TUHEDATalks: Dr Pendaeli anazungumzia kuhusa tatizo la wasiwasi kuzidi kiasi, Anxiety.Tatizo hili huweza kuathiri maisha ya mtu kama halitambuliki na kutafutiwa ufumbuzi mapema. Huwezi kuwa na afya mwili bila afya ya akili.
Пікірлер: 113
@fatmaaljabry4351 Жыл бұрын
Dah kiukweli Dr Dalglish zote ulizotaja ninazo nateseka sina raha na miezi sasa siwezi kufanya kazi yyte siwezi chchte hat ndoa yangu sina raha nayo mungu atuondolee maradhi ya waswas
@xgangtz2023 Жыл бұрын
Asante doctor na mimi ninailo tatizo linanisumbua napataje Tiba ?
@rodsemziry41423 жыл бұрын
Nateseka sana!!
@rodsemziry41423 жыл бұрын
Naomba kuhudumiwa!
@aloycebabene62399 ай бұрын
Hongereni sana kwa ufafanuzi huu.
@raymondmgeni99532 жыл бұрын
This is helpful
@AmosJoseph-zo1jd Жыл бұрын
Somo lako linanilega kweli masikini mm nateseka sana
@dericktouch57238 ай бұрын
Hii hali inanitesa kila nimienda osipitalini wananielezeq kwa hali ya kawaida kuonesha kua ni hali ya kawaida ila mfano saivi nimefika kipindi ambacho saivi naumwa na kifua kila muda mbaka nahisi kua na tatzo la moyo nisaidieni nifanyeje maana kama nakufa mimi
@RojahKamalza-lw3ls11 ай бұрын
Naumia sana jamn
@jaqlinemanyama1876 Жыл бұрын
Unanitesa kweli kuna nyakat unapotea hata miez 4 badae unaeudi hadi kula nashindwa
@emmyanold93062 ай бұрын
Jamani semenu kama kuna dawa ,mme wangu anapata shida 😅
@user-zz4uw9il5sАй бұрын
Piga
@eufrosinanyarusi19912 жыл бұрын
Namba za docta jamn
@jasminmsafiri3053 Жыл бұрын
Me unanisumbua sana mpaka cna raha
@ddfatma42812 ай бұрын
Dokta naomba kuuliza mwanangu anamiaka miwili anaugonjwa wakudondoka nikaambiwa ni dalili za kifafa jee kunauwezekano wa kupona
@ibrahimsuleiman6980 Жыл бұрын
Wasiwasi inanikosesha Raha ,,,Naomba msaada wenu
@AnethExavery-qj6wc8 ай бұрын
Pole sana hata mm ninalo kiasi kwamba kuna mda nataman kufa
@AnethExavery-qj6wc8 ай бұрын
Hata usingizi nilikuwa sipati ila baada ya kwenda kwa daktari nikapatiwa dawa inanisaidia sana hata kupata usingiz
@Catherinemassau8 ай бұрын
Daaah inauma sana jmn 😭😭😭
@JanyMutta7 ай бұрын
Daah ata mimi nateseka sana jaman tubadilishaneni number tunaweza tukapeana ata moyo.. hi kitu inatesa sana
@tastybestfood1573Ай бұрын
@@JanyMutta pole weka no yako nikutext
@ramadhanidolle1952 Жыл бұрын
Namimi nateseka sanajamani naimbeni msaada
@khadijaabdallah3074Ай бұрын
Doctor tusaidie namba yako mimi unanitesa huu ugonjwa
Dokta nateseka sana unanisaidiaje yaan mimi ninahof kama nakufa kuna muda nakosa hata ham yakula sipati usingiz naomba msaada
