No video

🚨ISMAIL RAGE,AFUNGUKA MAZITO SAKATA LAYANGA,LINATAKIWA KUMALIZWA MAPEMA HILI.

  Рет қаралды 21,206

mtanange tv

mtanange tv

Күн бұрын

#football #yangasc #alikamwe #yangafc #yangatv #youtube #ahmedally #simba #simbaislive #simbatanzania

Пікірлер: 57
@rehemamejja8342
@rehemamejja8342 Ай бұрын
Usiwasaidieee ushuriii
@reginaldmapunda6702
@reginaldmapunda6702 Ай бұрын
Siku zote ninamwelewa sana mzee Rage licha ya Uyanga wangu. Yanga kwa hili inabidi kuwa makini sana na inabidi kufuatilia ushauri wake. Siku zote Mzee Rage anafuatilia michezo kama mzalendo na sio kama mshabiki kama wachambuzi wetu mlivyo na inabidi anapoongea muwe mnamsikiliza badala ya kuingilia ushauri wake wakati anafafanua jambo ili mpate kujifunze kitu. Wachambuzi wetu mnatabia za kishabiki hata katika masuala muhimu ya soka. Hii tabia yenu inatuchefua sana. Rage ni mzalendo wa Soka na taifa letu licha ya Usimba wake.
@user-gs2ir3bg4j
@user-gs2ir3bg4j Ай бұрын
Rage achana nao kwani erimu akuna kwa watu wayanga awajui sakataiki timu inaweza kufungiwa bado wanakuona wewe ujui Sheria
@jumakhamis4077
@jumakhamis4077 Ай бұрын
Mzee vigoma ndiyo maana unapigwa makofi na mke wako sababu hujitambui
@saidsuleiman1753
@saidsuleiman1753 Ай бұрын
Kesi za Simba na Yanga ukipeleka TFF ni kupoteza muda, alichofanya mwanachama ni sahihi Rage acha kupotosha uma
@fauzishabani2622
@fauzishabani2622 Ай бұрын
Tajiri huyoooooo😁
@saidmnenuka7822
@saidmnenuka7822 Ай бұрын
Rage uko sahihi mm nimekuelewa
@charleslinhege690
@charleslinhege690 Ай бұрын
Mzee Aden Rage na ushauri Kwa Migogoro wa Yanga. Wewe unatoa ushauri kwani Simba ilipokuwa na mgogoro mkubwa Yanga walikupeni ushauri kutatua mgogoro wenu ama yanga walichochea zaidi na kukucheka. Rage kumbuka hasimu wako muombee njaa
@saidingumbo-is2oe
@saidingumbo-is2oe Ай бұрын
Huyo Juma Magoma atapewa timu yeye asije sema Sina hela ya safari na uendeshaji mungine ataijuwa nguvu ya vijana
@khajihamisi5054
@khajihamisi5054 Ай бұрын
Tuwe weledi kidogo ktk hili,hukumu ilitoka mwezi 8 mwaka Jana! Hiyo hukumu Iko wapi?
@stanslausmteme8455
@stanslausmteme8455 Ай бұрын
Rage kaongea anachokifahamu na yupo sahihi sana katoa uzoefu wake mzuri safi Rage
@user-zj2gc2zj2c
@user-zj2gc2zj2c Ай бұрын
Rage hakuulizwa Kama mwanasimba bali aliulizwa Kama mwanasheria
@loishiyesamwel1374
@loishiyesamwel1374 Ай бұрын
Rage na Yanga wapi na wapi? Kujipendekeza tu waachie wenyewe mzigo wao
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz Ай бұрын
Huyu jamaa anajua kufafanua mambo anajua kabisa anakwambia 2angalie maslahi ya nchi sio maslahi ya team uyo Magoma hajielewi kwa mtazamo wangu
@RBMBAKARI-bv6wn
@RBMBAKARI-bv6wn Ай бұрын
Nyie wasafi hasa kitenge msikilizeni Mzee rage anawaambua mnajaribu kupindusha maneno lakini rage ni mwamba wa Sheria za michezo hivyo msicheze na Mzee rage
