Msijisahaulishe; Fadlu alichukua ubingwa Morroco bila kufungwa mechi yoyote. Hiyo ni record inayoweza kujirudia. Hapa Simba ana timu nzuri na ameanza vizuri. Di ajabu hayo yakijirudia. Tumpe kongole zake kwa anachokifanya.
@johnremmy403618 күн бұрын
Akuna wachambuzi hapo zaid ya wanafki 2
@mlembamo17 күн бұрын
Simba wameshinda nne, lakini bado hawaoni. Yaani yanga hawaoni tatizo ni simba tu. Kwendeni huko tumesha wajua
@mlembamo17 күн бұрын
Simba haijaanza kujipata. Simba haijawahi kuwa mbovu. Huu ni unafiki wa waandishi wa bongo. Yanga kuwafunga wale warundi wabovu wao wanaonekana bora. Yaani hawa waandishi wa bongo unafiki mwingi, sijui ni kweli kwamba wanahongwa?
@MusaMkembela-ex6ev18 күн бұрын
Mlikua mnabeza sana nyie wanafiki
@jacobjames870617 күн бұрын
Huwezi kusema simba wameimalika kwa timu kama singida,tazama kuna wakati wanafanya counter attack na unaiona back line ya simba inatapatapa,hii inamaanisha kwa timu inasukuma mashambulizi simba itafungwa tu
Chambua mpira mech uliyo iyona kimpira gori 7 na pointi 6 sio ndogo na aina maana kua simba atafungwa apana ira anatimu nzuri
@WedelAlmas-ns3vd18 күн бұрын
Ndio
@abdulrahmanmdimu675018 күн бұрын
Wachambuzi kweli hamna cha kupongeza
@user-wn9bp5cl1j18 күн бұрын
Yani mukwala anamilik ball anasumbua mabek mnamzungumzia vby?? Nandomech ya pili?? Apo clouds akuna wachambuz
@hassanomar815718 күн бұрын
Mnaongea ujinga tu apo, mechi 2 za ligi mna payuka ovyo, chawa wa utopolo nyie
@nkoydavid965818 күн бұрын
Nadhani tuwe na wachambuzi ambao angalau wamewahi kucheza mpira.. Hawa kina Kampista ni ujinga mtupu..wachambuzi gani wanafikiria kila nafasi anayopata Striker ni lazima liwe goli? Ingekuwa hivyo kina messi wangekuwa wanamaliza msimu na magoli 200