#*Afya Podcast#* Fuatana na Prof. Mohamed Janabi ili kufahamu Tabia Mbaya 10 zinazoweka Figo zako HATARINI..
Пікірлер: 206
@legera635 ай бұрын
Mungu wangu linda afya yangu sayansi ni bora ila wewe ni bora zaid✊
@molionlinetv5 ай бұрын
Asante sana Dr . Imeeleweka mungu akupe maisha malefu huna baya na mtu Dr janabi
@phantyrhymes95365 ай бұрын
Simple and best explanations. Congrats Prof. Mohamed Janabi.Anajua kuelimisha sana.
@josephlorri4315 ай бұрын
Mzee amenyooka,...ila maisha yanahitaji nidhamu kubwa
@hezronmlwale74165 ай бұрын
Hakıka mzee amenyooka mpaka... Nıdhamu kubwa katıka maısha haya nı muhımu sana. 🙏🙏
@OnejobKope5 ай бұрын
Asante sana doctor ubarikiwe
@officialyohanamalisa18735 ай бұрын
Saana nidhanu ndio kila kitu. Ukikuta mtu anafukia nyama choka kilo moja na bia, akidhani huna hela ya kula , ila siku atakua anafanya dialisis atalia kama nyau 😊
@josephlorri4315 ай бұрын
@@officialyohanamalisa1873 maisha yana mwisho, usimdharau na kumnyanyapaa anayekula kilo nyama choma. Duniani tunapita.
@domisonrichman64995 ай бұрын
Habari hii tv sikujua kama ipo hongera prof Jababi elimu nzuri umetoa..Ila mm ni kijana umri wangu 32yrs nina tatizo ambalo hospitali wameshidwa kujua tiba yake wala chanzo naomba mwenye namba ya simu ya Prof Jababi anisasidie guys nateseka sana almost miaka 8 sàsa ....Msada wakuu
@dullaone4545 ай бұрын
Jitahidi uende jkci. Pale muhimbili kitengo cha moyo. Utampata.
@jamesswai16835 ай бұрын
Nenda Muhimbili ndio suluhisho..
@barnabasmboya76885 ай бұрын
Yesu Kristo anaweza kukuponya. Mpe Yesu nafasi. Kwa msaada zaidi unaweza kunifuata nitakushauri na tutaomba na utapona
@SalamaSwedy5 ай бұрын
@@barnabasmboya7688 😂😂😂 Wacha utapeli
@husseinhamis14285 ай бұрын
we kichwa yako mbovu @@barnabasmboya7688
@ukweli2555 ай бұрын
Naamimi kuna Media Kubwa kama Clouds Media au Wasafi Tv wataingia mkataba na hii Channel ili haya Maudhui yawe yanawafikia wengi ambao kuifia KZbin ni ngumu!
@ce-083 ай бұрын
Alishaenda wahi kwenda clouds sema ....
@Abdalla.Said_015 ай бұрын
Unatoa elimu nzuri sana Prof. Mohamed
@aloycerichard56842 ай бұрын
Lakin pia ifahamike kunawengi wawo wanafanya Kaz kama Kaz na wengine wanafanya Kaz kama wito docta Mohamed ww unawito
@mahadhikawia3610Ай бұрын
شكرا دكتور،جزاك الله في هذه تذكرة
@abuuramadhan80935 ай бұрын
Prof apewe muhimbili kwa miaka 100 ameibadilisha san Hospital ya Taifa
@taturamadhan59405 ай бұрын
Allh akulipe si rahisi kwa mtu mwenye cheo kama chako kuandaa vipindi na kutuelewesha hii ni kwa sababu unaona hatari iliyopo na unataka tujikinga. Ahsante sanna
@HanifaOman-oo4pl5 ай бұрын
Sana huyu baba anaiimani. anahuruma na binaadam wenzie
@emmiemmi38614 ай бұрын
Kweli kabisa
@linnetmbotto72125 ай бұрын
Umesahau utumiaji wa vipodozi vyenye kemikali kali
@alwysalehmohamedalammary35075 ай бұрын
Shukran doctor Allah akulipe kwa unachokitoa kwa jamii
@sixytntongambele30385 ай бұрын
We jamaaa unaafya ya aqiri iliyo strong sana Me binafsi sijutii kukufaham kwakweli
@greysonmbembelakarateka58425 ай бұрын
Ahsante, Mungu akupe maisha marefu uzidi kutuelimisha
@WardaArto4 ай бұрын
Doctor tunaomba mjibu coment zetu
@gloryurassa98735 ай бұрын
Asante sana kwa Elimu ya afya Dr. Janabi. Mungu akuzindishie wingi wa siku
@martinjohn78545 ай бұрын
NASHUKURU SANA DOKTA. NAOMBA KILA. KADA YA DAKTARI BINGWA TAIFA, ITOE MADA YAO HUKU, ILI TUJIEPUSHE NA HATARI HIZI.
