WENGI WANADHANI WAMEFANYA DHAMBI HII. SIKILIZA ILI UITAMBUE.
Пікірлер: 252
@DariahKaveriАй бұрын
Mungu naomba msamaha kwa kushiriki meza ya Bwana nikiwa mwenye dhambi
@BethLameck-sc9py7 ай бұрын
Mungu akubariki baba hakika Mungu anakutumia
@user-fl6wo7zm5f11 ай бұрын
Nimelewa mungu akubaruki mchungaji
@AzAz-sy6zp3 ай бұрын
Amen mungu akubarki san mtumishi
@graceharoun3 күн бұрын
Amina barikiwa sana mtumishi nimejifunza hakika MUNGU anivushe salama pamoja na familiar yangu atusamehe kwa mengi tuliyomkosea
@francisthomas74810 ай бұрын
Hey pastor mafundisho Yako ni mazuri kabisa naomba siku Moja uje uko Kenya ulete hiyo mafuzo uko, Mimi ninashiriki katika kaniza la Enemasi SDA naomba ufike wakati Moja.
@kazidotto8675 Жыл бұрын
MUNGU Wangu nisamehe zambi zangu mm pamoja na familiya yangu maana nimetenda zambi nyigi zigine bila kujuwa nakuja kwako unisamehe kupitia mtumishi wako
@marthamwakatobe15962 жыл бұрын
Ahsante Mungu kwa mafundisho mazuri ya kutupa ufahamu kuhusiana na kumkufuru Roho Mtakatifu. Mungu wa mbinguni mpe maisha marefu mtumishi wako huyu .
@fridafrancis19602 жыл бұрын
Sioshwi dhambi zangu ila kwa DAMU YA KRISTO TU ameen
@faithndeva86583 жыл бұрын
Amen pastor nimejifunza mengi may God bless you
@deborahmfinanga3991 Жыл бұрын
Mchungaji mungu azidi kukubariki sana,umenifungua akili kwa kweli na mshukuru sana mungu kwa kukutumia njema,jina la bwana lipewe sifa.
@maalady46312 жыл бұрын
The best teacher of the word of God ...be blessed MoG
@elijanzioka96394 ай бұрын
I thank God for giving me good news ,be blessed pastor
@nintunzeleonel80624 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mchungaji kwa kuweka ukweli wazi hakika wengi tulikuwa tunatenda mabaya bila kujielewa.Varikiwa sana.
@user-no2tw5vb8j2 жыл бұрын
Doreen Edasi from saudi arabia, l lov the preaching man of God 💃💃💃💃💃💃💃💃
@mariampeace67375 ай бұрын
Huu Ni wa kweli kabisa MUNGU WA MBINGUNI Ampe Maisha marefu matakatifu
@marycheupe86134 жыл бұрын
Haki nimejifunza mambo makubwa mno mtumishi. Haki mungu akubariki sana
@janengaga2928 Жыл бұрын
Ameen barikiwa Mtumishi wa Mungu 🙏
@claudinebatamuriza78044 жыл бұрын
Sinanjambo yakusema nawomba Mungu anisamehe pastor Mungu akumbaliki sinjuwe kitu cyakusema Mungu nisamehe
@lydiahnyaboke19953 жыл бұрын
I have been following on your teachings moreso on prophecy and I must say you simplify things for me for easy understanding,I am enjoying prophecy so much.Be blessed and may God fill you with more knowledge and wisdom.
@patriciakhakali42003 жыл бұрын
My friend and sister in Christ shared with me one of your sermons a few days ago,I have been listening to your sermons, and they have been a blessing, I feel so much at peace .
@sabathdaychannel29853 жыл бұрын
Nimebarikiwa pastor kwa huduma yako Mwenyezi Mungu akutangulie kwa utumishi wako
@kevinigendi60804 жыл бұрын
Pastor l really love your preaching am from Kenya thank you so much
@amonidafa96653 жыл бұрын
Stay connected man of God
@v_simon26772 жыл бұрын
Napenda sana kuskiliza mahubir Mungu aendelee kuwabarik ili muendelee kutufundisha ili tuelewe
@cutestpuppies66324 жыл бұрын
Nimebarikiwa tena na mahubiri yako pastor, Mungu akubariki sana 🙏🙏🙏
@GilesKhamis11 ай бұрын
Past hongera sana kwa somo
@nelsonamani94894 ай бұрын
Pastor nashukuru sana Kwa mahubiri yako, Mungu akubariki
@mahindiumakinisa47326 ай бұрын
Ahsante kwa hili somo
@shimwekagwiza37314 жыл бұрын
Asante pastor, nakupenda Sana maana unanifumbua macho kila nisikilizapo mafundisho yako
@miriamngosha68563 жыл бұрын
Eh mungu atusamahee na atuepushe na midogo yetu mungu wangu Nimeogopa sana
@asharamadhan88064 жыл бұрын
Amina pastor Mungu akubariki nmeelewa kuhusu meza ya Bwana naomba Roho Mtakatifu aniongoze katika maisha yangu yote maana bila Yeye Mimi siwezi nakushukuru sana Mchungaji kwa Neno Lenye nguvu ndani ya Moyo wangu Mungu unaemtumikia akupe afia NJEMA pamoja na familiya Amina
@japhethgeriad45193 жыл бұрын
Hallelujah
@mundesmokesen9314 Жыл бұрын
Asante Sana mchungaji umenitoa sehemu moja kwenda pengine ubarikiwe
@amonidafa96653 жыл бұрын
Hili somo sikuwai kulielewa...Asante Yesu kwamba leo nimeelewa...The victory belongs to Jesus our savior
@user-os3vo4sm2n7 ай бұрын
AMEN Barikiwa
@romanmaroa33892 жыл бұрын
Man of GOD, I am much bless and I love your preaching and teaching, God bless you. I am from kenya
@zephaniahmwendwa38402 жыл бұрын
iam so blessed with that teachings
@dorothyokeyo54543 жыл бұрын
Very touching I don't know the truth about dhambi ya zisizo samehewa .I like your preaching zina nisonga karibu na Yesu
@kissanselu8569 Жыл бұрын
Yaani ubalikiwe mtumishi
@rachelmanema90444 жыл бұрын
Pastor tunaomba utembelee makanisa yetu ufundishe hili somo ubinafsi na ubaguzi unamaliza watu tuombee sana hasa ukabila umezidi
@marymichael81974 жыл бұрын
Mungu azidi kukutumia kwa kazi njema. Nimebarikiwa na fundisho!