@GibsonNtamamilo
@GibsonNtamamilo Ай бұрын
Mwamba MAGOMA mtamuelewa tu. Najua kadri muda unavyozidi kwenda ndivyo na baadhi ya Wanayanga tunaungana naye ili huko mbele tuishangae wote.
@vaxminja9053
@vaxminja9053 Ай бұрын
Ila Rage anajitahidi kufafanua vizuri
@jaspreetsinghbadwal7856
@jaspreetsinghbadwal7856 Ай бұрын
TFF yenyewe ni tawi la Simba
@mbwanakiting7180
@mbwanakiting7180 Ай бұрын
Bange huwa haitoki moja kwa moja kichwani...
@godiuskahyarara9377
@godiuskahyarara9377 Ай бұрын
Lakini hapa vema kuwa wawazi Yanga inaathitika kwa lipi?? Maswala ya Soka Hiyo ibara ya 64 kimekiuka Lakini huyo Magoma ni Mwanachama qa Yanga?? Na ukweli kuwa hao wanaosema kuna kosa lankughushi Je maamuzi yalifikiwaje??
@saidsuleiman1753
@saidsuleiman1753 Ай бұрын
Rage kaa kimya acha kujipendekeza, kama ni makosa kwa nini mahakama imepokea shauri
@rukiamkwayo6302
@rukiamkwayo6302 Ай бұрын
Mahakama inapokea hata Kuma ya mamayako acha usenge msikilize rage
@BennyTalimo
@BennyTalimo Ай бұрын
Nawakumbusha kenya walifungiwa tanzania nao wafungiwe tubaki na ujinga
@user-ud4rk1vw7l
@user-ud4rk1vw7l Ай бұрын
Waambie na Simba nao wake na Mzee Kilomoni
@user-cy6wu9cd7k
@user-cy6wu9cd7k Ай бұрын
Hivi ni kwa nini kila siku ni Yanga? Why always us?
@sadih5333
@sadih5333 Ай бұрын
Wala mihogo na wala madafu Akina shovi darasa la saba wengi
@user-rq3ic3mt2j
@user-rq3ic3mt2j Ай бұрын
Interest ya nchi hapana. Tunataka interest ya watu yanga siyo nchi
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz Ай бұрын
Sasa kwann wanachama wasisajili wao wachezaji nikimanisha wasitoe pesa wao wakanunua mchezaji pesa itoke kwa boss MO au GSM
@athmanimkangara9290
@athmanimkangara9290 Ай бұрын
51% for club members 49% for investors
@andersonshimbi1378
@andersonshimbi1378 Ай бұрын
KassimAlly je alipowatesa Aden rage ulimsifu ?
@EmmanuelMalangahe
@EmmanuelMalangahe Ай бұрын
Achana na hao mgongo wazi hawana elimu walishaambiwa hawana akili wenye akili ni wawili tu
@charleskuyeko4400
@charleskuyeko4400 Ай бұрын
12:27 12:31
@jassontv5366
@jassontv5366 Ай бұрын
Hata Mahakama zetu zenyewe za kis....nge yaan wao hawajuhi kama kesi ni yao au ya mahakama ya michezo mamaeeeeee
@gerowadamwandika669
@gerowadamwandika669 Ай бұрын
Rage achana nao vyura hao acha wagombane, unawapa ushauri wanakupa maneno ya hovyo, acha wagombane sisi tunafurahi waparurane 😂😂😂😂😂😂😂😂
@HappyEel-wg4qx
@HappyEel-wg4qx Ай бұрын
Hata rage mwenyewe kashafungwa jela mbona hasemi
@BennyTalimo
@BennyTalimo Ай бұрын
Fifa wameona kaf wameona tufungiwe ili huyo mzee walio mtuma wafurahi kenya wamefungiwa wamapotea
@HappyEel-wg4qx
@HappyEel-wg4qx Ай бұрын
Jibu swali uliloulizwa
@happinessmwisse1152
@happinessmwisse1152 Ай бұрын
Huyu rage ndiye aliye mtuma kagoma Ana lolote ya kwake yamekushinda hili zeee vipi Domo domo
@saidseleman2973
