Kuna cku hii nchi haitakalika hi miyoyo Ina majeraha sana!
@christinenyagiro66627 күн бұрын
Tumeumia sana sana kwahiyo tunaumia sana kwa kumtolea uhai wa Ally Mohamed Kibao.
@GraceKazi-z8d6 күн бұрын
Safi sana nawapongeza ! Inaumiza sana tena zaid ya sana kuondoa furaha ya familia! Polen sana ndg zang, Mungu atatujibu maombi yetu,hao majambazi watakutana na hasira na gadhabu ya Mungu kabla huu mwaka haujaisha. Inshaalah
@Zivago127 күн бұрын
Masauni AONDOKEEEE
@christinenyagiro66627 күн бұрын
Hata sisi ambayo hatuko kwenye msiba tunaumia sana kuona majambazi yanakuja kwenye huo msiba.
@rosetreffert41797 күн бұрын
Mnatanguliza watu alafu bado mnapa kazi Mungu wetu 😢
@HassanMaftaha-w4e7 күн бұрын
anapata wap ujasir wa kuzungumza akiwa yy ndio kiongoz wa hilo genge la utekaji😭😭😭
@kichenjekichenje20727 күн бұрын
Na Mimi pia najiuliza hili swali
@FunnyChess-ns9vf7 күн бұрын
Una uthibitisho wa hicho unachokisema Yaani mngejua sheria za msiba Mnaleta siasa hadi misibani Inah lilah wainah ilayh rajiun
@MesiaMtui7 күн бұрын
Usisahau alikuwa mwanasiasa kwa hiyo lazima waseme wasifu wake ktk kazi na ndio mahali pa kusemea kwa waziri husika mana wengine hawaonekani ndugu Yako akipotezwa au kutekwa utaelewa tu@@FunnyChess-ns9vf
@charlesmakuri7927 күн бұрын
Una uakia jinga ndio nyie mnaeneza uzushi
@kichenjekichenje20727 күн бұрын
@@charlesmakuri792 mbona wewe humuulizi Mama ako ili upate uhakika kama huyo ulienae ni baba ako kweli au alichepuka ndipo ukazaliwa wewe mbwa?
@SamsunGalaxy-e5k7 күн бұрын
Moyo wa subira upatikane wapi mnavozidi kuteketeza watu
@abdallamohdhiyonineematush4087 күн бұрын
Mauti leo imegeuka siasa Allah ampepepo maiti wetu amina
@SmilingElectricCar-ds4li6 күн бұрын
Kweli 😢😢😢 wanageuza jukwaa la siasa
@siaammo11047 күн бұрын
Mmm tunakoelekea kwa kelel hizo siyo kuzuri serikali inatakiwa itafakarii upya haya mambo yanayoendelea siyo mazurii kwenye jamii yetu.
@jeremiahblazio47817 күн бұрын
Viongozi wa nchi ndio watakaoharibu amani ya nchi.
@DeogratiusAndrew-zi7zv7 күн бұрын
Amani haipo ndugu upo utulivu
@BakariMapua-t9u7 күн бұрын
@@DeogratiusAndrew-zi7zvkwel kaka
@DeogratiusAndrew-zi7zv7 күн бұрын
Kwasababu watu wanauliwa kama kwa kagame rwanda maana nimekuwa huko mtu akimkosoa tuu anauliwa, sasa tutaenda wapi kama hali nihii kaka?
@DeogratiusAndrew-zi7zv7 күн бұрын
Unafikiri kaka kwa hali ilivyo watu tunaishi hakuna raha watoto wanabakwa wanauliwa hali sio shwari kabisa kama tupo nchini Rwanda
@user-bz2yc2td3c7 күн бұрын
Ewe mwenyezi mungu tuepushe na ghasia nchini mwetu amiiina insha allah
@zidinayusuphyusuph7 күн бұрын
Mungu tulinde na haya
@Zivago127 күн бұрын
UMETIWA AIBU MASAUNI
@lulanjamd38867 күн бұрын
Kifupi hatuna imani tena na Ccm
@FadhiliDolla7 күн бұрын
Sio CCM serekali yote kiujumla haijali wananchi wake kama uhuru wa kutoa maoni haupo katiba haifatwi haki hatutaipata😢
@HanifaOman-oo4pl7 күн бұрын
Ukiwamru waselikali kweli hanakua ugali Dini. Masaun ni.muislam maashaallah. Ilamtihani waimani anaahindwa kuendahaki kwaajili ya pesatu. Za chama Allah atuongoze
@DiwaniMwafongo7 күн бұрын
Huyu waziri boya Sana...hakuweza kusoma alama za nyakati? Aleta DS wakati ndio wauaji??
