DHAMBI ISIYOSAMEHEKA NI IPI?(OFFICIAL VIDEO)

  Рет қаралды 161,021

MAHUBIRI TV

MAHUBIRI TV

4 жыл бұрын

WENGI WANADHANI WAMEFANYA DHAMBI HII. SIKILIZA ILI UITAMBUE.

Пікірлер: 252
@DariahKaveri
@DariahKaveri Ай бұрын
Mungu naomba msamaha kwa kushiriki meza ya Bwana nikiwa mwenye dhambi
@BethLameck-sc9py
@BethLameck-sc9py 7 ай бұрын
Mungu akubariki baba hakika Mungu anakutumia
@user-fl6wo7zm5f
@user-fl6wo7zm5f 11 ай бұрын
Nimelewa mungu akubaruki mchungaji
@AzAz-sy6zp
@AzAz-sy6zp 3 ай бұрын
Amen mungu akubarki san mtumishi
@graceharoun
@graceharoun 3 күн бұрын
Amina barikiwa sana mtumishi nimejifunza hakika MUNGU anivushe salama pamoja na familiar yangu atusamehe kwa mengi tuliyomkosea
@francisthomas748
@francisthomas748 10 ай бұрын
Hey pastor mafundisho Yako ni mazuri kabisa naomba siku Moja uje uko Kenya ulete hiyo mafuzo uko, Mimi ninashiriki katika kaniza la Enemasi SDA naomba ufike wakati Moja.
@kazidotto8675
@kazidotto8675 Жыл бұрын
MUNGU Wangu nisamehe zambi zangu mm pamoja na familiya yangu maana nimetenda zambi nyigi zigine bila kujuwa nakuja kwako unisamehe kupitia mtumishi wako
@marthamwakatobe1596
@marthamwakatobe1596 2 жыл бұрын
Ahsante Mungu kwa mafundisho mazuri ya kutupa ufahamu kuhusiana na kumkufuru Roho Mtakatifu. Mungu wa mbinguni mpe maisha marefu mtumishi wako huyu .
@fridafrancis1960
@fridafrancis1960 2 жыл бұрын
Sioshwi dhambi zangu ila kwa DAMU YA KRISTO TU ameen
@faithndeva8658
@faithndeva8658 3 жыл бұрын
Amen pastor nimejifunza mengi may God bless you
@deborahmfinanga3991
@deborahmfinanga3991 Жыл бұрын
Mchungaji mungu azidi kukubariki sana,umenifungua akili kwa kweli na mshukuru sana mungu kwa kukutumia njema,jina la bwana lipewe sifa.
@maalady4631
@maalady4631 2 жыл бұрын
The best teacher of the word of God ...be blessed MoG
@elijanzioka9639
@elijanzioka9639 4 ай бұрын
I thank God for giving me good news ,be blessed pastor
@nintunzeleonel8062
@nintunzeleonel8062 4 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mchungaji kwa kuweka ukweli wazi hakika wengi tulikuwa tunatenda mabaya bila kujielewa.Varikiwa sana.
@user-no2tw5vb8j
@user-no2tw5vb8j 2 жыл бұрын
Doreen Edasi from saudi arabia, l lov the preaching man of God 💃💃💃💃💃💃💃💃
@mariampeace6737
@mariampeace6737 5 ай бұрын
Huu Ni wa kweli kabisa MUNGU WA MBINGUNI Ampe Maisha marefu matakatifu
@marycheupe8613
@marycheupe8613 4 жыл бұрын
Haki nimejifunza mambo makubwa mno mtumishi. Haki mungu akubariki sana
@janengaga2928
@janengaga2928 Жыл бұрын
Ameen barikiwa Mtumishi wa Mungu 🙏
@claudinebatamuriza7804
@claudinebatamuriza7804 4 жыл бұрын
Sinanjambo yakusema nawomba Mungu anisamehe pastor Mungu akumbaliki sinjuwe kitu cyakusema Mungu nisamehe
@lydiahnyaboke1995
@lydiahnyaboke1995 3 жыл бұрын
I have been following on your teachings moreso on prophecy and I must say you simplify things for me for easy understanding,I am enjoying prophecy so much.Be blessed and may God fill you with more knowledge and wisdom.
