Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
Пікірлер: 131
@alhimnamussasaid36195 жыл бұрын
ALLAH awalipe khery alfatah kazi kubwa munafanya gonga like kama unawakubali
@hamzarajabomari54085 жыл бұрын
Shukran kubwa sana al fatah TV kwa kuangazia hali kama hii ,wazanzibari mwenyezi mungu awafungulie kila la kheri, wengine wana jilimbizia mishahara minene, hali wengine walala hoi.
@abdullmalik78475 жыл бұрын
Ya raab tujalie tuwe wenye kutowa ,,,Allah awazidishia al Fatah Dua zetu muhimu 🇰🇪
@shaabanothman24545 жыл бұрын
Subhanallah, wallah ni mtihani sisi tunalala ktk nyumba nzuri wenzetu wanalala ktk vibanda hatuwasaidii, Allah ataenda kutuuliza juu ya neema alizotupa tusipozitoa kwa wenye kuhitaji.
@fifo2625 жыл бұрын
Si hamtaki kupungukiwa
@alikhalfan95515 жыл бұрын
Allah awaruzuku kwa rehma zake Naomba utujulishe hichi kijiji kipo maeneo gani sheigh Rashid jazzak llahh kheiyr
@zayyatiyussuf95665 жыл бұрын
SUBUHANALLAH SHEIKH RASHID ALLAH AKULIPE KHERI FIDUNIA WALI AKHERA NA KOO ZIMA YA AL FATAH DAWA
@bichaujuma80655 жыл бұрын
INNA LILLAHI WAINNA ILAYHI RAJIUUN MUNGU atupe iman ya kusaidiana waislam
@msowanelson54525 жыл бұрын
Ukisema muislam ndugu yake muislam neno ili Lina ukakasi wote sisi ni ndugu
@abdalahsuleiman89895 жыл бұрын
Rashid Allah awarudhuk kwa kazi mnaoifanye
@abdularuffin93082 жыл бұрын
Subhannallah eee mola wetu wajaalie waja wako waondokani na umaskini
Ukiwa unalala pazuri unakula kizuri halaf ukasema mungu hakuoni wallah wallah nnapa unakufuru na kiumbe wewe huna shukurani kwamungu tizama familia inavyoishi kwashida wewe kiumbe mungu kakuruzuku neema yakulala pazuri namafeni yanakupepea ukae ulalamike maisha magumu wallah narudia tena wewe huna shukurani hata kidogo Kwa Allah wallah hio hali inasikitisha sana waisalm wenzetu wanaishi ktk shida kma hio maskeen insikitisha sana sana sana
@tumtumkhan31155 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu atawahifadhi In shaa Allah
@asaamwalim81315 жыл бұрын
ان لله مع صبرينtuwe nasubira tu maishayadunianimapambo ty yenye thaman duni SNA kuliko bawa lambu Allah atakuondosheeni thiki akher kwakuwalipa jannatufirdaus inshaallah
@abdullahjihaad57935 жыл бұрын
Subhaanallah. Allah atuwezeshe kuwasaidia maskini, inasikitisha sana
@leyouthaaljabri49495 жыл бұрын
Kweli Hali ni ngumu Sana inasikitisha Sana Allah awalipe subrah Hali inatoa machozi
@iddysaidihamisi54295 жыл бұрын
tusilaumu serekali itasaidia wangapi sis wenyew watanzania tupo wengi tukitoa hata 5000 kila mwenye huruma nipesa nyingi sana
@nadrikhamis13995 жыл бұрын
Subhanallah mola tufanyie wepesi waja wakooo
@dcutechbkochbko66175 жыл бұрын
Tajir na pesa yake maskin na wanawe mungu yuko pamoja nanyi Insha Allah atawalipa
@jumashaame12705 жыл бұрын
Mungu awalipe kheri alfatah na awaajalie wenye uwezo imani ya kuwaasaidia hawa
@bintsalimalbimany53405 жыл бұрын
Innalillah wainnailaih rajiun Machozi yamenitoka Alhamdulillah alaa kulli hal😓 Jaman wenzet wanashida kweli Uarab nakushkur kwa neema ulizotupa jaman mola wetu tuwezeshe kuwasaidia wenzetu hawa
@najmasalimsalim27415 жыл бұрын
Ameen inshaAllah
@ame.polenfamiliabaya46635 жыл бұрын
Subhannallah rabbanna atina fii ddunia hasana wafil akherat Hasan waqiina a adhaba nnar😥
@bintsalimalbimany53405 жыл бұрын
@@ame.polenfamiliabaya4663 Ammin Yaarab
@twaariqahmad72495 жыл бұрын
Allah awaja'lie kila la kheri dunian na akhera na awaepushe n kila la shari duniani n akhera Halaf kuna mtu anakuja anadeslike nashindwa kuelewa wana mioya ya aina gan hawa wasiopend hii
@jumakapilima56745 жыл бұрын
Mungu awalipe heri inshaallah!!!
