Wenye tuko hii 2024 mwezi wa sita wa Zakayo.Likes hapa tafadhali.
@sophiamsegeju39153 ай бұрын
😂😂
@sophiamsegeju39153 ай бұрын
Mwaka 2000 enzi hizooo acha tuuu hapo damu inachemkaaaa
@ramadhanmohamed1290 Жыл бұрын
Mwana hawa ally, wimbo mzuri sana unatufundisha ili tuelimike,, dem old good day in from, Singida ,love
@vinkormedia672 Жыл бұрын
Reminds me of my college life in Mombasa in early 2, 000 where whenever I pass by Mwembe Tayari there is music show which hardly fails to play the song throughout the day. From Kabarnet town in Baringo county in Kenya I say Zanzibar stars hoiyeee.
@josephotieno39434 жыл бұрын
Wimbo huu ulikuwa lazima uchezwe KBC wakati Ustadh Wallah bin Wallah na Jack Oyoo Sylvester wakiwa kwenye kipindi chao cha kufunza watu Kiswahili mufti. Unanikumbusha nikiwa shule ya msingi kule Siaya Kenya mwalimu wetu wa Kiswahili akisisitiza kwamba lazima tusikilize mafunzo ya Wallah bin Wallah!
@boazaringo20652 жыл бұрын
Ukarabati wa lugha -jina la kilindi
@jacksonsasala3566 Жыл бұрын
Ukweli kabisa!
@benardesikuri7863 Жыл бұрын
Umenikumbusha mbali
@abdynasirhussein565110 ай бұрын
2005
@KaKa-if5nz7 жыл бұрын
Wakati nausikia huu wimbo kila wakati nakumbuka Afrika Mashariki! Mungu Ibariki EA. Wangapi Walla Bin Walla tumkumbuka na huu wimbo!
@catherinekeith52724 ай бұрын
This song reminds me of my High school life❤hii wimbo tulifika nayo national 🎉
@jamilasalimvilog67523 жыл бұрын
Old is gold🥰🥰🔥🔥🇰🇪
@abdulbasidosman41065 ай бұрын
First time kuona hu nyimbo ilikua kwa vcr Yani video caset n I love it
@shabankapsaly19453 жыл бұрын
Doh!sesemi kitu. Beats and voice raises every broken heart...wake wenza jameni
@martinsiameto37347 жыл бұрын
used to listen to this song when I was a kid. now that I have come of age, i got myself here. much love from Kenya
@mamaryaan19576 жыл бұрын
Ixixjzihxixii££'98dmzmzjzizmzmzmlz idljsizozkizuzuxxuxixiixi£'xixkxixicixm kxixiciiiiikkkzii j i i i,iziz99zi j,in,h i,9u,o,l, ushaftari q
@mamaryaan19576 жыл бұрын
Jzix9kojiiiiiii8999oiiķl 'll jxhiikjjjjiiiiiioiiooioi,€',€,€'uzFYTIGORTII4JRYURUUUUU UUZ8 UX7XX,II,IXI I II 8X8X88X888X88X9X99OUUJZLHJLŹKXJ JZJUUU8IXUÙIZI,,,
@mamaryaan19576 жыл бұрын
)))
@anakinbrentley72633 жыл бұрын
InstaBlaster...
@alphaxityserebwah8475 Жыл бұрын
wimbo mtamu halisi..2023 bado watia fora
@bigpompabig70745 жыл бұрын
Mwanahawa Ali jamani bado unatamba, sauti safi bado mpaka leo MashaAllah.
@innocentondiekiongwae640924 күн бұрын
Enzi zile Ustadhi Wallah bin Wallah alitufanya tukanunua kamusi na nakala za kiswahili mufti. Kulikuwa na kiswahili na viswahili❤🎉
@amourmtungo6238 ай бұрын
Asante bi Mwanahawa na kundi zima la Melody, waliotangulia mbele ya haki M-Mungu awape makazi mema tutawakumbukeni kwa mchango wenu mzuri na burudani ya modern taarab
@KoomeTharanju5 ай бұрын
Kitambulisho halisi na hai Ukarabati wa Lugha; Ustadh Wallah Bin Wallah na Kaka JOS!
