No video

Ufugaji wa nguruwe kisasa.

  Рет қаралды 53,198

ITV Tanzania

ITV Tanzania

Жыл бұрын

Usisahau kutufuatilia katika mitandao yetu ;
Subscribe to our KZbin Channel : bit.ly/itvtanzania
Facebook : bit.ly/2KeQNl3
Twitter : bit.ly/2XG7aii
Instagram : bit.ly/34KItmg

Пікірлер: 55
@ANTONIMAMSERI-jm1he
@ANTONIMAMSERI-jm1he 4 ай бұрын
Nilikuwa najizuiq kucomment lakini nimeshindwa naomba niwaonyeshe tofauti ya marketing kutoka kwa masai modern farm owner na anayezungumza kutoka virutubisho vya kauda MARKETING its something else🎉🎉🎉🎉
@rozkiwale912
@rozkiwale912 2 ай бұрын
Hongera sana Masai kwa somo zuri kweli nimenufaika ubarikiwe sana sana
@sammngi
@sammngi 3 ай бұрын
Asante kwa kipindi kizuri..nimegielimisha kweli..pokea salamu tuko Kenya
@GeorgeBwogi-ni2hd
@GeorgeBwogi-ni2hd 3 ай бұрын
Tafadhali naomba kupewa namna ya kufika ktk shamba lenu kuona kazi nzuri mnayoifanya ili na mimi nikaanzishe ufugaji huko kwetu. Mungu aibariki sana hii kazi.
@felisternicholaus3281
@felisternicholaus3281 Ай бұрын
Ubarikiwe sana
@jobkuloba4940
@jobkuloba4940 Жыл бұрын
Kazi nzuri kaka niko kenya, niko njiani naomba kupata ngurue hati kenya.
@user-if8uh3cp8s
@user-if8uh3cp8s 2 ай бұрын
Kazi nzur
@antonioarmandoantonio6229
@antonioarmandoantonio6229 2 ай бұрын
Gostei muito, a vossa criação.
@rosemasashua4158
@rosemasashua4158 10 ай бұрын
Wow Amazing
@sammyBSM2144
@sammyBSM2144 Жыл бұрын
Asante sana ITV nmejifunza mengi
@AmanMgweno-s7u
@AmanMgweno-s7u 4 күн бұрын
Nahitaji mawasiliano, pia na vitabu vya ufugaji Bora wa nguruwe
@VeredianaKasaya-tn2ke
@VeredianaKasaya-tn2ke 4 ай бұрын
Nimependa
@leonardkipronongeywo3117
@leonardkipronongeywo3117 Жыл бұрын
Niko Kenya nakutazama, Mimi pia ni Mkulima mdogo wa ngurruwe
@jonanderson4280
@jonanderson4280 10 ай бұрын
Nguruwe (au wanyama wowote) hawalimwi, ila wanafugwa. Kwa hiyo wewe ni mfugaji na si mkulima.
@mutalemwabugeza1489
@mutalemwabugeza1489 7 ай бұрын
Hahaha hapo ni lugha gongana. Wao Kenya wanasemaga mkulima wa nguruwe
@wambomatilda
@wambomatilda Жыл бұрын
thanks for sharing
@nyamachabobalange-yn5ho
@nyamachabobalange-yn5ho 3 ай бұрын
Ndugu mfugaji,naomba kuuliza kuusu chakula cha nguruwe,,
@user-gu8fo6cv9z
@user-gu8fo6cv9z 5 ай бұрын
Mtangazaji jaman, wacha aelezee
@DoreenChristopher-ro4vw
@DoreenChristopher-ro4vw Ай бұрын
😂😂😂😂ety nguruwe anavifaranga😂😂😂😂
@leahmsangula3345
@leahmsangula3345 11 ай бұрын
Mje Tanga pia
@olivieriranzi6629
@olivieriranzi6629 Жыл бұрын
Mufungue branch Burundi. Tunaitaji chakura bola cha mifugo
@leahmsangula3345
@leahmsangula3345 11 ай бұрын
Nimekukubali
@kennethmahenge7719
@kennethmahenge7719 4 ай бұрын
nipo mbeya mnanisaidiaje kupata elimu zaid
@sammyBSM2144
@sammyBSM2144 Жыл бұрын
Kuhusu mtaji wakuanzia Tumetishwa sana yani 5m haitoshi na hata ukiwa na 10m uwe tayari umeshaweka miundombinu yote imekamilika kwa mfano mabanda,maji na vitu vingine muhimu... daaah ufugaji tena kwasisi vijana tusio na mtaji mkubwa ni mgumu sana
@kibaniosilaa436
@kibaniosilaa436 7 ай бұрын
Achana nae huyu anataka awe peke yake mchoyo huyu
@isayakihongile4921
@isayakihongile4921 2 ай бұрын
Usikate tamaa unaweza Jenga banda la kawaida nakununua vitoto viwili tu nakuanza ufugaji utaboresha ukianza kuuza
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj 2 ай бұрын
Fanya unachokiweza mkuu, sio lazima uige kunya kwa tembo
@annajohn3377
