UISLAMU NA UKRISTO IPI DINI YA HAKI MBELE YA M.MUNGU DR.SULLE NA MCH.NDACHA

  Рет қаралды 21,344

ISLAAH ISLAMIC  TV

ISLAAH ISLAMIC TV

Күн бұрын

#drsulle #tanzania #islaamic #trending

Пікірлер: 89
@samueljuma2965
@samueljuma2965 Ай бұрын
My prayer is that May God continue to lift Men like Ndacha so that people may know the truth
@abdallaabdalla998
@abdallaabdalla998 Жыл бұрын
Aliemsikia ndacha anasema kaisoma Quran yote kuanzia suratil Fatiha mpaka suratil nnasi anipe like 😂
@RamadhaniLukambuzi
@RamadhaniLukambuzi Жыл бұрын
Kaisoma lakini hakuielewa
@jumarobertonyancha8605
@jumarobertonyancha8605 Жыл бұрын
Kaiyelewa yote kuliko Dr sulle ambaye ni mkora anaitetea dini ya mtu mwarabu ambaye yuko Mecca
@RamadhaniLukambuzi
@RamadhaniLukambuzi Жыл бұрын
@@jumarobertonyancha8605 Wewe hauko tayari kuelewa na kama ni hivi basi hautaelewa kabisa;Huyu Ndacha hakuna anachoelewa katika Quran bali anawapotosha nyie kwani unaposema Uislamu ni dini ya Mwaarabu yuko Makka,Kwani Yesu unayemushabikia ni Mkenya au ni Mtanzania?Ukristo unaoufuata Makao Makuu Mbona ni Vatican;kwani huko ni Africa?Makao Makuu mengine ya Protestant yako Ujerumani,Makao Makuu ya Ukristo wa Angricana yako Uingereza,Makao Makuu ya Sabato yako USA,huko ni Kenya au ni Tanzania?Na utueleze hizo nchi ambazo ni Makao Makuu ya Ukristo Yesu alienda lini?na kwanini Makao Makuu ya Ukristo wenu duniani yasiwe Jerusalemu alikozaliwa Yesu kama kweli Yesu aliujua Ukristo?
@abdallaabdalla998
@abdallaabdalla998 Жыл бұрын
Jumaweee
@RamadhaniLukambuzi
@RamadhaniLukambuzi Жыл бұрын
Mwanafunzi wa la sita shule ya msingi anaweza kukisoma kitabu cha chuo kikuu chote lakini vilivyomo ndani yake hawezi kuvifanyia kazi na Ndacha ni sawa na mtoto wa darasa la sita anaisoma Quruan lakini haielewi na anajifanya anaelewa au anafanya makusudi?
@callennyabonyi5580
@callennyabonyi5580 Жыл бұрын
Hongera mwalimi wangu mungu akupe umri njili ya sesu hadi mwisho
@luckygmdegela8477
@luckygmdegela8477 Жыл бұрын
sesu ni nn
@RamadanPaul
@RamadanPaul Жыл бұрын
@@luckygmdegela8477 😅😅
@hurrychris2647
@hurrychris2647 9 ай бұрын
Ndacha always have points that are straightforward much-loved from you country kenya ❤
@GwamakaWilliamskiller
@GwamakaWilliamskiller 14 күн бұрын
Baba ndacha mungu akubariki sana
@maronchama6945
@maronchama6945 16 күн бұрын
Ndacha May God protect you for us
@RamadanPaul
@RamadanPaul Жыл бұрын
Mashaallah sheikh... Mwenyezi MUNGU akujalie kh'eri katika maisha yako. Tunakupenda sana Dr sulle 💪💯
@jumarobertonyancha8605
@jumarobertonyancha8605 Жыл бұрын
Hamjarie heri ya udanganyifu
@RamadanPaul
@RamadanPaul Жыл бұрын
@@jumarobertonyancha8605 .... Unaroho mbaya wewe unaonekana.... Sasa udanganyifu gani ndugu angu, wakati anakuambia Mungu ni mmoja...
@RaimamomedSaidi-wz1yu
@RaimamomedSaidi-wz1yu 4 ай бұрын
​@@jumarobertonyancha8605ndacha ndio mdanganyifu,naona wanafrahisha ulimwengu tu huyo ndacha niwakumuombea dua akafa kabisa maana anapotosha ulimwengu wakiristo.
@IbrahimYamungu
@IbrahimYamungu 9 ай бұрын
😢 masha all ndugu zangu waislam nashukul sana kwakua mungu amenifanya nikawa muislam
@leluu-sx8zf
@leluu-sx8zf Ай бұрын
Hao wachungaji wanajuwa kama dini ya kweli ni uislamu tu wao wapo kupotowa hao wanao jiona wao niwakiristo hakika mungu atawachoma moto mkali wa jahannam milele
