Tuliokuja kuangalia baada D voice kuimba njoen hapa 2025
@fahadsalum74787 күн бұрын
Tupo
@binsururu Жыл бұрын
Mshindani wa Omar Kopa alikuwa ni Omar Kopa mwenyewe❤
@greatiq78353 жыл бұрын
Allah ghfir lahu, wa rhamhu wa skanhu fil Jannat!
@mohammadswaleh31943 жыл бұрын
Allah akulaze lahali pema peponi ameen inshaallh 💔🥺😭😭😭😭😭😭
@HuseinKimolo Жыл бұрын
Mungu akupunguziye adhabu ya kaburi akupe raha ya milele
@zuhurambonde69594 жыл бұрын
Siishi kukuangalia almaruhumu omari kopa japo haupo mungu akupe kitabu chako kwa mkono wa kulia
@bwakahamisi96078 ай бұрын
2024 listening 👂 KING 👑 OF ALL TIME OMAR KOPA ❤
@OmarMohamed-bp9ix4 жыл бұрын
Zanzibar beautiful island,,, nyumbani ni nyumbani tu kwengine tunatafuta maisha tu,,,nitarudi tu Zenji,,,skuli yangu Haillesalissie na Tumekuja,,,,nipo Cameroon
@hassanferej85532 жыл бұрын
P
@hassanferej85532 жыл бұрын
Pamoko
@rahmasalum98142 жыл бұрын
Home sweety home
@husseinsalimbora35343 ай бұрын
Pamoja sana kutoka United States 🇺🇸.
@SideMuuАй бұрын
Kribu ten hailersalasissie ukija huijui ten mwanngu imeboreshwa
@abdoben86592 жыл бұрын
Très belle voix et une magnifique musique j aime beaucoup 🇩🇿🥀🌸🌷🌹⚜️⚜️⚜️⚜️⚜️🌺🌻🎼🎵🎵🎵🎵❤️🌺🌻🎶⚜️🌹🌷🌸🥀🇩🇿
@saidharith56434 ай бұрын
Niko hapa 2024 🎉 haitokei kama huyu mwamba
@lamymmwasango41012 жыл бұрын
Sema innikumbusha mbali sana,Allah akufanyie wepesi Kila penye uzito Juma wangu🤲missed💔
Omar had a very beautiful voice...and he never struggled with it...it oozed naturally ❤
@dimitrijamjamur4676 жыл бұрын
Aiseeee.... huu wimbo ni hatari... kijana aliweza sana
@aminakassim82725 жыл бұрын
Ulijua kuimba+kucheza pia. Pumzika kwa amani Omary Kopa
@mashango21092 жыл бұрын
Best Singer,Allah akupe kauli thabit
@aishaphilip67603 жыл бұрын
😭😭nyimbo inakosha jmniii Allah mrehemu mja wako ,,Amiin
@RashidRashid-xb3sf Жыл бұрын
Hatufiki mahakamani kesi ni yetu wenyewe ww unisifu mm nami nikusifuwewe
@Faridaabdallah-m6y3 ай бұрын
Ange kuwepo mpaka leo cjui ingekuwaje huu mziki jaman❤❤❤
@AmanSaid-u6o6 ай бұрын
Mwenyezimungu amfanyie wepesi kaburi lake
@salamamasoud32732 жыл бұрын
Innalillah wainna ilaih rajiun 😭😭😭😭miss more Omar
@mushken655 жыл бұрын
Nilimpenda sana. Mungu amupe kauli thabiti na amueke kwenye mkono wake wa kulia.