@annajohn3377 Ай бұрын
Mtangazaji unamkatisha malezo
@claudjohn
@claudjohn 2 ай бұрын
Namba kuuliza kama unaanza kufuga NGURUWE unatakiwa uwe na badget ya shingapo
@aminswai8165
@aminswai8165 Жыл бұрын
Naomba mfungue branch musoma tupate chakula na mbegu hizo
@philipphanuel9558
@philipphanuel9558 Жыл бұрын
Huyu jamaa hajui kujieleza. Sijui anatuficha Nini hata afunguki
@adriankibona1994
@adriankibona1994 6 ай бұрын
Mnaweza kumpelekea TRA maana tz shida nyingi. Mtangazaji ni kama hajui anachotaka
@annajohn3377
@annajohn3377 Ай бұрын
Kazi hii alikua anaiweza lupaya
@user-go5gg4qc3v
@user-go5gg4qc3v 11 ай бұрын
kufuga mifugo ni furusa
@mchmwal...z.a.ndelwa7838
@mchmwal...z.a.ndelwa7838 2 ай бұрын
TUNDUMA
@user-bg3jj5nw1b
@user-bg3jj5nw1b 2 ай бұрын
Weka namba ya sm ili tuweze kupata elimu zaidi
@priscusleodegardsambonanga6167
@priscusleodegardsambonanga6167 8 ай бұрын
Utuwezeshe kupata pure breed ili tufanye uzalishaji
@jerrymcbride2230
@jerrymcbride2230 Жыл бұрын
Mnauza wenye mimba?cross ,,am from Kenya!
@severinaseverinanyoni707
@severinaseverinanyoni707 10 ай бұрын
Huyu masai ataki mfuge😂 aiwezekan anakatisha tamaa hivi yaan M 5 anasema km mtaji mdogo atukushauli ufuge mh
@suzanmziray3656
@suzanmziray3656 7 күн бұрын
Naomba number ya campuni ya chakula
@priscusleodegardsambonanga6167
@priscusleodegardsambonanga6167 8 ай бұрын
Je nikitumia cayodice nitaweka madini mengine?
@user-fq2zr9lf1j
@user-fq2zr9lf1j Жыл бұрын
Natamani kujua bei jamani
@joycemabena9981
@joycemabena9981 6 ай бұрын
tunaomba .namba zenu
@FidelisMalile-zq1kj
@FidelisMalile-zq1kj Жыл бұрын
Je kitoto Cha nguruwe ni Bei gani
@josephdeogratius3616
@josephdeogratius3616 5 ай бұрын
Huyu mtangazaji anarukaruka maswali
@user-fq2zr9lf1j
@user-fq2zr9lf1j Жыл бұрын
Bei zikoje vitoto
@kelvinshirima8847
@kelvinshirima8847 Жыл бұрын
Mna patikana wap mim na fuga hawa wakawaida hawa tembei kabsaa awo juro beigani miezi miwili
@ExaudMwemutsi-fz1qv
@ExaudMwemutsi-fz1qv Жыл бұрын
Vipi Mbeya tunawapataje?
@emmanuelngonela7909
@emmanuelngonela7909 Жыл бұрын
Nimefurahishwa sana na kipindi hiki,naomba kujua kinarushwa siku gani na saa ngapi?
@alphoncelondo6586
@alphoncelondo6586 Жыл бұрын
Hi bro. Masai bei ya kutokana na Aina ya nguruwe ni SHS. Ngapi Kwa nguruwe mmoja
@emmansabu9300
@emmansabu9300 5 ай бұрын
Interviewer is boooooring Si utulie tusikilizeee 😡 Watangazaji wa certificate hawa 😏
@diclarekimaro1525
@diclarekimaro1525 Жыл бұрын
Naomba kuuliza kuna sababu gani ya kuwa puguza mikia ikawa midogo hivyo?
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj 2 ай бұрын
Wakue haraka mkuu, ni kama unavyomnyonyoa kuku manyoya.
@scholasticamchokopa6515
@scholasticamchokopa6515 5 ай бұрын
Naomba no ya grp la wasap
Best piggery farming practices | SEEDS OF GOLD
24:55
NTVUganda
Рет қаралды 228 М.
#SHAMBLULU: UFUGAJI WA NGURUE KISASA ARUSHA NA KILIMANJARO
31:15
ITV Tanzania
Рет қаралды 12 М.
Challenge matching picture with Alfredo Larin family! 😁
00:21
BigSchool
Рет қаралды 30 МЛН
黑天使遇到什么了?#short #angel #clown
00:34
Super Beauty team
Рет қаралды 40 МЛН
KILIMO BORA : UFUGAJI WA NGURUWE
26:32
Star TV Habari
Рет қаралды 40 М.
Nilianza na Kuku 8 wa Kienyeji, Lakini Nimezalisha Kuku wa Kienyeji 300
10:37
Michanganyo ya chakula cha Nguruwe|Fomula zake..
11:27
Mulap Farm
Рет қаралды 9 М.
DARASA LA UFUGAJI BORA WA NGURUWE |SIFA 5 ZA BANDA BORA LA NGURUWE|
5:50