shidaaa roho ya ubaguzii inakusumbuaa au ni chotaraa wa kinyarwandaa badilikaa hakuna kurudi nyumaa tenaa enzi ya mwariiim haitakuwepo tenaa😂😂😂
@egdldm49815 күн бұрын
Hivi mtu unaishukuru Serikali kwa kutimiza wajibu wake? Unamshukuru Samia na Serikali yake kwa kutimiza kazi tuliyomtuma kama kwamba ametufanyia hisani na upendeleo? 😮