I believe this pastor ni kwel mungu unatumikia ubarikiwe sana mtumishi
@japhetjoseph17725 жыл бұрын
Most of people wanafunga maisha yao kwa ujuaj Ikumbukwe biblia iyo iyo inasema hekima ya wanadamu n upuuzi.. Jamn kama umecomment baya you're wrong..!!! Uyo mtumishi n wa mungu kabsa. Alafu kwann wakristo usijifunze kusikia saut ya mungu jamn..wakristo Fanya uwezalo upate kusikia rohoo mtakatifu anapo ongea kutokujua rohoo anapo ongea kuna garama sana ona hadi kuna hadi walokole kacomment vibaya...mungu akusamehee nakuombea kwajina LA yesu ufunguke macho na masikio iliupate kutembea katika mapenzi ya mungu kikamilifu kama una Amin sema Amen... Siri ya kusikia rohoo akinena ni kuampakristo nafasi kubwa ndani yako katika maisha yako. Enjoy ktk kristo Shalom
@MarryceMchomvu2 ай бұрын
God bless you Dadiii Mungu aliyetuumba anakutumia 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢Jamn Mungu atuhurumie
@user-dd4yn1ek5vАй бұрын
Be bless our pastor unahekima sanaaaaaa 🙏🙏🙏
@eliasthomas15476 ай бұрын
Mungu azidi kukupa huduma njema.
@eliamkonda51627 жыл бұрын
Mungu atawadhibu kwa Matendo yenu
@giftqueen71525 жыл бұрын
I wish to be in that church but problem I'm in America but there's day I will be with that pastor one day
@vailethedson35305 жыл бұрын
ee mwenyezi mungu tuonyeshe njia ya kweli
@godisgreat18454 жыл бұрын
Mumesha onyesha njia ya yessu aliyopiga
@bongovibe14277 жыл бұрын
Jamani twacheni tutapeliwe, Nalipenda hili church na watumishi wake Amen. #God_is_good Thank you #chief
@trecylove09456 жыл бұрын
lipo dar sehem gani
@benueniinnov78556 жыл бұрын
Kwa sababu hilo ni halalisho la kwenda kwa waganga hivyo kama upo comfortable endelea. Lakini utafakari kama kweli wa mpenda Mungu na sio kupiga Ramli kwa wenye mapepo ya utambuzi basi fikiri mara mbili
@alexmotivationshome32155 жыл бұрын
Official Platnumz
@natyvan40715 жыл бұрын
@@benueniinnov7855 Amina kubwa
@myself41283 жыл бұрын
Msukule hawezi kujua kama Alipo sio mahala salama! Endelea tu akili sio zako
@daudiazizi84956 ай бұрын
Muacheni mtumishi wa mungu atende mema
@patricksebastian56177 жыл бұрын
so powerfull I like it God icrease your power to your selvant in jesus might name
@allymwashambwa5920 Жыл бұрын
Mtalemwa mungu akubariki sana kwa kazi kubwa unayoifanya
@benjoliga11365 жыл бұрын
Uaguzi tu huu mnaufanya afu mnasingizia nguvu ya Mungu, acheni kutumia nguvu za giza za kufanya utambuzi wa kipepo afu mnatumia mgongo wa Yesu kutapeli watu.. Haya mnayoyafanya mtayatolea hisabu shauri yenu
@CharlesMakasi-jp2hsАй бұрын
Lait ungejuwa usinge ongea pumba zako hzo
@acepionage235 жыл бұрын
God bless you son of major 1. You are a blessing. Tanzania is blessed
@prosperjuma9055 жыл бұрын
Ndipo Bwana akaniambia, Hao manabii wanatabiri uongo kwa jina langu mimi; mimi sikuwatuma, wala sikuwaamuru, wala sikusema nao; wanawapeni unabii wa maono ya uongo, na uaguzi, na neno la ubatili, na hadaa ya mioyo yao. Yeremia 14:14
