Amina hakika maneno ya Mungu ni ya faraja tu na sio huzuni, ubarikiwe sanaaa mtumishi wa Mungu
@ZakayoYohana17 күн бұрын
Mchungaji usidanganye watu soma ayubu 1:16 moto kutoka mbinguni kwamungu ukashuka ukateketeza vitu vya ayubu nanyinyi mnao danganya kua kwamungu kunakupata mema tu poleni naayubu alisema tupate mema tu mbele zamungu namabaya tusiyapate pamoja nahayo ayubu hakumuasi mungu
@ZakayoYohana17 күн бұрын
Mtishi wamungu daudi alipewa kuchagua aangamie kwamkono wabwa au aangamie kwamkono waadui zake daudi alichagua tauni kutoka kwabwana ila wachungaji waleo mpo kufundisha eti kwamungu nirahatu inamaana ikina yakobo walikufa kwasababu sheta aliwaua kaa ukijua walio upande wa mungu kila liwapatalo niwe nijema au nibaya hutoka kwamungu