Ukweli tuseme. Kuna watu wanachambua magari hapa bongo ila Dr. Mechanics unaupiga mwingi balaa, reviews zako ni 🔥 Uko vizuri broo hongera sana
@jerrymwakalindile7948 Жыл бұрын
Nimekua nikisubiri review ya hii gari, thanks sana 👏👏👏👏👏👏
@levikim4040Ай бұрын
Great. From mombasa Kenya, your content is amezing, nimejifunza
@abrazo26394 ай бұрын
Tulimwambia east cars afanye review zenye quality akabisha haya sasa watu wanaamia kwa dr mechanics
@petertimothy7882 Жыл бұрын
Well-done Dr.Mechanics. Uchambuzi kwa wakati wake. Wow! Umeupiga vya kutosha mtaalam🙏🙏🙏
@hijahkyomo1068 ай бұрын
Best car reviewer in town ❤🔥
@donboaconchimbi1801 Жыл бұрын
Nimependa sana ufafanuzi wako, naomba kufahamu kuhusu Toyota fortuner, kuna Gx, Gxl, legendary, face lift, Gr sport nk, je ipi ni bora zaidi kwa everything including cost, maintenance, fuel consumption, comfortability, safety, and so on.
@donaldndesaiya6587 Жыл бұрын
Nakukubali sana mtu wangu,endelea kutuletea vitu...
@StaufferWasonga17 күн бұрын
Mbona hujafanya review ya back seats kiongozi
@jeremiahmwanyanje5012 Жыл бұрын
Kaka vyema Kaka👏👏👏
@vicentmushi99063 ай бұрын
Kaka uko vizuri sana kufanya review na details nakusifu na ninakufatilia lkn jambo moja linahitaji ulifanyie kazi sound producer wako, makelele ni mengi wakati unazungumza tunaomba tukusikie wewe tu hayo makelele yatoke
@kassimmussa4468 Жыл бұрын
Naomba review ya honda CR-V MK2, sababu zinaingia sana sikuhizi hapa Tanzania
@jebajr Жыл бұрын
Mtaalam wa Magari
@user-id7ux2pw2c Жыл бұрын
Naomba mnizawadie. Alaf niitangaze huku tunduru mtakuja kunishukuru
@manuel8536 Жыл бұрын
Naomba review ya Mazda Verissa
@wilgrisernest2184 Жыл бұрын
Safi sana
@sabinaluyego4408 Жыл бұрын
Hii gari naipenda sana
@frankmollel6119 Жыл бұрын
Brother appreciate wat u do 💪🏽🙏 tunaomba Audi Q7 na Vanguard
@twamadgharishkely1285 ай бұрын
Tunaomba review ya toyota wish
@jamessichimata36 Жыл бұрын
Niuzie
@32nassor Жыл бұрын
Gari nzr sana , nasumbuka na spear hakuna mpk sasa na wa2 hawaleti au km kuna duka mshajihishaji unalijua wanaouza spear za hii gari naomba utujuze
@josephinejames5910 Жыл бұрын
Naomba Namba Yako
@abubakariibrahim5375 Жыл бұрын
Toyota blade naomba review @Dr mechanics
@japharymagesa735 Жыл бұрын
Kenge atakuambia haina spare
@tanzaniacarschannel6975 Жыл бұрын
Camera imekaaa vizur
@theresiakahamba501410 ай бұрын
❤❤
@victorcephas361811 ай бұрын
Review Toyota Raize pamoja na bei yake
@chachaschachaofficial7792 Жыл бұрын
Brother nataman kuijua Mazda demio hii gari naipenda kimuonekano lakin sijapata bahati ya kuijua vizuri msaada
@cantatanzania6702 Жыл бұрын
Mwaka 2010 Honda wali discontinue utengenezaji wa Honda crossroad. CRV imeanza kutengenezwa kabla ya 2nd generation Honda crossroad
@yonamngao46749 ай бұрын
Kweli je vipi upatikanaji wa spare
@shabanimbwambo72975 ай бұрын
Hio Honda ya cc1800 ni bei gan na hio ya cc2000 nipe bei
@aliykhamisi1431 Жыл бұрын
How much price?
@sadih5333 Жыл бұрын
Ndio mnajua leo kuhusu gari za Honda
@massabanestory1624 Жыл бұрын
As far as i know hii gari haiji na spare tire…. Hakuna zinazokuja na tairi la akiba?
@machajuma65659 ай бұрын
Mweshimiwa nina shida ya ongea nawe kwa cmu
@edbertedward5483 Жыл бұрын
Kaka wamekumosea nini wa Premio😂. All in all review nzuri sana, the car is worth it
@kennygadau1774 Жыл бұрын
😂
@prophete.balyekobora97318 ай бұрын
Hiyo Gari sh ngapi?
@nyangaemanuel1252 Жыл бұрын
kaka kipindi kijacho review volkswagen touareg
@athumanizaidi8560 Жыл бұрын
Kaka hiyo location mbona kama gymkhana 😢
@serafineslaa1082 Жыл бұрын
Hiyo kioo kuipata ni hadi japan
@user-lr7jo1wc8p Жыл бұрын
Dr ndyo zina simamia bei gan hizi?
@kennygadau1774 Жыл бұрын
25m chasis
@noahtweve39917 ай бұрын
Honda ipo kama HAMA.naitaka Honda CROSSROAD
@hallin9561 Жыл бұрын
watu wameng'ang'ana na IST tu vigari kama birika wakati kuna vyuma best zaid kama izi
@rogersthomas612 Жыл бұрын
Nitapataje naomba yako ili tuogee
@frankrowland2884 Жыл бұрын
Hii gari naipenda sana ila changamoto ni spare part kupata spare ndoto tu ni shida dijajua kwa nn watu wengi hawajachukua hii gari
@geomangi6123 Жыл бұрын
spare una agiza online tu ni gari poa sana ulaya ni gari ya kipenzi cha wengi hasa usa 🇺🇸
@denisrukangula2227 Жыл бұрын
Kama wewe usivyo nayo
@nelsonconstantine49428 ай бұрын
@@denisrukangula2227😂
@prophete.balyekobora97318 ай бұрын
Really want to purchase this car, send your contact here
@prophete.balyekobora97318 ай бұрын
Bituminous no yako ya simu
@reymshana49233 ай бұрын
Oya ukiona wabongo tumekubali ujue unajua nmekubali sana na hii ndo gari nitayonunua asee big umetisha. Bongo hakuna kama mchambuzi wa magari anaejua kama ww.
@abdallahtupa2208 Жыл бұрын
Kuiagiza toka Japan mpka kufika bongo bei gani kwa used
@kennygadau1774 Жыл бұрын
Kuagiza 20m, used ni 18m to 19m
@eddyrubeya1570 Жыл бұрын
Show room inachukuwa kiasi ngap? Na kuagiza kiasi gan ?
@operatorbusiga Жыл бұрын
Mpaka 17ML
@josphatmaina8396 Жыл бұрын
Lakini CROSSROAD neno la kiingereza sio kijapani
@sadih5333 Жыл бұрын
Kwani Galaxy ni neno la kijapani mbona unanunua simu
@josphatmaina8396 Жыл бұрын
@@sadih5333 unawashwa? 🤔
@sadih5333 Жыл бұрын
Huyo alie kuleta mjini na kukufunza kiswahili alikuambia kua wanaume huku tunatahiriwa?
@josphatmaina8396 Жыл бұрын
@@sadih5333 kama wewe bado una govi, nenda kwa ngariba akung'ate