa kijana polis mawakili yanga wanachukua du hakili ni nywele
@ahmedysaidy98742 ай бұрын
Mm naomba huyu mzee apimwe afya ya akili na kingine wafanye kipimo cha HTCL kugundua ameathirika kiasi gani na matumizi ya bangi maana sio akili zake.
@mussastephano49382 ай бұрын
Masikini, mzee jeuri itamponza.
@RashidRajab-oz5ec2 ай бұрын
Magoma bado kijana mdogo pambania haki yako hatakama ni kwa kurujuan
@MikidadiChande2 ай бұрын
Mzee mbishi huyu
@salehwaziri50622 ай бұрын
Mtu mzimahovyoooo ujingaukubwani
@frbm17292 ай бұрын
Magoma komaaaaaa mpaka kieleweke Yanga mjanja ni wewe tu
@nicodemuswidambe51322 ай бұрын
Ee mpe ujinga hafu mwisho mchangie kulipa. Kolo mkubwa!!
@greysonkisinda73902 ай бұрын
😂😂😂😂 mdanganye
@ShabaniAlly-oz9te2 ай бұрын
chula kawa samaki😂@@nicodemuswidambe5132
@philiminamlosa2 ай бұрын
Mpe mama ako amfile kama ni mjanja
@stevenchristian67382 ай бұрын
Asipovaas kocka sasa😂😂😂😂😂😂
@stevenchristian67382 ай бұрын
Asipovaa kofia sasaaaaaa😂😂😂😂😂😂😂
@mohamedleonard7602 ай бұрын
😂😂magoma amekonda
@emmanuelmrope78192 ай бұрын
Huyu mzee anapoelekea pabaya hivi hana mshauri kbs🤔
@twahakabajemi97162 ай бұрын
Mzee hii misukosuko unaitaka ya nini?
@Abdul-oc1ul2 ай бұрын
Ww heris unaanza kulaanika unatesa wzz wa watu kw hanasa kumamayo heris leo umenikera mm ynga ila heshimu wzz wa watu kumamayo mpira uhuni c ibada kumamayo ameacha manji hy ynga na xx yuko kabrin
@kanyeshahigirimana56862 ай бұрын
Acha usenge malaya wewe, hersi amekukosea nini au ulimsikia akisema nini juu ya hili hadi umtukane mbwa mweusi uliyeshindikana wewe Hebu peleka ukolo wako huko, kafie mbele mwanaharamu.
@noellaalfred83712 ай бұрын
Ila magoma anatetemeka anatan muda urudi nyuma awe hajafanya hiyo kurujuan
@googleus49032 ай бұрын
KAMFILENI SEGEREA
@JohnGoryo2 ай бұрын
Kamando magoma
@maryfides5912 ай бұрын
Mzee kishakongoroka
@franssmoses67912 ай бұрын
Mzee kama mwehu
@byabatotv32832 ай бұрын
Kubwa jinga utakoma na kichwa yako kama dafu
@shabanimbega402 ай бұрын
Na wakili wake atakipata anakitafuta miba inamuhusu
@engineerismael21862 ай бұрын
Kama mwend wa zimu huyu mzee ebu nend karime
@richardnganya23112 ай бұрын
Upuuzi unaokera
@MsevenSaudisaidi2 ай бұрын
Mzee magoma kaa nyumbani uree wajukuuu
@jumongjr58372 ай бұрын
Makolo bhanaaa 😅😅😅 baada ya kumshangilia Mukwala Eeet wanamshangilia Magoma kweeel Kolo ni kolo tu 😂😂😂😂
@AllanKabuga-k2d2 ай бұрын
🐸🐸🐸
@fakihassan90212 ай бұрын
Anatia huruma
@KassmMussa2 ай бұрын
Wemzee kuamakini utaingia asara
@AsiaNgoleka2 ай бұрын
Huyu mzee hajionei huruma? Mawakili hawaachi pesa watakutia moyo mwisho umeisha utaona unafungwa huku ukiacha wanao,wajukuu na mkeo ktk maisha mabaaaya, kuchezea saini za waheshimiwa hautaweza kuachwa maana lazima watowe mfano wenzio ili wasicheze na moto,wewe umecheza na moto .
@AzhadSaid-j1t2 ай бұрын
Mzee wape karjuana
@AsifiwesamwelJonas2 ай бұрын
Mkundu uyo
@HASSANBAKARI-q9c2 ай бұрын
Ndo mkafanye intaviu kituoni
@JoshuaMwanilwa2 ай бұрын
Kawa mdogo kudadadek
@ShukruMakoko2 ай бұрын
Magoma huyu anawatu sio bure yanga mjipamge siokinyonge kutumia pesa munawezajikuta pasipo
@upgo61122 ай бұрын
Mzee anatia huruma
@noorbazaar90632 ай бұрын
Fedha, fedheha.
@shukranikayange22752 ай бұрын
Mzee huyu bhn
@AsifiwesamwelJonas2 ай бұрын
Kulujuani
@emmanuelmayunga15182 ай бұрын
Mwamba huyooo...jeshi la mtu mmoja 😅😅
@mussammanga77912 ай бұрын
Wamba wake upi? Suala limeshaisha, inawezekaje kura za watu wawili Magoma na Mwaipopo wakashinde kura za watu 2000.
@AnnoyedDove-oo3kk2 ай бұрын
Mzee pambana upande wa haki huwa ni wachache hata kwa shetani ni wengi kuliko kwa Mungu
@UmmyHamisi-ru2rw2 ай бұрын
Kamsaidie bhas 😂
@WilsonCharles-y4b2 ай бұрын
Unaacha kutafuta umaarufuvkupitia baba yako unaataka umaarufu kupitia wazazi wa wenzio.... kuna laana inakufuatilia weweee