UNAPO KANYAGA MAFUTA YA UPAKO HAYA HUTOKEA.

  Рет қаралды 295,538

ARISE AND SHINE TANZANIA

ARISE AND SHINE TANZANIA

3 жыл бұрын

Maelfu ya watu wa pokea upako wa papo kwa papo baada ya Mtume Mwamposa kuachilia upako na kuwaombea
#ariseandshinetanzania# shuhuda #mwamposalive #2021mwakawaimani.

Пікірлер: 452
@sponsamapunda2130
@sponsamapunda2130 3 жыл бұрын
Namshukuru Mungu kwakumtuma mch Mwamposya anafanyika baraka,Amina
@purityneema218
@purityneema218 2 жыл бұрын
Amen amen 🙏🙏 napokea uponyaji ki uchumi na kiafia kwa jina la yesu kupitia madhabahu ya inuka uangaze 🙏
@janejohn4257
@janejohn4257 3 жыл бұрын
amen napokea mtoto wakiume kwa jina la yesu na mwanangu Dominic atakuwa kichwa na simkia shulen kwa jina la yesu
@gracekalindo6632
@gracekalindo6632 2 жыл бұрын
Napokea kwajina la yeah kristo
@noelahonest4105
@noelahonest4105 2 жыл бұрын
Napokea uponyaji kwa jina la yesu
@LAMBOMICHAEL-fq1bh
@LAMBOMICHAEL-fq1bh 10 ай бұрын
Ewe duara sikia sauti hii ya mtume wa wa Mungu Buldozer Mwamposa, andika leo mafanikio yangu, ewe ardhi ,ewe mwamba uliyeko hapa duarani futa umaskini wangu kwa jina la Yesu Kristo. Naomba dhahabu hapa duarani kwa jina la Yesu Amen.
@jaclinedaniely2563
@jaclinedaniely2563 3 жыл бұрын
Eeee mungu mlinde mtoto wangu ,naomba ufungue mlango wa kazi mpya juu yangu
@JamilaomariMuhamed
@JamilaomariMuhamed 2 ай бұрын
Nashukuru mungu kwa upako huu nimefungua biashara yangu ya mama ntilie naomba mungu nisaidie
@rehemarachide4085
@rehemarachide4085 2 жыл бұрын
AMEN napokea uponyaji na anafunguliwa maisha yangu na família yangu kwa jina la yesu alie hai napokea watoto watatu mapacha wakiume 2 n wakike 1
@user-mk4sm3tg5l
@user-mk4sm3tg5l 9 ай бұрын
Naomba mume wangu aachze tamaa za wanawake wa nje napokea amina
@rosegukula4445
@rosegukula4445 2 жыл бұрын
Kwa Iman tapona magonjwa yanayonisumbua kwa jina la yesu kristo Amen 🙏🙏🙏
@teresapaulo7680
@teresapaulo7680 2 жыл бұрын
Kwa iman tapona magonjwa na nizaie watoto mapacha wakike
@reyjohnson624
@reyjohnson624 2 жыл бұрын
Asante MUNGU kwa kunifungua nakuniponya kupitia madhabahu hii nimepona kuanzia sasa ndoa yangu imerudi kuanzia sasa nimepata kazi nzuri kuanzia xaxa ukoo wangu ukanjitenge na madhabahu ya kichawi na nimeachiliwa na nimeondoka kwenye madhabahu ya kichawi kuanzia sasa nimefunguliwa kizazi changu nimeponywa UTI na Fangas nimetolewa kwenye ndoa za majini mahaba wasinitese tena kwa jina la YESU KRISTO AMINA
@priscachaula4429
@priscachaula4429 Жыл бұрын
Asante sana mungu wa madhahabu hii naomba unifungue
@juliethngelangwa2280
@juliethngelangwa2280 2 жыл бұрын
Mungu nijalie niweze kupokea muujiza wa kumpata mme wa maisha yang naamini amina
@JamilaomariMuhamed
@JamilaomariMuhamed 2 ай бұрын
Mungu nigunguo vifungo vyote nifungue mm na familia yangu na bibi yangu apone kabisa mungu nisaidie
@mamamikuwa4991
@mamamikuwa4991 3 жыл бұрын
Naamini mwanangu Hellen ajira mpya anapata kwa jina la Yesu kupitia madhabahu ya Arise and Shine Amennnn
@atanito1327
@atanito1327 3 жыл бұрын
Naamini leo ninaponywa naamini leo nikambolewa kwa jina la yesu naomba naza anipende udat animis kupitia madhabau ya mwamposa amen
@bundalailala8901
@bundalailala8901 2 жыл бұрын
Mwaposa
@Latifa-ck9hi
@Latifa-ck9hi 4 ай бұрын
Mungu baba wa mbinguni tenda miujizajuu ya maisha yangu yote na familia yangu yote na mchumba wangu abdala tufungue kiuchumi tunge ndoa kilahis tuzae watoto na mali ziongezeke kilahis tuinuke na kuangaza kila sehemu ya maisha yetu yote nataka mapacha wa kike na wakiume tuzae kilahis katika jina la yesu kristo ameeeeeeeeeeeen
@fatumanachilapa8412
@fatumanachilapa8412 2 жыл бұрын
Asante mungu kwa uponyaji wa mwili angu
@sagudamaduhu-yf9se
@sagudamaduhu-yf9se 7 ай бұрын
Mungu baba wa mbinguni akulinde, akutunze, akuhifadhi, akuongoze na kukupa maisha marefu said ya miaka 100, uendelee kutukomboa. By the name of jesus AMEN.