@FranckDaniel-cc5rg7 күн бұрын
Una ushahid siasa ni mchezo hatar Acha kukurupuka
@DiwaniMwafongo7 күн бұрын
Marehemu kauawa na vyombo vya ulinzi..... Kama umeenda shule he has been assassinated, ameuwa kwa Sababu za kisasa... Wauaji ni askari, wa serikali ya CCM... Unahitaji degree kujua Hilo... Au uko mwezini?
@zawadimbwambo10917 күн бұрын
Namkumbuka yule kijana aliemchapa mwinyi kofi kama angekua hapo angemtoa mate huyo pwaa
@DiwaniMwafongo7 күн бұрын
@@zawadimbwambo1091...Nchi hii ya ajabu.. Eti waziri atoka serikali inayoteka na kuua watu ahudhulia mazishi ya waliyemuua( Mzee Ali has been assassinated) Sisi watanzania SI mbwa ni makondoo !!!
@SmilingCityMap-xb9md6 күн бұрын
Watanzania wana moyo wa uvumilivu sana sana sana kweli na amani yetu iko moyoni tunaomba selekali yetu mtusaidie kuilinda amani yetu hatutaki kuona damu zinamwagika hapa hatutamani kupoteza vijana wetu hapa tunaomba mungu atusaidie
@ESTERMWAKAJUMBA-b6u5 күн бұрын
Mungu wa mbinguni ataijibu
@kilianakitanda94707 күн бұрын
Inabidi ifike mahara watu wa ccm tuwakatae kuhutubia kwenye misiba kama hii. Wanajua wanayoyafanya.
@mugemainyas52417 күн бұрын
Mbowe ana busara sana. Anaumia anajua kilichofanyika. Viongozi angalieni sana kuja kwenye msiba na kusema mnasindikiza aende mbele ya haki ambayo ninyi ndo mnasadikika kuwaharakisha watu waende mbele ya haki sio sawa. Police na mkuu wao waachoe ngazi mara moja.
@ThomasMayogu-z2h7 күн бұрын
🤔dah!! mheshimiwa waziri kaadhirika sana hii inafanya serikali kushushiwa hadhi waziri kugomewa n raia🇹🇿 MUNGU atuepushe.
@HolloJuma7 күн бұрын
Wazili jiuzuru tumechoka
@rosetreffert41797 күн бұрын
Kabisaa
@RestitutaNjau-k8x7 күн бұрын
Kweli kabisa hatoshi kwenye hiyo nafasi.Hivi Rais haoni hilo
@evodirudo48137 күн бұрын
Hatoshi kabisa Yani aachie ngazi hiyo
@user-lt1bi5nr1x7 күн бұрын
Sasa waziri afanyeje jamani
@masalakulwa76017 күн бұрын
@usera-lt1bi5nr1x ajiue
@mwalimukhalid35807 күн бұрын
Mungu amrehemu maiti wetu na tumwachie Allah ndiye hakimimu wa yote
@gatimakonge86787 күн бұрын
CCM....😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 MUNGU YUPO NA ANAWAONA
@bettyrugemalila91857 күн бұрын
Hao waliomteka na kumuua c waje hapo msibani wateke watu wote hao na kuwaua.hvi kwani wenyewe hawtakaa wafe wataishi milele,pumbavu kabisa😢😢 inauma cna
@JojoJoji-h8g7 күн бұрын
Uwe bas na huruma kufa kwa binadamu siyo jambo dogo usiongee ujinga subir imkute mwanao
@christinenyagiro66627 күн бұрын
Kwa nini asipigwe na kutupwa kwenye msitu Jambazi kubwa linalo tuma majambazi yake kuendelea kuteka watu. Tulia alisema hajaona watekaji ni katika wale wanaongoza majambazi kuteka watu na kuuwa.