@munakassim35216 жыл бұрын
Dhaa enzi hizo nikiwa kigoli. Shairi limetulia japo kwa ukewenza linauma kinoma😂😂😂
@mwanaherimohamed71355 жыл бұрын
Niliupenda sana hatimae nikawa bi mdogo kweli😠😠 2019 mashaallah
@mfalmeyusuf5975 жыл бұрын
Ndo jaala yako
@rehemapima7695 жыл бұрын
Hahahahaha👏👏👏
@mrtezura97535 жыл бұрын
😀😀mashallah tulizana dadagu mana wote mnahakisawa
@hadassahsatara47095 жыл бұрын
hahaha.......hukujua unajiimbia....! but kama umewekwa poa hamna shida bananeni.
@mwanakherymohamedy38184 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣tupo wengi
@FakhiHaji13 жыл бұрын
bibi pole sana inabidi sasa uachane na mambo haya ufanye ibada waachie vijana sihaba ulipofika mtihani ulioupata sio mdogo,m.mungu anakukumbusha
@sylviamwanjala4304 жыл бұрын
Una uzuri gani si basi tumestiriwa halloooo😘😘😘😘😘
@jaelodundo52672 жыл бұрын
This song reminds me my childhood memories 😢
@lucaskogins31 Жыл бұрын
🎉❤😢
@awuolnduklu32433 жыл бұрын
Nakumbuka tu wallah bin Walla nikiskiza hii muziki.. 2004 nikiwa class 7
@michaelngua16913 жыл бұрын
Ahalan wa sahalan asiyeijua ngeli basi hajui Kiswahili. Guess it was Sunday Afternoons. Man remembering the same too
@aminamakacha62585 жыл бұрын
Wanikosha wallah👌👌❤️
@silvestermogaka5126 Жыл бұрын
Tamuuu 2023 bado yanikumbusha enzi za khadija Ali ngoma murwa Subira munje pwani kwa raha zetu kipindi cha KBC❤❤❤
@SuperAmanaa12 жыл бұрын
This is my favor it, u guyz rock keep it up
@matheothomas18913 жыл бұрын
Mm
@abubakarswaleh56675 жыл бұрын
Mwanahawa unazeeka na ubora wako. Mungu akueke.
@SalimSalim-m9w4o5 ай бұрын
Lakin maisha anayo ishi c mazuri sana wamemchupa ihali yeye ndio legend wa tarabu za mafunzo 😢😢😢
@charleskiritu91776 ай бұрын
Kongole mwanahawa ally. Hii baadhi ya kazi mufti ulitoifanyapamoja na shangazi hadija Yusuf dadake Profesa wa mapenzi mzee Yusuf
@catherinethegreatmuro95719 жыл бұрын
Kama kakuweka ndani nami ameshanioa, ,,haha utezi kweli na sauti nzuri Rabana kakujalia ongera
@salimmoine14247 жыл бұрын
Catherine the Great muro hahaha tuta tombana hapa
@mwanaeidizenji82645 жыл бұрын
Hee
@athmanbakari59327 жыл бұрын
Yankumbusha mbali sana tukiwa sote nyumbani twaskiza,wengine walituacha Allah awarehemu.😢😭
@blacknature76376 жыл бұрын
Athman Bakari amin inaliza kweli ila mungu ndo kataka iwe ivo 😢😢😢
@mamapekupekupilipilimuwash90167 жыл бұрын
hellooooooo mambo kwa mbanano ndio mpango mzima 👌👌👌👌
@halimasali.80817 жыл бұрын
LINAH KLINAH mash hahahahahaa halloooooooow!!!kama ww niwa nyumba kubwa mm niwa nyumba ndogo...upoooo hapoo
@mamapekupekupilipilimuwash90167 жыл бұрын
kwa taarifa zao hao wenye waume zao
@mariamk14887 жыл бұрын
mama peku peku nakuamini...