@annaanyigulile2479
@annaanyigulile2479 3 жыл бұрын
Amina namimi naamini kuanzia leo mungu wa isaka mungu wa elia ameniponya kwenye masomo yangu
@dulasaid8944
@dulasaid8944 Жыл бұрын
ppppppp
@juliethngelangwa2280
@juliethngelangwa2280 2 жыл бұрын
Mungu nijalie neema niweze kupokea kupokea upako hata kama nipo mbali naamini kupokea
@silvia5351
@silvia5351 3 ай бұрын
Mungu naomba uzao wote María Kiara kukombolewa na vifungo vyote vya magonjwa kutoka, yesu kristo , vifungo vyote vya matumbo, mungu naomba kufungua zao wa familia ya Fredy Kisto kuishi maisha marefu nazao wa mapacha wakiume mfulilizo mara nne, familia ya Atanasia na zao wake wote Mungu naomba upatie watoto mapacha wakiume mfulilizo mara tatu,
@EsterSelemani
@EsterSelemani 9 ай бұрын
Amina mtumishi wa mungu napokea uponyeji na familia yangu nakataha roho ya magonjwa napokea kufunguliwa uchumi wangu 🙏🙏
@kamakiamollel1728
@kamakiamollel1728 9 ай бұрын
Mungu kupitia madhabah ya arise and shine walionitapeli kupitia njia ya mtandaoni mungu nataka kurudishiwa hela zangu kwa damu ya yesu kristo
@gambastephano2256
@gambastephano2256 2 жыл бұрын
Amina kubwaaaaa nabarikiwa mtume
@dolishenery3012
@dolishenery3012 Жыл бұрын
Na iman napokea pamoja na familia yang amina
@kalaluwakisaka3211
@kalaluwakisaka3211 3 жыл бұрын
Amen nimepata Kazi kupitia maombi Ya MTUME MWAMPOSA
@jacobmwiru3877
@jacobmwiru3877 3 жыл бұрын
Mtumishi wa Mungu naomba huduma yangu isonge mbele kama wwe
@magrethmvwango2682
@magrethmvwango2682 Жыл бұрын
Mungu kwaimani naomba niponye na kunipigania nakataa mikosi ninayo tupiwa kwenye Manisha yangu mungu naomba niponye na familia yangu, mungu mguse nitride arudi nyumbani kama kuna Pepo kwenye mwili wake ritoke Kwa Nina la yesu, mungu mfungue Emanueli mnyogele nguvu za Giza zilizo mshikilia zitoke Kwa Nina la yesu, mungu kwaimani namiini jina laki linaponya mungu alie nitamkia kifo kwaimani kifo kimrudie yeye mwenyewe ameni
@leilabakary
@leilabakary Жыл бұрын
Amen
@user-mk4sm3tg5l
@user-mk4sm3tg5l 9 ай бұрын
Naomba pesa zote alizo honga mume wangu wote alio wapa wanirudishie mara moja naomba unitendee miunjiza amina
@rashidingowi5548
@rashidingowi5548 8 ай бұрын
napokea muujiza wangu kwa kujiungamisha na ibada ii kila kitu kinaenda kufunguliwa kwa jina la yesu
@user-lj7pl1yx6q
@user-lj7pl1yx6q 9 ай бұрын
Ameeeeen napokea kufunguliwa
@Ernest-ry9ty
@Ernest-ry9ty Жыл бұрын
Naamin kwa jina la yesu kristo kwa nguv ya uponyaj na pona magonjwa yote yanisumbuayoo aminaa
@mch7434
@mch7434 3 жыл бұрын
Amen nmebarikiwa mung azidikukupa hudumaa
@kalumbamwato7284
@kalumbamwato7284 2 жыл бұрын
Nilikuwa nasikia kichua napata uponyaji Amen papa mungu Akum bariki saaaaaaaaaaaaaaaaana
@muttaadrian5650
@muttaadrian5650 3 жыл бұрын
Ameen 👏. Nahisi kupona mguu wangu ambao umenisumbua mwaka mzima na miezi miwili sasa.
