Hapo sasa ❤ ankol jay asanti kwa simulizi za kihalisia (what is happening out there)na shukuru kwa hili
@NaimaKhamis-be4qq6 ай бұрын
Jmn na mm nipen likeeeee zanguuu
@HusnaAthumani-yr3kp6 ай бұрын
Waooooh anko naona umeamua kutupa kty kingine kpy asnte sana anko jay tunakupenda sanaa ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@Lucy-vp8pm6 ай бұрын
Leo nmekua wa 29 wp ❤❤❤ya akoj mapesa wapenzi wenzangu like hapa
@OnesmoMwipopo-co8dr6 ай бұрын
Hizi simulizi ziwezinakuja mala kwa mala maana zinafunzo sana ndani yake.Good story
@MariahMariahmambo6 ай бұрын
Baba kafanyaje tena hongera anko Jay pokea mauwa yako 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤much love from kenya
@Shadia5446 ай бұрын
Haya jamaniii TULIMZIKA BABA AKIWA HAI JE? ILI KUWAJE JAMANIII TUNASIKILIZA HILI TUJUWE LIKE 10 😢😢😢😢
@rebeccazagabe6 ай бұрын
salamu zangu zikufikiye kipenzi chetu anko jay leo nimewai jamn 🎧🪑
@susansamira81376 ай бұрын
Haya kulikoni baba kuzikwa akiwa hai, Ankojay ubarikiwe ❤❤❤
@NurahMummy6 ай бұрын
#Ankojay❤❤❤ Mpe salam Ally mbetu❤❤ mwamba km Anko jay❤❤
@zenaathumani81446 ай бұрын
Asante sana ankojy kwa kutuletea simulizi hii mpyaa ya 😢😢😢🙏🙏🙏🔥🔥🔥♥️♥️♥️♥️♥️ from Italy 🇮🇹 🇹🇿 ciao ciao
@SULEIMAN-l8v6 ай бұрын
sorry zena
@zenaathumani81446 ай бұрын
@@SULEIMAN-l8v sarry ya nini?
@christinasinderema30056 ай бұрын
Uncle j 😢daah kumbe hii ndy story ya marehem Mzee matulanya,,nyie 😢leo umenikumbusha home jmn story tulisimuliwa na wazee tuliogopa sana hatimae ukweli naupata Leo Asante San Uncle j🎉🎉🎉
@ZenaidaDaniel-r9d6 ай бұрын
😢😢kwahiyo hii story Niya kweli😮😮
@AishaRashid-b8k6 ай бұрын
😢😢daah aya maisha watu wanayaishi et
@FaithPeter-j4w6 ай бұрын
Mambo vipi wana team wa anko mapesa 🌹🌹🌹🌹🌹🎧🔥
@TeklaNdekeja6 ай бұрын
❤❤. Daaah Nilizani sin
@FaithPeter-j4w6 ай бұрын
@@TeklaNdekeja 🌹🌹🌹🌹
@FatumaRamadan.Mwalim6 ай бұрын
@@TeklaNdekeja😊😊😊
@HadirialssaShund5 ай бұрын
Anko jey upewe maua Yako unasimulia vizuri sana 🎉🎉🎉🎉
@SusanNeema-re3hr6 ай бұрын
Baba alizikwa akiwa hai😓 jamani kwa nn acha tufatilie mkasa wake huyu baba....anko jay tuna kushukuru sana ❤🎉🎉❤❤ like zenu jamani ❤kuomba omba huku 😂
@TeklaNdekeja6 ай бұрын
❤❤ vip rafk umefka mapemae❤
@SusanNeema-re3hr6 ай бұрын
Leo sija chelewa kivile 😂@@TeklaNdekeja
@binthassan91916 ай бұрын
Nimechelewa jamani, sijui kama nitapata seat nikae na mimi 😂, haya huyo Baba kazikwaje akiwa hai tena 🥺Ahsante Anko jay
@wertqwe83266 ай бұрын
Daaaah hii nkali ssa tunasubiri sin tunaletewa watu waliozikwa wakiwa hai haya endeleeni
@victoriangasa6 ай бұрын
😂😂
@FatumaRamadan.Mwalim6 ай бұрын
😊😊😊😊😊😊😊
@patriciaboniface99756 ай бұрын
😅😅😅😅😅SIN no 8 naisubiri kwa ham maana nzuriii sanaaa
@hdhjdh7756 ай бұрын
❤❤❤❤ waaoh Asante San
@MoshiMoshi-qy8dq6 ай бұрын
Jaman sogeen kidogo na mm nicomment😂😂😂😂 alaf inaonekana kitu kipya ni cha kutisha❤❤
@FatumaRamadan.Mwalim6 ай бұрын
Mmmh
@KHONDEGONA6 ай бұрын
Nimekua wakwanza leo kutoka kenya
@MwajumaToh6 ай бұрын
Haya kaka ngoja tusikilize alifanyaje hadi akazikwa mzima hongela sana🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤
