NI MUHIMU SANA KUFAHAMU ULIMWENGU WA ROHO ILI UFANIKIWE KATIKA ULIMWENGU MWILI, KWANI VITU VYOTE UANZIA ROHONI NDIPO HUTOKEA MWILINI.-MTUMISHI WANGU SUNBELLA KYANDO. PIA UNAWEZA KUTUPATA KUPITIA NAMBA YA SIMU +255657173322
Пікірлер: 52
@amaniipatrokil42144 ай бұрын
MUNGU wa mbinguni akubariki saaana mtumishi wa MUNGU aliehai umekuwa baraka saaana kwangu kupitia mafundisho unayotupa watoto wako, natamani saana kukuona ila nipo rombo Kilimanjaro na cjajua nitawezaje kukufikia mtumishi wa MUNGU 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
@viviankuzilwa35563 ай бұрын
Wow what knowledge?!so profound ,Asante Yesu. “Kwa kinywa chake mtu asiyemwamini Mungu humwangamiza jirani yake, bali kwa maarifa mwenye haki huokolewa.” Mithali 11:9 NEN
@MJSTV-up7xd Жыл бұрын
Mtumishi Asante Sana nakufuatilia kutoka DRC.Congo
@chapeantony77462 ай бұрын
Asante..sana God...
@bukeyegunaguje25242 жыл бұрын
Asante Roho Mtakatifu!!!!
@angeljoseph4666 Жыл бұрын
Amen
@magdalenapaul9846 Жыл бұрын
Asante mtumish Mungu akutunze zaid
@judithokothpraises2 жыл бұрын
amina
@patrickmunishi2277 Жыл бұрын
SASA NIMEELEWA KUMBE KUNA TOFAUTI KUBWA KATI YA VIONGOZI WA DINI NA WATUMISHI WA MUNGU, BABA UBARIKIWE MNOO
@jescadeogratias52922 жыл бұрын
Amina asante sana pastor natoka kwa Kasi ya ajabu
@aloycelusungu13223 жыл бұрын
Minister. Sunbella the value of your teaching is more than Gold
@esaiehakizimana57833 жыл бұрын
Nashukuru Paster Soumbera Mimi ni mutumishi wa Mungu nimeandariwa n'a Mungu gupambana vitæ za Mungu nahitaji maombezi Yako nipate mafuta ya kazi ya Mungu yani Uwe muzazi wangu wa kiroho nina mwito wa kazi ya Mungu ukiomba Mungu atakuonenesha kazi Yake Mungu ndani yangu
@EK-kp2np2 жыл бұрын
Soumbera❌ Sunbella✅
@viddamgeneka-fo9fp Жыл бұрын
Yaanii Sunbellaa!
@esthersikuli7942 жыл бұрын
Asante minister Sunbella
@angeljoseph46662 жыл бұрын
Asante Mungu nimejifunza kitu kizuri sn,siendi Tena kwa waganga
@petermunuo16573 жыл бұрын
Amen mtumishi
@elinamushi15562 жыл бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi
@liliankeyabaraka8195 Жыл бұрын
Amen 🙏
@kakadkarima24483 жыл бұрын
Mtumishi wa Mungu barikiwa sana. leo nimesikiliza somo la uelewe ulimwengu roho ( Nov 2018) bado lina moto na nguvu sana. Wewe ni mwalimu mzuri sana.
@irenefrank26443 жыл бұрын
Mungu akuweke akupe uzima dady 🙏
@ostazclassic33705 жыл бұрын
Mwenyezi mungu akutangulie sana mtumishi 👈 namimi nibariki pia ili niamini Kama unaniona mchungaji🏃
@eliudmsey79256 жыл бұрын
Amen somo Zuri kabisa
@paulmwangi2942 жыл бұрын
I need to access spiritual realm through the holyspirit in the name of Jesus Christ .
@estherminnahboaz69566 жыл бұрын
Tuko pamoja Asante sana kwa hili Somo Mungu akubariki sana
@janekalondu46332 жыл бұрын
Amen..I learn alot..God bless you soo much pastor
@christopherkalinga33585 жыл бұрын
Mungu ni mwema
@umubyeyileila8633 жыл бұрын
mutumishi mungu akubariki sana, rakini tupe siri vizuri, sasa ju tubaki kuco turico umbiwa inatubidi tufanye nini tupe siri nasisi na ubarikiwe
@rachelandrew55885 жыл бұрын
Amen unanibariki Sana mtumishi ubarikiwe
@mwinjilisti.wayesu61965 жыл бұрын
Mbarikiwe wateule
@yusuphkayoka54525 жыл бұрын
Aksante, somo zuri.
@farajasiame10535 жыл бұрын
Thanks we learn it
@marianakapeller46992 жыл бұрын
We thank God for you, imagine jinsi elimu ya ulimwengu wa roho ilivyonibariki mimi, baba mchungaji endelea kuchunga kondoo wako
@ModesterJackson-g8r3 ай бұрын
Hii inahitaji ufunguke kiroho
@bensonpaul36724 жыл бұрын
Kila siku nahitaji kujifunza zaidi, ,Mungu akubarikia Mtumishi.
@esaiehakizimana57833 жыл бұрын
Nahitaji unifungue ngombo zote nimutumikiye Mungu wa Yesu Kristo nikiwa hutu kabisa
@samuelmdota84525 жыл бұрын
pastor tunaomba namba yako tafadhali .
@ezrommkambati15545 жыл бұрын
Kuanzia leo kila kitu naanza kupambana katika ulimwengu wa roho
@collinslyimo80953 жыл бұрын
Ameeen
@meshackmanofgod81512 жыл бұрын
Naitwa meshack ni dreva wa shabiby nakufuatilia sanaaa mtumishi wa mokozi
@ezekiaaliko10156 жыл бұрын
Majini mahaba yanawezaje kufanya mapenz na binadamu ikiwa wao wapo kwenye ulimwengu wa roho?
@yusuphkayoka54525 жыл бұрын
ezekia Aliko Majini huvaa mwili ktk ndoto, Na kitendo uonekana ktk uhalisia,baada ya kujikuta umelowa.
@makaramayatibamrmichaelkih36835 жыл бұрын
Kwanini huwa hatujitambui tukiwa ulimwengu wa roho
@hassanbukambu931 Жыл бұрын
Utajitambua ukiwa umelala Kwa njia ya Ndoto na pia ukitaka uishi Moja Kwa Moja kabisa omba maombi ya maneno ambayo utaona matokeo Yake ndo kuutawala unatamka kitu kinatokea ni Moja ya kuumiliki
@shabansalum92835 жыл бұрын
unajitaihidi ila unajichanganya kimaelezo
@ezrommkambati15545 жыл бұрын
Pole sana Shabani kwani nyuma yako namuona shetani akihusika kwa siri sana
Pole majini yanakusumbua yameshikilia ufahamu wako unachotakiwa sasa ni uombewe tu majini yaachilie ufahamu wako hakuna namna ingine zaidi ya jina la YESU KRISTO NDIO likufungue
@granceneema7722 жыл бұрын
Amen
@estherminnahboaz69566 жыл бұрын
Tuko pamoja Asante sana kwa hili Somo Mungu akubariki sana