@asteriambwei3349
@asteriambwei3349 2 жыл бұрын
Mungu niponye na maradhi yanayonisumbua niponye na bariki kazi ya mikono yangu
@aminasaidi2486
@aminasaidi2486 2 жыл бұрын
amiina napokea
@valencematutuli9269
@valencematutuli9269 2 жыл бұрын
Mtumishi WA mungu ...mungu aziki kukupa uzima nanguzu zaidi
@rashidingowi5548
@rashidingowi5548 8 ай бұрын
na mm naomba mungu anifungulie mambo yangu leo yote kwa jina la yesu
@yunusiwafaume1191
@yunusiwafaume1191 Жыл бұрын
Mwenyezi mungu nifungulie kwa kuniunganisha na madhahabu ya nabii Boniface toa vifungo na mikosi na chuki toka kwa watu ndugu na watoto
@katushabedotto2883
@katushabedotto2883 Жыл бұрын
Asante yesu kwa kupitia madhabau hii nitapona na nitapata Kaz na isiwe na vikwazo yeyote Ile nahamini nimekombolewa
@patelmbanzi5139
@patelmbanzi5139 2 жыл бұрын
Leo nataka nijue kingereza mtumishi wa Mungu amina
@marrymkwama897
@marrymkwama897 2 жыл бұрын
Kwa Imani tutapona magonjwa kwa jina la yesu kirsto maana kwake Hakuna Gumu linaloshindikana IMANI JUU YA IMANI🙏🙏🙏🙏🙏
@agnesmangamawalla4371
@agnesmangamawalla4371 2 жыл бұрын
nguvu za mungu zimeniachia asante yesy kwakunibariki mimi na watoto wajukuu na waumè zao
@KishaMulokozi-en7cc
@KishaMulokozi-en7cc 10 ай бұрын
Naomba nipone Figo na kama kuna mawe kwenye mirija yatoke pia naomba nipate Pesa ya kulipa Ada na familia yangu Mungu aiongoze Kwa jina la Yesu amen.
@meshackrocky3796
@meshackrocky3796 2 жыл бұрын
Maana umbali si tatizo naamin leo nakuombolewa ni katika jina la yesu kristo amen
@shukurumunuo8638
@shukurumunuo8638 2 жыл бұрын
Napokea uponyaji katika jina la yesu🙏🙏🙏
@mamamikuwa4991
@mamamikuwa4991 3 жыл бұрын
Napokea uponyaji nakufunguliwa napokea mafao yangu ndani ya mwezi huu wa nne Amen
@rizikikatana6783
@rizikikatana6783 3 жыл бұрын
Naamin nmepokea uponyaji na baraka katika Jina la Yesu
@annastaziamussa-vg7vm
@annastaziamussa-vg7vm 11 ай бұрын
Ameen🙏🙏
@user-mk4sm3tg5l
@user-mk4sm3tg5l 9 ай бұрын
Na imani napokea kwa yale maombi niliyo andika maombi 12 unapokea miujiza yako amina
@vedianamgube911
@vedianamgube911 2 жыл бұрын
Mungu naomba uniunganishe na mchumba angu deo uweze kuniunganisha nae baba fungua maisha yangu nimechoka na haya maisha nilio nayo baba naomba mkono wako kwangu mungu
@neemamaiko1342
@neemamaiko1342 2 жыл бұрын
Ubaryikiwe sanaaa mchungaj
@godfreylucas1818
@godfreylucas1818 2 жыл бұрын
Napokea uponyaji kwa jina la Yesu kila uVimbe navifungo vya uzao wangu leo vinaniacha kwa jina la Yesu naenda kupokea mimba kwajina la Yesu mtoto wangu awe na. Akili shuleni na kila mbaya asifanikiwe kwajinala Yesu amen
@analucas7606
@analucas7606 Жыл бұрын
Mundo said sana amen
@analucas7606
@analucas7606 Жыл бұрын
Xtou apdir minha doença sair no meu corpo sida H.l V. Quero ficar muito bem corpo . gorda quero ter emprego , casa , so tenho um filho quero outro filho cm Celso santo Unduku! Quero ele deixar brincadeira com mulher de spostar do estado da mulher, quero sim ele voltar pra sempre cmigo
@analucas7606
@analucas7606 Жыл бұрын
Quero qui ele pensar em todo dia cnhecer Minha mae com meu pai , eu tambm cnher familhar, eu nao quero namora cm outa pessoA . eu quero qui ele mim responder tudo dia mesmo ele sentir mas eu nao mim porta eu xtou com deus mim salvar nossa vida 🙌😭🙅xtou asegir senhor jesu amem ele vai voltar comigo?