@TimaMudimuya2 ай бұрын
Duu ww ndo mm kabisa Yan hofu ya kifo inanitawala mpaka najisemea mwenyewe leo mwisho wangu lakin asubui naamka nikiwa mzima kumbe ni roho tu za hofu na akuna dawa nyengine zaid ya maombi
@mwantumually583821 күн бұрын
@@TimaMudimuyaMimi pia hvyohivyo
@user-iq1md1ml3v5 ай бұрын
Dr Mimi hiyo hali hiyo inanitesa sana. Na pia kichwa kinaniuma sana, upande wa kulia wa kichwa Karibu na utosini, nasikia kuumwa utazani ni sindano inanichoma Kwa maumivu makalinayoyapata
@JasminJafar-sd4wk25 күн бұрын
hata mm pia
@neemaally91953 ай бұрын
Jamani naomba msaada huu ugojwa ninao ss ni miaka 20 bado cjapona nasikia masikio yanavuma nasikia kama vitu vinafunjika kichwani cna usingizi
@halimaabdallah87756 ай бұрын
Uwiiii toka nijifunguwe kwa operation ni miezin9 sssa nateseka naona km sio binadamu wa kawaida msaada naogopa kila kitu hospital ndo staki ht kupaona
@haythamabdallah1585 ай бұрын
Nmm jvjv
@haythamabdallah1585 ай бұрын
Ndo mm nkdhan pkyng n miez8
@SelemaNdulabi5 ай бұрын
Tutaftane jaman inatesa sana
@user-qf9gv9pd3i6 ай бұрын
Namba ya docter plz
@thrivehappy9610 Жыл бұрын
Brother naomba tuwasiliane Ili tuwasaidie wengine kuhu hili!
@xgangtz2023 Жыл бұрын
Doctor tusaidie nambazenu tufike ofsini kwenu
@GlolyKomba4 ай бұрын
Naomba namba ya doctor
@SelemaNdulabi7 ай бұрын
Instead sana jmn km mtu hajui unachopitia haez kuelewa
@ZainabubakariZainabubaka-ye1ho8 ай бұрын
kwel kabsa na mm ninashda hyo nisaidie tafadhal nifanyaje Ili niepukane na hlo
@haythamabdallah1583 ай бұрын
Jmn kun alpon waswas
@user-mt3bl8ji3h9 ай бұрын
Tunaomba namba jamani
@gloriamakundi61248 ай бұрын
Wasiwasi unanitesa Sana unapopata wasiwasi unahis kuchoka kutetemeka moyo kwenda kas unahis unakufa unakisa hamu ya kula Kila vipimo Haina ugonjwa huku ndio unaumwa unachanganyokiwa
@SelemaNdulabi6 ай бұрын
Napitia hali kama hiyo nateseka sana
@FatinaKiondo-ke9tq3 ай бұрын
Mimi pia nashindwa hata kutoka nje moyo unaenda mbio was was mwingi Yani
@RojahKamalza-lw3ls11 ай бұрын
Dawa yake nini sasa jamn
@chikuterra662511 ай бұрын
Huu ugonjwa unanitesa sana Kuna wakati nashindwa hata kukaa nyumbani. Namba please
@KazernMaster2 ай бұрын
Naomba namba zenu tafadhali
@khadijagazal87002 жыл бұрын
Nami nateseka sana na huo ugonjwa nifanyeje?
@thrivehappy9610 Жыл бұрын
Naomba tusaidiane kuhusu huu ugonjwa wa wasiwasi!
@dafady3 жыл бұрын
Naomba namba ya simu tafadhali.