@prophetochuodhoisayaminist28546 жыл бұрын
I LOVE YOU CHIEF
@josephineneema61176 жыл бұрын
I love you son of major 1
@evansokemwa65875 жыл бұрын
Hii ni story walitengeneza uyu paster ako na story yote saa anatanganya hapa muongo uyu
@user-uc2ps4fq5j4 ай бұрын
Amen
@joycemorice66557 жыл бұрын
mi nacheka kama mazuriii Mutalemwa Mungu anakuona ujue
@myself41283 жыл бұрын
Unamjua nini??🤣🤣🤣
@pastor.kanunikayombo78646 жыл бұрын
Hosea 4:6. Ukisoma hii utamjua Mkristo waleo . Mitume wazamani walitabiri yajayo ,ila waleo wanatabiri yaliyo pita.Somen Neno hubirini Injili ambayo Kristo alituagiza
@ostazclassic33705 жыл бұрын
Ndugu zangu naomba number za huyu mchungaji👍iam from America
@moannamzigua92934 жыл бұрын
Thats our Cheeeeeaf,Son of Major One
@stanleyrububura40004 жыл бұрын
Hili Kanisa liko wapi Moanna?
@xmartwhite1804 жыл бұрын
Power
@myself41283 жыл бұрын
Who is a minor? If u call a zimbabwean conman a major??
@ngassakashindye87065 жыл бұрын
Mungu wangu! mpaka hapa serikali inapaswa kuingilia kati, kweli kabisa!
@bonifacenaaly64145 жыл бұрын
Mnao sema hiv niwachawi wakubwa nguvu zenu zinatolewa ndo maan mnablem na mtakoma mwaka huu
@princesssway13964 жыл бұрын
Kabisa elfu 50
@gabrielisack77865 жыл бұрын
Mungu wa mbinguni uliyemtuma Yesu Kristo aje atuokoe katika utumwa wa dhambi tunakuomba uwashugulikie hawa manabii wa uongo wanaolichafua Kanisa lako.
@atughanileraphael91785 жыл бұрын
Acheni kuwahukumu makuhani wa Mungu bali Mungu atawahukumu mwenyewe msije mkafanyiwa kama alivyofanyiwa Miriam dada yake Musa kwa kupigwa na ukoma maana alikuwa amemsema vibaya mtumishi wa Mungu kwa kuwa Musa alioa mwanamke Mkushi wakati sheria ya yao ilikuwa ni Waebrania hawakuruhusiwa kuoa nje na kabila lao. Mriam na Haruni walihusika kumsema vibaya Musa lakin aliyepigwa ukoma ni Miriam tu why? Kwa sababu Haruni alikuwa na vazi la kikuhani. Watumishi wa Mungu pigeni kazi bila woga maana aliyeupande wenu ni mkuu sana na walioupande wenu ni wengi zaidi kuliko walioupande wao.
@choba71015 жыл бұрын
Acheni kumchezea Allah nyinyi. Mnajuwa kuwa mnapotosha umma wa wa Tanzania. Hakuna Nabii hapa.
@CharlesMakasi-jp2hsАй бұрын
Acha pumba zako wewe
@abednegomawalla3377 жыл бұрын
wooooow!Very Powerful.God blessing U Man of God!
@johnsonlweyemam79444 жыл бұрын
MAJOR ONE endelea kutabiri Baba... Watu ni wavivu wa kusoma Biblia hawajui kuwa Manabii wote walitabiri ,..WOTEEEEE.... Hata YESU PIA ALITABIRI kama kuna ayebisha aje hapa tufanye Dibate ..
@japhethgeriad45193 жыл бұрын
0620338433- WhatsApp tufanye debate, huu UTAPELI HAUFAI
@stevenmsaaada.msaada.3895 жыл бұрын
Upumbavu Kabisa. Wachungaji makanisa wanayageuza kuwa nyumba zaramli. Jaman. Hawajiongezi ata kujiongeza ata kidogo waumini.
