Tuna Ujasiri - Tanzania One Soul (Official Music Video)

  Рет қаралды 193,902

Tanzania One Soul

Tanzania One Soul

3 жыл бұрын

TUNA UJASIRI - ni wimbo maalum ulioimbwa kwa ajili ya kuomboleza kifo cha Rais wa awamu ya tano hayati John Pombe Magufuli katika wimbo huu waimbaji walioshiriki ni kama ifatavyo
Japhet Zabron
Walter Chilambo
Ambwene Mwasongwe
Miriam Mbepera
Miriam Lukindo
Beda Andrew
Paul Clement
Rehema Simfukwe
Jessica Honore
Iren Robert
Godfrey Steven
Mathias Walichupa
Gwamaka Mwakalinga
Dr.Ipyana
Kibonge Wa Yesu
Madam Flora
Neema Mudosa
Upendo Nkone
Producer wa audio hii ni Fredric Masanja
Mwl Vacal - Zamoyoni Alex
Studio (S & M ) Sound Music
Video Director Yotham Lyobha

Пікірлер: 236
@gustavrwekaza802
@gustavrwekaza802 3 жыл бұрын
Upendo Nkone Wewe mama ni mwombolezaji by nature Wewe ni mmoja wa Wamama wanaozungumziwa kwenye Yeremia 9:17 Mungu akubariki kwa karama hii
@GGGB2011
@GGGB2011 3 ай бұрын
I Love this song. Mungu awabariki wasani wote mliomba huu wimbo. RIP Magufuli
@mptaiter8404
@mptaiter8404 Жыл бұрын
Godfrey Steven,ambwene mwasongwe halooo mmeniweza
@Arukah_
@Arukah_ 3 жыл бұрын
Leo nimejua waimbaji wengi kutoka taifa zuri. Baraka za Mungu ndani ya maisha yenu. Nawaombea, nawapenda kaka na dada zanguni.
@nereahapela7456
@nereahapela7456 3 жыл бұрын
This song has almost all the best Christian song leads in Tanzania
@oyiera.daisy33
@oyiera.daisy33 3 жыл бұрын
God bless you one soul. You have given him a good send off. Kuweni na UJASIRI mtashinda. Kutoka Kenya 🇰🇪 rambi rambi zetu zetu pokeeni. Rest well Mr Maghufuli
@evelynmasaka2894
@evelynmasaka2894 3 жыл бұрын
Rehema semfukwe wewe ni hatar kwa kuimba.
@princepeter2110
@princepeter2110 7 ай бұрын
Zabron kweli ni singer ..melody kali hadi kwenye nyimbo ya Msiba Wa mpanho😢😢
@ipyanamwakosya5917
@ipyanamwakosya5917 3 жыл бұрын
Dr ipyana
@RachelMethod-rt1qx
@RachelMethod-rt1qx 10 ай бұрын
Bado tunakumbuka rais wetu mpendwa, hakika hatujawahi kuzowea, haswa Kwa haya yanayo endelea Tanzania yetuu
@endlessloveofchristlovewor9991
@endlessloveofchristlovewor9991 2 жыл бұрын
Yohana 5:8-9 Bado tunaujasiri mioyoni mwetu, tutainuka tena.
@olipavedasto4713
@olipavedasto4713 Жыл бұрын
Upendo nkone unamanisha hata unapoimba
@hosianakibona659
@hosianakibona659 2 жыл бұрын
Jessica Honore Killed the last chorus, wish could lead for next 8 minutes. Jessica Is superb 👌
@dorissilva6709
@dorissilva6709 3 жыл бұрын
Ambwene Mwasongwe...powerful lyrics!
@jefredyfrednandy5880
@jefredyfrednandy5880 3 жыл бұрын
Moyo unasema loo kuna nn kimetokea something is not Nomorl ............. Nafarijikaa
@mathewben6833
@mathewben6833 3 жыл бұрын
Living song,nikiusikiliza namkumbuka Magufuli rais wetu 😭😭😭
@kambamazig02024
@kambamazig02024 3 жыл бұрын
Napata faraja kuwaona watanzania tumefikia mahali tunaweza kufarijiana kwa hali ya namna hii. Mungu aendelee kuwaangazia wasanii wa aina zote Tanzania. RIP Magufuli, kaa slama kwenye nyumba yako ya milele.
