Kilimo cha maharage kinalipa. Zingatia kanuni bora za kilimo hasa kwenye matumizi ya mbolea
Пікірлер: 338
@FazawaTangaАй бұрын
assant kwa somo zur swar je kwa eka moja mbolea kiasi gani niweke
@AGALUSTVАй бұрын
Mfuko mmoja na nusu Hadi 2 utegemea na njia upandaji
@anellyilomo27993 жыл бұрын
Asante kwa somo Zuri nmelielewa sana, naomba kuuliza katika shimo Moja unaweka Mbegu ngapi za maharage
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Tunashukuru kwa ushirikiano wako bt katika shimo ni mbegu 1 hadi 2 . Barikiwa🙏🙏🙏
@abbyadams86912 жыл бұрын
Kwa uzoefu wangu na utaalamu ni vema kuweka mbegu 2 katika shimo
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Pamoja🤝
@JohnJohn-sb5lv Жыл бұрын
Somo la leo ni zuri sana Niko pa1 nanyi had mwisho wa kipind
@AGALUSTV Жыл бұрын
Barikiwa Sana ndugu
@ezekieljob86798 ай бұрын
Asante Kwa maelekezo Mazuri sana ninaswali namna ya kuweka mbolea ya matunda maana umesema unaziweka zote Kwa pamoja ya kupandia na kuzalishia zote tatu
@AGALUSTV8 ай бұрын
Na za matunda utakua umeweka pale pale. Maharage ni zao la muda mfupi saana ndugu so itafanya tu Kaz Wala ucjali
@ezekieljob86798 ай бұрын
Asante sana ndugu nimekuelewa
@rosesesala9131 Жыл бұрын
Asante sanaa Kaka angu ,,mungu akubariki sanaa
@AGALUSTV Жыл бұрын
Amina ndugu 🙏🏿
@Truth4lite3 жыл бұрын
Asante, very beneficial.
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Pa 1 bt kama hujasubscribe naomba ufanye ivyo usipitwe na masomo yajayo
@LimbuMasunga-ds2tj4 ай бұрын
Nashukuru kwa somo zuri,lakini naomba kujua namna ya kutambua magonjwa kwenye maharage na mazaoengine pia
@AGALUSTV3 ай бұрын
Video ya magonjwa kwenye maharage na dawa zake kzbin.info/www/bejne/gXXdaodpec10gck
@ezebiuskoni8321 Жыл бұрын
Asante kwasomo rako sas minikama umeniacha nyuma kido Koo inatakiwa upande vyote kwawakati mmoja marage uchanganye namborea uwezi kuweka mborea wakati marake yameotaa arafu ukatumia mborea mojaa tuu can kunatatizo
@AGALUSTV Жыл бұрын
Maharage ni zao la muda mfupi Sana. Ukipanda uje UWEKE mbolea apo lazima utaachana na ukuaji. Pia mbolea za Chumvi izi zitaunguza mche wako. Ndyo maaana kama mbolea tutatumia za maji yaaani booster. Ivyo ni vizur uchanganye mbolea na uo ni uzoefu ndugu
@ezebiuskoni8321 Жыл бұрын
@@AGALUSTV saw Koo zamaji unaweza kutumia naizo nikama zipii
@AGALUSTV Жыл бұрын
Ndugu yangu majina ni mengi Sana ya mbolea sasa naona Kama tutakuchanganya tu. Ni vizur ukaenda duka LA Pembe jeo lililo karibu nalo atakupa alizo nazo maana zipo za matunda, majani n. K
@JacksonMwangi-bf8bz Жыл бұрын
Asante Kwa SoMo nzuri Mimi nmepanda Kwa kurusha natayali yameota naomba kuuliza vp naweza kurusha mborea ya dapu
@AGALUSTV Жыл бұрын
Hapana tumia Mbolea za kwenye majani
@peterndella9536 Жыл бұрын
Asante sana kwa somo
@AGALUSTV Жыл бұрын
Barikiwa pia
@devothakiwola64618 ай бұрын
Tqfadhal naomba kujua tarehe nzuri za kuanza kupandaa
@AGALUSTV8 ай бұрын
Utegemea na eneo ulilopo maaana Hali ya hewa hutofautiana eneo moja na lingine
@devothakiwola64618 ай бұрын
@@AGALUSTV iringa
@AGALUSTV8 ай бұрын
Apo uliza wenyeji mara nyingi uwa tuna panda mvua zinapo enda kuisha
@allynaas863 жыл бұрын
Asante unatoa elimu nzur
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Pamoja bro
@fidelfidel-jz4iw7 ай бұрын
Kilimo cha maharage haswa katavi kuna udongo mzuri sanaa nafikili waliwahi fika katavi watanielewa
@AGALUSTV7 ай бұрын
Hakika sana ndugu
@janemgimba2168 Жыл бұрын
Barikiwa kwa maelekezo
@AGALUSTV Жыл бұрын
Amina ndugu nawe pia
@shanimbaraka26003 жыл бұрын
Great great somo ,
@AGALUSTV3 жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏💪💪💪
@MdabuloDispensary16 күн бұрын
Nashukuru kwa somo zuriii sana, naomba kuuliza inatakiwa kupanda punje ngapi za maharage?