@patriciakhakali4200
@patriciakhakali4200 3 жыл бұрын
My friend and sister in Christ shared with me one of your sermons a few days ago,I have been listening to your sermons, and they have been a blessing, I feel so much at peace .
@sabathdaychannel2985
@sabathdaychannel2985 3 жыл бұрын
Nimebarikiwa pastor kwa huduma yako Mwenyezi Mungu akutangulie kwa utumishi wako
@kevinigendi6080
@kevinigendi6080 4 жыл бұрын
Pastor l really love your preaching am from Kenya thank you so much
@amonidafa9665
@amonidafa9665 3 жыл бұрын
Stay connected man of God
@v_simon2677
@v_simon2677 2 жыл бұрын
Napenda sana kuskiliza mahubir Mungu aendelee kuwabarik ili muendelee kutufundisha ili tuelewe
@cutestpuppies6632
@cutestpuppies6632 4 жыл бұрын
Nimebarikiwa tena na mahubiri yako pastor, Mungu akubariki sana 🙏🙏🙏
@GilesKhamis
@GilesKhamis 11 ай бұрын
Past hongera sana kwa somo
@nelsonamani9489
@nelsonamani9489 4 ай бұрын
Pastor nashukuru sana Kwa mahubiri yako, Mungu akubariki
@mahindiumakinisa4732
@mahindiumakinisa4732 6 ай бұрын
Ahsante kwa hili somo
@shimwekagwiza3731
@shimwekagwiza3731 4 жыл бұрын
Asante pastor, nakupenda Sana maana unanifumbua macho kila nisikilizapo mafundisho yako
@miriamngosha6856
@miriamngosha6856 3 жыл бұрын
Eh mungu atusamahee na atuepushe na midogo yetu mungu wangu Nimeogopa sana
@asharamadhan8806
@asharamadhan8806 4 жыл бұрын
Amina pastor Mungu akubariki nmeelewa kuhusu meza ya Bwana naomba Roho Mtakatifu aniongoze katika maisha yangu yote maana bila Yeye Mimi siwezi nakushukuru sana Mchungaji kwa Neno Lenye nguvu ndani ya Moyo wangu Mungu unaemtumikia akupe afia NJEMA pamoja na familiya Amina
@japhethgeriad4519
@japhethgeriad4519 3 жыл бұрын
Hallelujah
@mundesmokesen9314
@mundesmokesen9314 Жыл бұрын
Asante Sana mchungaji umenitoa sehemu moja kwenda pengine ubarikiwe
@amonidafa9665
@amonidafa9665 3 жыл бұрын
Hili somo sikuwai kulielewa...Asante Yesu kwamba leo nimeelewa...The victory belongs to Jesus our savior
@user-os3vo4sm2n
@user-os3vo4sm2n 7 ай бұрын
AMEN Barikiwa
@romanmaroa3389
@romanmaroa3389 2 жыл бұрын
Man of GOD, I am much bless and I love your preaching and teaching, God bless you. I am from kenya
@zephaniahmwendwa3840
@zephaniahmwendwa3840 2 жыл бұрын
iam so blessed with that teachings
@dorothyokeyo5454
@dorothyokeyo5454 3 жыл бұрын
Very touching I don't know the truth about dhambi ya zisizo samehewa .I like your preaching zina nisonga karibu na Yesu
@kissanselu8569
@kissanselu8569 Жыл бұрын
Yaani ubalikiwe mtumishi
@rachelmanema9044
@rachelmanema9044 4 жыл бұрын
Pastor tunaomba utembelee makanisa yetu ufundishe hili somo ubinafsi na ubaguzi unamaliza watu tuombee sana hasa ukabila umezidi
@marymichael8197
@marymichael8197 4 жыл бұрын
Mungu azidi kukutumia kwa kazi njema. Nimebarikiwa na fundisho!