@CandyMagoiga-ul6qq6 ай бұрын
Sjachelewa sanaaaa 😂❤❤❤❤
@MaryamKhamis-w9s6 ай бұрын
Asante sana Anko ila ninaombi moja Anko tuletee simuliz mida ya asubuh mida saa nne au saa tano na jioni saa tisa au kumi kwasababu ambao tupo mbali na tz hatuwez sikiliza usku 😂😂😂😂ni muda wa kupumzika 🙏🙏🙏🙏 na kingine ile simuliz ya jini mahaba part 2haipo au 😊😊😊nawapenda Anko na ally mbet
@mumbikibathi70366 ай бұрын
Haya, VIP Mumbi Wa Naivasha ako Ndani wapi likes
@SelemanAlmas-i2g6 ай бұрын
Nawaombea sn dua mashabik wa anko je allah awape umri mrefu
@FatumaRamadan.Mwalim6 ай бұрын
Amin sote inshallah
@TeklaNdekeja6 ай бұрын
Amina, nawe pia🙏
@avelinabaluhya28046 ай бұрын
Mh,leo ni kukaza roho hapa,ni gumu la dunia hili 😭😭😭 TULIMZIKA BABA AKIWA HAI 😭😭😭
@TeklaNdekeja6 ай бұрын
Hapa ni😭mwanzo mwisho😭
@avelinabaluhya28046 ай бұрын
@@TeklaNdekejamhmm,ni kweli,kichwa cha habari kinathibitisha hapo😭😭
@DeboraMwasweba-ij4qf6 ай бұрын
Nkfka tu kwa ankoj nakutafuta mwenyekiti wangu wa chama ca comenti ankp j simuliz nakupenda dear japo sio spendi kukomenti jina la mama yangu elina❤❤❤
@DeboraMwasweba-ij4qf6 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤
@avelinabaluhya28046 ай бұрын
@@DeboraMwasweba-ij4qf 🤣🤣🤣 ni avelina,nakupenda sana binti yangu Deborah♥️♥️
@ibrahimmwangosi23696 ай бұрын
nipeni umaarufu basi wa like nyingi wandugu 😂😂
@MuzznaMo126 ай бұрын
tupe. sen
@asmaabdulhakim-u5s3 күн бұрын
nenepa😂🚮
@victoriangasa6 ай бұрын
Mambo ya ALLY MBETU Bwana simulizi zak mhuu anajua mwenyew ❤❤🎉🎉😂😂😢
@RehemaAhmad-b1f6 ай бұрын
After 5 dys na mm nimeifikia japo kw kuchelew, hongera zikufike mwandish na msimuliaji 🎉
@NadzuwaGofwa6 ай бұрын
Kumbe wa kuchelewa tuko wengi pia mimi leo ndio na sikiliza
@AngelWakuchora5 ай бұрын
Ata mie🤣
@NurahMummy6 ай бұрын
Je mnaikumbuka kafara ya dada😢😢😢#Ally Mbetu anajua nyie maua yake🎉🎉🎉🎉
@emathumani29016 ай бұрын
Mambo vipi anko jay kajatena 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@RahmahMasaood-pb1wm6 ай бұрын
Wa kwanza😂❤🎉🎉
@DamariJohn6 ай бұрын
Baada ya kimaliza kupigika kwa mwarabu hapa ngoja sasa nisikilize simulizi ❤❤❤❤
@RujaynaRashidi6 ай бұрын
Mh kujitamba ujinga2
@justinacassian89136 ай бұрын
Aya maisha wanayaishi wengi sana kwenye hii Dunia nyieeeee🙌
@qaltumsaid30956 ай бұрын
Wale wa kuchelewa kuangalia huku tukisoma comment tujuane Kwa like ili tuende sawa ✅✔️ Asante sana ALLi mbetu Kwa simulizi tamu yenye mafunzo ndani yake. Bila kusahau ankoJay Asante pia ubarikiwe tuna enjoy ipasavyo
@OnesmoMwipopo-co8dr6 ай бұрын
Good story
@LyidiaSilayo6 ай бұрын
Hayaa makubwa kwa yanayoendelea huku duniani duuu ni majanga matupu thanks my anko
@مريممريم-ر7س5و6 ай бұрын
Anko mapesa nakupenda sn❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😂😂😂
@مريمكينيا-ش8ح6 ай бұрын
Asante anko j kwa simuliz nzur jaman munipe like zenu
@MamahetuChikuti-mp5lj6 ай бұрын
Kitu kipya tayari thanks Ankojay but wataka Leo tusilala Kwa kuogopa maana ni km yatisha kweli tusije tukatia kelele usiku jamani😅😅😅😅aya tusikilize wadau mmmh 😢😢