@AGALUSTV16 күн бұрын
Mbili mbili Hadi 3 hutegemea ubora WA mbegu
@ZaithoonZaithoon-er9gyАй бұрын
Me nko morogoro na sijawah kujiingiza kwny kilimo nahitaji zaid masomo yako je maharage morogoro yanakubari.
@AGALUSTVАй бұрын
Yes Tena vizuri tu ndugu
@januarykiraba16055 ай бұрын
Ekari moja inahitaji mbegu kg ngapi
@AGALUSTV5 ай бұрын
Debe 2 ivi uwe nazo
@nolimittvonline68222 жыл бұрын
Yani Kaka nawapenda Sanaa bando langu litakua linaisha vizuli
Alaf mmesema wakat wakupand tunachanganya mbolea yakupandia nayakubebeshea matunda kwawakati mmoja au tofauttofaut
@AGALUSTV6 күн бұрын
Ni sahihi ndugu
@FRANSIscoJASTNI5 күн бұрын
Mim bad sijakwelewa hapo yan nachanganya hiyo mbolea kwawakati mmoja.
@AGALUSTV5 күн бұрын
@FRANSIscoJASTNI ndio ndugu
@user-wp2nt8lc5w5 ай бұрын
asanteeeee
@AGALUSTV5 ай бұрын
Barikiwa sana
@mumberematsundo57802 жыл бұрын
Jambo Mimi ni mkulima inchini Congo mupakani n'a Uganda hatuna mbolea uku
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Okay poleni sana Tuzid wasiliana
@odethaneema2 ай бұрын
Waoo nimependa mnavoreply kwa kila mmoja mmoja,,mbarikiwe mnoo,, sorry namm niko na swal kdg et,, vip mbegu n lazima ninunue kwenye maduka ya kilimo au hata mbegu za nyumbni zaweza kutumika na mavuno yakawa mengi??? Asant nasubiria jibu lako
@AGALUSTV2 ай бұрын
Si lazima. Mbegu Ata izo za sokoni AU nyumbani, ila ziwe nene yaani umbo kubwa, zile ndogo ndogo hazifai kwa mbegu, yaani chambua vizur, pia ziwe zimekauka vizuri
@AGALUSTV2 ай бұрын
Si lazima. Mbegu Ata izo za sokoni AU nyumbani, ila ziwe nene yaani umbo kubwa, zile ndogo ndogo hazifai kwa mbegu, yaani chambua vizur, pia ziwe zimekauka vizuri
@DiraMedadi3 ай бұрын
Naomba kujua mbegu za maharage ambazo ni zenye mavuno bora nazpataje
@AGALUSTV3 ай бұрын
Maduka ya pembejeo
@user-vt8qq3vj7e3 ай бұрын
Mie natakakupanda maharage kwakuanda vituta .nifahamishwe umbali wa tuta natuta
@samwelgaspar73612 жыл бұрын
Asante
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Barikiwa sana
@PiusThadeo-li9oe Жыл бұрын
Safi sana
@AGALUSTV Жыл бұрын
Tupo pamoja ndugu
@witnessbonaventura87553 жыл бұрын
Naomba kujua mbolea hizo zoteyaani ya kupandia na ya matunda zote kwa pamoja
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Yes kwa pamoja maana maharage yana chukua siku 3 tu kuanza kuota hivyo mbolea inabid iwepo mapema
@MdothakassimmarkoMarkoka-hn6df10 ай бұрын
Nimbengu gan ambayo inaweza kunipa faida
@AGALUSTV10 ай бұрын
Mbegu zipo nyingi ndugu. Tembelea tu duka la pembejeo
@IddiPetersangwaАй бұрын
Naomba kujua kati ya shimo nashimo na inakuaje
@AGALUSTVАй бұрын
Shimo na shimo ni sm 15, na Kati ya mstar na mstar ni sm 40
@petertemu9572 жыл бұрын
Naomba kujua kama eneo la tarime litafaa kwa ajili ya maharage
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Yes linafaa tu ni huduma tu
@suzanmgaya74602 жыл бұрын
Hapo kwenye mbolea ya kuku nakubali mwamba duh yaani shina moja unaweza toa kilo moja
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Oooh sawa sawa Tupo pa1🙏🏿👏🤝
@ElishaDamas6 ай бұрын
Ikiwa tayar mmea umeota nitumie mblea gan kwa ajili ya mavuno bora
@AGALUSTV6 ай бұрын
Mbolea y matunda ya majani
@LizaBiro-u4eАй бұрын
Mbolea huwekwa mara ngap? He yanapotoa maua yanaitaj mbolea? Na niaina gan yambolea?
