Kilimo cha matango ni cha muda mfupi sana katika siku 45 utaanza kuvuna matango yako. Hatua zifuatazo zitakusaidia ktk kulima matango yako 👉Maandalizi ya shamba 👉 Samadi 👉mbegu
Пікірлер: 68
@FurahaMsangi28 күн бұрын
Vzuri mnapatikana wap
@AGALUSTV28 күн бұрын
Pamoja ndugu kwa matango tunalimia Dodoma
@mariamm27243 жыл бұрын
Kaka asnte kwa somo zuri , nimependa sana , bat nipo inje ya tz nikirudi lazima nikutafute , sijui uko mkoa gan
@AGALUSTV3 жыл бұрын
🙏🙏🙏ukifika utanichek Ntakujuza mahali nitakapokuwepo kwa wakat uo
@FredyMkumba10 күн бұрын
Nakubali ulicho sema,unapatikana wapi
@AGALUSTV10 күн бұрын
Karibu Sana ndugu ktk kilimo
@MkutubyTheboy2 ай бұрын
Mche mmoja unaweza kuzaa matango mangapi
@AGALUSTV2 ай бұрын
Hutegemea na mbegu Video nzima ipo apa fuatilila fuatilila mbegu mbali na kuzaa kwake kzbin.info/www/bejne/g4WthaidnLV-etU
@conselamwageni85513 жыл бұрын
Mwanangu Mungu akubaliki nakuelewa sana bro
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Amina tupo pamoja
@PakTourReal3 жыл бұрын
Big like from paktourreal
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Thnx
@jescangatunga82643 жыл бұрын
Asante kwa somo
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Karibu sana ktk kilimo
@amorerose6933 жыл бұрын
Asante kwa somo rafiki👍
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Barikiwa sana ndugu
@aminanurdin2216 Жыл бұрын
Jekwenye ufungaji wa mmea kwenye fito unakaza kamba auinafungwaje???
@AGALUSTV Жыл бұрын
Unalegeza ebu fuatilila video hii kzbin.info/www/bejne/eqvLfXlrmauofaM
@josephmabeyo29873 жыл бұрын
Habari za leo, ninaomba kujua idadi ya mashina ya matango ktk hekari moja na uwezo wa kila shina kuzaa hasa kama nimemtumia mbegu aina ya hibride
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Nzuri ndugu. Katika heka moja ni Miche 5000 na kwa kila mche 1 uweza beba Matango 10 hadi 25 apo kama huduma itakua nzuri 🙏🙏🙏
@user-ls4xy4rz2v6 ай бұрын
Matango yanafaa kilimwa kwenye kipindi cha mvua
@AGALUSTV6 ай бұрын
Yatakusumbua Sana kpindi iko maana huduma ni nyingi sana
@mwajumammbaga3256Ай бұрын
Nauliza unaweka aina gani ya mbolea ya kisasa wakati wa kupanda
@AGALUSTVАй бұрын
Mbolea zipo nyingi ndugu utegemea na mazingira, kama vile NPK, DAP, MINJINGU, n'k
@gabigabrieliboniventula34623 жыл бұрын
Daa Asante sana Mimi nimeotesha Kama chainizi jee inakuwaje hapo ninunuwe mbegu nyingine au,ushauli tafadhali
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Sorry kwa kuchelewa kujibu sms yako. Apo cha Kufanya subiri miche iote baada ya mwez 1 ivi kisha utaipeleka kupandikiza shamba ingawa Uwe makini sana kwenye ubebaji maana miche ni laini sana🙏🙏🙏🙏
@wazuachanel39283 жыл бұрын
@@AGALUSTV kiongozi..nashukuru kwa video zako nzuri elimu nzur..zimekuwa faida kwangu...lkin nina ushauri..ili uboreshe...punguza kuongea maneno nengi yanayojirudia au yana maana moja..yanafany video unaiangalia kwa kuichoka
@YussuphYusuph2 ай бұрын
Heka moja ya tango unavuna kiasi gani? Na mbegu kiasi gani inatosha kuotesha kwenye heka moja ?