@nikodemmwahangila33347 күн бұрын
Mungu ibaliki Tanzania yaondoe haya matukio mabaya ktk nchi yetu poleni sana
@BabaBabalili7 күн бұрын
Kuna muda mambo mengi hayahitaji kuwa na elimu ya uchunguzi ni akiri ya kawaida2 kwamba serekali inahuska moja kwa moja na pia serekali imebak ya family frani syo ya wanainch tena bari watu wanao jipenda wenyewe na family zao huku wakiumiza family za wengne. 😢😢😢😢
@gatimakonge86787 күн бұрын
CCM....... UUUIIIIIIIIIIIII 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@adoniemanuel9087 күн бұрын
Haya ndio viongozi watakutana nayoo kila mahali
@BrunoNamanga7 күн бұрын
Mungu ibariki Tanzania ama kwa hakika Mungu ibariki Tanzania na watu wake
@RestitutaNjau-k8x7 күн бұрын
Kweli hatorudi,ila dhuluma inayoendelea ktk Taifa letu ndiyo inayopigiwa kelele
@AndrewMoses-c7c7 күн бұрын
Je itakua mwisho wa utekaji, upoteaji na uuaji wa watu ndani ya Taifa hili!?😭😭😭
@EnockManase-df9sf7 күн бұрын
Damu wanazomwaga zitawatafuna
@rosetreffert41797 күн бұрын
Viongozi mzigo wa taifa 😢 kazi imewashinda
@hakambashe84217 күн бұрын
Wanachi wako sawa bana viongizi they are playing incapable, wazir anaongea nin sasa hapo
@sebastianthadeus52707 күн бұрын
We nyumbu sana sijui kwa Nini watanzania ni wavumilifu sana huyo anatakiwa apigwe mawe !!
@machintangachibwena59227 күн бұрын
Kabisa apigwe mawe hapo hapo
@emmanuelmogela58717 күн бұрын
Mboe unabusara ya Hali ya juu
@LeonidasStephano7 күн бұрын
kuna siku watapigika hadharani
@allymbaga21627 күн бұрын
Watu wamechokaaa
@sskondopoleani96167 күн бұрын
Mhhhh haya ukweli UTAJULIKANA.
@josephmahando49310 сағат бұрын
Kumbe Mboye anajuwa , chadema ndo wenye vurugu nchini, yawezekana hata watekaji ni hao hao, Mboye akikataa wataacha, Waziri katafutiwa nafasi ya kuzungumza ila sijasikia cha maanaa kutoka kwake.
@omarimamboleo26347 күн бұрын
Msiba juu ya msiba dunia kweli imeesha watu wanaleta siasa kwenye misiba Nyie waendekezeni tu wanasiasa tutakujakulia midomo juu
@DesertTears7 күн бұрын
Yani mumuue Kisha mumuombee dua??? Aise🤔🤔🤔🤔
@user-pw4bc7sr5y7 күн бұрын
Asalaam kwenye MSIBA huwa hamna tabaka ni kumwombea maiti aliyetangulia mbele ya HAKI aminaaaaaa
@MuzneOthman-l7i7 күн бұрын
HAKIKA
@RestitutaNjau-k8x7 күн бұрын
Anyamaze tu
@chage976 сағат бұрын
Huyu mbwa ndo muuaji namba moja
@msukumamnywamaziwa27857 күн бұрын
😮😮😮😮
@allynassoro84487 күн бұрын
Nashangaa kwa Nini mnamkaribisha adui huyu
@maryamsuleiman63407 күн бұрын
Kwa Allah umeenda kuzika na Mungu atakuona amekupokea ,ila kw hali ilivo hukupaswa ,mana vidole vimekuelekeeni ,na Mungu ndoanajua kilichojiri ALLAHU YAALAAM
@gerevasliyunga98317 күн бұрын
Dah dah hii aibu sana
@samwelnevele77965 күн бұрын
Polisi mko wapi waziri anafanyiwa hivi nchi inaenda wapi mtandao umerekodi hayo waitwe polisi hakuna nchi isiyo na sheria
@omarymbaraj80726 күн бұрын
Mtihani
@matakamataka94387 күн бұрын
Inalilah wainaillah rajiuun
@user-kd9dc4li7f6 күн бұрын
Kwani Nyinyi CCM munataka kukaa madarakani mpaka mwaka gani ww masauni ni mnafiki mkubwa ww Unamjua mwenyezi mungu kweli
Huu msiba umeniuma! Huyu muuaji yupo humu kwa nini?