@alhimnamussasaid3619
@alhimnamussasaid3619 Жыл бұрын
Hakika dk sule upo vizuri
@bandorajr
@bandorajr Жыл бұрын
Ndacha is a Master
@mrpeace7150
@mrpeace7150 10 ай бұрын
Ndacha mwalimu kweli kubalini tu ,anahoja kuliko sure
@imamudaawaakakuma3674
@imamudaawaakakuma3674 Жыл бұрын
Nilikuwa nawaomba watu tano waseme.......ya illahi .......يا الله
@jumarobertonyancha8605
@jumarobertonyancha8605 Жыл бұрын
Kwenda kwa mapepo
@AyubuIkaku
@AyubuIkaku 7 ай бұрын
Yaallah
@GeraldKaparata
@GeraldKaparata 7 күн бұрын
Muna lolote
@imamudaawaakakuma3674
@imamudaawaakakuma3674 Жыл бұрын
Masha allah maclin
@abasingaruka1872
@abasingaruka1872 11 ай бұрын
😮 Ndach is a techer
@MakameSilima-t7o
@MakameSilima-t7o Ай бұрын
Sule doz nikubw sana kwao ao punguza jman
@maisarah6819
@maisarah6819 Жыл бұрын
Allahu Akbar❤️
@peacemwesiga
@peacemwesiga Ай бұрын
❤❤❤❤❤❤Ndacha
@newtoniemuriithi7233
@newtoniemuriithi7233 Жыл бұрын
Huyo jamaa anasoma koran ana sauti mbovuu sanaa😢
@GeraldKaparata
@GeraldKaparata 7 күн бұрын
Huna lolote ndugu yangu
@alhimnamussasaid3619
@alhimnamussasaid3619 Жыл бұрын
Ndacha unapindisha sana maandiko unayatafsiri unavotaka wewe sio kwa uelewa wa hakki
@jumarobertonyancha8605
@jumarobertonyancha8605 Жыл бұрын
Wee kwani qurani ni ya wa christo kma imewashinda wakina sulle,mbogo Mazinge,shafi na kuria wanawadanganya eti uisilamu ni mila ya Abraham😅😅😅😅
@WAREENG1
@WAREENG1 Ай бұрын
Maandiko yepi kayageuza?
@AbdallahBingwa
@AbdallahBingwa Жыл бұрын
Ndacha umenifunza kitu na sio ushabiki
@SamuelngugiNjeri
@SamuelngugiNjeri Жыл бұрын
Same here
@albertmwangi3297
@albertmwangi3297 Жыл бұрын
Mimi pia
@maulidimanzi9964
@maulidimanzi9964 Жыл бұрын
Ndacha Hana elmu
@jumashekalage2435
@jumashekalage2435 Жыл бұрын
Huyo ndacha hana hoja
@DonnaAnderson-s8c
@DonnaAnderson-s8c 4 ай бұрын
Cartwright Ridges
@BahariaWakawe
@BahariaWakawe Жыл бұрын
Kwa mkristo anaejua ukristo hawezikubishania dini. Kwakua ukristo sio dini. Ukristo ni maisha na kwenye ukristo dini haikuoeleki peponi. Matendo na imani ndivyo vitakupeleka peponi. Kwenye uislam dini ndichikitu pekee kitakupeleka peponi. Kwahiyo kwenye madahii lazimA muislamu ashinde maana anafundishwa dini na sio imani na matendo.
@jumarobertonyancha8605
@jumarobertonyancha8605 Жыл бұрын
Uisilam ukawa nini ,kama ukristo sio dini.njoo kwenye mdahalo ujionee kwa nini kanga hakumea manyoa shingoni
@MustafaChinanda
@MustafaChinanda Жыл бұрын
Ndacha hakuna kitu
@jumarobertonyancha8605
@jumarobertonyancha8605 Жыл бұрын
Sulle sasa ndio kitu😢😢😢😢
@WillisNapenas-i2g
@WillisNapenas-i2g 4 ай бұрын
Kacie Circle
@Theesnipershow
@Theesnipershow Жыл бұрын
Dr sule maneno ndio mengi kuliko andiko wacha andiko liongee 😂
@jumarobertonyancha8605
@jumarobertonyancha8605 Жыл бұрын
Ongeza sauti bro🎉🎉🎉🎉
@LindsayOndik-m5k
@LindsayOndik-m5k 4 ай бұрын
Mills Brooks
@HershelTuppen-v5y
@HershelTuppen-v5y 4 ай бұрын
Ritchie Extensions
@LonnieTraviss-g1k
@LonnieTraviss-g1k 4 ай бұрын
Wilkinson Lock
@WayneCampbell-u8o
@WayneCampbell-u8o 4 ай бұрын
Hermann Skyway
@RobertoParadis-s6l
@RobertoParadis-s6l 4 ай бұрын
Darwin Pines
@JenniferLove-i9f
@JenniferLove-i9f 4 ай бұрын
Marvin Locks
@WernerBolfa-i7l
@WernerBolfa-i7l 4 ай бұрын
Marquardt Extensions
@RayWagner-v3b
