Mzee butiku wambura hawezi jiuzulu kwa sababu hiyo kazi ya utekaji ndoo sifa ilyomfanya ateuliwe kuwa IGP hiyo anatekeleza maelekezo tangia kuteuliwa kwake
@AmiriAbdallah-g5x6 күн бұрын
Butiku hongeara, lkn kuna mijitu humu haijitambui, hata mashehe wanajua na wachungaji kuwa vitabu vya dini vinasema tukemee maovu vinginevyo tunakwenda motoni.
@jumadinya37966 күн бұрын
Tuwajibeke kwa vipi mbona unatoa fumbo kwa njia gani naona ushauri unakwenda sehemu sio tushauri maneno ya msingi kwa vijana wetu tusiwajaze hamasa
@robertzamani56126 күн бұрын
Wanahabari wetu ni waoga hawezi kwenda kumuuliza hilo swali IGP au Waziri wa mambo ya ndani
@abdallahabdu81946 күн бұрын
hayo maandishi majinga sana, hayawezi hata kuuliza ,siku hizi wanakusanya na kutembea na msajili wa hazina ili waandike taarifa za serikali tu.
@RwegoshoraPatt-os2ik5 күн бұрын
Mzee mazingira sio rafiki sana vijana wako wasije wakakuponza usione wazee wenzio wamekaa kimya ukafikiri niwajimga wewe ndio mwamba
@stanslausbernard59507 күн бұрын
Wewe Mzee mwongo. Haya mambo hajaanza wakati wa magufuli. Hata wakati wa mwl Nyerere utekaji ulikuwapo. Wakati wa kaka Yako mwl, watu walitekwa na kutishwa. Ndiyo maana mwl Nyerere aliogopeka kwa sababu hiyo. Wewe uliwahi kuwa Waziri iliyeshighulika na usalsma wa taifa. Nakumbuka enzi zako watu walitekwa kama inavyofanyika hivi Sasa.