Рет қаралды 160
Mwenyekiti WA Kijiji Cha Loiborsoit A Wilayani Simanjiro ,Mh Lengai Salaash Amesema pamoja na kuwa na mafanikiwa makubwa kwa upande wa Elimu na Maji, katika huduma za Afya Bado ni Changamoto Mkubwa sana kutokana na wingi wa Watu katika Kijiji hicho.
Mh Lengai Amesema Kijiji Cha loiborsoit A ina vitongoji 9 , ambapo Jumla ya Zahanati ni 3, zinazotoa Huduma ni 2 huku Kimoja kikielekea ukingoni kumalizika kwa ujenzi.