@fauziahussein13066 жыл бұрын
Mungu akulaze pema penye wema....,..amin
@omarihussein70964 жыл бұрын
Mungu akulaze maala pema ameen
@saadanaufal-pe2zn Жыл бұрын
Dalila Naufali 2023❤
@saidmasoud45506 жыл бұрын
Allah aiweke roho ya marehem peponi amina
@TheKaramanid3 жыл бұрын
2022 listening 👂 haiishi Hamu sauti ya kutoa mzungu ulaya
@zuumohaa42822 жыл бұрын
Ma favorite tarab I can listen to dis more Dan 5 tyms .. Allah akurehem
@tamashaharuna9345 Жыл бұрын
Mashaaallah Allah amuondolee adhabu ya kabirin na apumzike kwa amani
@fatmhaarr7129 Жыл бұрын
🤲🏾🤲🏾🤲🏾🤲🏾
@josphineodongo94537 жыл бұрын
Daaaaahh mwenyezi mungu,ni kweli twapita die sote, ni ujumaa sana
@semenayub35516 жыл бұрын
omari kopa we mungu akufanyie wepes akupunguzie adhabu ya kabl
@SubiraMohamedy-ev9ed6 ай бұрын
2024 bdo naskiliza huu wimbo na sijawah kuuchoka,,
@fatmhaarr71295 ай бұрын
Tuko pamoja
@tatianatataa14896 жыл бұрын
Sasa taarab ilikuwa ndio kama hivi 😍😍 RIP Omary Kopa
@aishaarusha894 Жыл бұрын
Ishakuwa mibibi hawo wanawake 2023
@nadeerkhamisabdallah28497 жыл бұрын
Mwenyz mungu amlaze mahala pema peponi
@zenasuleiman26743 жыл бұрын
Mungu akusamehe
@mwanahalimamwachili96797 жыл бұрын
Allah akulaze pema ln shaa Allah, Aamiin.
@rajabumwero7312 жыл бұрын
Was a true taarab Guru
@ismailmukama89307 жыл бұрын
we miss your sweet voice! Mungu akurehemu!!! RIP
@wag1fam9587 жыл бұрын
ismail mukama inshaallah
@mbodzebemasika74775 жыл бұрын
Allahu Akbar emagine ndio namuona sura leo..who uploaded this😭😭😭😭😭😭😭Allahumma arhamhumma wasakanah filjanna
@assmasalim15815 жыл бұрын
Amiin
@fathumramadhan7567 Жыл бұрын
amiin thumma Amiin
@thedon84677 ай бұрын
Bin Seif uyo
@KassimGomez3 ай бұрын
Amiin
@salumjuma19917 жыл бұрын
mashallah atokei MTU anae juwa kuimba km marehemu Omar kopa mpaka sasa hayupo hebu sikiy maneno yak
@tunehamad85156 жыл бұрын
hakuna aliejipodoa hapa lakin ingelikuwa sasa ungewaona wanawake walivojimekapu
@tunehamad85156 жыл бұрын
good sana
@fesalchambuso80236 жыл бұрын
yaaanii wewacha tuu
@nmpearluganda13406 жыл бұрын
Maneno yako sadakta
@omarjuma76795 жыл бұрын
Xwa xwa hamna anaeweza kuimba kma marehem
@bwantanfumo42836 жыл бұрын
maashallah nice song.we remember with this song.
@juliusmwinga40514 жыл бұрын
Mashaaallah Allah akuajalia pepo Omar Koppa..
@jasminishafii54782 жыл бұрын
Hiindotarabu mashaallah
@salehkhamis86533 жыл бұрын
Tokea aondoke Omar kopa mziki wa taarab umepungua kasi Zanzibar
@salimfeisal74394 жыл бұрын
Mungu amlaze mahali pema peponi
@khaltumaali40384 жыл бұрын
Allah akuepue na adhabu ya kabri
@amanimyolo14782 жыл бұрын
Alah akurehemu
@eliasjanuary5941 Жыл бұрын
Naikumbuka hiyo siku vyema Sana r.i.p omar
@switnush58855 жыл бұрын
King of Taarab💖💖💖💖
@KassimGomez3 ай бұрын
❤❤❤❤❤
@ayshamahariq66656 жыл бұрын
R.l.P Omar kopa mungu Akupe mema yako kwa mkono wakulia 😂😂
@swalehelshabiby59155 жыл бұрын
Warembo pole pole jamani jasho ya macho yanitoka 😂😂🖐
@Legends_Interviews3 күн бұрын
MJ WA AFRICA
@ahmedyoung73007 жыл бұрын
beautiful island Zanzibar
@fakihyussufmohamed23784 жыл бұрын
Amazing♥️♥️♥️
@zachariamasanja41983 жыл бұрын
dah 👐
@greatiq78353 жыл бұрын
"Madanga" kwa sannnnaaaaaa!😂
@oswaldrangi8747 жыл бұрын
Mashallah Omar Yusuph Kopa
@mariamathew68587 жыл бұрын
kizuri hakidumu
@salamasaidayoub67792 жыл бұрын
Huu wimbo ni 🔥
@Haasanjune2 жыл бұрын
Samahani Alifariki mwaka legend
@lailahasan22005 жыл бұрын
Hiz ndo taarabu,, imepoa mpk raha, tamu balaa,, R. I P...
