No video

TUMEZAMA KWEUPE MCHANA NJOONI MUTUOKOWE

  Рет қаралды 56,656

AL FATAH TV ONLINE

AL FATAH TV ONLINE

Күн бұрын

Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal
Alfatah tv online
kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490

Пікірлер: 131
@alhimnamussasaid3619
@alhimnamussasaid3619 5 жыл бұрын
ALLAH awalipe khery alfatah kazi kubwa munafanya gonga like kama unawakubali
@hamzarajabomari5408
@hamzarajabomari5408 5 жыл бұрын
Shukran kubwa sana al fatah TV kwa kuangazia hali kama hii ,wazanzibari mwenyezi mungu awafungulie kila la kheri, wengine wana jilimbizia mishahara minene, hali wengine walala hoi.
@abdullmalik7847
@abdullmalik7847 5 жыл бұрын
Ya raab tujalie tuwe wenye kutowa ,,,Allah awazidishia al Fatah Dua zetu muhimu 🇰🇪
@shaabanothman2454
@shaabanothman2454 5 жыл бұрын
Subhanallah, wallah ni mtihani sisi tunalala ktk nyumba nzuri wenzetu wanalala ktk vibanda hatuwasaidii, Allah ataenda kutuuliza juu ya neema alizotupa tusipozitoa kwa wenye kuhitaji.
@fifo262
@fifo262 5 жыл бұрын
Si hamtaki kupungukiwa
@alikhalfan9551
@alikhalfan9551 5 жыл бұрын
Allah awaruzuku kwa rehma zake Naomba utujulishe hichi kijiji kipo maeneo gani sheigh Rashid jazzak llahh kheiyr
@zayyatiyussuf9566
@zayyatiyussuf9566 5 жыл бұрын
SUBUHANALLAH SHEIKH RASHID ALLAH AKULIPE KHERI FIDUNIA WALI AKHERA NA KOO ZIMA YA AL FATAH DAWA
@bichaujuma8065
@bichaujuma8065 5 жыл бұрын
INNA LILLAHI WAINNA ILAYHI RAJIUUN MUNGU atupe iman ya kusaidiana waislam
@msowanelson5452
@msowanelson5452 5 жыл бұрын
Ukisema muislam ndugu yake muislam neno ili Lina ukakasi wote sisi ni ndugu
@abdalahsuleiman8989
@abdalahsuleiman8989 5 жыл бұрын
Rashid Allah awarudhuk kwa kazi mnaoifanye
@abdularuffin9308
@abdularuffin9308 2 жыл бұрын
Subhannallah eee mola wetu wajaalie waja wako waondokani na umaskini
@hamzakimbe374
@hamzakimbe374 5 жыл бұрын
Mwenyezi mungu awajalie wepesi
@munamuhammad211
@munamuhammad211 5 жыл бұрын
Subuhana Allah,Allah awafanyie wepec ndugu zetu wanapata tabu sana😢😢😢
@hermankoba4970
@hermankoba4970 5 жыл бұрын
Mungu awafanyie wepes kwakwer
@yahyaibrahim6934
@yahyaibrahim6934 4 жыл бұрын
Ukiwa unalala pazuri unakula kizuri halaf ukasema mungu hakuoni wallah wallah nnapa unakufuru na kiumbe wewe huna shukurani kwamungu tizama familia inavyoishi kwashida wewe kiumbe mungu kakuruzuku neema yakulala pazuri namafeni yanakupepea ukae ulalamike maisha magumu wallah narudia tena wewe huna shukurani hata kidogo Kwa Allah wallah hio hali inasikitisha sana waisalm wenzetu wanaishi ktk shida kma hio maskeen insikitisha sana sana sana
@tumtumkhan3115
@tumtumkhan3115 5 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu atawahifadhi In shaa Allah
@asaamwalim8131
@asaamwalim8131 5 жыл бұрын
ان لله مع صبرينtuwe nasubira tu maishayadunianimapambo ty yenye thaman duni SNA kuliko bawa lambu Allah atakuondosheeni thiki akher kwakuwalipa jannatufirdaus inshaallah
@abdullahjihaad5793
@abdullahjihaad5793 5 жыл бұрын
Subhaanallah. Allah atuwezeshe kuwasaidia maskini, inasikitisha sana
@leyouthaaljabri4949
@leyouthaaljabri4949 5 жыл бұрын
Kweli Hali ni ngumu Sana inasikitisha Sana Allah awalipe subrah Hali inatoa machozi
@iddysaidihamisi5429
@iddysaidihamisi5429 5 жыл бұрын
tusilaumu serekali itasaidia wangapi sis wenyew watanzania tupo wengi tukitoa hata 5000 kila mwenye huruma nipesa nyingi sana
@nadrikhamis1399
@nadrikhamis1399 5 жыл бұрын