@jeremiahbhulituma8552 ай бұрын
Prof. Habari za kazi. Mimi ni mfuatiliaji mzuri Wa mafundisho yako. Kila kipindi unachorusha najifunza zaidi. Wewe kwanza umbo lako liko sahihi. Hapo ulipo una umri wa miaka mingapi. Na uzito wa kilo ngapi. Maana nakuona uko very super active!!! Natanguliza shukrani kwa majibu ya maombi hayo
@AbasiHassan-w4s5 ай бұрын
Nimekuelewa doctor.mungu akuzidishie kutupa elimu napia .akuingize peponi amin
@goodlucknjau775 ай бұрын
Shikamoo pro kwenye pombe ongeza ata mbili mkubwa 😂😂😂
@EliaMugini4 ай бұрын
Heeeeee
@adamuadamumussa7289Ай бұрын
❤❤MUNGU kakuketa duniani pia kakupa uhai na elimu ya juu ili utuokoe na maradhi na unatupa njia sahihi ya kuishi, chukua maua yako baba🎉🎉🎉wewe ni mtu muhim sana katika dunia hii,, tunapata faida na elimu unayotupa bure kabisa ingali wewe ulitumia pesa nyingi kuipata nasema ASANTE NA MUNGU AKUBARIKI🤲🤲
@AbuuMuhsin5 ай бұрын
Tuko pamoja Dr. Nakufuatilia kila siku na kila somo lako.
@MrDaoud-il9nt4 ай бұрын
Shukrani doctor Allah akulipe
@EvanceShirima5 ай бұрын
Dr mo janabi unipa somo nimetoka na kitu kimojahapo,msaliimie bingwa mwenzio hapo dialysis mgumi na ness mnyenyekevu asie na mawaa HAJIRA ###
@deogratiasntalindi42004 ай бұрын
MUHIMBILI#Afya bodcast# naomba mnisaidie mawasiliano ya Prof.Janabi nina maswali mengi sana
@franciskennethngwale51954 ай бұрын
Sio lahisi hivo kupata
@joshuakimambo27655 ай бұрын
Elimu nzuri sana. Elimu ya kujitambua bado inahitajika sana. Magonjwa mengi yangeweza kuepukika kwa kubadilisha tu mfumo wa maisha
@asnathmugassa1365 ай бұрын
Aksnate sana professor Janaby kwa elimu nzuri sana
@mbondehemed28415 ай бұрын
Nimekupata janabi mungu aliki kwasomo rako
@HanifaOman-oo4pl5 ай бұрын
Maashaallah Allah akulipe heri Dr. JANABI
@josiahkulwa345 ай бұрын
Shukran kwa mafunzo yenye kutujenga kiafya
@ManyamaOG4 ай бұрын
Assalam alaikum, dr janabi naomba utuelezee maradhi gesi na namna ya kujikinga . Insha Allah
@paskalkinyunyu90455 ай бұрын
Mungu akutie nguvu utupe elim naelimika sana sana asante
@adamuadamumussa7289Ай бұрын
❤❤
@richytarimo46565 ай бұрын
mmesikia ,,, bia 2 kwa siku,,, Sasa unakunywa krate sijui unamkomoa nan
@salmamlokela19875 ай бұрын
Anazikomoa figo😂😂 alafu ukiwaambia wala hawasikii
@tatankakoroba485 ай бұрын
Our body when having too much acid ....can be reduced by eating alkaline foods ...ie all vegy and fruits
@AmaniSylvain2 ай бұрын
Asante
@mohammedabdullah58952 ай бұрын
❤❤❤
@radhiambwana33535 ай бұрын
Tunashkur kwkuwa tunapata Elim ya mapema.
@SahimSalim-l5f5 ай бұрын
Huyu jamaa anajua kutupa madini na anajua kuchambua
@juliuskitaluka12065 ай бұрын
Hakika MUNGU akubariki Sana wewe kweli ni msomi
@aloycerichard56842 ай бұрын
Mungu akubariki sana nimeelewa ulaji holela ni hatar kubwa
@joycemboya57284 ай бұрын
Tunaomba Dr mfanyie utafiti Sawa zetu za asili tulizotimia huko nyuma na zikatusaidia
@victorntaganyamba73135 ай бұрын
Asante kwa somo zuri
@khadejakhadeja97135 ай бұрын
Asanteee pfrs Jana bi❤❤❤❤ kwa somo
@samwellaurence70352 ай бұрын
Somo zuri sana,, Ahsante Dr.