@AGALUSTVАй бұрын
Mbolea ni wkt wa kupanda tu.mbolea zingine uwa zile za maji za kwenye majani.kipindi cha maua hapana maana unaweza pukutisha maua
@jafarijuma73765 ай бұрын
Mbole unaweka weka je maana watu wengine wanasema usichanganye mbolea na mbegu
@AGALUSTV5 ай бұрын
Kwa maharage haina shida. Mbona mahindi tunaweka
@ElishaDamas6 ай бұрын
Ni mbolea gan ya matunda kwa maharage inafaa
@AGALUSTV6 ай бұрын
YA, CHUMVI CHUMVI AU YA MAJI KWENYE MAJANI
@AGALUSTV3 ай бұрын
Mbolea za maji jinsi ya kuchagua kzbin.info/www/bejne/n3Wui5ZmYtKCaKs
@AGALUSTV3 ай бұрын
Mbolea za maji zote kzbin.info/www/bejne/n3Wui5ZmYtKCaKs
@mugabemigani7484 Жыл бұрын
Katika kila shimo unaweka mbegu ngapi na kutoka shina moja kwenda jingine ni umbali gani
@AGALUSTV Жыл бұрын
Mbegu 1/2 umbali ni sm 15/15 ni shimo kw shimo na 40 AU 60 mtari kwa mstar
@FRANSIscoJASTNI6 күн бұрын
Asnte san mimi ni Franc nipo Mkowa warukwa wilay yankas naomba kuuliza naona yamepandwa kwamistar sas hiy mistar upan wamstr namstr ni sm ngap?
@FRANSIscoJASTNI6 күн бұрын
Pia nakuhu dawa zakupulizia maharage yasiathilike nahatua zake. Nap naomba maelekezo
@AGALUSTV6 күн бұрын
Sm 15 shimo na shimo na sm 30 mstari kwa mstari
@AGALUSTV6 күн бұрын
Dawa zipo nyingi aina tofaut kulingana na wadudu, na za ukungu. Tembelea duka la pembejeo
@FRANSIscoJASTNI6 күн бұрын
Asante
@AGALUSTV6 күн бұрын
@FRANSIscoJASTNI tupo pamoja
@user-fq8dv8fd6v Жыл бұрын
Je unaweza kutumia mbolea ya samadi
@AGALUSTV Жыл бұрын
Iwe ya kuku AU nguruwe. Maaana Samad ya ng'ombe Inachelewa kufanya Kaz wkt maharage yanakua kwa haraka sana
@user-ut7xd3en6r9 ай бұрын
Me na swali umesema tunaweza kuweka mbolea zote kwenye mahalage yaani shimo moja swali langu ni kwamba nawaka mbolea za dokana peke take au nachanganya zote na za asili
@AGALUSTV9 ай бұрын
Wewe tu kulingana na rutuba ya shamba lako. Kama Unatumia za dukani peke Yake sawa tu
@user-kn8tc6hk7y8 ай бұрын
Hakuna mbolea za maji unaZoweza kuzitumia Kwa Kupulizia kwenye majani ya maharage kama hukutumia mbolea hapo awali
@AGALUSTV8 ай бұрын
Zipo ndugu cha msingi tembelea duka LA Pembe jeo WATAKUPA walizo nazo
@user-wp2nt8lc5w5 ай бұрын
Ni kama zipi mtaalam@@AGALUSTV
@elizabethasajile93802 ай бұрын
sema huzijui ruhusu ubongo wako ujifunze
@AGALUSTV2 ай бұрын
Sawa ndugu Elizabeth Asajile ila sababu si ivyo unavyo FIKIRIA. Sababu kubwa ni za kibiashara.....TUKIANZA kutaja majina ya mbolea umu tutakua tunafanya matangazo ya iyo mbolea. Nafikiri umetuelewa vizuri ndio maana tunajiepusha na Hilo kwa kuwa waambia watu watembelee dukani
@AGALUSTV2 ай бұрын
Zipo kwa ajiri Ya matunda, kukuzia na za kupandia. Pia zipo zinazo fanya Kaz zote 3 apo. Kwa msaada zaidi tembelea duka LA pembejeo na Umwambie unahitaji mbolea ya maji kwa ajiri Ya kazi gani
@user-pv9hq3mi4w4 ай бұрын
Mbegu nzuri nitapataje ? Mm Niko Arusha!! je sehrmu za kabuku (Tanga) maharage yatakubali?