Subhanallah mola tufanyie wepesi waja wakooo
@dcutechbkochbko6617
@dcutechbkochbko6617 5 жыл бұрын
Tajir na pesa yake maskin na wanawe mungu yuko pamoja nanyi Insha Allah atawalipa
@jumashaame1270
@jumashaame1270 5 жыл бұрын
Mungu awalipe kheri alfatah na awaajalie wenye uwezo imani ya kuwaasaidia hawa
@bintsalimalbimany5340
@bintsalimalbimany5340 5 жыл бұрын
Innalillah wainnailaih rajiun Machozi yamenitoka Alhamdulillah alaa kulli hal😓 Jaman wenzet wanashida kweli Uarab nakushkur kwa neema ulizotupa jaman mola wetu tuwezeshe kuwasaidia wenzetu hawa
@najmasalimsalim2741
@najmasalimsalim2741 5 жыл бұрын
Ameen inshaAllah
@ame.polenfamiliabaya4663
@ame.polenfamiliabaya4663 5 жыл бұрын
Subhannallah rabbanna atina fii ddunia hasana wafil akherat Hasan waqiina a adhaba nnar😥
@bintsalimalbimany5340
@bintsalimalbimany5340 5 жыл бұрын
@@ame.polenfamiliabaya4663 Ammin Yaarab
@twaariqahmad7249
@twaariqahmad7249 5 жыл бұрын
Allah awaja'lie kila la kheri dunian na akhera na awaepushe n kila la shari duniani n akhera Halaf kuna mtu anakuja anadeslike nashindwa kuelewa wana mioya ya aina gan hawa wasiopend hii
@jumakapilima5674
@jumakapilima5674 5 жыл бұрын
Mungu awalipe heri inshaallah!!!
@semyjosphat6138
@semyjosphat6138 5 жыл бұрын
Alhamdulillah tumshkuru mungu kheri na shari zote znatoka kwake mungu atawastiri pamoja na watoto wao
@amouramour7143
@amouramour7143 5 жыл бұрын
Wanaoiba kura waongoze nchi kwa tamaa ya Dunia iko Allah atawauliza na kila mchunga atawaulizwa na atajibu Jiandaeni siku so nyingi Dunia mapito
@musasinapalule1767
@musasinapalule1767 5 жыл бұрын
samahani ndugu mtangazaji kama ndakuwa nimekukosea naomba tuchangie wote sio waislamu tu lekebisha kauli mana sote ni ndugu
@iddysaidihamisi5429
@iddysaidihamisi5429 5 жыл бұрын
msamehe tu ndugu yetu ameteleza binadam ss sote nindugu sio kidini wala kabila!
@alikhamis6033
@alikhamis6033 5 жыл бұрын
Allah awajaalie inshaAllah
@mchapakazi3713
@mchapakazi3713 5 жыл бұрын
Huuu ni msiba mzito siku za kampeni kuelekea uchaguzi gari mzuri zinapaki viwanjani mwa madhalili kama sisi wakitangazwa2 vijiji hivi huwa vinyaa allah awe nanyi msimu huuu wa ramadhani tukiwa tunaelekea edd alfitrii
@nurumunguakutangurirabdull4472
@nurumunguakutangurirabdull4472 5 жыл бұрын
Viongozi washapata wanacho kitaka wamejisahau wote hao wariwafata kuwaomba kura wamejisahau sasa kama kunaviumbe wanawaitaji msaada mungu awafalij 😢😢
@salamakhamis7245
@salamakhamis7245 5 жыл бұрын
Kazi yenu ni nzuri sana kuiubua yaliyofichikana lakini musiwaulize nyama umekula lini mazingira waliyonayo yanatosha kuelewa kila kitu
@zaynabomar6746
@zaynabomar6746 5 жыл бұрын
Dah mackin mngu awafanyie wepc mckin
@user-dg8qe9rf9h
@user-dg8qe9rf9h 5 жыл бұрын
Subhana llah. Allah akulipe kheir dunia hadi akhera sheikh rashid. Na awafanyie wepesi nduguzetu
@ayoubabdull1265
@ayoubabdull1265 5 жыл бұрын
Alaf mnasema nyumban kumenoga rudin hali ndio hii wazee wetu wanateseka namna hii mungu anawaona subirin mtaona uwezo wake Sub'hanah hamuwez mkaachwa salama ht kidogo kwanin mnafanya nchi kama mali yenu na watoto wenu...al fatah shukran za dhat kwenu haya ndio ya kutuonyeshe ...c c watoto wa kimaskin tulio jaribu kujikongoja kidogo tukawaachia hao jamaa hiyo nchi bado inauma ht huku tuliko nyumban ni nyumban tu dah' Enyi wenye uchu wa madaraka na mlio lewa misifa na umaaruuf wangalien haw sio kukod maukumbi na kufutulisha wt mwenyez anawaona ...