@RayWagner-v3b 4 ай бұрын
Veronica Camp
@MwashEric-wg9dx
@MwashEric-wg9dx Жыл бұрын
Ndacha juuuu waislam hawaja jibu Hoja hata MOJA ya ndacha wao ni kukwepa tu Hoja .
@AmyVitale-e8v
@AmyVitale-e8v 4 ай бұрын
Marion Street
@danielmwakimi2416
@danielmwakimi2416 Жыл бұрын
Ndacha mashine
@franciscomtambakuluca2830
@franciscomtambakuluca2830 2 ай бұрын
Ni kweli❤❤
@luckygmdegela8477
@luckygmdegela8477 Жыл бұрын
ndacha naona unafundisha vema kabisa nami nimekuelewa kabisa
@JuliethKileo-y5o
@JuliethKileo-y5o Ай бұрын
Sule muongo Sana qhuran ilishushwa na Nani mbona hasemi
@ShannaAnn-o4m
@ShannaAnn-o4m 4 ай бұрын
VonRueden Junction
@DoyleDeblasio-l8w
@DoyleDeblasio-l8w 4 ай бұрын
Lebsack Gardens
@MillicentJorge-e8y
@MillicentJorge-e8y 4 ай бұрын
Hickle River
@MohamedStulce-g1x
@MohamedStulce-g1x 4 ай бұрын
Samanta Turnpike
@KellyLee-s5y
@KellyLee-s5y 4 ай бұрын
Hunter Oval
@AdamPaulo-x2k
@AdamPaulo-x2k 10 ай бұрын
Toa ushahidi inje na kitabu cha Quran Maana hicho kitabu ni uongo mtupu
@AntonyManeno
@AntonyManeno 4 ай бұрын
Mhamad Si Mwisilam Bali Alianzisha0 Uisilam Nae Akaifanya Ndini Ya Alla Kuwapotosha Watu Ni Mungu😢 Kwani Maneno Yalio Andikwa Kw Qurowan Yana Zungumzia MUNGU Ila Ni Mungu Wa Mhamad😢
@basilejuma
@basilejuma 3 ай бұрын
Nani kama ndachaa..hakuna
@Theesnipershow
@Theesnipershow Жыл бұрын
Usomi wa sule umemtumbukia nyongo 😅amejua hajui 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@PachaaHamad
@PachaaHamad Жыл бұрын
Hem wacha kujifariji😂😂😂😂
@ndunguruwangazi2334
@ndunguruwangazi2334 Жыл бұрын
Ndacha hakujibu swali...0%
@bassambashirou4604
@bassambashirou4604 Жыл бұрын
Wakristo hawajawahi kumiliki ufahamu Akili hata mbwa anazo Nini Maana ya DINI???😅😅😅
@DavidmarimbaKobia
@DavidmarimbaKobia Жыл бұрын
Ndacha kiboko yao
@kamishanamustafa6652
@kamishanamustafa6652 3 ай бұрын
dacha wewe ni mwali waukweli
@bigmanfish6346
@bigmanfish6346 3 ай бұрын
Ukiristo ni ujanja ujanja uongo uongo 😂😂 sio dini ya Mungu hawafati maandiko ya yesu
@NolloKizito
@NolloKizito Ай бұрын
mjinga niuy sule maelezo meng kuliko mandiko
@bigmanfish6346
@bigmanfish6346 Ай бұрын
@ SILIMU KABLA HUJAFA NDUGU UJIOKOWE NA MOTO WA MILELE ULOANDALIWA KWA WASIOKUA WAISLAMU
@SunguraShabani
@SunguraShabani Ай бұрын
KAMA UISLAM NI DINI YA KWELI NA ALLAH NI MUNGU WA KWELI KWANINI WAISLAM HAWANA UHUSIANO WOWOTE NA ALLAH MUNGU WAO 😂😂😂😂
@ChristineOsanya
@ChristineOsanya 9 ай бұрын
Sassa wewe unasema mtu bila ukristo haikingi peponi,wajua ukristo ulikuja na nani?KWA UFUPI,:ukristo ulikuja na Paulo,na Paulo alikuja kumpinga yesu, mafundisho na injili yake,na Paulo alikuwa ameingiliwa na Shetani.
@WAREENG1
@WAREENG1 Ай бұрын
Ndugu nikushauri kitu kimoja tu:- USIKARIRISHWE UONGO. Yaani kwa huu uongo wa hapa tu peponi huendi. Jifunze tu Biblia wewe mwenyewe na utagundua kweli nyingi ambazo hapo kabla ukidanganywa sana. Ukristo ni UFUASI WA KRISTO. Sasa Paulo anaingiaje hapo?
小丑教训坏蛋 #小丑 #天使 #shorts
00:49
好人小丑
Рет қаралды 54 МЛН
OOH! DR.SULLE SASA HALIWEKA WAZI BIFU LAKE NA SHEIKH NURDIN KISHIK
11:38
ISLAAH ISLAMIC TV
Рет қаралды 46 М.
Ipi dini ya kweli.Shk Mazinge and Ustdh Mwaipopo pt2
1:26:43
ALNUUR ISLAMIC DAAWAH CHANNEL
Рет қаралды 60 М.
NIMEWACHA KUWEKA MAANDIKO VIRAKA - NASAHA YA UPOLE KWA MWINJILISTI NDACHA
1:47:33