@tanzanite99447 күн бұрын
Alimuua bMwma yako?
@MusaOgwoko7 күн бұрын
Mko sawa kabisa
@MonicaMushi-z8s6 күн бұрын
Wahusika anawajua vizuri sana. Wanajikoaha. Kwani wameanza leo eti nchi haijawahi kuvumilia na haitaweza kuvumilia. Kwani walimpiga risasi lisu walikuwa hawajulikani?
@dorafrank5236 күн бұрын
Mnaofanya utekaji na mauaji mnaiingiza nchi kwenye machafuko jaman acheni ubinafsi angalien hali ya nchi watu wanapoteza uvumilivu kidogo kidogo
@salimumohammedsalimu17207 күн бұрын
Masauni you must go for real this is more than pain
@samwelnevele77965 күн бұрын
Waziri ametembea bila ulinzi kwanini wanaruhusu hilo litokeee
@khaliduhadi23365 күн бұрын
Ndugu yangu katika Imani mh masahuni Kwa hili Fanya hekma jiuzuru Kwa manufaa ya heshima ya family Yako na taifa pia Hali Tete sana watu sasa wakikamatwa na police Imani imekuwa ndogo kuliko zamani police wakikukamata unajuwa upo mikono salama mpaka ishu Yako inakwisha lakini sasa taharuki imejaa watu wana hofu.
@JfourHumbi7 күн бұрын
Safi sana mumeonyesha ujasili
@Ahmedseif-l5g7 күн бұрын
Anafanya nini hapo huyo dhalimu mkubwa hao ndio wauwaji ccm
@nbwchannel49977 күн бұрын
Kwani kauwa yeye?
@ismailmutanda30077 күн бұрын
@@nbwchannel4997 wauwaji wako chin ya nani kwani ??
@Ahmedseif-l5g7 күн бұрын
@@nbwchannel4997 ndio kundi lao hao hao wenyekujichukulia madaraka yasiyo kua halali yao
@evodirudo48137 күн бұрын
@@nbwchannel4997kwani wewe huoni watu wanvyo potea na kuuawa hivyo nayeye ndiye wazuri mwenye dhamana
@JacksonMarko-qb7kj7 күн бұрын
Wanafki wakubwa asingetia miguu hapo
@MathayoLazaro-h3k7 күн бұрын
Hii haivumiki Tanzania hii imegeuka kuw kiziwa Cha damu siyo Cha amani kama Wanacho dai wao serikali wa nchi hii inaumiza sana
@rosetreffert41797 күн бұрын
Acheni kumpa Mungu kazi ziada 😢 Mungu ajasema watu wauawe😢😢 huyu waziri anatia hasira
@khadijahamisi55617 күн бұрын
Kifo kimeniuma hiki mpaka sasa kichwa kinaniuma san naona km nibaba angu kupingwa mzee kama uyu mpaka kufa jaman jaman
@SalehSonda-bz3hl5 күн бұрын
Mueshimiwa mboe in kiongozi
@herryabely38317 күн бұрын
Waziri ajitathimini under Doctrine of Accountability
@mage53716 күн бұрын
Huu msiba c wa mwenyekiti wenu" no huu ni wananchi wote tunalaani ndani na nje ya tukio na wengine hatuna cha siasa, ivo tafuteni maneno yakuongea TUMECHANGANYIKIWA SANA SANA
@iddijuma61527 күн бұрын
waziri wewe nikiongozi bora na mungu akupe subra na hekma katika maisha yako
@apostlemussaonlinetv7 күн бұрын
Anaubora gani? Kusifia ujinga tu
@martinisadru98997 күн бұрын
Inauma sana, japo niliipenda CCM! ivi kweli askari mstaafu anauliwa kama kuku, je sisi tusio askari itakuaje? Pumzika kwa amani ally kibao mwanga wa milele ukuangazie.
