Tunashukuru sana leo tujue sheria ya ndoa safi kabisa ❤❤❤
@damariszuckschwert9489 Жыл бұрын
Hata Europe sijasikiaga kuhusu ndoa za mikataba, huu uzushi nausikiaga tu na watanzania. Siyo kweli.
@MohamedOmary-s9n Жыл бұрын
Habari yako dada pia waislamu sheah wainta murtah marriage. Kwasababu hawatakii kufanya zinaa kwa mda watakao kubariana wao inafanyika inchi za kiarabu IRAN pamoja na Iraq pia na kadhalika sheah religion
@NeemaAbdon Жыл бұрын
Shaina naomba number ya huyo mwanasheria aweze kuni saidia
@NeemaAbdon Жыл бұрын
Mm Niko Tanzania nimeolewa na raia wa kigeni na saidiwaji kupata divorce yangu
@zuhuraezekiel112610 ай бұрын
Share na sisi your story inaweza tusaidia kwanini unataka talaka