@saidseleman2973 Ай бұрын
Ili sio la mpira ili ni jambo la kisheria mali ,yanga
@maruhe1958
@maruhe1958 Ай бұрын
Vhivi ndo yule aliyewahi kuwa katibu wa fat halafu akafungwa ee! Hana chochote cha kushauri..... Labda ndo kamtuma nini
@judithtitomalyeta4000
@judithtitomalyeta4000 Ай бұрын
Kelele na ww huna jipya
@HamadiBwakame
@HamadiBwakame Ай бұрын
Muachieni rage atoe ushaur nyie ushauri nibure achupuuzi wa simba na ya anga nyiw
@simonndunguru1629
@simonndunguru1629 Ай бұрын
Huyo ni Mnafiki hafahai.. Je Nani kaenda Mahakamani?
@HappyEel-wg4qx
@HappyEel-wg4qx Ай бұрын
Acha kudanganya watu
@SimonAmon-dr8xw
@SimonAmon-dr8xw Ай бұрын
mkundu Wewe
@charleskuyeko4400
@charleskuyeko4400 Ай бұрын
Simba nao itabidi wawekane sawa na Kilomoni asije akaenda mahakamani tukaingia kwenye migogoro kama hii.
@rexgodwill7353
@rexgodwill7353 Ай бұрын
Mzee Rage... Yaani unamtetea mfanyakazi aliyeingia kazini kwa vyeti feki kwa sababu tu ni mchapakazi mzuri? Please Nyeupe iwe Nyeupe na nyekundu iwe nyekundu.. Issue ni kwamba uongozi uko madarakani kwa katiba ambayo haijasajiliwa na Rita.. Na Rita wamethibitisha hii katiba ya 2020 iliyowaweka madarakani ni batiri.. That's it
@ahmednoor1412
@ahmednoor1412 Ай бұрын
Nyie kolo tunawajuq
@user-ce3tx7mr8v
@user-ce3tx7mr8v Ай бұрын
Rita imeongea NINI?RITA WANAKUTAFUTA
@musamagulu2023
@musamagulu2023 Ай бұрын
Wewe shoga Kweli
@rexgodwill7353
@rexgodwill7353 Ай бұрын
Katiba za vyama na taasisi zote kubwa kama yanga zinasajiliwa wapi? Je katiba iliyotumika kwenye uchaguzi wa viongozi walio madarakani yanga imesajiliwa? Kwa nini haikupata usajili? Acheni kupumbazwa na mafanikio kidogo mliopata wakati msingi ni mbovu.. Yaani wanachama 5 wanawakilisha wanachama 100 kwenye uchaguzi mnaona Sawa? Demokrasia ya wapi hiyo?
@rexgodwill7353
@rexgodwill7353 Ай бұрын
@@user-ce3tx7mr8v hiyo katiba iliyowaingiza viongozi wa yanga walio madarakani imesajiliwa?
@lotimwansule5017
@lotimwansule5017 Ай бұрын
Wajinga nyie Rage yupo sahihi , kama mnafikiri Rage anachoshauri ni hovyo ,bas endeleeni kukomaa mpaka Ligi ianze mtaona kitakachotokea wajinga nyie mnabisha Hata ukweli
@vaxminja9053
@vaxminja9053 Ай бұрын
Hizi kesi za Magoma ni kijinga sana
@HappyEel-wg4qx
@HappyEel-wg4qx Ай бұрын
Umembana hana majbu
Kids' Guide to Fire Safety: Essential Lessons #shorts
00:34
Fabiosa Animated
Рет қаралды 16 МЛН
How I Did The SELF BENDING Spoon 😱🥄 #shorts
00:19
Wian
Рет қаралды 36 МЛН
黑天使遇到什么了?#short #angel #clown
00:34
Super Beauty team
Рет қаралды 47 МЛН
Raila's AUC Bid Launch: Tanzania President Samia Suluhu's speech
7:05
MANARA AMJIBU MAGOMA “NJAA ZAKE, POROJO HIZO SIMJUI”
3:46
Millard Ayo
Рет қаралды 20 М.
MGUNDA AWAPA TUZO WANAWE
3:43
SpotiLeo
Рет қаралды 33
Kids' Guide to Fire Safety: Essential Lessons #shorts
00:34
Fabiosa Animated
Рет қаралды 16 МЛН