@semyjosphat61385 жыл бұрын
Alhamdulillah tumshkuru mungu kheri na shari zote znatoka kwake mungu atawastiri pamoja na watoto wao
@amouramour71435 жыл бұрын
Wanaoiba kura waongoze nchi kwa tamaa ya Dunia iko Allah atawauliza na kila mchunga atawaulizwa na atajibu Jiandaeni siku so nyingi Dunia mapito
@musasinapalule17675 жыл бұрын
samahani ndugu mtangazaji kama ndakuwa nimekukosea naomba tuchangie wote sio waislamu tu lekebisha kauli mana sote ni ndugu
@iddysaidihamisi54295 жыл бұрын
msamehe tu ndugu yetu ameteleza binadam ss sote nindugu sio kidini wala kabila!
@alikhamis60335 жыл бұрын
Allah awajaalie inshaAllah
@mchapakazi37135 жыл бұрын
Huuu ni msiba mzito siku za kampeni kuelekea uchaguzi gari mzuri zinapaki viwanjani mwa madhalili kama sisi wakitangazwa2 vijiji hivi huwa vinyaa allah awe nanyi msimu huuu wa ramadhani tukiwa tunaelekea edd alfitrii
@nurumunguakutangurirabdull44725 жыл бұрын
Viongozi washapata wanacho kitaka wamejisahau wote hao wariwafata kuwaomba kura wamejisahau sasa kama kunaviumbe wanawaitaji msaada mungu awafalij 😢😢
@salamakhamis72455 жыл бұрын
Kazi yenu ni nzuri sana kuiubua yaliyofichikana lakini musiwaulize nyama umekula lini mazingira waliyonayo yanatosha kuelewa kila kitu
@zaynabomar67465 жыл бұрын
Dah mackin mngu awafanyie wepc mckin
@user-dg8qe9rf9h5 жыл бұрын
Subhana llah. Allah akulipe kheir dunia hadi akhera sheikh rashid. Na awafanyie wepesi nduguzetu
@ayoubabdull12655 жыл бұрын
Alaf mnasema nyumban kumenoga rudin hali ndio hii wazee wetu wanateseka namna hii mungu anawaona subirin mtaona uwezo wake Sub'hanah hamuwez mkaachwa salama ht kidogo kwanin mnafanya nchi kama mali yenu na watoto wenu...al fatah shukran za dhat kwenu haya ndio ya kutuonyeshe ...c c watoto wa kimaskin tulio jaribu kujikongoja kidogo tukawaachia hao jamaa hiyo nchi bado inauma ht huku tuliko nyumban ni nyumban tu dah' Enyi wenye uchu wa madaraka na mlio lewa misifa na umaaruuf wangalien haw sio kukod maukumbi na kufutulisha wt mwenyez anawaona ...