@AGALUSTV4 ай бұрын
Mbegu Ata sokoni. Ila YAWE ya mwaka jana. Uko waweza lima
@emanueladam74423 жыл бұрын
Naomba kipimo
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Sm 10 kwa sm 50
@HamisFengu-lz7hq2 ай бұрын
Kwa ukunda wa pwani kama wilaya ya kisalawe inafaa kupanda mwezi Gani?
@AGALUSTV2 ай бұрын
Mvua inaanza kuisha tu ule UNYEVU nyevu. Sasa apo waweza fuatilia ni mwez gani
@hussenmishamo19633 жыл бұрын
Mbengu gan nzur za mahalage
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Zote nzuri hutegemea na uhitaji wa soko lako . soko lako wanapenda aina gani ya maharge
@uamshosikuzamwisho6 ай бұрын
Tunaomba kujua vipimo kiasi gani Cha mbolea wakati wa kuchanganya kati ya Dap na can
@AGALUSTV6 ай бұрын
1:1
@revocatusmartine71596 ай бұрын
Mbole aina ya DAP na CAN ukishachanganya unaweka kiasi gani katika shimo la mbegu moja na pia kwa shimo la mbegu mbili
@AGALUSTV6 ай бұрын
Kifuniko cha maji/soda
@VenanceMwakijale-br4vnАй бұрын
Katika hili naomba maelekezo maeneo yakisalawe
@AGALUSTVАй бұрын
Ulimaji ni ule ule ndugu fuatilia maelekezo vizur na ukayatumie ktk eneo lako
@user-dz1tt6gk5z6 ай бұрын
Umbali wakupana na ni weke punje ngapi kwa kila shimo
@AGALUSTV6 ай бұрын
Sm 15 kwa 40
@user-sf6rj9jy5n Жыл бұрын
Mbolea gani inatumika kuzalisha maua kwenye zao la maharage
@AGALUSTV Жыл бұрын
Mbolea kama CAN ni nzuri kwa matunda,pia zipo mbolea ZA MAJI NYINGI TU KWA AJIRI ZA MAUA Na mtunda
@VenanceMwakijale-br4vnАй бұрын
Mimi naishi kisarawe
@AGALUSTVАй бұрын
Ok
@robertkisiri12733 жыл бұрын
Asante kwa video nzuri. Ukilima kwa kufuata hatua zote za kitaalamu, mavuno yanaweza kufika gunia ngapi kwa eka moja???
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Gunia 3 hadi 5 ni gunia za debe 6
@jdecorations82222 ай бұрын
Kwa makadirio heka moja inaweza toa kilograms ngapi za maharage???
@AGALUSTV2 ай бұрын
Waweza vuna zaidi ya Kg 400
@happytitus89213 жыл бұрын
Samahani naweza nikapanda maharage halafu mbolea nikaweka baada ya zao kuota au kuna madhara
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Mbolea za chumvi chumvi zina tabia za kuunguza miche Ni vzuri kuoandia zote au kama utaweka baadae kua makini weka kw kiwango kidogo na uweke mbali na mche kdogo miche isiungue
@lynnharry7359 Жыл бұрын
Kiasigani cha mbolea ya matunda kinatosha kwenye hecre 1?