@bonifaceferdinand5665 ай бұрын
Somo zuri Dr,ila hujatuambia nini tule ili Figo zetu ziweze kuwa salama
@johnmwasilu70875 ай бұрын
Hayo aliyokwambia fanya kinyume chake ndiyo jibu. Pia yale asiyoyataja ndiyo hayana madhara makubwa unaweza kula
@sitisalum95735 ай бұрын
Mwenyezi mungu akubariki sana prof,
@isacklaizer67765 ай бұрын
Kunywa maji ya kutosha, punguza chumvi, punguza sukari, Punguza matumizi yaliyopitiliza ya dawa za maumivu (NSAID), Kuacha Unywaji wa pombe uliopitiliza...n.k.,
@MinskBelarus-il2tl5 ай бұрын
Boniface, mbona ameweka Wazi? MAJI KAMA CHAKULA BORA
@shukranjulius95265 ай бұрын
😂😂@@MinskBelarus-il2tl
@josephmsacky22485 ай бұрын
6:09 Hii nzuri sana, ongera sana dr
@benjaminjackson85674 ай бұрын
Thank you so much for your consideration 🙏🏿🙏🏿
@johngibson30895 ай бұрын
Asante sana Dr Janabi kwa kutuelimisha. Je, juice ya miwa ni salama kwa figo?
@DativaMbowe4 ай бұрын
Sasa mimi ninae kunywa wine zaid ya moja mungu nisaidie nimeogopa
@BonnyMwajombe-iu7hb5 ай бұрын
Janabi chawi siku hizi kila nikita kununua soda naiona picha ya janabi , chap naghair
@gracekagoma32315 ай бұрын
Hongera sana DR🎉🎉
@AbihudiMbekomize-uy7kp5 ай бұрын
Asante sana doctor lakini pia nina maswali jenaweza kuuliza
@samsonshedrack56775 ай бұрын
Doctor asante kwa somo zuri,
@tatankakoroba485 ай бұрын
Prof Janabi..huwa nafuatilia sana session zako...
@TowardJesusTv7775 ай бұрын
Asante Prof. Barikiwa sana....nakufata toka DRC
@richytarimo46565 ай бұрын
kitu nachojifunza kila kitu unashauriwa kutumia kwa kiasi,,
@abdoulzainoubongoth25564 ай бұрын
Dr janabi Mungu akupe maisha marefu
@abrahamsingano53724 ай бұрын
Hongera sana Dr. Mungu akuzidishie umri
@francisosodo80015 ай бұрын
Asante Prof. Kwa Elimu
@ernestjophreymalaba33744 ай бұрын
Ubarikiwe sana My Role Model
@sharifhamad-x4n5 ай бұрын
kwani mtu akiwa mwembamba anakua hana afya nzuri
@rodsconehenry42495 ай бұрын
MAMBO YA AFYA HAYA,MWISHOWE MTATUAMBIA HADI KULALA NA FENI KUNASABABISHA FIGO KUFELI,,SASA USINGIZI ASKARI HAWALALAGI KABISA KUMBE NI HATARI
@ambroceharouna16125 ай бұрын
Wewe utabisha mpka kifo chako
@abdallahmmary85915 ай бұрын
Mzaha kwenye ukweli ni mzaha uliouzoea kwenye maisha yaki jitafakari ndg
@rodsconehenry42495 ай бұрын
@@abdallahmmary8591 angalia Figo zako sio zangu
@abasilihundu2005 ай бұрын
Nani kakwambia askari halalagi kabisa, acha kukariri. Kwamba mda wote anakuwa kazini
@rodsconehenry42495 ай бұрын
@@abasilihundu200 kwani Dr kasema tulale mda wote?au kukosa mda mwingi wa kulala?we unaelewa bs
@bongosativa5 ай бұрын
Hapo kwenye nyama Dr. Unetupiga na kitu kizito kuna Carnivore diet trend hivi sasa na watu wengi wanapona magonjwa sugu kama cancer na kisukari just kwa kula grass feed meat na tafiti zipo ila zinafichwa. Please watu nendeni kafanyeni research kuhusu Carnivore diet. Wahadzabe Arusha ni case study tosha kuhusu umuhimu wa nyama.