@gloriatoo22
@gloriatoo22 2 жыл бұрын
Kenyan 👀 I love your teachings..be blessed too
@patiencehumbled3519
@patiencehumbled3519 2 жыл бұрын
Amen,nilikuwa natafuta injili ya ukweli,mtumishi ubarikiwe maana nimeipata kwako kupitia mtumishi wa Bwana mwinjilisti Paschal Cassian
@judithpius9687
@judithpius9687 4 жыл бұрын
Hubiri zuri sana, ni muhimu Kujua Dhabi isiyosameheka. Mungu akubariki pr unapotusaidia kuyajua maandiko.
@christinajmnkenyi724
@christinajmnkenyi724 3 жыл бұрын
Pastor Mmbaga namshukuru Mungu kwa kukutumia ww kama chombo kunena nasi,naamini kwa Jina la YESU KRISTO ,hubiri hili litaniokoa na ugonjwa ulioko ndani yangu.
@benardakyoo7475
@benardakyoo7475 4 жыл бұрын
God bless you pastor nimejua kwel na itaniweka huru kwa Jina la Yesu kristo
@dottocharles7809
@dottocharles7809 4 жыл бұрын
Pastor nimefarijika sana kwa hubiri hili Mwenyezi Mungu azidi kukutumia kuifunua kweli ya Mungu kwa watu wake nipo Mwanza Kirumba S.D.A nafurahi sana mahubiri yako
@zachaeousmithea9488
@zachaeousmithea9488 2 жыл бұрын
Wonderful preacher
@user-bj8zf3rd4z
@user-bj8zf3rd4z 7 ай бұрын
Glory be to God always
@nyamogafamily4262
@nyamogafamily4262 4 жыл бұрын
Barikiwa Sana pastor mbaga
@anusiathavedasto9916
@anusiathavedasto9916 4 жыл бұрын
Samahani mchungaji kwa wale wnaokuwa chini ya marudi tayar wamejitenga na meza ya bwana iyo imekaaje
@enockosongoh4374
@enockosongoh4374 3 жыл бұрын
Frank mkenya from Kenya napenda Sana mahubiri yako pastor
@annesilengo2717
@annesilengo2717 4 жыл бұрын
Bwana Yesu asifiwe kwa ajili yako wewe mtu wa Mungu hakika nimejifunza pa kubwa sana juu ya dhambi isiyosamehewa. Mungu apanue mipaka ya maisha yako man of God. Anne from Kenya
@barakajoseph1816
@barakajoseph1816 4 жыл бұрын
Mungu azidi kukutumia kwa kazi yake Pr,songa mbelee
@maryaoko5027
@maryaoko5027 2 жыл бұрын
Mtumishi.....niko na swali....sasa ukila na ndio lkwa umempokea Yesu na hamkua na mafunzo alafu ukashirikishwa
@kabalata1506
@kabalata1506 4 жыл бұрын
Amina Pastor Bwana Yesu akubariki sana
@kinggwalu114
@kinggwalu114 2 жыл бұрын
Ahsante sana baba nabarikiwa kwer
@josephshidukiseni8758
@josephshidukiseni8758 4 жыл бұрын
Nimepataa kitu pastor... Kiukwl hapo kwenye kushiriki meza ya BWANA wengi tunatenda kinyume kabisaa... Ilaa asante kwa somo sasaa tumejifunza... Ubarikiwe
@witnessmbowe6217
@witnessmbowe6217 4 жыл бұрын
Pasta mwangu Ana kaujeuri mtumishi Nifanyeje
@paulraymond68
@paulraymond68 3 жыл бұрын
Hakika nimekuelewa be Blessed Pastor Mbaga na Mungu azid kukutunza
@marthajames7492
@marthajames7492 4 жыл бұрын
Bwana akubariki mchungaji uzidi kutumika shambani mwake
@wycliffephinus4237
@wycliffephinus4237 4 жыл бұрын
@pastormbaga you're real exciting me for l want to be a doctor but also a pastor ,you're my role model in Christ.