@analucas7606
@analucas7606 Жыл бұрын
Amen
@jaclintarimo774
@jaclintarimo774 2 жыл бұрын
Amina napokea kwa jina la yesu mungu ukaniponye tumbo langu kwa jina la yesu namwanangu nancy akawe kichwa shuleni kwa jina la yesu napokea
@konsesalaurenty9047
@konsesalaurenty9047 2 жыл бұрын
Mamuomba mungu anipe amani ktk familia yng
@jeandedieuruhigisha2329
@jeandedieuruhigisha2329 Жыл бұрын
🤲
@jeandedieuruhigisha2329
@jeandedieuruhigisha2329 Жыл бұрын
🙏
@mukundaviviane9384
@mukundaviviane9384 Жыл бұрын
Napokeya uponyaji ya Bright kwa jina la yesu Amen
@elizabethpeter3374
@elizabethpeter3374 3 жыл бұрын
Napokea uponyaji ktk jina la yesu naomba alex anipende na anioe ilo pepo la kishetan lililomtawala liondoke la kuto kuoa kwa uwezo wa MUNGU Amen, 🙏 🙏🙏
@eliudmbise8927
@eliudmbise8927 3 жыл бұрын
Yesu liponye kanisa lako na kuliokoa na nguvu ya upotevu
@elsonjonh3075
@elsonjonh3075 Жыл бұрын
Amina mtume kupitia madhabah naomba uniombee rafik yangu wa karibu amekuwa adui yangu
@graceangelus2869
@graceangelus2869 2 жыл бұрын
Napokea mtaji kwa jina la yesu🙏
@editharhyera6502
@editharhyera6502 2 жыл бұрын
Naomba mungu anicmamie katka ofisi yangu
@agripinaligelele9367
@agripinaligelele9367 3 жыл бұрын
Mungu naomba nifungue nipone maradhi yote yanayo tesa maisha yangu
@deniskambi7148
@deniskambi7148 Жыл бұрын
Napokea uponyaji wa kiuchumi kwa JINA LA YESU AMEN
@neemamolell7322
@neemamolell7322 3 жыл бұрын
Naomba unifungue mm na familia yangu baba mwanangu darasa awe kichwa na wala co mkia amen
@sarapaulo4718
@sarapaulo4718 3 жыл бұрын
Mm naomba mungu anipe ufahamu wa kujuwa Siri za hawa watu,na mungu hawasame wote wanapotosha watu kwa kusema miujiza
@maswamills3161
@maswamills3161 2 жыл бұрын
Siri Ni kujitoa 100% kwa MUNGU .
