A.alykum sheikh ungetuandikia ungefanya vzuri sana maana unsoma kwa haraka hatuelewi
@sfiaalanazi5479 Жыл бұрын
Mashaallah shekh wetu mola akupe umri mrefu uzidi kutuelimisha afadhali biashara mara kumi kuliko kuteseka huku saudi wallah
@yahayaramadhani6418 Жыл бұрын
Shekhe, Allah akuzidishie Umri ukweli unatuerimisha vizuri.
@abinandrimana7150 Жыл бұрын
asalaam aleykum shukran sana kwa dua ila ningefurahi sana kama ungetuandikia Dua ambao hatuwezi kupata kitabu
@zainabumavura4270 Жыл бұрын
waisilsm tunaangamia kwa kukosa elimu, ni bora kusoma kwa bidii Allah akuhifadh ustadh kwa kutupa elim
@ahmedshariffu2108 Жыл бұрын
Kwa kweli tunakosa maarifa mwsho tunaendelea kuibiwa na watu wanaojiita waganga Allah atupe wepc ktk kumuekeya yeye zaiidi
@MsambyaRonald-ou9vl Жыл бұрын
Mashallah, Allah azidit kukupabdisha daraja.
@bobomuamarg3856 Жыл бұрын
Allah Akulipe kila yalio ya Kheri sheikh wetu. Lakini kwa Ihsani yenu tungeomba kama itawezekana : 1-IYI DUWA YA MWISHO TUNGEIPATA KWA MUANDIKO INGEKUWA VIZURI MNOO ! 2-Utuelekeze ni Sura ya ngapi ndani ya Qor'ani na Aya ya ngapi hadi aya ya ngapi .kwa Aya izo zote umetoka kutufundisha .
@OmarMohammad-zn7feАй бұрын
Habib Muhamed Maaruf
@omanmct135 Жыл бұрын
Mashalllah
@kassimsleyman8594 Жыл бұрын
Allha akulipe kila lakheri
@zainabumavura4270 Жыл бұрын
waisilam tunapotea kwa kukosa elimu dunia sasa hiv ni kijiji tusomeni jaman
@TheMainMan018 Жыл бұрын
Mashaallah
@missabubakar6488 Жыл бұрын
Mashallah 🥰 masomo yenye siri
@Shafaakallwahhu Жыл бұрын
Maaashaaaaallwahh kwa sote
@MesalimRashid Жыл бұрын
Nafikiri inaletwa n haya manyimbo y ovyo ovyo .mioyo imesusuwaa ukipanda matatu tu haniii mtiani Allah atuongoze tuwe wema.
@omanbarka2053 Жыл бұрын
Asalam aleykum warahmatullah wabarakaatuh vp hali yako tuandikie hiyo dua inshaallah
@saidkhalifa2649 Жыл бұрын
Mashaallah vizuri sana lakini bora zaidi uandike kitabu kwa sababu maelezo nimengi si rahisi mtu asiejuwa kusoma kukuelewa
@TheMainMan018 Жыл бұрын
Inshaaallwaa nipo mbioni kufanya uwandishi wa kitabu,dua zenu muhimu
@florencenuru4687 Жыл бұрын
Waeza ombea mkristo hio dua
@Shafaakallwahhu Жыл бұрын
Unaweza kumuombe yeyote
@saidmkashari6002 Жыл бұрын
Assalamualaikum hiyo Dua tuandike mwalimu Dua hiyo
@Shafaakallwahhu Жыл бұрын
Inshaaaallwahh nitafanya hivyo
@MesalimRashid Жыл бұрын
Dooh ndio maana tukaambiwa wanunazilu Minal quran maa huwa Shifaa wa rehmati lil muuminun..lkny hatuzingatii c jui tuna nn.
@saidkhalifa2649 Жыл бұрын
Mashaallah vizuri sana lakini bora zaidi uandike kitabu kwa sababu maelezo nimengi si rahisi mtu asiejuwa kusoma kukuelewa