@omarjoombi88025 жыл бұрын
Allah atakulipeni alfatah kwa kaz yenu mzur 😢😢mtihan kwel
@khadijahkhdoo63875 жыл бұрын
Maskiniii dunia hiii kuna watu wanateseka kweli jamaniii duuh,mungu awatizame kwa huruma zake,shukran Al fatah
@sportsentertainmentvideo66335 жыл бұрын
Inna lillah wa inna ilayhi rajiuun!! Kuna watu wanakula wanasaza wanatupa chakula bado wanajiita waislamu hali ya kuwa Kuna watu hawajui hata Daku yao wanaipata vipi ftari yao wanaipata vipi waislamu ni jukumu letu soote kuhakikisha tunawapa faraja ndugu zetu!! Watu wanafadhili mambo ya hovyo yasiyo na manufaa na wao duniani wala akhera wanaacha Kheri hizi!! Allah atuzindue...... Oooh inauma sana!!!
@shamsahassan25865 жыл бұрын
inshallah mungu awafanyie tahfeef na wepesi awape stara mama zangu bibi zangu na watoto woote kwa jumla,,na subra iwe pamoja nanyi,,hadi chozi
@alhimnamussasaid36195 жыл бұрын
Ni vijiji gani hivi wallahi machozi yanakutoka
@zayyatiyussuf95665 жыл бұрын
Ndiomana mm huwa siwezi kutizama video
@ausihaji23985 жыл бұрын
WaPi hapa
@mtumwasamaki69115 жыл бұрын
Plastics na cancer Allah atunusuru na atuhifadhi , atupe subra na tuwasaidie wenye mahitaji zaid
@kapuboydaud52095 жыл бұрын
Huku nazan nipemba vijijin nimelia Mimi anae jua m/mungu
@anelkaking93425 жыл бұрын
Mungu wangu
@abasamwame65835 жыл бұрын
Subhanallah ni wapi huko ndugu mtangazaji Allah awape subira tunaomba direction
@anwaryabdallah77825 жыл бұрын
SUBHANNALLAH,kunawenzetu wanaishi maisha magumu sna😤😤😤
@fatmaaly96865 жыл бұрын
Hakika
@bichaujuma80655 жыл бұрын
Inanikumbusha mbali mama yangu ALLAH akurehemu ulipitia machungu km hy YARABBI tuhifadhi
@jumahamiduhamidu10765 жыл бұрын
Innaalillaah. M/mungu atawasaidia.. Inasikitisha kila mwenye kuiona hii video asitoe machoz huo ni mpungufu wa iman
@mohammedomar15695 жыл бұрын
inalilah wainailaihi rajiun nijukumu letu waislam kusaidiana, katika maisha yangu yote sijawahi kuona watu na hali ngumu kama hii jamani kuna umuhimu wa kutembea vijijini ili tujue hali za ndugu zetu zikoje ewe mola tupe uwezo na nyoyo za kusaidiana 😓
@SalahAli-rq5sp5 жыл бұрын
Kiukweli naumia sana tena sana sisi tunalala pazuri tnakula vzuri kumbe wallah kuna waislamu wenzetu hawana chkula wala makazi Tuzidi kutoa swadaka zetu ili zweze kusaidia kwa ndugu zetu hawa
@mariamlupatu59075 жыл бұрын
Subuhananllah inasikitisha wallah ewe mola wetu wape wepesi waja wako haw waweze kuondikana na maish haya
@tabuselemani68695 жыл бұрын
pole sana ndugu zetu allah atawafanyia wapesi insha allah,ila kwa upeo wangu wangepatiwa japo bati tu kwani wanaweza jenga hata kwa tofali za tope na wakaishi uzuri2
@shunaside89565 жыл бұрын
Subhanallah😢😢😢jmn roho inaniumaaa miee watoto wadg wanatesekaa Allah atafanya wepes amin🤝🤝
Nimelia Walahi nimelia, ni zaidi ya Udhalili! What kind of life?