@amilianafi8021
@amilianafi8021 Жыл бұрын
Napokea uponyaji kwa jina la yesu ninawashwa na nipate mimba na biashara yangu niuzie sana mwanangu pia awe na matokeo mzuri ameni
@immanuelndagijmanae3677
@immanuelndagijmanae3677 Жыл бұрын
MUNGU mukuu mwenye nguvu mutenda miyujiza pewa sifa kwa matendo makuu juuu ya family hizi utukufu na heshima birudi kwa KRISTO YESU MUNGU mukuu shalom
@drkim-sarai5966
@drkim-sarai5966 3 жыл бұрын
kwa jina la yesu naomba familia yangu ifunguliwe katika vifungo vya mashetani na wachawi
@sarapaulo4718
@sarapaulo4718 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣 mungu wa mwamposa tena
@enzoon5796
@enzoon5796 Жыл бұрын
Napokea uponyaji mimi na mama angu kwa Jina la yesu amin
@happynecsadick7320
@happynecsadick7320 2 жыл бұрын
Mimi Nampa nalia kwauchungu baba yangu mzizi Kama mwaka sasa yupo tu kitandani alimbaya na awezi tembea msaidie baba yangu ewe mungu wangu
@mwajumasimon7159
@mwajumasimon7159 2 жыл бұрын
Napokea upako huu kwa jina la yesu kiristo na amin mungu ametenda amina
@thadeiminja1855
@thadeiminja1855 2 жыл бұрын
Ombeni nanyi mtapewa amina
@dolishenery3012
@dolishenery3012 Жыл бұрын
Mung naomba mpenz nilionayo awe mme wangu maisha yang sio mpenz tena mwakan akatoe mahali
@robymarasi5262
@robymarasi5262 2 жыл бұрын
Naomba mungu nipate aman kwenye maisha yangu
@sponsamapunda2130
@sponsamapunda2130 3 жыл бұрын
Namshukuru Mungu kwakuniponya
@juliantajewo6658
@juliantajewo6658 Жыл бұрын
Mtume mungu akuzidishie miaka in the name of jesus
@kurwpaul1134
@kurwpaul1134 2 жыл бұрын
Ifanyike baraka kwa wote Na Mimi Na uzao wangu kiuchumi Roho ya madeni Na Yule mtenda miujiza Awe kwangu daima nizidiwe Na mafanikio Amen
@januaryboay4827
@januaryboay4827 Жыл бұрын
Mungu baba naomba nizidiwe na mafanikio kirahisi ameen
@fatumakimaro3186
@fatumakimaro3186 Жыл бұрын
Nimepona kwa jina la yesu
@tato8979
@tato8979 Жыл бұрын
Amen ninaima kupitia maombi haya uvimbe umeisha 🙏
@marthaedward2026
@marthaedward2026 2 жыл бұрын
Jiungnisha na madhabahu hii mungu naomba unitendee katika Jina la Yesu
@bakaridavid9772
@bakaridavid9772 2 жыл бұрын
Namuobamu mungu anime iman
@salhamnenga4680
@salhamnenga4680 2 жыл бұрын
Kwa iman yangu hy maombi ntafunguliwa ntapata kaz nnayo itaka asante yesu ntafankiwa kiuchumi
@bonifacebeatrice8077
@bonifacebeatrice8077 3 жыл бұрын
Amina,napokea uponyaji na kufunguliwa
@HappynessNassoro-op4nk
@HappynessNassoro-op4nk 3 ай бұрын
Kupitia mazabau hiii naamini nitajifungua salama mtoto wa kiume mungu nisaidie
@mathamwambuluma8848
@mathamwambuluma8848 3 жыл бұрын
Mungu wa mwamposa mpatie kazi mume wangu apate pesa kwa njia rahisi
@HappynessJose
@HappynessJose 3 жыл бұрын
Mungu wamposa napona kupitia kwa Nabii
@FestoYohana-ll4wk
@FestoYohana-ll4wk 7 ай бұрын
unauhakika unachokisema mungu akusaidie ndugu usiweunapenda kusema watumishi wa mungu vibaya yesu nimeenda miujiza frimason ni mazingaombwe mungu akusaidie sana ingekuwa huyu mtumishi ni frimason wagonjwa wasingepona mapepo wanatoka kea kulitaja jina LA yesu ingekuwa ni frimason mapepo yangemuumbua
@simonkipanga5321
@simonkipanga5321 2 жыл бұрын
Mungu wa mwamposa utukomboe Mimi familia yangu yote Amina
@aminayusuph2556
@aminayusuph2556 Жыл бұрын
Napokea uponyaji katika jina la yesu
@sarahmbembati3701
@sarahmbembati3701 2 жыл бұрын
Aminaaaa napokea 🙏🙏🙏🙏🤲🤲🤲
@EmmanuelJackson-xn5eo
@EmmanuelJackson-xn5eo Ай бұрын
Naamini kwa jina la Yesu
@neemasabas4165
@neemasabas4165 2 жыл бұрын
Amina nimepokea uponyaj wako namuomba mungu mama yang aweze kupona
@raymondbudodi4766
@raymondbudodi4766 2 жыл бұрын
Asante Yesu kwakuniponya
@marrymangi2975
@marrymangi2975 2 жыл бұрын
Napokea uponyaji kwa jina yesu
@neemasabas4165
@neemasabas4165 2 жыл бұрын
Amen sans namuomba mungu hailinde familia yangu
@estherakile2112
@estherakile2112 3 жыл бұрын
Nami napokea Uzima mpya kwa jina la yesu.