@happinessshilie4019
@happinessshilie4019 2 жыл бұрын
Jina la BWANA litukuzwe
@jessikaakinyi8445
@jessikaakinyi8445 3 жыл бұрын
Ni kweli pastor kuna Aunt yangu anaombea watu wanapona Ila yeye ako na goita aponi na watu wanapona hadi leo ako na hiyo goita
@davidginono1240
@davidginono1240 4 жыл бұрын
Ni kwanini..nikitubu mara nyingi dhidi ya dhambi fulani mpaka ninajisikia niko huru lakini nashanga tamaa zinanizidi alaf naanguka tena? Nisaidie basi...
@changarawemichael9795
@changarawemichael9795 4 жыл бұрын
Ni Mimi mwenyew nimeongelewa Bwana YESU niguse
@mercynyanchoka6283
@mercynyanchoka6283 3 жыл бұрын
Amen, hua nafuatilia kutoka hapa saudia, barikiwa sana
@chibugamedia7313
@chibugamedia7313 3 жыл бұрын
Barikiwa sana
@philbertmashaury1985
@philbertmashaury1985 4 жыл бұрын
Pr. Amina sabato ijayo ni meza ya Bwana nimepata chakufanya
@MaryWilson-vg2mm
@MaryWilson-vg2mm 3 жыл бұрын
Nabarikiwa sana napenda mafundisho kwakweli.
@jackmollel3942
@jackmollel3942 2 жыл бұрын
Napenda sana haya mahubiri
@happymbilinyi7564
@happymbilinyi7564 4 жыл бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi nabarikiwa sana n.a. Huduma yako Mungu azidi kukutunza tupate mengi zaidi
@karyinabdulmamboleo1940
@karyinabdulmamboleo1940 3 жыл бұрын
Ooh hallelujah
@emmamedia8155
@emmamedia8155 2 жыл бұрын
Yaaaaani huyu mchungaji Basi tu Yuko poa Sana Hadi cyo poa!!!!
@melissateddybearcossan9506
@melissateddybearcossan9506 4 жыл бұрын
Aise leo nimeelewa kwa nini wanasema kaputula wazungu badala ya suruali ni kwa sababu wanapenda kaputula
@veronicaenock7292
@veronicaenock7292 4 жыл бұрын
Amen Pastor Mmbaga ubarikiwe sana 🙏🏻🙏🏻
@estermsigwa1476
@estermsigwa1476 2 жыл бұрын
Amen nimepata kitu
@elizabethlukumai4521
@elizabethlukumai4521 4 жыл бұрын
Asante mtumishi mungu akuinue zaidii
@selfaakinyi512
@selfaakinyi512 4 жыл бұрын
Kweli shetani ananitatiza na. Usingizi, ila nguvu ya Roho mtakatifu ananiongoza, soma zuri, be bless pastor from qatar
@damah8431
@damah8431 4 жыл бұрын
Pia niko Qatar dadangu nipe number yako
@vailethmarack374
@vailethmarack374 3 жыл бұрын
Barikiwa Mch kwa somo hili.
@buhatwatv8106
@buhatwatv8106 3 жыл бұрын
nime elewa, ubarikiwe sana MCHUNGAJI
@betronsokanya9071
@betronsokanya9071 4 жыл бұрын
Nimebarikiwa sana...namshukuru Bwana Yesu Kristo kwa kuniokoa,na pia nakushukuru wewe mchungaji kwa kukubali kufikisha ujumbe wa Yesu mwenyewe.amina
@rehemanashon3739
@rehemanashon3739 9 ай бұрын
Barikiwa sana Pastor
@yohanamabubu2491
@yohanamabubu2491 4 жыл бұрын
Kristo wa neema yote akubariki sana mtumishi kwa ajili ya neno zuri.