@AGALUSTV2 ай бұрын
Fuatilila video hii apa Ina elekeza mchanganuo wote wa uwekezaji ktkt kilimo cha matango kzbin.info/www/bejne/g4WthaidnLV-etU
Naomba msaada tafadhali nimelima Matango lakini machungu shida iko wapi naomba msaada tafadhali
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Pole kwa ilo bt uchungu wa matango Mara nyingi uwa ni upungufu wa maji au joto kuwa kali sana au baridi kali sana jitahidi ku mantain ayo
@eunicejohn55203 жыл бұрын
Yanalimwa mkoa gan haswa
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Mazo ya bustani kwa sasa kila. Mkoa Tanzania 🇹🇿 hihi hulimwa ni Ubunifu tu na kuangalia majira ya eneo uliopo. Mfano waweza kumwagia bustani yako na mazao yakakubali. But matango kwa ufupi ni zao linalokubali sehemu yeyote Ndugu. 🙏🙏🙏
@merckjacksonjacksonsalah20823 жыл бұрын
Boss asante kwa somo nzuri ila mm nimelima yalipo anza kutoa matunda yakaanza kunyauka matunda yote ukibahatika kupata kwenye mche m1 nituda moja au mawili ssa sijui ninn tatizo?
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Vipi mbolea ya matunda uliweka kwa wakati? Vp kama. Uliweka unauhakika ilifanya kazi?
@ezratunusanga97383 жыл бұрын
Mbolea ya kisasa uliyotumia n aina gan
@AGALUSTV3 жыл бұрын
DAP ndugu yangu
@lucyhermanmloka821111 ай бұрын
Mbolea ya kuku inafaa kupandia
@AGALUSTV11 ай бұрын
Ndyo inafaa ila maji YAWE mengi ktk kumwagilia ili iyayuke
@shabanimikidadi79963 жыл бұрын
Habari yako kaka? Mimi naitwa shabani kisesa was kibaha. Naomba unifahamishe, je! Mbolea ya ng'ombe inafaa kwenye kilimo cha matango? Samahani kwausumbufu.
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Inafaa ila iwe imevunda vizuri japo iwekwe kwenye shamba au mashimo angalau wiki 2 kabla ya kuweka mbegu itakisaidia kufanya kaz maana kama isipo vunda vizuri itachelewa kifanya kaz
@agneshenry7322 жыл бұрын
Mbegu ya PV sio bora?
@AGALUSTV2 жыл бұрын
APO VIZURI UKAWASILIANA NA MTAALAM WA KILIMO ALIYE KARIBU NAWE AKUELEKEZe kwa mazingira unayotaka Kulimia vp kwa iyo mbegu
@SahaniPaul-ub4dm Жыл бұрын
Nimeipenda Sana huduma yenu atamani kujifunza zaidi ntawapataje?
@AGALUSTV Жыл бұрын
Karibu Sana ndugu. Sisi tupo online muda wote km utakua na swali Endelea ku komment kama utakua na Zaid tutakutumia namba za cm
@annacredakavusha15213 жыл бұрын
Naomba namba ya cm.hapo
@AGALUSTV3 жыл бұрын
0765467484
@conselamwageni85513 жыл бұрын
Somo hilo ni lini tena?
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Kuna masomo mengi tu kwenye hiyo channel agalus tv uwe una pita pita andika tu jina la channel u tube utachagua somo ulipendalo
@kassmmohamed29123 жыл бұрын
Maji yana mwagiwa marangapi Kwa siku?
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Hutegemea hali ya unyevunyevu ktk shamba lako. Bt kwa wastani ni Mara mbili kwa siku yaani asbh na jioni . kama unyevunyevu upo wa kutosha mwagia mara 1 tu. Ila iwe jioni
@gracebenjaminnapokeakatika95652 жыл бұрын
Mbolea gani mlio pandia?
@AGALUSTV2 жыл бұрын
samadi na dapu
@johnmsalluka75303 жыл бұрын
Jinsi ufungaji kamba ktk miti
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Nakutumia link apa mwisho mwa hii video utaona
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Hali apa chini👇👇👇👇👇👇👇👇.Apa kzbin.info/www/bejne/r3a5c2B8mdeigtk
@beatricedickson6052 жыл бұрын
Ukipanda mbegu mbili kunashida gan?
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Utatoa baadae zikiota zote utaacha 1 iyo ni kwa taadhari endapo isipo ota