@gloriatoo222 жыл бұрын
Kenyan 👀 I love your teachings..be blessed too
@patiencehumbled35192 жыл бұрын
Amen,nilikuwa natafuta injili ya ukweli,mtumishi ubarikiwe maana nimeipata kwako kupitia mtumishi wa Bwana mwinjilisti Paschal Cassian
@judithpius96874 жыл бұрын
Hubiri zuri sana, ni muhimu Kujua Dhabi isiyosameheka. Mungu akubariki pr unapotusaidia kuyajua maandiko.
@christinajmnkenyi7243 жыл бұрын
Pastor Mmbaga namshukuru Mungu kwa kukutumia ww kama chombo kunena nasi,naamini kwa Jina la YESU KRISTO ,hubiri hili litaniokoa na ugonjwa ulioko ndani yangu.
@benardakyoo74754 жыл бұрын
God bless you pastor nimejua kwel na itaniweka huru kwa Jina la Yesu kristo
@dottocharles78094 жыл бұрын
Pastor nimefarijika sana kwa hubiri hili Mwenyezi Mungu azidi kukutumia kuifunua kweli ya Mungu kwa watu wake nipo Mwanza Kirumba S.D.A nafurahi sana mahubiri yako
@zachaeousmithea94882 жыл бұрын
Wonderful preacher
@user-bj8zf3rd4z7 ай бұрын
Glory be to God always
@nyamogafamily42624 жыл бұрын
Barikiwa Sana pastor mbaga
@anusiathavedasto99164 жыл бұрын
Samahani mchungaji kwa wale wnaokuwa chini ya marudi tayar wamejitenga na meza ya bwana iyo imekaaje
@enockosongoh43743 жыл бұрын
Frank mkenya from Kenya napenda Sana mahubiri yako pastor
@annesilengo27174 жыл бұрын
Bwana Yesu asifiwe kwa ajili yako wewe mtu wa Mungu hakika nimejifunza pa kubwa sana juu ya dhambi isiyosamehewa. Mungu apanue mipaka ya maisha yako man of God. Anne from Kenya
@barakajoseph18164 жыл бұрын
Mungu azidi kukutumia kwa kazi yake Pr,songa mbelee
@maryaoko50272 жыл бұрын
Mtumishi.....niko na swali....sasa ukila na ndio lkwa umempokea Yesu na hamkua na mafunzo alafu ukashirikishwa
@kabalata15064 жыл бұрын
Amina Pastor Bwana Yesu akubariki sana
@kinggwalu1142 жыл бұрын
Ahsante sana baba nabarikiwa kwer
@josephshidukiseni87584 жыл бұрын
Nimepataa kitu pastor... Kiukwl hapo kwenye kushiriki meza ya BWANA wengi tunatenda kinyume kabisaa... Ilaa asante kwa somo sasaa tumejifunza... Ubarikiwe
@witnessmbowe62174 жыл бұрын
Pasta mwangu Ana kaujeuri mtumishi Nifanyeje
@paulraymond683 жыл бұрын
Hakika nimekuelewa be Blessed Pastor Mbaga na Mungu azid kukutunza
@pastormbaga you're real exciting me for l want to be a doctor but also a pastor ,you're my role model in Christ.
@happinessshilie40192 жыл бұрын
Jina la BWANA litukuzwe
@jessikaakinyi84453 жыл бұрын
Ni kweli pastor kuna Aunt yangu anaombea watu wanapona Ila yeye ako na goita aponi na watu wanapona hadi leo ako na hiyo goita
@davidginono12404 жыл бұрын
Ni kwanini..nikitubu mara nyingi dhidi ya dhambi fulani mpaka ninajisikia niko huru lakini nashanga tamaa zinanizidi alaf naanguka tena? Nisaidie basi...
