Allah atunusuru. Yote haya ni kwa ajili ya umaskini. Nchi zetu zinakubaliana na upuuzi huu Kuingia ktk nchi kutoka nje kwaku hofia tu wasije waka nyimwa mikopo. Vinginevyo hakuna asie jua ni uchafu.
@user-ji6kb4qj6n11 ай бұрын
Ya ALLAH tuhifadhie watoto wetu na wa wenzetu wote insha ALLAH
@bjzee198111 ай бұрын
Audhubillah. Hii sasa haikwepeki. Manake hata ufanyaje watasoma na yanatungwa katika mitihani ya ki Taifa
@katore19825 ай бұрын
Kama muislamu hakuna kitu kisichowezekana Kwa uwezo wake Allah nijuhudi ya kulisimamia swala zima hilo bila uoga wala kusita laasivyo utajuta Kwa wanao watakavyokuwa innalilahi wainnaillaihi rajiun!
@hamzakimaro376411 ай бұрын
HAKIKA HAWA WAZUNGU WAMEZIDI KWA UCHAFU!!CHA AJABU NASISI WAAFRIKA TUNA WAFUATA KICHWA MCHUNGWA!! ALLAHU MUSTAANU
@AndulHida-hs5py11 ай бұрын
Subbhanna Allah, yarabb tuomdolee janga hili kwauwezo wako inshaallah na walinde watoto wetu na jamii yetu yote inshaallah
@halimamfaume192511 ай бұрын
SubhanAllah 😭
@mwaramimwarami147911 ай бұрын
Subhaanallah
@yarimysahra806111 ай бұрын
صل الله عليه وسلم وعليكم السلام ورحمة الله وبركاته ألهم آآمين ألهم آآمين يارب العالمين جزاك الله خيرا وبارك الله فيك الله يحفظك يا رب العالمين
@MohammedIssa-z1k11 ай бұрын
shekh nakusapot sana nafatilia sana clip zako uko vizuri ww ni salaf mwenzangu lakini uko vizuri unamzidi bachu kwakila kitu unaeleweka ukisomesha hupigi kelele