@nangukidasu8040
@nangukidasu8040 3 жыл бұрын
Magufuli jamani! Magufuli.
@niwaelinathanaeli6843
@niwaelinathanaeli6843 3 жыл бұрын
Upendo Nkone umenifanya nilie😭😭 Nakupenda Mama
@rulebudodo2301
@rulebudodo2301 3 жыл бұрын
Japhet Zabron Walter Chilambo Ambwene Mwasongwe Miriam Mbepera Miriam Lukindo Beda Andrew Paul Clement Rehema Simfukwe Jessica Honore Iren Robert Godfrey Steven Mathias Walichupa Gwamaka Mwakalinga Dr.Ipyana Kibonge Wa Yesu Madam Flora Neema Mudosa Upendo Nkone Producer wa audio hii ni Fredric Masanja Mwl Vacal - Zamoyoni Alex Studio (S & M ) Sound Music Video Director Yotham Lyobha Mungu awabariki sana
@nicromezb
@nicromezb 3 жыл бұрын
TZ tunavipaji sana Na bado tuna ujasili moyoni RIP magufuli wetu we still love u🇹🇿❤️
@tabbiewachira9334
@tabbiewachira9334 3 жыл бұрын
Yaani wale wote napenda songs zao ni WA TZ. Then you guys are doing so well in this industry. Keep it up my brothers and sisters. God comfort you. It is well
@juliussanane1860
@juliussanane1860 3 жыл бұрын
Mmejua kutunga na kuimba asanteni sana kwa wimbo huu wa kutupa nguvu sisi Watanzania
@dottiemeekery7266
@dottiemeekery7266 3 жыл бұрын
Mema yote uliyotutendea utayakuta kwa Mungu 😭😭 RIP Magufuli
@chrisokidoki1
@chrisokidoki1 2 жыл бұрын
i am from europe but i was with nigerian 9 years married but i like tansanija i think i have in my other live a connection with tansanija
@euniquemalekela2045
@euniquemalekela2045 3 жыл бұрын
Sauti za simanzi,ujasiri bado upo moyoni MUNGU anaishi,dunia Kama Maya,nyakati zote humkuta mwanadamu,kila Jambo Ni jema,hata hili litapita tumaini letu lipo kwa MUNGU,mapenzi yako yatimizwe,umeweka kifo ili uogopwe kwa kuheshimiwa, katika yote wewe Ni kila kitu, msiba mzito baba MUNGU utufariji,Kuna mahali umetutoa,uzuri kila Jambo linawakati wake,na yote Yapo mikononi mwa BWANA,sifa utukufu apewe BWANA,japo umeondoka.NAFSI BADO YAULIZA ROHO NINI KIMETOKEA,Adui Ni moali lakini MUNGU Ni daktari agangae mioyo na mbele tutaendelea na tutazidi kutembea ,na atatuinua tutapanda mlima huu kwani tumaini halijafa tumefunzwa kumtegemea MUNGU AS TANZANI STILL WE HAVE CONFIDENCE IN OUR HEART UTUKUFU KWA BWANA
@marcusmorrataantonius411
@marcusmorrataantonius411 3 жыл бұрын
Japhet Zabron killed it, super talent, amazing voice
@nangukidasu8040
@nangukidasu8040 3 жыл бұрын
Tutabaki nayo milele fly over,stend za kisasa, madaraja ,shule!
@jovinathasavoie8018
@jovinathasavoie8018 3 жыл бұрын
This is an emotional song,jaman wasanii wamejitahidi kutunga in a short period,polen sana watanzania.condolonces kutoka 🇺🇸
@aoman5214
@aoman5214 3 жыл бұрын
Wimbo mzur Sana 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩😭😭😭🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@tumainimapoma5329
@tumainimapoma5329 3 жыл бұрын
Bado tunaujasiri miyoni mwetu utabaki kuwa mungu
@sammymelkchambi7230
@sammymelkchambi7230 3 жыл бұрын
Dr. Ipyana, Gwamaka, Walter, Paul clement, Japhet Zabron, Ambwene, Rehema Simfukwe, Godrey steve, Upendo nkone, Kibonge wa Yesu, Beda andrew🔥🔥🔥🔥🔥😭😭😭
@shadrackedward632
@shadrackedward632 3 жыл бұрын
This song has ministered to my Heart so Greatly...Bado tuna Ujasiri mioyoni. We didn't expect you to Leave us this Early Our Father Magufuli 😭😭😭 Rest in Eternal Peace!