@omarjoombi8802
@omarjoombi8802 5 жыл бұрын
Allah atakulipeni alfatah kwa kaz yenu mzur 😢😢mtihan kwel
@khadijahkhdoo6387
@khadijahkhdoo6387 5 жыл бұрын
Maskiniii dunia hiii kuna watu wanateseka kweli jamaniii duuh,mungu awatizame kwa huruma zake,shukran Al fatah
@sportsentertainmentvideo6633
@sportsentertainmentvideo6633 5 жыл бұрын
Inna lillah wa inna ilayhi rajiuun!! Kuna watu wanakula wanasaza wanatupa chakula bado wanajiita waislamu hali ya kuwa Kuna watu hawajui hata Daku yao wanaipata vipi ftari yao wanaipata vipi waislamu ni jukumu letu soote kuhakikisha tunawapa faraja ndugu zetu!! Watu wanafadhili mambo ya hovyo yasiyo na manufaa na wao duniani wala akhera wanaacha Kheri hizi!! Allah atuzindue...... Oooh inauma sana!!!
@shamsahassan2586
@shamsahassan2586 5 жыл бұрын
inshallah mungu awafanyie tahfeef na wepesi awape stara mama zangu bibi zangu na watoto woote kwa jumla,,na subra iwe pamoja nanyi,,hadi chozi
@alhimnamussasaid3619
@alhimnamussasaid3619 5 жыл бұрын
Ni vijiji gani hivi wallahi machozi yanakutoka
@zayyatiyussuf9566
@zayyatiyussuf9566 5 жыл бұрын
Ndiomana mm huwa siwezi kutizama video
@ausihaji2398
@ausihaji2398 5 жыл бұрын
WaPi hapa
@mtumwasamaki6911
@mtumwasamaki6911 5 жыл бұрын
Plastics na cancer Allah atunusuru na atuhifadhi , atupe subra na tuwasaidie wenye mahitaji zaid
@kapuboydaud5209
@kapuboydaud5209 5 жыл бұрын
Huku nazan nipemba vijijin nimelia Mimi anae jua m/mungu
@anelkaking9342
@anelkaking9342 5 жыл бұрын
Mungu wangu
@abasamwame6583
@abasamwame6583 5 жыл бұрын
Subhanallah ni wapi huko ndugu mtangazaji Allah awape subira tunaomba direction
@anwaryabdallah7782
@anwaryabdallah7782 5 жыл бұрын
SUBHANNALLAH,kunawenzetu wanaishi maisha magumu sna😤😤😤
@fatmaaly9686
@fatmaaly9686 5 жыл бұрын
Hakika
@bichaujuma8065
@bichaujuma8065 5 жыл бұрын
Inanikumbusha mbali mama yangu ALLAH akurehemu ulipitia machungu km hy YARABBI tuhifadhi
@jumahamiduhamidu1076
@jumahamiduhamidu1076 5 жыл бұрын
Innaalillaah. M/mungu atawasaidia.. Inasikitisha kila mwenye kuiona hii video asitoe machoz huo ni mpungufu wa iman
@mohammedomar1569
@mohammedomar1569 5 жыл бұрын
inalilah wainailaihi rajiun nijukumu letu waislam kusaidiana, katika maisha yangu yote sijawahi kuona watu na hali ngumu kama hii jamani kuna umuhimu wa kutembea vijijini ili tujue hali za ndugu zetu zikoje ewe mola tupe uwezo na nyoyo za kusaidiana 😓
@SalahAli-rq5sp
@SalahAli-rq5sp 5 жыл бұрын
Kiukweli naumia sana tena sana sisi tunalala pazuri tnakula vzuri kumbe wallah kuna waislamu wenzetu hawana chkula wala makazi Tuzidi kutoa swadaka zetu ili zweze kusaidia kwa ndugu zetu hawa
@mariamlupatu5907
@mariamlupatu5907 5 жыл бұрын
Subuhananllah inasikitisha wallah ewe mola wetu wape wepesi waja wako haw waweze kuondikana na maish haya
@tabuselemani6869
@tabuselemani6869 5 жыл бұрын
pole sana ndugu zetu allah atawafanyia wapesi insha allah,ila kwa upeo wangu wangepatiwa japo bati tu kwani wanaweza jenga hata kwa tofali za tope na wakaishi uzuri2
@shunaside8956
@shunaside8956 5 жыл бұрын
Subhanallah😢😢😢jmn roho inaniumaaa miee watoto wadg wanatesekaa Allah atafanya wepes amin🤝🤝
@AbdallahJuma-wb8lq
@AbdallahJuma-wb8lq 3 ай бұрын
Hii,nchi,hainaviongozi,wazanzibar,tushikane,mkono,
@rahmahussein4019
@rahmahussein4019 5 жыл бұрын
M/mungu atawafanyia wepesi Inshallah .