@changarawemichael97954 жыл бұрын
Ni Mimi mwenyew nimeongelewa Bwana YESU niguse
@mercynyanchoka62833 жыл бұрын
Amen, hua nafuatilia kutoka hapa saudia, barikiwa sana
@chibugamedia73133 жыл бұрын
Barikiwa sana
@philbertmashaury19854 жыл бұрын
Pr. Amina sabato ijayo ni meza ya Bwana nimepata chakufanya
@MaryWilson-vg2mm3 жыл бұрын
Nabarikiwa sana napenda mafundisho kwakweli.
@jackmollel39422 жыл бұрын
Napenda sana haya mahubiri
@happymbilinyi75644 жыл бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi nabarikiwa sana n.a. Huduma yako Mungu azidi kukutunza tupate mengi zaidi
@karyinabdulmamboleo19403 жыл бұрын
Ooh hallelujah
@emmamedia81552 жыл бұрын
Yaaaaani huyu mchungaji Basi tu Yuko poa Sana Hadi cyo poa!!!!
@melissateddybearcossan95064 жыл бұрын
Aise leo nimeelewa kwa nini wanasema kaputula wazungu badala ya suruali ni kwa sababu wanapenda kaputula
@veronicaenock72924 жыл бұрын
Amen Pastor Mmbaga ubarikiwe sana 🙏🏻🙏🏻
@estermsigwa14762 жыл бұрын
Amen nimepata kitu
@elizabethlukumai45214 жыл бұрын
Asante mtumishi mungu akuinue zaidii
@selfaakinyi5124 жыл бұрын
Kweli shetani ananitatiza na. Usingizi, ila nguvu ya Roho mtakatifu ananiongoza, soma zuri, be bless pastor from qatar
@damah84314 жыл бұрын
Pia niko Qatar dadangu nipe number yako
@vailethmarack3743 жыл бұрын
Barikiwa Mch kwa somo hili.
@buhatwatv81063 жыл бұрын
nime elewa, ubarikiwe sana MCHUNGAJI
@betronsokanya90714 жыл бұрын
Nimebarikiwa sana...namshukuru Bwana Yesu Kristo kwa kuniokoa,na pia nakushukuru wewe mchungaji kwa kukubali kufikisha ujumbe wa Yesu mwenyewe.amina
@rehemanashon37399 ай бұрын
Barikiwa sana Pastor
@yohanamabubu24914 жыл бұрын
Kristo wa neema yote akubariki sana mtumishi kwa ajili ya neno zuri.
@seyaorongo74664 жыл бұрын
Somo zuri umeiponya nafsi yangu barikiwa sana
@ernestmbowe91534 жыл бұрын
Barikiwa nimekupata vzr na unatoa darasa
@mutangajohn36892 жыл бұрын
MUNGU akusaidiye pastor
@alvenialyasa3826 Жыл бұрын
Thanks pastor
@avenaaleoamo50954 жыл бұрын
Asante kwa ajiliya mafundisho haya yamenitoa sehem moja kwenda nyingine endelea kutufunulia zaid
@boyhd24802 жыл бұрын
Barikiwa mchungaji
@bwamijeannejo54736 ай бұрын
Amiiiiiina 🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️
@edwinezawadi47074 жыл бұрын
Mubarikiwe pastor
@witnessmalangalila913 жыл бұрын
Barikiwa sn Mtumishi
@miriamisack32204 жыл бұрын
Asante mungu kwa neno hili asante baba
@heritierba98682 жыл бұрын
Fundisho nzuri tena
@maureenjovial60834 жыл бұрын
Amen asante Yesu kwa ili somo
@eliabamayi43444 жыл бұрын
Waaa jamani haya mafundisho yamenigonga moyo Sana,, barikiwa sana mtumishi sijui niseme nini aki
@mwleliakimnyama68464 жыл бұрын
Yes pr.
@simionkimani76694 жыл бұрын
unatupeleka shwari mhubiri ....nafurahia sana mahubiri yako
@williammwanawima79964 жыл бұрын
Somo zuri sana, pastor MMbaga, ILA HUYO MSOMAJI HATUMSIKII KWA SABABU HATUMII MIC. UNGESOMA MWENYEWE ULIYE NA MIC.
@joyceyusuph4484 жыл бұрын
Barikiwa mchungaji somo hili limenijenga kwa namna yake
@user-zc1xq8xk1i5 ай бұрын
Wote ni walewale
@aganzearthur62052 жыл бұрын
Mucungaji nakusihi saana huyo musemo umetumiya eti hao waamiwako eti nibyasharazako Mungu hawezi kuwufurahiya hizo nikondoo umepewa na Mungu na maziwa zinayokupa ili kaziya Bwa iendele yangine unayo niyaziyada
@user-bq4nk4sg1w17 күн бұрын
Amina
@amanisteven22124 жыл бұрын
Amina pastor Ubarikiwe.
@estherkusaga91813 жыл бұрын
Pastor hili somo ni adimu makanisani uwelewa Wa juu namna hii ni mdg sana