@farhatfatma125 жыл бұрын
Usilie sana. Tuma ulichonacho
@shakiramwenye16835 жыл бұрын
Eee,mungu awabarik mnaowajal masikin
@bintiiomary95005 жыл бұрын
Yani mumenkumbusha mbali maisha nliokuwa nkihishi n babu n nyanya yangu mungu awarehemu😭😭😭
@ukhtyzainab72545 жыл бұрын
Aamiin
@sanhutabdalla98735 жыл бұрын
Insha AllAh mungu awape subra
@hamisiduru11465 жыл бұрын
Naomben acaunt Namba ya alfataa nitume zaktulifitrii na sadaka yang kidogo ili niwe miongon mwa walio jisikia nimeona nibora niwatumie hao kulikukon niwape masikin wa hapa mjini ni harasa kubwa ndo mana tunapatwa na maswahibu kila wakati ila hali wwnye kuhitaji msaada wapo wanteseka
@dharesfadhil22365 жыл бұрын
Subhannah llah.alhamdulillah mungu atawasitiri.matajiri mko wapi muastiri wenzenuwallah imeniliza
@jumakapilima56745 жыл бұрын
Kama kweli wewe ni kiongozi halafu una imani, kwa hali hii huwezi kuiba hata kidogo serikalini
@mohdmoshi80415 жыл бұрын
Mungu atwapa heri halafu unakuta mtu moja anakula rushwa mamilioni masikini hawana hata riski ya siku moja kama mm ndiyo raisi nawanyonga wote wanaokula rushwa
@aliy33035 жыл бұрын
إنا لله وإنا إليه راجعون. يا ألله احفظ من كل بلاء
@alikudura14295 жыл бұрын
peleni inauma Sana sehemu Gani hiko mtangazaji Nataka nijuwe wapi huko
@rhinaamiry85355 жыл бұрын
Tanga
@al-bsaidykhalef68975 жыл бұрын
Alafu c.c.m wanasema zanzibar wameleta maendeleo fyuuuu
@alirashid32395 жыл бұрын
Yaa Allah machozi yananitoka.
@missfa46505 жыл бұрын
Alhamdulillah
@mesalimrashid63125 жыл бұрын
Very sad wallahi niwapi huko jamani tuwachangie niko mombasa .Chakula kitaisha pia kitaharibika na mvua malazi muhimu mungu mkubwa humo humo mwazaana kupita maelezo.
@damsafir25765 жыл бұрын
Government issue wakat wa uchaguz wanakuja mbio mbio wakishapata kura bx wanaangalia matumbo yao
@zainabhassan15145 жыл бұрын
Subbuhanallah
@user-qr2gj3jp9l5 жыл бұрын
Jamani adi nalia mimi dunia hii wengine tumekuja kusindikiza wenzetu 😭
@husnasalim96145 ай бұрын
😭😭😭😭😭mtihani
@fahadalbusaidy71825 жыл бұрын
Sheikh Rashed hichi ni kijiji gani
@rhinaamiry85355 жыл бұрын
Tanga
@kapuboydaud52095 жыл бұрын
Eee eee m/mungu niongezee lizik niweze kuflahisha masikin wenzangu eee mwenyez mungu machozi haya nayotoa nazan iposiku yata dondokea mikononi mwawatu kama hawa ndugizangu kutoa nisekhem mojawapo jabada naukitoa ulicho nacho na M/mungu hakika atakuongeazea lizki inshaanlah Leo hii kunawatu wanauwezo kwachakur toa ndugu Yangu chakula hiki tuki kitumia vibaya hakika kita tupeleka kwenye shimo lamoto lililo andaliwa watu waovu vyote tuta viacha ila siku yamalipo vita kusanywa vitu vyoto ulivyo kua ukivimilik kama ulikua namakontena yavyakula utaulizwa ulikua ukivitua VIP vitu hiv ndugu Yangu tukumbuke yakua hii dunia sio nchi yetu sisi viumbe tuchukulie mifano kwewezetu tulokua nao hatuko naotena tuishi kama ugenini Wansalahm Anlahnkum
@omarhakizimanakishikbongo21865 жыл бұрын
Nikwel baba mungu awarip
@nezumamakame35655 жыл бұрын
Alfatah kijiji gani hiki
@user-ts8im2us1s5 жыл бұрын
Zip zanzibar (Kilombero na Matemwe )
@jumamohamed26385 жыл бұрын
SUBHANA ALLAH ALLAH AWAFANYIE WEPESI NDUGU ZETU HAWA INSHALLAH
We Amana acha siasa hii jumuiya lengo lake in kuwaibua wenye mahitaji ili wasaidiwe kama una uwezo saidia, huu sio uwanja wa Kampeni jielewe
@abdurahimsaidittobadofplay58155 жыл бұрын
Subhan ALLAH
@moodkhamis38505 жыл бұрын
subhan Allah
@maryamali19925 жыл бұрын
Alhamdulilah sisi waislamu Tunategemea Qadari ya Allaah.Nasubira hakika-Allaah yupo nasi.tujitahidi tutoe kidogo tulichojaliwa na Allaah kwa Allaah nikumbwa-sanatu.