@JUSTINGEORGE-tn8fj Жыл бұрын
Naomb nsaidie tiba ake mama ( woga na wasiwasi)
@EmanuelallenTashi-vn2uj Жыл бұрын
Duu mm mtupu vp ushapona
@JUSTINGEORGE-tn8fj Жыл бұрын
@@EmanuelallenTashi-vn2uj yeah hakikaaa nshapona japo in other way
@pililikombola146911 ай бұрын
@@JUSTINGEORGE-tn8fj Naomba unisaidie jaman 🥺
@user-eb3fh7vf1h6 ай бұрын
Mliopona mtusaidieee
@user-zh7pn2nv4z6 ай бұрын
Duuuuh
@haythamabdallah1584 ай бұрын
Mm umenipt tng nijfngue mtt wapl kw op
@Haulat-yc9gz Жыл бұрын
Dokta ningeomba namba yako tafadhali
@norahmakungu38552 жыл бұрын
Anxiety is ruining my life
@tracykinana86732 жыл бұрын
Uko wapi makingu
@marygregory7566 Жыл бұрын
@@tracykinana8673 na mimi naomba msaada nina wasiwasi
@ClaudiaSembuta3 ай бұрын
Inanitesa mnoo Toka nifanyiwe op mtoto wa kwanza ni miaka4 sasa
@thrivehappy9610 Жыл бұрын
Asanteni sana! Mimi nimeteseka na wasiwasi Kwa miaka 22 ila nashkuru sana kwa nilipo Sasa!
@EmanuelallenTashi-vn2uj Жыл бұрын
Ulifanya nn ukapona
@aishajuma185 ай бұрын
Tusaidiane
@marryphillipo26933 ай бұрын
Ulifanyaje jaman
@hasinamohd43463 жыл бұрын
Naomba namba ya cm docta
@thrivehappy9610 Жыл бұрын
Naomba tusaidiane kuhusu hili!
@halimaabdallah87756 ай бұрын
Dah namba zenu jamankm mnasaidia hili tatizo mm nahisi nina afya ya akili naogopa hata kwenda hospital nipo katika hali mbaya mno
@haythamabdallah1585 ай бұрын
Nmm hvhv
@IreneShalon3 ай бұрын
Halima naomba unitafte ninashda sana endapo utaona sms hii
@baerosy11233 жыл бұрын
Jaman I need help Nateseka 😭😭
@fettymakoba37602 жыл бұрын
Vp dear bado ujapona huo ugonjwa
@hishaamjuma88702 жыл бұрын
@@fettymakoba3760 njoo utusaidie
@hemedhajikiumba Жыл бұрын
Naomba namba yako doctor
@albeleenalberto1584 жыл бұрын
Ukipimwa na doctor unaambiwa huumwi😫😫😫
@mwantumually58384 жыл бұрын
Daaah!hali inatesa san hii
@mhinamngoya58893 жыл бұрын
Namba zako pleas
@abubakarkidungwe44053 жыл бұрын
@@mwantumually5838 nawew pia umeymwa huu ugonjwa
@mwantumually58383 жыл бұрын
@@abubakarkidungwe4405 ndio
@fettymakoba37602 жыл бұрын
@@mwantumually5838 vp wwe umeshapona dear
@tracykinana86732 жыл бұрын
Naomba number ya simu nateseka
@tracykinana86732 жыл бұрын
Unapatikana wapi aki
@tracykinana86732 жыл бұрын
Napatikana mji Nairobi Kenya
@kbadijasalim56822 жыл бұрын
Mhhh
@ashuramachupa1050 Жыл бұрын
dalili zote ninazo jamani,,nateseka sn na hizo hali
@BahatiEmmanuel-ec7fk Жыл бұрын
Naomba namba za doctor
@AishaThabit-yr4mn3 ай бұрын
Tunaomba namba mtusaidie jaman tunateseka
@rodsemziry41423 жыл бұрын
Maomba kuhidimiwa doctor
@thrivehappy9610 Жыл бұрын
Naomba tusaidiane kuhusu hili!
@highthemetv7857 Жыл бұрын
Wekeni namba zenu
@Catherinemassau8 ай бұрын
Hali hii ndo nipo nayo
@ponciandaniel6 ай бұрын
Tupo wengi
@user-mt3bl8ji3h9 ай бұрын
Tunaomba namba jamani
@anneokoth34664 ай бұрын
Jmn tusaidien number tutakufa na wasisi jmn tunajiisia magonjwa ambayo pengn hatunayo maan me ap kidgo kufa.lkn nishukuru mungu nimeingia yutub nimepata amani lzm nilishinde jrb ili