@abdallahally5398
@abdallahally5398 5 жыл бұрын
sheikh rashid hicho kijiji gani au shamba gani
@issawaziri2335
@issawaziri2335 5 жыл бұрын
Wapi hapo
@mdunguupdates4779
@mdunguupdates4779 5 жыл бұрын
Subhaanallah
@salimkhamis3638
@salimkhamis3638 5 жыл бұрын
Nimelia Walahi nimelia, ni zaidi ya Udhalili! What kind of life?
@farhatfatma12
@farhatfatma12 5 жыл бұрын
Usilie sana. Tuma ulichonacho
@shakiramwenye1683
@shakiramwenye1683 5 жыл бұрын
Eee,mungu awabarik mnaowajal masikin
@bintiiomary9500
@bintiiomary9500 5 жыл бұрын
Yani mumenkumbusha mbali maisha nliokuwa nkihishi n babu n nyanya yangu mungu awarehemu😭😭😭
@ukhtyzainab7254
@ukhtyzainab7254 5 жыл бұрын
Aamiin
@sanhutabdalla9873
@sanhutabdalla9873 5 жыл бұрын
Insha AllAh mungu awape subra
@hamisiduru1146
@hamisiduru1146 5 жыл бұрын
Naomben acaunt Namba ya alfataa nitume zaktulifitrii na sadaka yang kidogo ili niwe miongon mwa walio jisikia nimeona nibora niwatumie hao kulikukon niwape masikin wa hapa mjini ni harasa kubwa ndo mana tunapatwa na maswahibu kila wakati ila hali wwnye kuhitaji msaada wapo wanteseka
@dharesfadhil2236
@dharesfadhil2236 5 жыл бұрын
Subhannah llah.alhamdulillah mungu atawasitiri.matajiri mko wapi muastiri wenzenuwallah imeniliza
@jumakapilima5674
@jumakapilima5674 5 жыл бұрын
Kama kweli wewe ni kiongozi halafu una imani, kwa hali hii huwezi kuiba hata kidogo serikalini
@mohdmoshi8041
@mohdmoshi8041 5 жыл бұрын
Mungu atwapa heri halafu unakuta mtu moja anakula rushwa mamilioni masikini hawana hata riski ya siku moja kama mm ndiyo raisi nawanyonga wote wanaokula rushwa
@aliy3303
@aliy3303 5 жыл бұрын
إنا لله وإنا إليه راجعون. يا ألله احفظ من كل بلاء
@alikudura1429
@alikudura1429 5 жыл бұрын
peleni inauma Sana sehemu Gani hiko mtangazaji Nataka nijuwe wapi huko
@rhinaamiry8535
@rhinaamiry8535 5 жыл бұрын
Tanga
@al-bsaidykhalef6897
@al-bsaidykhalef6897 5 жыл бұрын
Alafu c.c.m wanasema zanzibar wameleta maendeleo fyuuuu
@alirashid3239
@alirashid3239 5 жыл бұрын
Yaa Allah machozi yananitoka.
@missfa4650
@missfa4650 5 жыл бұрын
Alhamdulillah
@mesalimrashid6312
@mesalimrashid6312 5 жыл бұрын
Very sad wallahi niwapi huko jamani tuwachangie niko mombasa .Chakula kitaisha pia kitaharibika na mvua malazi muhimu mungu mkubwa humo humo mwazaana kupita maelezo.