@amonijames5183
@amonijames5183 3 жыл бұрын
Kwakweli hili ni bonge la nyimbo na itaishi kwa muda mrefu sababu hamkuface jina lolote mmeimba kwa hisia kubwa hongereni watumishi wa mungu kwa kazi nzuri mungu aendeelee kuwaongoza maana yeye ndo mpaji wa vitu vyote apa duniani iwe kipaji sauti maarifa najua tunapitia kipindi kigumu watanzania ila mungu yeye ndo mpangaji wa haya yote yatupasa kumshukuru kwa yote 🙏🇹🇿❤️🌹🤝🤛
@mundethomas9313
@mundethomas9313 3 жыл бұрын
Super talented people, vocals zote ni hatari and i know we were mourning, lakini man we are so very lucky mlichagua kuimba injili. We are so lucky Tz has you all. His ways are not our ways, he's kind and loving, he's merciful and forgiving, he is
@yegenqueen7120
@yegenqueen7120 3 жыл бұрын
Praying for you 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 may the Lord comfort you Tanzania...watu wazuri sana.
@wegesasweetbert9860
@wegesasweetbert9860 3 жыл бұрын
Namshukuru Mungu kwa waimbaji Hawa.. tuna msiba mzto lakin tuna ujasiri usio kifani...
@ben2252
@ben2252 3 жыл бұрын
Jina lako baba liimidiwe.
@sweetluc2660
@sweetluc2660 3 жыл бұрын
Hakika Bwana Tunaomba utuinue
@barakaowenya3229
@barakaowenya3229 3 жыл бұрын
May God bless this people..... the best song in this year. Ujumbe uliotolewa humu ni mzito sana
@fauzia8049
@fauzia8049 3 жыл бұрын
Mama wwwsaas/r e
@dorcahogeto1544
@dorcahogeto1544 3 жыл бұрын
Nalia nanyi Tanzania...Lakini la Muhimu ni Mungu atukuzwe maana anajua zaidi. Tunashukuru na kulisifu jina lake Yesu
@priscilarkahindi9126
@priscilarkahindi9126 3 жыл бұрын
Sijamuona Shusho na Joel Lwaga,ama tayari nivile walitoa song yao na wasafi so no need watokee mara2?
@ednacosmas2307
@ednacosmas2307 3 жыл бұрын
Hakika ametuachia ujasiri mkubwa mioyoni mwetu mungu ni mwema kabisa kwani kila analopaga kwake ni jema pia ktk majonzi haya bado mungu atabaki kuwa mungu
@lakimdiu2547
@lakimdiu2547 3 жыл бұрын
Mungu bado utabaki kuwa Mungu
@dhuluufiklihassan537
@dhuluufiklihassan537 3 жыл бұрын
Upendo Nkone made me cry 😭😭
@happinesserasto3986
@happinesserasto3986 3 жыл бұрын
Sana! Mama kaguswa Sana dah
@rodaniatangira3613
@rodaniatangira3613 4 ай бұрын
anaimba kwa hisia sana 😭
@gladysmwangi1837
@gladysmwangi1837 Жыл бұрын
I love this song soo much...🙏🙏
@rahelkibona6328
@rahelkibona6328 3 жыл бұрын
bado tuna ujasiri mioyoni Asante Mungu kwa yote 🙏😭
@janethjohn290
@janethjohn290 3 жыл бұрын
Japhet,Godfrey nyie n noma
@magrethandrew9503
@magrethandrew9503 3 жыл бұрын
Wewe ni Mungu utabaki kuwa Mungu, hata kama hukujibu tulivyotaka,...........