@azgadbaltazar2623
@azgadbaltazar2623 Ай бұрын
napokea kwa jina la yesu
@odiliamgutu7639
@odiliamgutu7639 3 жыл бұрын
Napokea
@maimunahashim6605
@maimunahashim6605 3 жыл бұрын
wanangu watatu amina kudra na yusuph waongoze shulen
@tausihasheem5169
@tausihasheem5169 2 жыл бұрын
Napokea kwa iman naenda kupata kazi kwa kirahisi kabisaa ktk jina la yesu kristo alie hai
@emmanuelcheyo4911
@emmanuelcheyo4911 2 жыл бұрын
asante mungu kupitia madhabau hii kwakuniponya nakunijalia kupata kaz naboc kuniamin kwenye kaz zake Mimi ndomeneja asante yesu naomba baraka zko ktk family yngu nakaz zangu amina
@januaryboay4827
@januaryboay4827 Жыл бұрын
Asante mungu wa mbinguni kwa madhabahu hii ya inuka na uangaze na Mimi napokea kufunguliwa kwangu kiafya na kichumi na kaz naenda kupat kirahisi ameeen
@miak6085
@miak6085 3 жыл бұрын
AMEN NIMEPOKEA IJN
@RosadaMseke
@RosadaMseke 4 ай бұрын
Amina napokea
@mercykariithi7919
@mercykariithi7919 3 жыл бұрын
Mungu Baba tufunguwe macho
@mohamedfakili3376
@mohamedfakili3376 3 жыл бұрын
Napokea kwa jina la yesu ...vifungo nilivyofungwa nafunguliwa kwa jina la Yesu...
@januaryboay4827
@januaryboay4827 Жыл бұрын
Mungu naomba umponye mama yangu ugonjwa wa moyo ameen
@januaryboay4827
@januaryboay4827 Жыл бұрын
Napokea muujiza wangu in Jesus name
@tausihasheem5169
@tausihasheem5169 2 жыл бұрын
Nimepokea kwa jina la yesu kristo
ROHO YA WIVU HULETA ANGUKO .
17:42
ARISE AND SHINE TANZANIA
Рет қаралды 41 М.
No empty
00:35
Mamasoboliha
Рет қаралды 9 МЛН
КАК ДУМАЕТЕ КТО ВЫЙГРАЕТ😂
00:29
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 10 МЛН
Опасность фирменной зарядки Apple
00:57
SuperCrastan
Рет қаралды 11 МЛН
ONDOA VITU MOYONI MWAKO .
13:12
ARISE AND SHINE TANZANIA
Рет қаралды 53 М.
Sijawahi Kusema, Ninao Maadui Mtume Mwamposa
41:00
Chomoza Tv
Рет қаралды 55 М.
MAOMBI YA KUVUNJA MADHABAHU ZINAZOPINGA FAMILIA .
14:05
ARISE AND SHINE TANZANIA
Рет қаралды 20 М.
UNABII WA MAMBO YA SIRI - CHIEF APOSTLE MTALEMWA
21:19
CHIEF APOSTLE MTALEMWA BUSHIRI
Рет қаралды 137 М.
Mtume Boniface Mwamposa aelezea story yake ya lockup .
15:56
ARISE AND SHINE TANZANIA
Рет қаралды 59 М.
UNABII - VIKAO VYA KUUA TUNAVIFANYIA MOMBASA KATIKATI YA BAHARI
6:35
NGOME YA YESU KRISTO
Рет қаралды 25 М.
MAOMBI YA KUFUTA KESI .
13:57
ARISE AND SHINE TANZANIA
Рет қаралды 6 М.
No empty
00:35
Mamasoboliha
Рет қаралды 9 МЛН