@mrmc555 ай бұрын
Tupe reference zako make unambishia Dkta. Em tuambie ww unaelewa nn??😂
@RobertNestory-cn9ml4 ай бұрын
Naomba uelewe hivii unapotumia nyama nyama yyt huwa na cell ambapo hizi cell huwa na DNA ambapo DNA inacomponent mbili PURINES AND PYRAMIDINES ambapo purine huvunjwa na xanxine oxidase enzyme kutengeneza (xanxine) pia hizi xanxine huvunjwa na xanxine oxidase kutoa uric acid the final product ni allantoise ambayo huzarishwa kwa ndege sasa ukila nyama kuzid kiasi ambazo ni nyekundu..unasababisha kuwa na super saturation of uric acid in blood ambapo hizi metabolates huchujwa na figo in case ya a dult ambapo wapo aged as age increase glomerular filtration rate decrease by 1% per year so husababisha formation ya kidney stones ambapo hizi huharibu figo kwa kidney injuring also zinasabisha urine manipulation to acidic..
@williumgeofrey95875 ай бұрын
Nitanzingatia yote ila kwenye nyama hapana
@HusseinJumaa-my6dc5 ай бұрын
Nashukuru kuwafahamu nitaendelea kuwa fuatilia
@MohamedMursal-nb6nm5 ай бұрын
Thanks Dr
@mariamkibindo17414 ай бұрын
Shukran sana professor MJ
@ernestshekalaghe19454 ай бұрын
uko vizuri sana Prof . Janabi
@James-hb2gv5 ай бұрын
Asante sana kiongozi Mungu akubaliki
@kobylwaho31915 ай бұрын
safi sana dr nashukur Kuifahamu hii chanel inayofundisha mambo muhimu ktk maish yetu
@LukmanAbdullah-n5v5 ай бұрын
Shukran prof janabi hakika kinga ni bora kuliko tiba
@JumaMakenga-t2o5 ай бұрын
Asante sana prof🎉
@salutarysebastian28823 ай бұрын
Asante sana kwa elimu
@EricNiyonzima-i8u5 ай бұрын
Ningependa aweke nambayake jamani
@baluhyajr.9135 ай бұрын
Asante sana Prof. Janabi kwa elimu ya afya kwa umma.
@adamkalokaza68135 ай бұрын
hongera profesa janabi nakufuatilia
@sharifhamad-x4n5 ай бұрын
km kuruani sio bibilia
@amaniupendo10785 ай бұрын
Asante sana kabisa from 🇨🇩
@severinmmassy76274 ай бұрын
Hongera Sana prf. Hiv kukojoa mara kwa mara unawezakukuweka hatarini pia
@RehemaJustine-co2kp19 күн бұрын
Nijuavyo Mimi no kwamba! Ukiwa unakojoa Mara kwa mara,huku unakunywa maji ya kiasi Mara kwa Mara hiyo sio mbaya! Maana umetoa simu mwilini kwa kukojoa,lkn hujauacha mwili bila maji badala yake unakunywa tena maji. Na ukiutizama mkojo unaotoka no mweupe,yaani haina rangi km ya kahawia sijui km soda hivi! Hiyo iko sawa
@MsangoDiesel5 ай бұрын
Naomba ushauli zamani nilikuwa natumia maji mengi ila Sasa siwezi na hali ya hewa ikibadilika ya badili ndio nakuwa mvivu kutumia naomba ushauli nitumie Nini ili niludi kama zamani.
@AbdullahOmar-be4wy5 ай бұрын
Km mvua mwili inakuwa hauhitaji maji mengi
@franklinisaya47965 ай бұрын
Njia ni kunywa maji tena
@elewatz804k45 ай бұрын
Asante kwa elimu
@Bioone063 ай бұрын
Kulinda afya yako
@Kisase5 ай бұрын
Asant sana doctor mungu akulinde
@MosesMsuya-yq9ru4 ай бұрын
Imeeleweka doctor
@eliamtani28405 ай бұрын
Thank You Prof.
@FrankDeo-xu7zw5 ай бұрын
Ubarikiwe kiongoz
@jumannemalale29435 ай бұрын
Najua hii itanifanya niwe maarufu sana 😢😢😂
@omarmohammed51575 ай бұрын
Hapa kwenye ulaji wa pombe kupitiliza ningependeza useme watu wasitumie pombe kwasabab hata hio glass moja inaleta athar ndan ya mwili
@martinisadru98995 ай бұрын
Kila kitu kua na kiasi, kama bibilia ilivo tuongoza.
@DBrownstain5 ай бұрын
Nimependa tu profile yako.... huna baya "YISRAEL CHAI "🎉
@martinsawan29235 ай бұрын
Dr nakuelewa sana masomo yako Asante
@MahadMfiyome5 ай бұрын
Toka hapo na bendera lako hilo
@martinisadru98995 ай бұрын
@@MahadMfiyome ulitaka niweke mkundu wako hapo! kila mtu auone. Kundu yako we.