NI MUHIMU SANA KUFAHAMU ULIMWENGU WA ROHO ILI UFANIKIWE KATIKA ULIMWENGU MWILI, KWANI VITU VYOTE UANZIA ROHONI NDIPO HUTOKEA MWILINI.-MTUMISHI WANGU SUNBELLA KYANDO. PIA UNAWEZA KUTUPATA KUPITIA NAMBA YA SIMU +255657173322
Пікірлер: 52
@amaniipatrokil42147 ай бұрын
MUNGU wa mbinguni akubariki saaana mtumishi wa MUNGU aliehai umekuwa baraka saaana kwangu kupitia mafundisho unayotupa watoto wako, natamani saana kukuona ila nipo rombo Kilimanjaro na cjajua nitawezaje kukufikia mtumishi wa MUNGU 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
@viviankuzilwa35566 ай бұрын
Wow what knowledge?!so profound ,Asante Yesu. “Kwa kinywa chake mtu asiyemwamini Mungu humwangamiza jirani yake, bali kwa maarifa mwenye haki huokolewa.” Mithali 11:9 NEN
@patrickmunishi2277 Жыл бұрын
SASA NIMEELEWA KUMBE KUNA TOFAUTI KUBWA KATI YA VIONGOZI WA DINI NA WATUMISHI WA MUNGU, BABA UBARIKIWE MNOO
@esaiehakizimana57833 жыл бұрын
Nashukuru Paster Soumbera Mimi ni mutumishi wa Mungu nimeandariwa n'a Mungu gupambana vitæ za Mungu nahitaji maombezi Yako nipate mafuta ya kazi ya Mungu yani Uwe muzazi wangu wa kiroho nina mwito wa kazi ya Mungu ukiomba Mungu atakuonenesha kazi Yake Mungu ndani yangu
@EK-kp2np2 жыл бұрын
Soumbera❌ Sunbella✅
@MJSTV-up7xd Жыл бұрын
Mtumishi Asante Sana nakufuatilia kutoka DRC.Congo
@aloycelusungu13224 жыл бұрын
Minister. Sunbella the value of your teaching is more than Gold
@jescadeogratias52922 жыл бұрын
Amina asante sana pastor natoka kwa Kasi ya ajabu
@magdalenapaul98462 жыл бұрын
Asante mtumish Mungu akutunze zaid
@bukeyegunaguje25242 жыл бұрын
Asante Roho Mtakatifu!!!!
@judithokothpraises2 жыл бұрын
amina
@chapeantony77465 ай бұрын
Asante..sana God...
@angeljoseph46663 жыл бұрын
Asante Mungu nimejifunza kitu kizuri sn,siendi Tena kwa waganga
@kakadkarima24484 жыл бұрын
Mtumishi wa Mungu barikiwa sana. leo nimesikiliza somo la uelewe ulimwengu roho ( Nov 2018) bado lina moto na nguvu sana. Wewe ni mwalimu mzuri sana.
@umubyeyileila8633 жыл бұрын
mutumishi mungu akubariki sana, rakini tupe siri vizuri, sasa ju tubaki kuco turico umbiwa inatubidi tufanye nini tupe siri nasisi na ubarikiwe
@paulmwangi2942 жыл бұрын
I need to access spiritual realm through the holyspirit in the name of Jesus Christ .
@elinamushi15562 жыл бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi
@esthersikuli7942 жыл бұрын
Asante minister Sunbella
@ostazclassic33705 жыл бұрын
Mwenyezi mungu akutangulie sana mtumishi 👈 namimi nibariki pia ili niamini Kama unaniona mchungaji🏃
@viddamgeneka-fo9fp Жыл бұрын
Yaanii Sunbellaa!
@petermunuo16573 жыл бұрын
Amen mtumishi
@liliankeyabaraka81952 жыл бұрын
Amen 🙏
@janekalondu46332 жыл бұрын
Amen..I learn alot..God bless you soo much pastor
@irenefrank26443 жыл бұрын
Mungu akuweke akupe uzima dady 🙏
@marianakapeller46993 жыл бұрын
We thank God for you, imagine jinsi elimu ya ulimwengu wa roho ilivyonibariki mimi, baba mchungaji endelea kuchunga kondoo wako
@jeannettefuraha8543 жыл бұрын
Amen
@estherminnahboaz69566 жыл бұрын
Tuko pamoja Asante sana kwa hili Somo Mungu akubariki sana
@eliudmsey79256 жыл бұрын
Amen somo Zuri kabisa
@rachelandrew55886 жыл бұрын
Amen unanibariki Sana mtumishi ubarikiwe
@christopherkalinga33585 жыл бұрын
Mungu ni mwema
@mwinjilisti.wayesu61966 жыл бұрын
Mbarikiwe wateule
@ModesterJackson-g8r6 ай бұрын
Hii inahitaji ufunguke kiroho
@yusuphkayoka54526 жыл бұрын
Aksante, somo zuri.
@farajasiame10536 жыл бұрын
Thanks we learn it
@bensonpaul36724 жыл бұрын
Kila siku nahitaji kujifunza zaidi, ,Mungu akubarikia Mtumishi.
@esaiehakizimana57833 жыл бұрын
Nahitaji unifungue ngombo zote nimutumikiye Mungu wa Yesu Kristo nikiwa hutu kabisa
@collinslyimo80954 жыл бұрын
Ameeen
@meshackmanofgod81512 жыл бұрын
Naitwa meshack ni dreva wa shabiby nakufuatilia sanaaa mtumishi wa mokozi
@ezrommkambati15545 жыл бұрын
Kuanzia leo kila kitu naanza kupambana katika ulimwengu wa roho
@samuelmdota84525 жыл бұрын
pastor tunaomba namba yako tafadhali .
@ezekiaaliko10156 жыл бұрын
Majini mahaba yanawezaje kufanya mapenz na binadamu ikiwa wao wapo kwenye ulimwengu wa roho?
@yusuphkayoka54526 жыл бұрын
ezekia Aliko Majini huvaa mwili ktk ndoto, Na kitendo uonekana ktk uhalisia,baada ya kujikuta umelowa.
@makaramayatibamrmichaelkih36836 жыл бұрын
Kwanini huwa hatujitambui tukiwa ulimwengu wa roho
@hassanbukambu9312 жыл бұрын
Utajitambua ukiwa umelala Kwa njia ya Ndoto na pia ukitaka uishi Moja Kwa Moja kabisa omba maombi ya maneno ambayo utaona matokeo Yake ndo kuutawala unatamka kitu kinatokea ni Moja ya kuumiliki
@shabansalum92835 жыл бұрын
unajitaihidi ila unajichanganya kimaelezo
@ezrommkambati15545 жыл бұрын
Pole sana Shabani kwani nyuma yako namuona shetani akihusika kwa siri sana
Pole majini yanakusumbua yameshikilia ufahamu wako unachotakiwa sasa ni uombewe tu majini yaachilie ufahamu wako hakuna namna ingine zaidi ya jina la YESU KRISTO NDIO likufungue
@granceneema7722 жыл бұрын
Amen
@estherminnahboaz69566 жыл бұрын
Tuko pamoja Asante sana kwa hili Somo Mungu akubariki sana