Рет қаралды 2,486
Ni mafundisho katika mada Unakwama Wapi..? Mada ambayo imetolewa na Padre Dkt Faustine Kamugisha Paroko wa Prokia ya Mt Yohana Maria Muzeyi Minziro Jimbo Katoliki la Bukoba, kwa Waamini wa Kanisa Katoliki katika Parokia ya Maramba mawili Jimbo Kuu Katoliki la Dar es salaam.