@japhethgeriad45193 жыл бұрын
Ubarikiwe na Asante kwa kuliona hili.
@elikanamikaaya59835 жыл бұрын
Kwa hakika Yuko mungu Kwa nabii atukumbuke watu wa arusha
@japhetandrea45335 жыл бұрын
jaman wat wa mungu wanaangamia kwa kukosa maarifa
@newbornhaule16355 жыл бұрын
Ninachoshangaa hawa wanasali hayo makanisa Miaka mingi wapo humo au amefika tu anakutana naunabii huu naomba Mungu wa mbinguni aliye hai aseme kitu namioyo hii Neno Lake walijue
@sophiamarwa4067 Жыл бұрын
Pastor naomba unikumbuke baba🙏🙏
@samwelyohana99926 жыл бұрын
Mungu akubariki papaa
@muttarutta19635 жыл бұрын
Wapenzi msiziamini kila roho,bali zipimeni kama zinatoka kwa MUNGU, kwasababu manabii wengi wa uwongo wamekwisha kua duniani 1 yohane 4:1
@ashoopapa35954 жыл бұрын
Pia mungu haikumbuke familia yako.
@simonlulenga70625 жыл бұрын
Mzee usiwe mjinga. Umeokoka halafu unamsikilize huyo mganga wa kienyeji! Umemwacha YESU! Acha upumbavu baba yangu. Kwa nini una mashaka na Mungu wako?
Watu wangu wanaangamizwa kwakukosa maarifa Hosea 4:6
@zarinahqueen58946 жыл бұрын
Amen 🙏🏻
@bobwhite92523 жыл бұрын
.if a man can cheat by using Gods name ..he fears nothing on this earth.
@giftqueen71525 жыл бұрын
I need God to save my life
@victoriaprist49535 жыл бұрын
sio uongo huyo Baba namjua anaitwa John kasase,aliyo mwambia ni sahihi
@josephpnnnkihiyo9287 жыл бұрын
papaaa my God bless you.....Power|Chief apostle
@lisazollner83157 жыл бұрын
Josephp nn n Kihi
@micharazomjengo60927 жыл бұрын
ambariki kwa utapeli? fyuuuuuuuuu
@benueniinnov78556 жыл бұрын
For such are false apostles, deceitful workers, transforming themselves into the apostles of Christ. And no marvel; for Satan himself is transformed into an angel of light. Therefore it is no great thing if his ministers also be transformed as the ministers of righteousness; whose end shall be according to their works.
yaah mm huwa mnalichekesha sana maaana n zaid ya bongo movies ( madebe lidai)
@saidasaidisaida92305 жыл бұрын
Amen 🙏
@angeloagustino40715 жыл бұрын
mungu akutumie zaid
@worshipertv99686 жыл бұрын
nabarikiwa sana mtumishi
@benueniinnov78556 жыл бұрын
ungeenda tu kwa waganga kupiga ramli kama ndio suluhisho ulipendalo.
@naomilemi47175 жыл бұрын
mnadhalilishwa kbs. sasa injili mnajifunza muda gani? mnavopigiwa ramli. jamani
@agnesamani52503 жыл бұрын
sema nami nabii mtalemwa naomba maombi yako
@twaibumikidadi73774 жыл бұрын
wwnzetu watabiri wao n nabii waislamu akikuambia nyota yako wanaitwa waganga daah dunia hii et nabiiiii ila cku ile mbe ya muumba mbingu na nch sir zore ztafichukaaa
@janemacha56423 жыл бұрын
Amen😭
@stevefurahamwakyange97055 жыл бұрын
Aimeen
@eliamkonda51627 жыл бұрын
Akili za watu wakati mwengine huwa, unaenda likizo, kwa hiki kizazi cha nyoka Kilicho laaniwa hata kaa atokee Nabi. Wanajifanya manabii wanafanya vitu ambavyo hata YESU hakufanya na watu wanapumbazwa na madawa mnakumbuka
@japhetjoseph17725 жыл бұрын
Akili yako ndio iko likizo tena kwenye tumbo la uzazi wa nyoka . Umesahau yesu alisema watafanya haya na zaid ya haya . Futa mbumba yako kasome biblia upate maarifa ukomboe akili zako hili usiteketee. #somabibliaondoaujinga
@edsonmruma48335 жыл бұрын
Tena hujitambui bora unyamaze kama humjui Mungu nyamaza.