@saidrakwe87277 күн бұрын
Mr bowe ana falsafa kubwa ya uongozi na ya uongeaji: tofauti ya viongozi wengine hufuata shangwe tu
WATANZANIA MPUNGUZE WOGA MTU ANACHUKULIWA KWENYE BASI ANAONDOKA LEO TUNALIA UONGO TUPU KWENGINE ASINGE SHUKA LABDA ANGENUSULIKA
@josephmahando49310 сағат бұрын
Hivi masauni ametokea jimbo gani, Aibu tupuuuuuu
@issaissa13616 күн бұрын
Uyo ni anae fahamika wsio fahamika ni wangapi wameuwawa
@FadhiliDolla7 күн бұрын
Achia maiki jasusi msaididizi wa serekali wew
@PartySekemi6 күн бұрын
Waziri afukuzwe kazi hadi mfagizi wa ofisi
@FrankzenoMbwago7 күн бұрын
Chadema hamjitambui,viongizi wenu ndio wauwaji Kwa uchu wa madaraka
@hemedchuma9-cq4nh7 күн бұрын
Dua la mh waziri amemeksi na vijembe hahahaha ❤tz
@peterbujari51287 күн бұрын
Mmemuua halafu mnaenda kujitimisha kusudi lenu??? MUNGU anawaina
@josephjulio61127 күн бұрын
Pointi za maombi yake za kihuni
@SamsunGalaxy-e5k7 күн бұрын
Ccm ndio mtaletesha vita tanzania na tukiangalia ilikuwa nchi ya amani
@BakariMapua-t9u7 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ nimependa sana ujasil i huo 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@errydeo88657 күн бұрын
Akitaja jina kwanini anadhindwa kusema ALIYEUWA!?
@MkudeSimba-fg1sf7 күн бұрын
WAZILI TUNAJESHI KWELI INAONEKANA WAZI SERIKALI NDIO SIMBA MLA WATU
@ibnkhaldoun96946 күн бұрын
@ HHHH KAKA UNAKIMBUSHA MBALI ,MIAKA ILE YA 80 TUNDURU ALIIBUKA SIMBA AKAITWA SIMBA KIDAWA ALIKUWA AKITAFUNA WATU KWELI KWELI.JE SIMBA KIDAWA KARUDI?
@DeogratiusAndrew-zi7zv7 күн бұрын
Huyu kiongozi masauni amepoteza kibali kwa umma kwani kwanini hana sauti kama mawaziri wa wizarahiyo walio mtangulia , mpaka rais aongee yeye kaziyake nini ?
@YusufDuale-eq4kl7 күн бұрын
Anajifanya hajui kinachoendelea kuusu mauaji
@Kusag-i9z7 күн бұрын
Wamechuakua mazambi zake
@nelsonnyamle7 күн бұрын
Inaudhi sana kuona watu wanatekwa halafu wanauwawa halafu kiongozi wa wizara huzika hajiuzulu yaani imekuwa poa tu😭😭😭😭😭😭😭
@FadhiliDolla7 күн бұрын
Putin tuletee bunduki tusonge front tu ishakua too much😢😢
@SamsunGalaxy-e5k7 күн бұрын
Mtu akiongea ukweli mumteke si vizuri watoweni wote mliowateka
@glorykastai39967 күн бұрын
Sasa waziri anaomba nini badala ya kusema yaliyompeleka kisha aondoke ameyataka mwenyew watu wanajaziba yeye anasali kweli shida Mungu utusaidie
@heripaulo10087 күн бұрын
Hatari soma hilo
@allyalsubhy68997 күн бұрын
Allah Akbaru
@melichmahingule28967 күн бұрын
WAZIRI AMEKOSEA KWENDA MSIBANI, INSUMA SANA, VIJSNA WAKE WAMRUA HALAFU NAYEYE ANAENDA HAPO TENA,??