@maryammussa75225 жыл бұрын
mungu atakulipa inshallah
@salehsuleiman12185 жыл бұрын
Subhanallah nashindwa hata Ku comment wallah
@ayunramadhan31045 жыл бұрын
Subhannallah
@hildababyabdullah56275 жыл бұрын
Video inaliza Allah tupe mioyo ya huruma tuwasadie wanyonge
@tumtumkhan31155 жыл бұрын
Amiin yaa Rabby
@anelkaking93425 жыл бұрын
Mungu wangu.kijiji icho kipo wapi?
@halimangereza35875 жыл бұрын
Mbona guozao zuri hata mm familia yangu haina uwezo kwamm masini najua ukiwana shida padezote utaona zinashi nguo zuri nyumba baya mmm
@hajivuai34545 жыл бұрын
Nyumba kama hio inatakiwa iwe ya kiongozi ,
@bintiiddy70435 жыл бұрын
SBUHANA LLAH NIKIANGALIA HVYO NAKUMBUKA SITORI YAMAMA ANGU HADI KUFIKIA HATUA YAKUPANDA JUUYAPAA KUEZEKA MAJANI YAA RABBY TUFANYIE WEPES WACHA WAKO ALLAH AWAFANYIE WEPES WAZAZI WETU 😭😭
@neemagambere99875 жыл бұрын
subuhanaallahh
@tezuratezura84525 жыл бұрын
Da hii nidhima kiukweli mhh huku mjini tunazimwaga nyama
@mussahilika96225 жыл бұрын
Shekh rashid hii ni sehm gani
@aliazani39095 жыл бұрын
Akhi..... huku ni maeneo ya wapi....
@magrethmanintveld24865 жыл бұрын
Kwani hapo Ni wapi
@Aisha-om9go5 жыл бұрын
Subhanallah
@khalfansharji97905 жыл бұрын
LAILAHAILALLAH MUHAMADUN RASUULULLAH Dhima waisilamu hasa wenye mali toeni zaka za mali zenu na muzielekeze huku lakini AL FATAH Waambieni watu ni kijiji gani?
@musakhalff18505 жыл бұрын
Mpo wapi ofisi zenu
@susangibai26915 жыл бұрын
duuu, niwapi hapo mkoa gani,wilaya gani?
@AliAli-xi3hu5 жыл бұрын
Pelekeni hiyo clip ustawi wa jamii
@khalifanassor53495 жыл бұрын
Mimi nipo uk vipi naweza Kurosawa chochote
@alibaraka66995 жыл бұрын
Ni Unguja au Tanga?
@hadiyamussa58245 жыл бұрын
Subuhanallah 😭
@fatumamwalimu57655 жыл бұрын
Muwatafutie na makaazi pia japo nyumba ya vyumba viwili
@ausihaji23985 жыл бұрын
Kijiji gani hichi hapa znz
@hajivuai34545 жыл бұрын
Kwanini wasijengewe nyumba 2 kama vile za michenzani?