@damsafir2576
@damsafir2576 5 жыл бұрын
Government issue wakat wa uchaguz wanakuja mbio mbio wakishapata kura bx wanaangalia matumbo yao
@zainabhassan1514
@zainabhassan1514 5 жыл бұрын
Subbuhanallah
@user-qr2gj3jp9l
@user-qr2gj3jp9l 5 жыл бұрын
Jamani adi nalia mimi dunia hii wengine tumekuja kusindikiza wenzetu 😭
@husnasalim9614
@husnasalim9614 5 ай бұрын
😭😭😭😭😭mtihani
@fahadalbusaidy7182
@fahadalbusaidy7182 5 жыл бұрын
Sheikh Rashed hichi ni kijiji gani
@rhinaamiry8535
@rhinaamiry8535 5 жыл бұрын
Tanga
@kapuboydaud5209
@kapuboydaud5209 5 жыл бұрын
Eee eee m/mungu niongezee lizik niweze kuflahisha masikin wenzangu eee mwenyez mungu machozi haya nayotoa nazan iposiku yata dondokea mikononi mwawatu kama hawa ndugizangu kutoa nisekhem mojawapo jabada naukitoa ulicho nacho na M/mungu hakika atakuongeazea lizki inshaanlah Leo hii kunawatu wanauwezo kwachakur toa ndugu Yangu chakula hiki tuki kitumia vibaya hakika kita tupeleka kwenye shimo lamoto lililo andaliwa watu waovu vyote tuta viacha ila siku yamalipo vita kusanywa vitu vyoto ulivyo kua ukivimilik kama ulikua namakontena yavyakula utaulizwa ulikua ukivitua VIP vitu hiv ndugu Yangu tukumbuke yakua hii dunia sio nchi yetu sisi viumbe tuchukulie mifano kwewezetu tulokua nao hatuko naotena tuishi kama ugenini Wansalahm Anlahnkum
@omarhakizimanakishikbongo2186
@omarhakizimanakishikbongo2186 5 жыл бұрын
Nikwel baba mungu awarip
@nezumamakame3565
@nezumamakame3565 5 жыл бұрын
Alfatah kijiji gani hiki
@user-ts8im2us1s
@user-ts8im2us1s 5 жыл бұрын
Zip zanzibar (Kilombero na Matemwe )
@jumamohamed2638
@jumamohamed2638 5 жыл бұрын
SUBHANA ALLAH ALLAH AWAFANYIE WEPESI NDUGU ZETU HAWA INSHALLAH
@khalidsalim5299
@khalidsalim5299 5 жыл бұрын
Subhaanallaahi wabihamdihi subhaanallaahil adhwiim, ALLAHU AKBAAR
@mtumwasamaki6911
@mtumwasamaki6911 5 жыл бұрын
We Amana acha siasa hii jumuiya lengo lake in kuwaibua wenye mahitaji ili wasaidiwe kama una uwezo saidia, huu sio uwanja wa Kampeni jielewe
@abdurahimsaidittobadofplay5815
@abdurahimsaidittobadofplay5815 5 жыл бұрын
Subhan ALLAH
@moodkhamis3850
@moodkhamis3850 5 жыл бұрын
subhan Allah
@maryamali1992
@maryamali1992 5 жыл бұрын
Alhamdulilah sisi waislamu Tunategemea Qadari ya Allaah.Nasubira hakika-Allaah yupo nasi.tujitahidi tutoe kidogo tulichojaliwa na Allaah kwa Allaah nikumbwa-sanatu.
@maryammussa7522
@maryammussa7522 5 жыл бұрын
mungu atakulipa inshallah
@salehsuleiman1218
@salehsuleiman1218 5 жыл бұрын
Subhanallah nashindwa hata Ku comment wallah
@ayunramadhan3104
@ayunramadhan3104 5 жыл бұрын
Subhannallah
@hildababyabdullah5627
@hildababyabdullah5627 5 жыл бұрын
Video inaliza Allah tupe mioyo ya huruma tuwasadie wanyonge
@tumtumkhan3115
@tumtumkhan3115 5 жыл бұрын
Amiin yaa Rabby
@anelkaking9342
@anelkaking9342 5 жыл бұрын
Mungu wangu.kijiji icho kipo wapi?