@AGALUSTV Жыл бұрын
Nusu mfuko yaaani 0.5 kg japo Itategemea jinsi ya KIPIMO chako kwa njia ya mistari mbolea hadi mfuko 1 waweza tumika
@imeldanashon63472 жыл бұрын
Vp naomba kujua mbolea ya n, gombe yanafaa naomba mwenyekujua anjb jmn
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Inafaa japo iwe imevunda vizuri🙏
@MosesDavid-zo7ui8 ай бұрын
Dawa zinazohitajika katika kilimo cha maharage ambazo unaweza kutumia ?
@AGALUSTV8 ай бұрын
Ni za wadudu na ukungu hizo ndyo muhim
@user-tq1kt4je4p11 ай бұрын
Wakati una weka mbolea pamoja na mbegu unatakiwa kuweka mbolea kiasi gani kwenye shimo mfano dap
@AGALUSTV11 ай бұрын
Kifuniko 1 cha maji AU soda AU juice
@jacksonbasenile-nu8bf Жыл бұрын
Ogera sana
@AGALUSTV Жыл бұрын
Barikiwa pia
@joharijj21643 жыл бұрын
Je maharagwe yatafanya vizuri maeneo ya bungu, bungu ipo pwani waweza itizama kwa map, halafu soko la maharagwe lipo?
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Nashukuru kwa taarifa 🙏🙏
@princebuganzilut20473 жыл бұрын
Nimependa naomba kujua backup ya Serikali inatusaidiaje wannachi tuweze kuingia shambani
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Sijajua
@princebuganzilut20473 жыл бұрын
@@AGALUSTV kuna kipindi kile wanakamata kamata wacheza pool ilipendeza sana wangeandaliwa mashamba yanayohodhiwa na wanakijiji bila kuyaendeleza hata kwa kilimo wapewe hawa wasiokua na kazi wayalime. Hivyo kwakua hawakuwafanyia hivyo tungefikiriwa wengine wenye nia ya dhati ya kulima kwa condition ya misimu si chini ya mitatu palimwe mbona tanzania tungelisha mataifa ya nnje
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Ni kweli kabisa
@VenanceMwakijale-br4vnАй бұрын
Mbolea kiasigani kwa heka 1
@AGALUSTVАй бұрын
Mfuko mmoja na nusu
@emanueladam74423 жыл бұрын
Ni kipimo gani cha mbolea kili shimo
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Kisoda 1 kwa mbolea za kisasa mikono miwili
@abrahamsingano53722 жыл бұрын
Spacing kati ya mche na mche
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Sm 3/5 mche kw mche kwa sm 15 mstari kwa mstari🙏
@user-yq4bf9wy1v11 ай бұрын
Endapo ukifuata kanun vizur mapato yake yanakuwaje lakn nataka kujua juu ya matumiz ya viwatilifu
@AGALUSTV11 ай бұрын
Fuatilia video hii apa mchanganuo wote Mtaji na faida ndani yake kzbin.info/www/bejne/jIbVdYZ4qMSEebs
@WiliamObedi-mv3fr11 ай бұрын
niaina gan ya mbegu inatoa mavuno kwa wingi
@AGALUSTV11 ай бұрын
Mbegu zote ni nzuri hutegemea na eneo na matunzo yako
@mwajumayunus4193 жыл бұрын
Hivi hekarr moja ya maharage inatoa kipato cha kiasi gani
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Debe 15 had 30
@stominluvanda4638 Жыл бұрын
Shina na shina na msita kwa msitali kiss gani?
@AGALUSTV Жыл бұрын
15 shina kw shina na 30 AU 40 mstar kw mstar
@MdothakassimmarkoMarkoka-hn6df10 ай бұрын
Je udongo ukiwa mwekudu unaweza kutumaia mbolea gani vile
@AGALUSTV10 ай бұрын
Udongo haupimwi kwa rangi yake. Ukiitaji kupima udongo na Aina y mbolea Muone mtaalam wa Kilimo aliye karibu nawe
@januarykiraba16055 ай бұрын
Umbali wa kupanda shina Hadi shina, mstsri hamstari ni centimita ngapi?