@maniscamullah6282
@maniscamullah6282 3 жыл бұрын
Nyimbo nzr snaa
@mhozastephenkagoroba4661
@mhozastephenkagoroba4661 3 жыл бұрын
Hakika tuna ujasiri mioyoni mwetu! Najua Bwana hawezi vumilia machozi na vilio vyetu hivi vizito, kuna jambo kubwa juu ya nchi yetu Bwana anakwenda kuliachilia, kwani tulianza na Mungu na bado tunaendelea na Mungu. Mungu ibariki Tanzania 🙏🙏
@atupakisyerighton2629
@atupakisyerighton2629 3 жыл бұрын
Amina ......sio tunavokaa kukiri mabaya tu.....Mungu aipokee Sala hii🙏
@mhozastephenkagoroba4661
@mhozastephenkagoroba4661 3 жыл бұрын
@@atupakisyerighton2629 Amen
@mhozastephenkagoroba4661
@mhozastephenkagoroba4661 3 жыл бұрын
@@atupakisyerighton2629 Amen
@Canndyg-kt9
@Canndyg-kt9 3 жыл бұрын
Exactly, huu uchungu na maumivu ambayo Mungu ameyaachia kwa Tanzania sio wa bure aisee kuna mema makubwa yanakuja.
@neemamichael8058
@neemamichael8058 3 жыл бұрын
Japhet Zabron killed it
@queenelizabeth2809
@queenelizabeth2809 3 жыл бұрын
Mbarikiwe saana kwa wimbo wa kututia moyo Mungu awalipe
@rowanalumasa1752
@rowanalumasa1752 3 жыл бұрын
Poleni sana jameni watanzania. This song has touched my heart . i cant help but cry. eeeeh the pain is too much. May the almighty God strengthen all Tanzanians.
@johnsylvester7621
@johnsylvester7621 3 жыл бұрын
Amen wimbo huu utaishi milele
@Elizabeth-mw4mo
@Elizabeth-mw4mo 3 жыл бұрын
Such a comforting song mbarikiwe waimbaji wote
@precious_ite1114
@precious_ite1114 3 жыл бұрын
Poleni sana ndugu zangu wa Tanzania 🇹🇿
@claymwaifwani6451
@claymwaifwani6451 3 жыл бұрын
The man is gone, from the dust; we all came, to the dust; we all shall return. Glory be to the Lord in the highest.
@lilianodhiambo3694
@lilianodhiambo3694 3 жыл бұрын
Amen
@ashtonmzumara4020
@ashtonmzumara4020 2 жыл бұрын
How many of us have we been playing this song the whole of this month? This song got all it takes to be the a dedication song of a decade,You are unarguably the real stars ⭐️
@rehemamwaitenda1872
@rehemamwaitenda1872 3 жыл бұрын
Hakika bado tuna ujasiri moyoni, katika kipindi hiki kigumu Mungu atusaidie tusimtende dhambi. 😭😭😭😭, God bless Tanzania🇹🇿, God bless Africa🙏
@puritykarimi_
@puritykarimi_ 3 жыл бұрын
Woow.this is really encouraging. I love the song. God bless Tanzania.Tunawapenda🇰🇪
@nellymmbaga5883
@nellymmbaga5883 3 жыл бұрын
Aiseee this song Tunaujasiri..dah ..Mungu awabariki sana watu wa Mungu..Wimbo mzuri mno .Japo machozi yananitoka ila Naamini Mungu atatuvusha.
@nestor384
@nestor384 3 жыл бұрын
Hatukutegemea our lovely president JP Magufuli could leave us soon like this. Rest In Power BABA😭😭🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
@robsonntanda9974
@robsonntanda9974 3 жыл бұрын
Amen! Tumaini letu ni kwake shujaa wa msalaba....RIP our president
@jumalihilwike9539
@jumalihilwike9539 3 жыл бұрын
twatazamia mema makubwa zaidi ya haya magumu tulonayo now
@temuemanuel4671
@temuemanuel4671 3 жыл бұрын
Asanteni watunzi kwa wimbo huu mzuri wa kutufariji ktk kipindi hiki kigumu cha majonzi cha kumpoteza mpendwa wetu Magufuli
@phenelixosore7722
@phenelixosore7722 3 жыл бұрын
Bado tuna ujasiri miyoni my deepest condolences to you my brother and sister late Dr John was Indeed a great leader .big love from Kenya stay focused and believe in God he his eble. I wish we can get leader here in Kenya with a soul who can care for anomal citizen .