@aminajuma97146 жыл бұрын
maneno pambe
@kwekwemahendo97476 жыл бұрын
swadakta mma mambo ni mbanano kama wewe wa nyumba kubwa mie wa nyumba ndogo hahaaa halooo😂😂😂
@ahmoha7068 күн бұрын
WAAH. Tabanana hapa hapa tule mkono kwa mkono,,,,,,,,
Nikiwa high school nikijifunza kiswahili na ustadhi wallah bin walah na na kaka josh . Kbc.. nimezeeka ukweli
@scovydarlhabibi160211 жыл бұрын
Dole juu,kazi murwa kweli kweli
@georgeoparawafula75004 жыл бұрын
Anapenda zangu mboni na macho ya kurembua
@jumadea79576 жыл бұрын
nyimbo za zamani ni nzuri sana ila video zake sio nzuri
@aishanjama89717 жыл бұрын
Mapenda sana nyimbo za zamani zimetulia
@jamesmartin55555 жыл бұрын
5:15 'Kwa raha na shida' 'Kwa uzima na ugonjwaa' 'Nitakwenda nawe sambamba ukitaka usitaaake' 💞💗😇
@KK-ygh8 ай бұрын
Safi❤
@mealemalika75655 жыл бұрын
Umenikumbusha vita za majirani wangu side chick akimuimba wife kwa mfeji si vita hizo mombasa nakumiss karibuni 🛫🛫 from Saudia
@williamsagala7081Ай бұрын
When we talk about music, this is what we mean,,, still leasing & leaning,,,ety akikupikia vibichi huyo hatoshi, kama ww ni mukewe na mm Alisha nioa,,,,😂😂
@samuelleleina79335 жыл бұрын
Nikisikia namkumbuka ustadh wallah bin wallah, Nana jamila na kaka jos ukarabati wa lugha enzi zile.
@Thuon_4 жыл бұрын
Nakwenda nawe sambamba.....sote tuna haki sawa.
@wilberforceoongoh35111 ай бұрын
Waz in class 8 by then, hongera ustaadh.
@FatumaSarai3 ай бұрын
Mume wangu alikua akiniekea huu wimbo sina nijualo mpka nilipoletewa mke mwenza masikio yakanifunguka
@misterferuzi38733 жыл бұрын
2021tutabanana hapa
@douglasnyakango6365 жыл бұрын
Nikisikia taarabu hii unikumbusa mr.wala bin wala, Mr. Jack oyo ,Marehu bili omara, Hassan Ali, Timothy arege name them all.kiswahi dah.kbc
@eugeniaakochi21878 жыл бұрын
Dem old good days in Kenya!
@mildredalube36535 жыл бұрын
taarabu hunikumbusha mamangu marehemu Njambi
@jacksonsasala3566 Жыл бұрын
Oh rest in peace my former neighbor Gladys Chacha whom we shared taarab songs.
@kevinkhaemba996810 ай бұрын
Lazima alikuwa jirani mwema😊 Roho yake ilale pema peponi
@saidimwachibero42339 ай бұрын
Ameen
@aishaally53527 жыл бұрын
pambe Tyuuuuu.husirete za kuleta kunitimua huwezi.husifikili goi goi mimi Niko Fti Kishenzi.
Kama Kakuweka Ndani Na Mimi Ashanioaaaaaa...........Ajua Yangu Thamani Ndiyo Akanichaguaaaaaaa
@doristatu5182 жыл бұрын
Nice 👍
@athmanbakari59326 жыл бұрын
Yankumbusha Mbali saana 😢😭😭😭😭😭😭
@khadijamasood54624 жыл бұрын
Unackika mpk oman mama love you 2020 😘
@jimiaotuma6758 Жыл бұрын
Napenda hii nyimbo swadakta wake wenza jamani
@saidsaid94636 жыл бұрын
Safi sana mwanahawa sauti mashaala
@saidsaid94636 жыл бұрын
Sema sema nini kinyago usojijua haloooo
@RehemaUbwe7 ай бұрын
Nimekumbuka mbal sana
@binhoseinhatibu70896 жыл бұрын
Dooh nice song lakin fupi...Ahsanta mama nakupenda bure.