@seyaorongo7466
@seyaorongo7466 4 жыл бұрын
Somo zuri umeiponya nafsi yangu barikiwa sana
@ernestmbowe9153
@ernestmbowe9153 4 жыл бұрын
Barikiwa nimekupata vzr na unatoa darasa
@mutangajohn3689
@mutangajohn3689 2 жыл бұрын
MUNGU akusaidiye pastor
@alvenialyasa3826
@alvenialyasa3826 Жыл бұрын
Thanks pastor
@avenaaleoamo5095
@avenaaleoamo5095 4 жыл бұрын
Asante kwa ajiliya mafundisho haya yamenitoa sehem moja kwenda nyingine endelea kutufunulia zaid
@boyhd2480
@boyhd2480 2 жыл бұрын
Barikiwa mchungaji
@bwamijeannejo5473
@bwamijeannejo5473 6 ай бұрын
Amiiiiiina 🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️
@edwinezawadi4707
@edwinezawadi4707 4 жыл бұрын
Mubarikiwe pastor
@witnessmalangalila91
@witnessmalangalila91 3 жыл бұрын
Barikiwa sn Mtumishi
@miriamisack3220
@miriamisack3220 4 жыл бұрын
Asante mungu kwa neno hili asante baba
@heritierba9868
@heritierba9868 2 жыл бұрын
Fundisho nzuri tena
@maureenjovial6083
@maureenjovial6083 4 жыл бұрын
Amen asante Yesu kwa ili somo
@eliabamayi4344
@eliabamayi4344 4 жыл бұрын
Waaa jamani haya mafundisho yamenigonga moyo Sana,, barikiwa sana mtumishi sijui niseme nini aki
@mwleliakimnyama6846
@mwleliakimnyama6846 4 жыл бұрын
Yes pr.
@simionkimani7669
@simionkimani7669 4 жыл бұрын
unatupeleka shwari mhubiri ....nafurahia sana mahubiri yako
@williammwanawima7996
@williammwanawima7996 4 жыл бұрын
Somo zuri sana, pastor MMbaga, ILA HUYO MSOMAJI HATUMSIKII KWA SABABU HATUMII MIC. UNGESOMA MWENYEWE ULIYE NA MIC.
@joyceyusuph448
@joyceyusuph448 4 жыл бұрын
Barikiwa mchungaji somo hili limenijenga kwa namna yake
@user-zc1xq8xk1i
@user-zc1xq8xk1i 5 ай бұрын
Wote ni walewale
@aganzearthur6205
@aganzearthur6205 2 жыл бұрын
Mucungaji nakusihi saana huyo musemo umetumiya eti hao waamiwako eti nibyasharazako Mungu hawezi kuwufurahiya hizo nikondoo umepewa na Mungu na maziwa zinayokupa ili kaziya Bwa iendele yangine unayo niyaziyada
@user-bq4nk4sg1w
@user-bq4nk4sg1w 17 күн бұрын
Amina
@amanisteven2212
@amanisteven2212 4 жыл бұрын
Amina pastor Ubarikiwe.
@estherkusaga9181
@estherkusaga9181 3 жыл бұрын
Pastor hili somo ni adimu makanisani uwelewa Wa juu namna hii ni mdg sana
SIRI YA KUINUKA TENA BAADA YA HASARA
51:47
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 48 М.
KUOMBA KATIKA ROHO MTAKATIFU (SEH B)
1:03:58
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 31 М.
Жайдарман | Туған күн 2024 | Алматы
2:22:55
Jaidarman OFFICIAL / JCI
Рет қаралды 1,7 МЛН
KWANINI UNAPITIA VITA KIASI HIKI? ( OFFICIAL VIDEO)
58:25
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 87 М.
FEDHA INA MASIKIO, INA MIGUU, UKIITUNZA INAKUTUNZA - HARRIS KAPIGA
37:48
Iringa Talk Show
Рет қаралды 2,6 М.
FUNGUO ZA MAFANIKIO BINAFSI KATIKA BIBLIA
50:43
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 78 М.
ROHO YA MAUTI NA UHARIBIFU (III) - PASTOR SUNBELLA KYANDO
1:15:31
Reality of Christ Church
Рет қаралды 12 М.
JINSI YA KULITUMIA NENO LA MUNGU ILI LIKUPE MATOKEO  || PASTOR GEORGE MUKABWA || 14/04/2024
3:47:36
Pastor George Mukabwa (JRC Church)
Рет қаралды 22 М.
ELEWA SIRI YA NGUVU YA ZABURI 23 (SEH. A)
56:42
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 160 М.
Жайдарман | Туған күн 2024 | Алматы
2:22:55
Jaidarman OFFICIAL / JCI
Рет қаралды 1,7 МЛН