Ni bongo tu ndio huwezi miliki kirahisi farasi.ila nchi kama sudani au nchi za jangwa ni usafiri wa kawaida kwa kila mtu
@yente9chanel733 Жыл бұрын
Mimi ndio wa kwanza nipeni like zangu
@liboriusbabile1197 Жыл бұрын
A very nice piece of information
@mshua337 Жыл бұрын
Sudan vijijini huko watu wanamiliki farasi kama sisi tunavyomiliki paka na hawana gharama yyt kuwatunza
@samirajohn6938 Жыл бұрын
Real
@JffjhgHffjjh-hr8ts Жыл бұрын
Dah mm nampenda Sana uyu mnyama ila hizo sababu zimenikatisha Tamaa ya kumiriki siku moja😀😀😀
@tuzonyava8306 Жыл бұрын
Wengi huamua kujinunulia kavitz nakuendelea namambo mengine😅😅😅😅😅
@ARUSHA_NAILS Жыл бұрын
Haha😂yani leo nimekaa nikiwa nawaza farasi mara nakutana na hii video
@qweeniepoul7842 Жыл бұрын
Unakumbushwa nguvu ilioko kwenye ubongo wako
@thetanzaniaanimalchanel1564 Жыл бұрын
Yote uliyoongea ni sahihi ila hapo kwenye umiliki jaribu kufatilia nchi za africa magharibi mfano senegal farasi wanamilikiwa na watu wa maisha ya chini na wanatumika kwa ajili ya kubeba mizigo,kuvuta mikokoteni ya kubeba takataka na kuna wengine wanawatumia kuuzia samaki mtaani na hata wanaonunua chuma chakavu wanawatumia hawa kuzunguka nao mtaani
@kuziririzaisabatosiitegeko7088 Жыл бұрын
Napenda mnyama huu sana
@footballtzee Жыл бұрын
huku wako wengi sana japo matajiri ndio wanamiliki
@starlonejadamskp8224 Жыл бұрын
Wap huko
@Stay_with_God_tv2 ай бұрын
Nawapenda farasi Sana.
@radiIbrahimnuhu Жыл бұрын
Noma😊
@jackisonidanieli43111 ай бұрын
Sasa me nataka kuuliza wanapatikana wapi kwa wingi
@highskills5883 Жыл бұрын
Very good
@jemamhagama4978 Жыл бұрын
Farasi na duma nani anakimbia zaid?
@aderiderkihupi7240 Жыл бұрын
Asante
@samwelingasa1638 Жыл бұрын
Naomba uweke makala ya Willam branham
@henrylugendo280 Жыл бұрын
Safi sana jastin shad
@ephraimndelwa4073 Жыл бұрын
kama kweli farasi walikamatwa porini je leo tukienda porini tutawakuta?
@starlonejadamskp8224 Жыл бұрын
Nomaaaa
@KasminaCreation Жыл бұрын
Noma sana😂
@edwardouma1630 Жыл бұрын
Bora ninunue Kawasaki Ninja H2R ni enjoy 🇰🇪
@FathelaFy-hj4jn Жыл бұрын
Adilaha.falasi.jamani
@King_Of_Everything Жыл бұрын
✌️👊👍.
@surusuru1994 Жыл бұрын
😂😂😂nyama
@ShamyshamimShami-cp5ev Жыл бұрын
Camel ni ngamia
@millermlowe8156 Жыл бұрын
Ivi maili 1 nisawa na kilomita ngapi
@highvoltages4169 Жыл бұрын
Maili 1= 1.6 Km
@SemeFlowers Жыл бұрын
❤️ ❤️ ❤️ ❤️ ❤️
@joycelydiah7156 Жыл бұрын
Waaaaa majabu😂😂
@onlinemateustv1925 Жыл бұрын
Tabia ya kumbukumbu kama punda, kunywa maji kama punda, kulala, kusikia n. K
@aminatanzanya7475 Жыл бұрын
Camel ndio faras.! Nakunywa mazim yake kila siku ni Mazur kiafya