@glorymwalyego8681
@glorymwalyego8681 3 жыл бұрын
Asante kwa wimbo wa faraja na tumaini jipya ktk kipindi kigumu tunachopitia,hakika bado tunaujasiri moyoni katika Yesu atutiaye nguvu,hata hili litapita,looking for new beginning,R.I.P JPM
@JosephMasunga-zm7lv
@JosephMasunga-zm7lv Ай бұрын
❤❤❤❤❤❤ you are soo so 🔥
@ommykhantz
@ommykhantz 3 жыл бұрын
Amen
@aglibertusrobert3159
@aglibertusrobert3159 3 жыл бұрын
Upendo jaman flora I love you ambwene nimwfurahi zabron Mungu awe nawe
@neemajonas5628
@neemajonas5628 2 жыл бұрын
Dunia kama Maua Leo twachanua kesho twanyauka😭😭😭😭😭
@gladysmwangi1837
@gladysmwangi1837 2 жыл бұрын
Months after and I still feel the gap...keep resting in peace 🕊️🕊️...I love this song from kenya
@tegezdomin8363
@tegezdomin8363 3 жыл бұрын
Wimbo mzuri sana nimeupenda sana unaujumbe mzito
@passynana9168
@passynana9168 3 жыл бұрын
Mungu awatieni nguvu ndugu zangu 😭😭😭😭😭😭
@masebomusic
@masebomusic 3 жыл бұрын
no no no no no no no no 😢😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 siwezi kuvumilia hii kitu inanitoa mchozi thanks sana Ministers kwa faraja hii
@zawadiwere2913
@zawadiwere2913 3 жыл бұрын
This is a powerful and encouraging song. Mungu habadiliki..Daima milele tutakuwa washindi
@devothamakunda9502
@devothamakunda9502 3 жыл бұрын
Nyimbo imenifanya nipate faraja Mungu awabariki sana waimbaji wetu
@chrisokidoki1
@chrisokidoki1 2 жыл бұрын
i like so much tansanija
@blackbeautypierree7431
@blackbeautypierree7431 3 жыл бұрын
Bado Mungu wetu Unaishiiiii😭😭😭😭😭😭🤦, Yesu tupe Ujasiriiii💪,
@rosemahungiro6573
@rosemahungiro6573 3 жыл бұрын
Mi Wala hata siamini nahic Kama ndoto bado😭😭😭😭😭😭😭
@ivanyseseja662
@ivanyseseja662 2 жыл бұрын
Rip dady
@christinekihara8087
@christinekihara8087 3 жыл бұрын
Mungu asimame na Tanzania. For the sake of this country oh Lord do not rest.
@lilianodhiambo3694
@lilianodhiambo3694 3 жыл бұрын
Amen
@special.777
@special.777 3 жыл бұрын
Amen
@chrisokidoki1
@chrisokidoki1 2 жыл бұрын
is very nice this song
@dainesspius277
@dainesspius277 3 жыл бұрын
Tuna ujasiri
@mussanonga4970
@mussanonga4970 3 жыл бұрын
Be blessed for the good song never happen before
@TheLugendo
@TheLugendo 3 жыл бұрын
WOOW, THIS IS THE SONG I WANTED TO HEAR, it is my number one of all the songs za wakati huu mzito. Hakika. Hongereni waimbaji, composers, producers, na hasa walioleta idea ya TANZANIA ONE SOUL. That is it. PAPA MSEGU
@emmanuelchatawe9929
@emmanuelchatawe9929 3 жыл бұрын
Amina
@fredrickfresters3610
@fredrickfresters3610 3 жыл бұрын
Ahsante sana brother..... Haya maneno yamenipa nguvu
@annamlay5083
@annamlay5083 3 жыл бұрын
Wimbo unatia faraja mno Mungu atupe nguvu watanzania bado tuna ujasiri moyoni 🙏🏽
@naominyanzilamachongo9642
@naominyanzilamachongo9642 3 жыл бұрын
Bado TUNA UJASIRI in Jesus mighty name 🙏
@perised7732
@perised7732 3 жыл бұрын
😭😭😭 this is so deep .. let us put on a belt my dearest friends. God will not forsake us
@ministerwilliegitatah3372
@ministerwilliegitatah3372 3 жыл бұрын
Tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿In our Prayers....Mungu awafariji🤗🤗
@fardosaibrahim4240
@fardosaibrahim4240 3 жыл бұрын
tekyumnaimamzuri
@dianamsigazi1219
@dianamsigazi1219 3 жыл бұрын
Katika huu wimbo my fav parts ni za Paul,Beda na Mathias.. you Guys did this song justice,bless you
@Archyojwang47
@Archyojwang47 3 жыл бұрын
Pole pole Tanzania Mungu ni mwems
@phillisesendi253
@phillisesendi253 3 жыл бұрын
God bless Tanzania.