@nellymwangilwa42884 жыл бұрын
Still watching 2020 in Lebanon
@fauziahali95517 жыл бұрын
nakwenda nawe sambamba huo ndo mchezo wa kisasa
@zuhrahalima59878 жыл бұрын
ahsante sana angeal you are from which country
@mimahsaid23266 жыл бұрын
2018 october 1 bado naskiliza hii nyimbo was my fovourt mpka leo
@tezuratezura84525 жыл бұрын
mhh huyo Dada mwenye nguo ya orange mhh machoyake na kijisura kuntu
@abubakaryusuf12812 жыл бұрын
ina kubalika ili nyumba kubwa wa ache dharau
@martinsiameto37344 жыл бұрын
This song reminds me my childhood days
@jim94432 жыл бұрын
The Kiswahili programme with Wallah bin Wallah
@martinsiameto37342 жыл бұрын
@@jim9443 aha 😊
@IsmailIsmail-yd6rd7 жыл бұрын
jamani yanikumbusha tu vle cwezi elezea
@millicentsamita57494 жыл бұрын
Vitu vitatu,KBC,Wallah Bin Wallah,Kaka Jo's na Bint Nana
@innocentondiekiongwae6409 Жыл бұрын
Hii ilikuwa intro/background music ya Wallah Bin Wallah kila weekday for Kiswahili(10am to 12pm).. baada ya kipindi, kulikuwa na takrima(tuzo kwa washindi)
@abdynasirhussein565110 ай бұрын
2005
@tezuratezura84525 жыл бұрын
mh kinachogombaniwa hapo ni tamu za wanaumeeee?
@saumukiduma10 ай бұрын
Swadakta mama mambo nimoto
@Fantalbo16 жыл бұрын
Eastafrica ni noma... hii tarab inafanya chupi zivuliwe!!!
@thumabby36557 жыл бұрын
Samuel Kanja
@softena10077 жыл бұрын
😆😆😆
@rehemamwaruwa73145 жыл бұрын
Thoba! Umevua ngapi kufikia sasa? 😂😂
@pauloyoo64608 жыл бұрын
raha jipe mwenyewe, kwa raha zangu..................hahaha.........
@siddikimpole83016 жыл бұрын
Wimbo mzuri sana
@fatmaali57017 жыл бұрын
Naukizubaaa natoa kapaa....hehehe
@carolkimaiyo42594 ай бұрын
This reminds me of my motherlnlaw she is a pin in my .......?!!!!
@judithemmanuel98453 жыл бұрын
We na uzuri gani si basi tu umesitiriwa
@AumaKENYA9 жыл бұрын
nice song
@salimiddi75834 ай бұрын
❤
@rayjay70175 жыл бұрын
Tutabanana hapa hapa tu
@nimaapretty5423 Жыл бұрын
2022 still have vibe ✨️ 😌 😎 👌
@njorogembosha28342 жыл бұрын
Wa kitambo japo hauzeeki
@NaimaTatiana Жыл бұрын
❤❤❤
@bebyrux12247 жыл бұрын
Yanikumbusha vidonge kumi moto na Habiba pauline matano .Baraka fm 95:5
@dastonamichaels18543 жыл бұрын
Kitambo ..mamangu likuwa ywakipenda icho kipindi asubuhi kabla lunch
@panuelkea85011 ай бұрын
Hapo saw
@dodoali13089 жыл бұрын
kwani kapatwa na nini mwanahawa?@fahki
@innosentishirima24565 жыл бұрын
Yan hunaga nyimbo mbaya
@douglasnyakango6366 жыл бұрын
Kweli kabisa.zote niwamume mmoja,kama kasakuoa nami nimkeo.wewe niwanyumba kubwa nami ni ndogo.uuuuui.