@chilamboxhila27165 жыл бұрын
unahitaji special prayers kwa sabab shetani amekufunga, never fight the man of God usije ukalaaniwa, Chief Apostle son of Major 1 chapa injili ya Kristo Yesu ulimwengu ukombolewe
@victoriaprist49535 жыл бұрын
nabii kasema kweli kwa huyo Baba,amuombee aache uzinzi ni mchungaji
@yagwisheheke13526 жыл бұрын
hatofautiane sana na wale wanaopiga ramli
@demetriajohn64315 жыл бұрын
Jamani wewe muhaya tapeli,umeona kutoka kimaisha ni kufanya uganga madhabahuni,ole wakoo,tubu mapemaunawapofusha macho watu ,nanyi washirika,scheni uvivu,someni NENO
@xmartwhite1804 жыл бұрын
Pumbavu zakoo huna adabu wew km unaona mtalemwa anaongea uwongo umewashwa nin ku comennt shenz wew huna adabu utakufa wew kwa laana za watumish hujui unaloongea fara wew
@daudiazizi84956 ай бұрын
Nyie mulie bisha Muna roho za wale walio haribiwa na maji wakati wa nuhu
@gullaalex65904 жыл бұрын
Mmmh makubwa Sasa ni kanisan au kilengen!!
@janekikoti21794 жыл бұрын
😌😌uwiiiii!
@anthonmosama7747 Жыл бұрын
shida yangu ni mavazi mbona wanawake wavae trousers kanisani na hapo MTU hawezi nitoa wanawake wavae nguo zao tena za kuwasititri
@myself41283 жыл бұрын
Sikuhizi Kuna show za ajabu sana, msanii mmoja alafu Misukule kama yote
@angeloagustino40715 жыл бұрын
mimi sijui kama uwongo au laa
@angeloagustino40715 жыл бұрын
mimi nawatazaji hatujui kua niukweli au uongo
@ngwacahnyagwaswa99795 жыл бұрын
Tapeli Mkubwa eti elfu 50 kwa Mungu there is nothing like that mmekubaliana kutoa ushuhuda wa uongo
@valentinemasalu73637 жыл бұрын
Joyce Meyer kiswahili
@andreymalisa16255 жыл бұрын
Eeh mungu tuokoe
@rosedeus92957 жыл бұрын
Jesus power
@dosomethingmymajoroneberna35957 жыл бұрын
I appreciate u my Chief apostle
@deboraadam49626 жыл бұрын
duuu hizo hela vipi jamani huyu nabii duu
@johnsonlweyemam79444 жыл бұрын
Tena kwa kuwaonjesha kidogo tu ktk ilo somo la UTABIRI 1-Yesu alipomtabiria yule mama pale kisimani 2-
@piusthomas57133 жыл бұрын
Ila hajawai kuanika mtu kwa watu
@japhethgeriad45193 жыл бұрын
@@piusthomas5713 Hallelujah 😁😁😁
@shadrackhaonga60164 жыл бұрын
Sio kila nabii anaekutabiria ni Mungu hapana wengine ni roho ya uaguzi inatenda kazi anaweza akasema mambo yako yote kumbe ni pepo wa uaguzi anatenda kazi lakini wengine wanaenda kwa waganga wa kienyeji na wanapewa hirizi au pete kwa ajiri kutambua siri za watu Mkristo kuwa makini soma neno jifunze neno la Mungu achana na maigizo hayaa
@melinasbugombo26905 жыл бұрын
Huyu nabii tapeli kweli anapenda pesa manabii wa uongoo
@xmartwhite1804 жыл бұрын
Wal hatk pesa zako kwend
@benueniinnov78556 жыл бұрын
Muweni mnazipima hizi roho maana nyingine zinakuja kwa njia ya kujifanya zinatoka kwa Mungu lakini kumbe sivyo. Wengine wanayo mapepo ya utambuzi. Hii ni imani ya namna gani?