@zuhrazuhra40514 жыл бұрын
😥❤
@ismailmjeshi73784 жыл бұрын
@@zuhrazuhra4051 sema unapenda nn.....
@ismailsalim88532 жыл бұрын
Imewza sanaaaaa
@BIGBOSS-hl3bu8 ай бұрын
Watoto wa elfu mbili wanapata tabu kujua hizi pesa ni dollar au nipesa gani ya tz ilikuwa na rangi hii waambieni please😂😂😂😂31/05/2024
@aminakassim82725 жыл бұрын
Do very nice voice
@rahmasimba76076 жыл бұрын
Kama mapenzi ya ndani nikuongezee dah song taam.
@mwashashasaid37006 жыл бұрын
Yani hii nyimbo naipenda kwel...R.I.P...omar kopa
@mwanaishasultani32824 жыл бұрын
Naipenda hii nyiimbo jamani
@georgekoi68415 жыл бұрын
He was my favourite
@salembalfaqeeh7 ай бұрын
جميل جدا ❤
@happynelson11363 жыл бұрын
Huu ukimwi umewamaliza watu wengi tangu hapa afya yake haikuwa nzuri na wala sio pombe na sigara kama mama yake alivyosema mimi nakunywa pombe kila siku na nipo bonge na sipungui mpaka niache pombe
@aishaarusha894 Жыл бұрын
Sawa mama yake omary kopa😅
@zuwenasalim27948 ай бұрын
Ulimpima kumbe ,kufa niibada kuishi ni bahati, uwe na ukimwi uwe na homa kufa kupo tu mshukuru Mola pumzi aliyokupatia
@jumakulewa2312 жыл бұрын
Woo nice voice
@richardgatungu37595 ай бұрын
Mashaallh
@saadsalum32535 жыл бұрын
ingekuwa kisomo chakur_an bure musingekwenda hapo lkn kwa vile nimoto mnajazana na hela zenu kutowa ama kweli bilisi anaakili sana anawajaza tu ni mijanadume umeenda at na wake zao ina lilah waina ilahim rajghuni msiba mzito huuu
@mammyyassie73225 жыл бұрын
Dunia hadaa. Allah atupe mwisho mwema. Awarehemu maiti zote kwa jumla.
@rahmasimba76076 жыл бұрын
R.I.P Omar kopa mungu akulaze maala pema pepon.
@aisharajimbo67844 жыл бұрын
Inna lilahi wa Ina ilaihi rajiun mungu ailaze Mahali pema peponi roho yake Insha_allah
@zamzamhassan41596 жыл бұрын
huyu alikuwa mwimba taarabu nasauti alijaliwa kuitumia mashairi pia alijua kuyatunga
@ankallypandu87813 жыл бұрын
Zamzam unaoneshea ulimkubali sana marehem omar yussuf kopa
@zamzamhamisi73327 жыл бұрын
Ladha yaaaaaaaaaako ni tamuuuuuuuu
@EmilianaDavid4 ай бұрын
kifo hiko jaman
@latifahsalum34795 жыл бұрын
Rip Ommy
@kassimdaroueche64774 жыл бұрын
que dieu t'accepte le paradis
@aiashajuma14025 жыл бұрын
hakuna aliyekuwa anampata omar kopa kwa sauti
@carolinenjokikangangi52644 жыл бұрын
Continue resting in peace
@RioIpo6 жыл бұрын
Asante Kopa wangu
@kassimmwinyi21385 жыл бұрын
R.I.P
@TheAmadoni2 жыл бұрын
Mashallah
@maarufmohd18052 жыл бұрын
Lal salam
@dukanmchina66146 жыл бұрын
bomoa wee tutajenga keshoo hahaha
@tariqalkindi80454 жыл бұрын
He is nice does he still sing ?
@sudaissoud36704 жыл бұрын
Alread died
@tariqalkindi80454 жыл бұрын
@@sudaissoud3670 oh sorry to hear this so young very lovely voice