Ukisikia Ufugaji Unatajirisha NIKWELI Usibishe !! Dada Aliamua hadi Kuacha Kazi TBL

  Рет қаралды 68,824

RUBABA TV

RUBABA TV

Күн бұрын

Kazi yetu Shamba Darasa ni nikuhakikisha tunakuelimisha na kukuonesha fursa mbalimbali zinazopatikana katika sekta ya kilimo na ufugaji. Leo tupo Busekwa, wilayani magu mkoani mwanza ambapo safari yetu tumetembelea Anitha Mwombeki alimaarufu kama MAMA KUKU MWANZA mkulima na mfugaji aliepiga hatua kubwa katika shughuri zake za kilimo na ufugaji.
Story ya MAMA KUKU Inamengi sana ya kujifunza hasa kwa wewe kijana au mama ambae upo nyumbani tu na hauna chochote na pengine umekatata taamaa lakini kupitia video hii utajifunza kitu
MAMA KUKU ni moja kati ya wanawake wadhubutu na wanaojituma kuhakikisha wanafikia ndoto zao kwani aliweza kuacha kazi yake nzuri kabisa ili awe mkulima na mfugaji na kilichoendelea toka hapo kimebaki kua historia.., huya hapa tumsikilize
#ufugajiwakuku #shambadarasa