@halimangereza3587
@halimangereza3587 5 жыл бұрын
Mbona guozao zuri hata mm familia yangu haina uwezo kwamm masini najua ukiwana shida padezote utaona zinashi nguo zuri nyumba baya mmm
@hajivuai3454
@hajivuai3454 5 жыл бұрын
Nyumba kama hio inatakiwa iwe ya kiongozi ,
@bintiiddy7043
@bintiiddy7043 5 жыл бұрын
SBUHANA LLAH NIKIANGALIA HVYO NAKUMBUKA SITORI YAMAMA ANGU HADI KUFIKIA HATUA YAKUPANDA JUUYAPAA KUEZEKA MAJANI YAA RABBY TUFANYIE WEPES WACHA WAKO ALLAH AWAFANYIE WEPES WAZAZI WETU 😭😭
@neemagambere9987
@neemagambere9987 5 жыл бұрын
subuhanaallahh
@tezuratezura8452
@tezuratezura8452 5 жыл бұрын
Da hii nidhima kiukweli mhh huku mjini tunazimwaga nyama
@mussahilika9622
@mussahilika9622 5 жыл бұрын
Shekh rashid hii ni sehm gani
@aliazani3909
@aliazani3909 5 жыл бұрын
Akhi..... huku ni maeneo ya wapi....
@magrethmanintveld2486
@magrethmanintveld2486 5 жыл бұрын
Kwani hapo Ni wapi
@Aisha-om9go
@Aisha-om9go 5 жыл бұрын
Subhanallah
@khalfansharji9790
@khalfansharji9790 5 жыл бұрын
LAILAHAILALLAH MUHAMADUN RASUULULLAH Dhima waisilamu hasa wenye mali toeni zaka za mali zenu na muzielekeze huku lakini AL FATAH Waambieni watu ni kijiji gani?
@musakhalff1850
@musakhalff1850 5 жыл бұрын
Mpo wapi ofisi zenu
@susangibai2691
@susangibai2691 5 жыл бұрын
duuu, niwapi hapo mkoa gani,wilaya gani?
@AliAli-xi3hu
@AliAli-xi3hu 5 жыл бұрын
Pelekeni hiyo clip ustawi wa jamii
@khalifanassor5349
@khalifanassor5349 5 жыл бұрын
Mimi nipo uk vipi naweza Kurosawa chochote
@alibaraka6699
@alibaraka6699 5 жыл бұрын
Ni Unguja au Tanga?
@hadiyamussa5824
@hadiyamussa5824 5 жыл бұрын
Subuhanallah 😭
@fatumamwalimu5765
@fatumamwalimu5765 5 жыл бұрын
Muwatafutie na makaazi pia japo nyumba ya vyumba viwili
@ausihaji2398
@ausihaji2398 5 жыл бұрын
Kijiji gani hichi hapa znz
@hajivuai3454
@hajivuai3454 5 жыл бұрын
Kwanini wasijengewe nyumba 2 kama vile za michenzani?
@farhatfatma12
@farhatfatma12 5 жыл бұрын
Nani ajenge, serikali ya Mapinduzi? Tusahau
IFAHAMU MIKASA INAYOWAKUMBA WANAZUONI ZANZIBAR {(SHEIKH DEDES) (SEMA NASI)}
41:11
He bought this so I can drive too🥹😭 #tiktok #elsarca
00:22
Elsa Arca
Рет қаралды 43 МЛН
Gli occhiali da sole non mi hanno coperto! 😎
00:13
Senza Limiti
Рет қаралды 24 МЛН
English or Spanish 🤣
00:16
GL Show
Рет қаралды 14 МЛН
DUUH…! MTIHANI, MAMA AZALIA CHOONI ZANZIBAR.
7:49
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 12 М.
SIJAWAHI KUONA HALI KAMA HII JE? WEWE UME WAHI KUIONA
6:31
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 33 М.
IJUE SANAA YA NGOMA ZA ASILI KUTOKA PEMBA-PART TWO
6:29
JIFUNZE IN ADVANCE
Рет қаралды 32 М.
How to win a argument
9:28
ajaxkmr
Рет қаралды 504 М.
Hunt to Survive | Hadza Tribe (Unchanged for 50,000 years)
38:31
Ruhi Çenet
Рет қаралды 44 МЛН
HII NDIO SIRI YA UTUKUFU WA MPEMBA
14:30
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 5 М.
Muammar Gaddafi Interviewed Just Before Libyan Revolution
18:01
Journeyman Pictures
Рет қаралды 9 МЛН
Similarities Between Arabic and Sicilian
14:11
Bahador Alast
Рет қаралды 1,3 МЛН