No video

UCHAMBUZI: USAJILI WA ELIA MPANZU SIMBA/ VIGOGO SIMBA WATOA MAPANGA

  Рет қаралды 44,787

Crown Media

Crown Media

Күн бұрын

Follow us on Social Media Platforms
Instagram:
Crown FM - / crownfmtz
Crown TV - / crowntvtz
Twitter (X):
CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
Facebook:
CROWN MEDIA: www.facebook.c...
TIKTOK:
- www.tiktok.com...
SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz

Пікірлер: 33
@charleskuyeko1660
@charleskuyeko1660 Ай бұрын
Baada ya Aubin Cramo kutolewa kwa mkopo Simba bado ina nafasi 2 za Wachezaji wa kigeni. Kwahiyo Mpanzu akipatikana bado Onana atakuwa na nafasi.
@drallan6879
@drallan6879 Ай бұрын
presentors wenye weledi ;bravo guys
@charleskuyeko1660
@charleskuyeko1660 Ай бұрын
Hata mimi namkubali sana Onana. Ni game changer. Angalia anavyoingia hizo dakika chache za mwisho anachofanya. Lazima watamkwatua ipigwe penati au free kik. Aliwanyanyasa sana Wydad. Ni mchezaji ambaye anastahili kupewa support na kutiwa moyo. Inawezekana hakuonesha makali kwasababu kwanza alichelewa preseason na pili makocha hawakugundua kipaji chake mapema na kumpa muda wa kutosha. La mwisho timu nzima ya Simba msimu uliopita hakuna aliyekuwa na workrate kubwa labda Kibu tu na hawa vijana aliowachezesha Mgunda. Kwahiyo kosa la timu nzima tusimlaumu Onana. Msimu ujao atafanya maajabu mpaka mtashangaa. Lakini Mpanzu angepatikana basi ningekubali Onana ampishe kama nafasi zimejaa.
@SdMwayasin
@SdMwayasin Ай бұрын
Naomba tuongelee timu zote Za nyumbani 🇭🇹
@sallyeliya5213
@sallyeliya5213 Ай бұрын
Simba au Yanga haiwezi kuwekeza kwa mtazamo wa timu ya Taifa bro,mpira ni biashara,sera za kujenga timu ya taifa hiyo haiwahusu Gov.iwajibike.
@TithoMkaburu
@TithoMkaburu Ай бұрын
🔥 🔥 🔥
@Igauf3
@Igauf3 Ай бұрын
Kuna umuhimu wa kuwa na salary cap per season ili timu ndogo ziweze kupata wachezaji wazuri na kuongeza ushindani. Vilevile kila ninaposikiliza uchambuzi ni Yanga, Simba na Azam. Ligi ni pana sana.
@mosessimon4570
@mosessimon4570 Ай бұрын
team zingine hawana vitu vya kuongelea. ukiongea juu ya team fulani ya chini leo kesho huna cha kuongea but hizo team 3 kila siku wana habari na updates.
@SdMwayasin
@SdMwayasin Ай бұрын
Soka Alina swala Hilo kaka
@khajihamisi5054
@khajihamisi5054 Ай бұрын
Tatizo Hans wewe hujui una mzungumzia mchezaji huyo ktk uhalisia na ukweli. Tatizo Geofray na Mkai ni usimba!!!
@Abdallajuma-rc3ur
@Abdallajuma-rc3ur Ай бұрын
Nawakubar sana
@moizjohnston3841
@moizjohnston3841 Ай бұрын
Hapa ni nyumbaniiiiiiiiiii.......!!
@TithoMkaburu
@TithoMkaburu Ай бұрын
Tupo pamoja kaka
@mikidadikiga90
@mikidadikiga90 Ай бұрын
Crown yamoto
@SamwelBonifance
@SamwelBonifance Ай бұрын
🎉
@issatindwa6530
@issatindwa6530 Ай бұрын
Jaman naona mnanichanganya tu naomba jibu moja tu la.ukweli sio la kutafuta followers na viewers Je ni kweli Mpanzu kasajiliwa Simba 2024/25?
@JumaAbdalla-j5m
@JumaAbdalla-j5m 13 күн бұрын
Simba ipo pea😮😅😅
@Deokaliba
@Deokaliba Ай бұрын
Hayo ni maneno 2 maendeleo ya mpira wa vijana hautayaona sababu kule hamna hela mwekezaji hautaona.
@SmilingCondorBird-wo3wk
@SmilingCondorBird-wo3wk Ай бұрын
Nikiwa Johannesburg naburudika kabisa
@davismuzahula907
@davismuzahula907 Ай бұрын
Kiwango cha weredi katika uchambuzi kinaridhisha endeleeni hivyo Crown
@shukuruiddi82
@shukuruiddi82 Ай бұрын
ni suala la muda sasa uwekezaji ktk soka la vijana liwekwe sawa, halafu ule udhamin uliopo ktk ligue kuu ujaribu kushushwa ht kwa nusu budget kwa ligue ya vijana hii itasaidia kupunguza gharama kwa timu husika na matokeo yake wadhamin wanapewa nafasi ya kuzibeba hizi timu. then kuhusu kutumia wachezaji wa maeneo mengine kupunguza gharama hii ni shida itokayo na usajili tu, ni muda sahihi timu za vijana ziingie ktk usajili na wachezaji walipwe mishahara na sio posho tu.
@SayiMahangi
@SayiMahangi Ай бұрын
Kwa mm naungana na wales
@alliepeppino8883
@alliepeppino8883 Ай бұрын
Corruption inatudondosha
@faustinombilinyi9809
@faustinombilinyi9809 Ай бұрын
Kwa hiyo mmeiua wasafi arena hahahahah hii Noma sn
@davidsabaya9362
@davidsabaya9362 Ай бұрын
Waooo
@michaelseti1287
@michaelseti1287 Ай бұрын
Nikiwa south Africa munatupa raha kabisa
@bilaladdy6620
@bilaladdy6620 Ай бұрын
what's wrong with Jeff? isn't it very obvious with Onana? technically brilliant and skillful...he's got lack of concentration in the game as well as consistency throughout games. period!!!
@MjMohammed-nt6fq
@MjMohammed-nt6fq Ай бұрын
We jeff muongo kuna mchezaj yupo ihef tamim kama sikosei amecheza nigeria africon hii
@Vitasafari-hr6ub
@Vitasafari-hr6ub Ай бұрын
Kibu kamwaga wapi
@FeisaliMudathili-yt9ge
@FeisaliMudathili-yt9ge Ай бұрын
V
@Abdallajuma-rc3ur
@Abdallajuma-rc3ur Ай бұрын
Nakubar akai niko Zanzibar
@TithoMkaburu
@TithoMkaburu Ай бұрын
🔥 🔥 🔥
What will he say ? 😱 #smarthome #cleaning #homecleaning #gadgets
01:00
This Dumbbell Is Impossible To Lift!
01:00
Stokes Twins
Рет қаралды 34 МЛН
白天使选错惹黑天使生气。#天使 #小丑女
00:31
天使夫妇
Рет қаралды 14 МЛН
Blue Food VS Red Food Emoji Mukbang
00:33
MOOMOO STUDIO [무무 스튜디오]
Рет қаралды 12 МЛН
سورة البقرة كاملة لطرد الشياطين من منزلك وجلب البركه باذن الله surat albaqra
3:52:03
What will he say ? 😱 #smarthome #cleaning #homecleaning #gadgets
01:00