Asalmlkum sheik nauliza ukiwa una quruan ya tasiri wapata tawabu pia na ananiya kusoma ajuye ya kiarabu ishaalla
@eshasaid32586 ай бұрын
Shukran zote zi kufikiye popote ulipo ❤❤❤❤❤na duwa jema twakuombeya ❤❤❤❤❤ allah akupe uzima ❤❤❤wa kuogoza dini❤❤❤❤❤indhaallah amini❤❤❤❤❤❤❤
@twizerimananuru1336 ай бұрын
Shukran sheikh,Allah ukupe Umri mrefu watu. Wanufaike na mawaitha yako
@2009smz6 ай бұрын
Alhamdulilah! Barak Allah fik Sheikh
@fatumakushonda42776 ай бұрын
Swali lng nataka kuchinja idd y kuchinja, lkn sijamfanyia aqiqa mtt wng je n mchinjie mtt ama nifanyenje kati y hayo
@mbaroukali83966 ай бұрын
Ustadh hii hukmu ya kuona mwezi tusizungumzie nchi nyengine sheria ni tumsikilize kadhi wa nchi basi, tusiongelee hayo mengine babaishana.¡!!!
@MSELLEMSWELUMYAHYA6 ай бұрын
As Salam aleikum swali langu n kuhusu mtu yuko kwenye Saum alafu akaenda haja ndogo alipo maliza akajisafisha kwa bahati mbaya. Mani yakamtoka je Saum yako yafaa
@hajiathman71956 ай бұрын
Asalam alkum, Hukmu ya kutomfuata chief kadhi ni nini?
@mbaroukali83966 ай бұрын
Mke wangu hamuhishimu mama yangu mzazi na ndugu zangu nini nifanye kama mie ni mums?