@jeromesapi49336 жыл бұрын
Manabii wapo wa aina nyingi sana wapo hata wa shetani pia wapo! Kwa huyu jamaa ni mganga aliyo boresha huduma
@salummohdnyiga97605 жыл бұрын
Jerome Sapi ni kweli kabisa wanabadili mifumo tu ila ni mganga anayepiga lamli
@japhetjoseph17725 жыл бұрын
Utakuwa wewe unajua wa ganga nn.. Au kaz kujiadai ujuaji maana hii nikasumba inayo Tanzania Don't speak shit like this once again
@nkwazigatsha7 жыл бұрын
Namna hii Afrika haiwezi kuendelea. Sijui kwanini serikali zetu zinaruhusu upuuzi, ujinga na utapeli wa wazi kama huu. Hamna cha nabii wala nini bali utapeli. Wote unaowasikia kuanzia Rwakatare, Gwajima, Kakobe, Mwakasege, Lusekelo na matapeli wengine ni waganga njaa na waganga wa kienyeji wanaotumia Biblia. Hawana tofauti na waganga wa kienyeji wa kiislamu wanaojiita mashehe na madaktari wakati ni mavi matupu.
@nkwazigatsha2 жыл бұрын
@@ngetadonn230 akuponye wewe unayepwakia upuuzi kama siyo kufaidika nao. Afrika tutaendelea kutegemea miujiza hadi lini? Nkwazi Mhango MB Kanada
@linussjoseph11266 жыл бұрын
Kiongozi wa vipofu ww Huon haya muongo mkubwa ww badala ya kuwapa watu suruhu unawafarakanisha!! Utatoa hesab mbele za Mungu
@linussjoseph11266 жыл бұрын
Na alaniwe anaehubiri injili kama hii Hii sio injili ya Yesu kristo
@deogratiasmtui18095 жыл бұрын
Huu ni usenge
@eriakimumarwa44133 жыл бұрын
Dahh
@deus86295 жыл бұрын
wewe Tausi wewe.... unamtembelea mwenzako hivo.... na wewe teddy Mbona haukumsaidia kwenye hizo shida zote hivo
@emilywanje92563 жыл бұрын
chifu namba no
@ladymontana43755 жыл бұрын
🤣🤣🤣 habari za hao wafuasi wako puurofesaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@agnesslihagasa65926 жыл бұрын
MUNGU atuponye ,aiseee
@yegelashimbi71493 жыл бұрын
Mungu akutumie mtumishi
@simonlulenga70625 жыл бұрын
Mtumishi wa Mungu yeyote huwa haibishi watu mbele za watu. Ukiona mtu anajiita nabii au mchungaji halafu anasema siri za watu hadharani hoyo ni mshirikina tu?