@typbhjk786
@typbhjk786 3 жыл бұрын
Amen bado tunaujasiri mioyo mwetu 🙏
@jacklineminja1419
@jacklineminja1419 3 жыл бұрын
Aisee godfrey Steven sauti yako dah.?.mpaka mtu unasisimka...Mungu awape ujasiri
@agnesandrew2742
@agnesandrew2742 4 ай бұрын
❤❤❤❤❤
@asifiwemutaki8579
@asifiwemutaki8579 3 жыл бұрын
Such a comforting song! Pole TANZANIA.
@melodious2
@melodious2 3 жыл бұрын
Waimbaji gosple ni wabinafsi sana na wanafki💯, the whole song of (9min) mmeona ni haramu kuu-dedicate wimbo kwa Rais wenu hata kwa kusema tu #byemagufuri hamna!!! Sasa si mngeuimba siku kabla au baada ya kifo chake TU?? ndio nyie wana israel mliopotea kwa upepo kabisa! #ripmagufuli🙏🙏
@gladymsuya1310
@gladymsuya1310 3 жыл бұрын
jamn hiii nyimb n nzur zaid ya sna inaumiza sana 🙌💓😭😭😭
@gracemasalakulangwa4191
@gracemasalakulangwa4191 3 жыл бұрын
God bless you Tanzanian Gospel singers. You are great!
Tuna Ujasiri by Tanzania One Soul (edited longer version)
12:23
Uso Wangu
9:52
Emmanuel Mgogo - Topic
Рет қаралды 67 М.
Happy 4th of July 😂
00:12
Alyssa's Ways
Рет қаралды 64 МЛН
Double Stacked Pizza @Lionfield @ChefRush
00:33
albert_cancook
Рет қаралды 65 МЛН
Despicable Me Fart Blaster
00:51
_vector_
Рет қаралды 23 МЛН
- А что в креме? - Это кАкАооо! #КондитерДети
00:24
Телеканал ПЯТНИЦА
Рет қаралды 7 МЛН
Tuna Ujasiri - Tanzania One Soul (Official Music Audio)
9:52
Tanzania One Soul
Рет қаралды 12 М.
Angel benard - Nikumbushe wema wako (Official Video)
7:21
Angel Benard
Рет қаралды 18 МЛН
CHRIS MWAHANGILA - FUNGUA MILANGO (Official Video) SKIZA CODE*860*415#
5:20
CHRISTOPHER MWAHANGILA Official
Рет қаралды 2,1 МЛН
Agape Gospel Band Ft Rehema Simfukwe - Amejibu Maombi (Live Music Video)
12:35
Tanzania One Soul - Asante (Official Video)
8:32
Chomoza Tv
Рет қаралды 130 М.
GODFREY STEVEN - KUNIKAMILISHA ( Official Video ) SMS SKIZA 5967140
4:27
Behind The Scene - Asante. Tanzania One Soul
11:18
Chomoza Tv
Рет қаралды 9 М.
Ambwene Mwasongwe - Unikumbuke (Official Music Video)
7:56
Ambwene Mwasongwe
Рет қаралды 906 М.
Essence of Worship ft Paul Clement -Hutimiza Maagano
15:17
Essence Of Worship Ministries
Рет қаралды 1 МЛН
Happy 4th of July 😂
00:12
Alyssa's Ways
Рет қаралды 64 МЛН