UGHAIBUNI LEO:UGALI WALIKA UGHAIBUNI

  Рет қаралды 875

Mtangazaji

Mtangazaji

Күн бұрын

‪@Mtangazaji‬ #Africanfood #Ugali #Unga
Moja ya vyakula vinavyopendwa na raia kutoka Afrika walioko ughaibuni ni Ugali, chakula kinachopikwa kutokana na unga ambao waweza kuwa umetokana na kusagwa kwa nafaka ikiwemo mahindi,mtama,uwele,na zinginezo.
Ugali unamajina mengi kutokana na makabila mbalimbali afrika ikiwemo sima vuswa, bogobe, fufu, gauli, gima, isitshwala, kimnyet, kuon, mieliepap, ngima, nshima, obokima, ovuchima, (o)busuma, oshifima, oruhere, pap, phutu, posho, sadza, ubugali,na umutsima
Sule Kisaka ni Mtanzania aishie Marekani hapa anaeleza namna rahisi ya kutengeneza unga wa ugali nyumbani unaotokana na nafaka zaidi ya moja kwa ajili ya chakula hicho.

Пікірлер: 3
Mom had to stand up for the whole family!❤️😍😁
00:39
А что бы ты сделал? @LimbLossBoss
00:17
История одного вокалиста
Рет қаралды 9 МЛН
How I Turned a Lolipop Into A New One 🤯🍭
00:19
Wian
Рет қаралды 11 МЛН
The INSANE BENEFITS Of Sorghum & Why I Eat It EVERYDAY | Dr. Steven Gundry
8:32
The Dr. Gundry Podcast
Рет қаралды 168 М.
jinsi ya kutengeneza bisi za mtama(popped sorghum)ni nzuri sana
3:03
How To Make Wheat Fufu | Easy Way To Make Nigerian Fufu With Wheat Flour
4:00
HII NDIO SIRI YA MTAMA MWEKUNDU
12:16
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 10 М.
Usianze Biashara ya Printing kabla ya kutazama video hii
10:10
Joel Media
Рет қаралды 12 М.
jinsi ya kupika mtama(nafaka)vizuri na kuwa chakula bora zaidi
3:44
homecookingTz
Рет қаралды 2,8 М.
#TBC1 CHAKULA DAWA - FAIDA ZA ULAJI WA MBEGU ZA MABOGA
6:20
TBConline
Рет қаралды 214 М.