@simbamweusi34105 жыл бұрын
Church movie
@marcodominico95036 жыл бұрын
EII NIMEMWONA YULE BIBI KAPITA PALE MLANGONI......YAANI MPAKA YESU AJE KURUDI MTAKUWA MMETIA SANA WATU HASARA
@JosephMasha-qz3gr Жыл бұрын
😅😅
@simbamweusi34105 жыл бұрын
Duh
@thomassalakana68027 жыл бұрын
UWONGO MTUPU
@japhetjoseph17725 жыл бұрын
Hahahah.. @Thomas salakana Kwenye jina lako kunapatikana jina hili tomaso Sasa tomaso tueleze yako ya kweli *kwamaana maandiko usema yohana3:21"basi yeye aitendaye kweli huja kwenye nuru ili matendo yake yaonekane wazi ya kuwa yametendwa katika mungu " sasa uyo mtumishi hapo katenda waz waz wote tumeona je wewe yako yakuwapi yako wazi wazi au laah!!! Yesu ndio kweli na uzima alitenda mambo wazi wazi mpatekujua yametendwa katika mungu lakn wanadamu hatukujua tukamsulubisha na kusema n uongoo kama uo ulio andika hapo Jirekebishe toka ulipo kuwa kwenye viuno ulipinga yesu akasulibiwa akafa paka sasa unaendelea namambo yako ya karne na karne zinduka embu soma kisa yohana18:37>> macho na akili za wanadamu yanavyo jugde wako radhi mbakaji,muuwaji hawe huru lakn mtu wasio jua hata kosa Lake vizur asulubiwe ukisha soma hicho kisa tafakar ulicho comment unajua uongo wa mtumishi huyo. #Tubuuuendembinguni
@careencharlescharles97494 жыл бұрын
Baba na mimi nitabilie
@sara.wanjalaalipoyesuyotey36137 жыл бұрын
Amen nimebarikiwa nimefunguliwe na mimi pia God Bless you
@deboraadam49626 жыл бұрын
Sara. Wanjala Alipo Yesu Yote Yanawezekana duu
@lilianamonmdogo66245 жыл бұрын
ujue kila mtu na imani take jaman wewe ukiamini kuwa ni mambo ya kweli sawa!! pia ukiamini kuwa ni uongo sawa!! maana kila mtu ataubeba msalaba wake mwenyewe
@gracejohn44424 жыл бұрын
Kwel kabisaa lilian👏👏
@jacobndamayape86365 жыл бұрын
Mwenye 50😂😁😁😁
@princesssway13964 жыл бұрын
Nimeshangaaa
@santyhassan41867 жыл бұрын
Aisee wewe muongo umepanga ushuhuda wa uwongo michezo hiyo tumeisha izoea wadanganye hao
@princesssway13964 жыл бұрын
Yaan elfu 50 uyu noma
@twilumbakabelege34263 жыл бұрын
Hapana jamani, hebu aminini bila kushuhudia
@abdashmjahid72395 жыл бұрын
Tena anawambia nime waenjoy nawao hawaelewi jamaa serikali ingilie haya mambo ya watapeli ndani ya makanisa hii ni laana wazi wazi
@yagwisheheke13526 жыл бұрын
huyu jamaa. ni Mganga wa kienyeji absolutely
@xmartwhite1804 жыл бұрын
Alimganga mama ako
@natyvan40715 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣 wagaga wengi kanisani
@gracemapunda97837 жыл бұрын
uje na kwetu Songea Mchungaji nasi pia tunahitaji maombi tuna matatizo
@pelusemanueli8585 жыл бұрын
hahahahaa jamani mi na pita tuu
@deusmacinde85526 жыл бұрын
Uyu jamaaa nimeuthuria feroship yake mwongo uyoooo ni hatari,
@queenmariana58877 жыл бұрын
uko wapi ww mtumishi niletee babangu ameteseka sana aky
@elizamilanzi58183 жыл бұрын
Yupo makongo juu dada ang achana na hao wanaongea iv mara iv ivyo vitu nivyakwel mm nasali uko kikubwa imani
@emanuelyngatungs10006 жыл бұрын
Niombee na Mimi nipo nahitaji msaada wako
@khatibushame2035 жыл бұрын
Wewe ninabii wa uogo umetumwa Na shetani sitamani hata kukusikiriza