Пікірлер: 50
@aishaamwalimu2887
@aishaamwalimu2887 Жыл бұрын
Ahsante Sana.
@user-jl8wo8gg2g
@user-jl8wo8gg2g Жыл бұрын
Hongera Sana dada unabarikiwa Sana na mungu naomba unisaidie ushaur Mimi napenda Sana kufuga na ninatamani kuwa Kama wewe ila ningependa tuwasiliane nifanyeje ili niwapate hao kuku
@shabanihassanikabelela2839
@shabanihassanikabelela2839 Жыл бұрын
Maisha ya kupendeza MUNGU barikiwa zaidi mama kuku
@SilasshijaMangu
@SilasshijaMangu 6 ай бұрын
Ubarikiwe
@JacklineMwambeso
@JacklineMwambeso 3 ай бұрын
Ongera sana
@user-gg2jq8mp9d
@user-gg2jq8mp9d Жыл бұрын
Asante sana
@pendosailo1989
@pendosailo1989 3 ай бұрын
Kwenye order hakikisha mtu analipia kabisa ndio unamwekea vifaranga. Ndio wanavyofanya wenzako. Mtu alipe kabisa.
@RubabaTv
@RubabaTv 3 ай бұрын
Asante kwa ushauri
@justinemangari2890
@justinemangari2890 2 ай бұрын
@@RubabaTv mfugaji anapatikana mwanza sehemu gani,,ndg?
@mwanatz5980
@mwanatz5980 Жыл бұрын
Hongera Anita
@saysophyfarm1780
@saysophyfarm1780 Жыл бұрын
Rubaba hamjawahi kutuangusha❤❤🎉🎉
@elizabethcharles994
@elizabethcharles994 Жыл бұрын
Hi napataje vifaranga nipo kahama
@VickyMsuya-ho1if
@VickyMsuya-ho1if 9 ай бұрын
Na vifaranga ni sh ngap? Na niwa muda gani ndo unauza?
@pendomasele360
@pendomasele360 Жыл бұрын
Napenda Sana ufugaji wa kuku
@RubabaTv
@RubabaTv Жыл бұрын
Tutumie ujumbe WhatsApp 0764148221
@ibrahimshaban2361
@ibrahimshaban2361 Жыл бұрын
​@@RubabaTvnimependa sana kazi yako
@SilasshijaMangu
@SilasshijaMangu 6 ай бұрын
Nilikuwa nauliza hao kuku wanalalia mayai yao
@lifeinmiddleeast8179
@lifeinmiddleeast8179 Жыл бұрын
AkM greaters wana kroila wazuri but nadhani ujipange nilianza na 120 wakakua vyema lakin hawakutaga kwa wakati
@josephmeck-e3s
@josephmeck-e3s Ай бұрын
Dada nitawezaje pata namba yako ya cm
@RobertsonShukuru-v5r
@RobertsonShukuru-v5r 12 күн бұрын
Jambo nahitwa shukuru Niko DRC napenda na mimi kuwa mufugaji na weza fanya nini hiliniwe mufugaji
@JumaRichard-kr7hv
@JumaRichard-kr7hv 4 ай бұрын
mimi binafsi napenda ufugaji,naweza kuwapataje hawa kuku wa cloilar
@leahsamwel1931
@leahsamwel1931 11 ай бұрын
Nawaitaji please kwa dar naweza kupata????
@RubabaTv
@RubabaTv 11 ай бұрын
Wasiliana nasi 0764 148 221
@cyprianbenedicto1566
@cyprianbenedicto1566 2 ай бұрын
Namba hii ni whatap ama kawaida
@RubabaTv
@RubabaTv 2 ай бұрын
Whatsup
@pendomasele360
@pendomasele360 Жыл бұрын
Nawezaje kupata mawasilino ya Anitha?
@EMMANUELKIJINZA
@EMMANUELKIJINZA 4 ай бұрын
Kuku unawa manange vip katka changamoto ya kuchangia mayai
@user-oz4ow6fh6m
@user-oz4ow6fh6m 10 күн бұрын
Nawapataje
@RubabaTv
@RubabaTv 10 күн бұрын
0764 148 221
@VickyMsuya-ho1if
@VickyMsuya-ho1if 9 ай бұрын
Ninahitaji hawa croiler niko moshi kilimanjaro nitapataje hawa kuku
@carolinemasonga163
@carolinemasonga163 Жыл бұрын
Hongera Sana Mama Kuku,. Kweli ufugaji unalipa. Nami nafuga kuku aina ya Sasso pia natotolesha vifaranga Niko Dar es salaam. Mwanza ni home maeneo ya Kirumba nikipata likizo nitakutembelea mfugaji mwenzangu tubadilishane mawazo katika ufugaji.
@latifarahim8992
@latifarahim8992 10 ай бұрын
Dar sehem gani naitaji ushauri wako
@RubabaTv
@RubabaTv 10 ай бұрын
Wasiliana nasi 0764 148 221
@JumaRichard-kr7hv
@JumaRichard-kr7hv 4 ай бұрын
Hongera mama kuku, nataka na mimi nipate hao kuku.
@priscillagastory7778
@priscillagastory7778 11 ай бұрын
Ninapenda sana ila sijui namna ya kuwafuga nnafuga za kienyeji lkn kwa biashara nnasumbuka siona faida vzr
@RubabaTv
@RubabaTv 11 ай бұрын
Wasiliana nasi 0764148221
@muskrilcardo9372
@muskrilcardo9372 Жыл бұрын
si wateja wakulipe deposit, aki change mind hio pesa unakura!!!!
@michaelkaliuli-zb3hi
@michaelkaliuli-zb3hi Жыл бұрын
Napenda kufuga xan
@RubabaTv
@RubabaTv Жыл бұрын
Karibu tukupatie elimu na usaidizi 0764148221
@josephnjellah280
@josephnjellah280 Жыл бұрын
Assnta mimi nipo mbeyanitapateje maysi
@RubabaTv
@RubabaTv Жыл бұрын
Wasiliana nasi 0764148221
@kiumbeabdul
@kiumbeabdul Жыл бұрын
Asante sana, mimi napenda ufugaji huu, lakini napataje vifaranga na nipo Mozambique 🇲🇿?
@RubabaTv
@RubabaTv Жыл бұрын
Asante kwa kua nasi. Wasiliana nasi tukuunganishe na wakala wa vifaranga "MAMA KUKU"
@naomimaduhu3347
@naomimaduhu3347 Жыл бұрын
Mtetea ana Bei gani
@RubabaTv
@RubabaTv Жыл бұрын
Kuanzia elfu 12
@ibrahimshaban2361
@ibrahimshaban2361 Жыл бұрын
🎉kwa dar tunapataje
@pendomasele360
@pendomasele360 Жыл бұрын
Niko kakola nikihitaji mayai naweza pataje
@RubabaTv
@RubabaTv Жыл бұрын
Wasiliana nasi 0764148221
Fake watermelon by Secret Vlog
00:16
Secret Vlog
Рет қаралды 3,8 МЛН
Magic trick 🪄😁
00:13
Andrey Grechka
Рет қаралды 69 МЛН
PART 1: UTASHANGAZWA NA UWEKEZAJI HUU/ NG'OMBE ANAUZWA MILIONI 30
31:59
UFUGAJI WA KISASA WA SAMAKI KWENYE MABWAWA
9:36
Mbeyainfo TV
Рет қаралды 10 М.
Nilianza na Kuku 8 wa Kienyeji, Lakini Nimezalisha Kuku wa Kienyeji 300
10:37
ULEAJI WA VIFARANGA WA KIENYEJI KWA NJIA YA KISASA
10:27
Changamkia Fursa
Рет қаралды 295 М.
Fake watermelon by Secret Vlog
00:16
Secret Vlog
Рет қаралды 3,8 МЛН