@AGALUSTV5 ай бұрын
Sm 15 ni shina kw shin na sm 40 ni mstar kw mstar
@robertnyelele9896 Жыл бұрын
hekamoja ya mahalange unaweza kutoa.junia ngap
@AGALUSTV Жыл бұрын
Utegemea vitu vingi ndugu
@AlienVoice_tz6 ай бұрын
He kwa Dar es Salaam naweza kulima maharage
@AGALUSTV6 ай бұрын
Ndio waweza
@JosephatSarwat5 ай бұрын
Umbali kati ya mstari na mstari halafu shimo na shimo ni ngapi?.
@AGALUSTV5 ай бұрын
Shimo kw shimo sm 15 na kw umbali ni 30 had 40
@JosephatSarwat5 ай бұрын
@@AGALUSTV asante
@arenyutenga10522 жыл бұрын
Jee ni Mbegu ghani ya Maharage iliyozuri kwa kupata mavuno mengi? Jee maharage napaswa kupanda mwezi wangapi na kuvuna mwezi wangapi ??? By Utenga naomba unijibu
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Kwa eneo la wapi yaan upo wapi
@shabanngonwe46423 жыл бұрын
Nifahamishe umbali kati ya shimo hadi shimo na mstari hadi mstari
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Unavyo tumia njia y kuchora mistar uwa tunakadiria tu bt mstar kw mstar sm 30 adi 40 shimo kw shimo apa hatupigi mashimo uwa tunarusha mbegu 2 au 1 kw kadirio la umbali sm 2 adi 5
@abdallahmzuzuri35273 жыл бұрын
Kama tutapanda kwa mstari hivyo. Je mbolea zinazo takiwa tutaweka kwa mfumo gani?
@fadhilitweve73052 жыл бұрын
Naomba kuuliza hizo mbolea nachanganya kwa ratio gani (ya matunda na ya kawaida)
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Kupandia kg 50. Matunda kg25 na kuku zia kg 12.5
@richardmsuya26452 жыл бұрын
@@AGALUSTV hizi zote tatu zinawekwa wakati wakupanda?
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Ndyo zinachanganywa ndudu 🙏
@richardmsuya26452 жыл бұрын
Ahsante kwa somo zuri
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Pa1🙏🤝
@kapasimoses982 жыл бұрын
Je? Mbolea za booster za kupinga kwenye majani za resho ya 19:19 10 Npk
@AGALUSTV2 жыл бұрын
, apo Sasa twende tu dukani ndugu🙏
@flevouronlinetv1333 жыл бұрын
Samahan ndg je hekal moja unaweza ukapata gunia ngap kitaalamu
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Kwa mazingira mengi kiuzoefu ni Kati ya 7 hadi 12 za debe 6 pia wa weza pata hata zaidi ya 15, japo hutegemea vitu vingi
@stevenmbilinyi45263 жыл бұрын
Je Mimi nalima kwenye harizi ya kichanga manyara je harizi I inakubali maharage na kitaka kupima udogo napeleka wapi kuupima
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Tumekujibu kwenye swali lako la awali
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Tumekujibu kwenye swali lako la awali
@fidelayubu21753 жыл бұрын
Ekari moja inaweza kutoa magunia mangapi ya kilo 100
@ibrahimfarouq83393 жыл бұрын
@@AGALUSTV Acha masihara mjomba
@AGALUSTV3 жыл бұрын
🤝🤝🤝🤝
@yusufusudusudu31733 жыл бұрын
2/3 nikias kidogo sana nawakati sisi tunalima bila utaalm wowote tunapata gunia 5/6 we mtihan
@user-mq5ly7kr8x4 ай бұрын
Ata mimi nililima Hekari moja Nkapata Gunia 7 na sijaweka mbolea@@yusufusudusudu3173
@winifridalugembe25282 жыл бұрын
Je umewahi kutumia mkojo wa sungura kama mbolea na kukinga wadudu?
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Yes ndugu
@charityezekiel35253 жыл бұрын
Kwenye shimo moja unaweza kuweka mbegu ngapi??
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Mbegu 2 tu
@user-fr6ml5pu3h10 ай бұрын
Hekali moja ya shamba la maharage ikitunzwa vema inatoa kilo ngapi?
@AGALUSTV10 ай бұрын
Zaidi ya gunia 15++
@dhinatsimbano88543 жыл бұрын
Je ardhi inayofaa kwa kilimo cha maharage inaweza kufaa kwa kilimo cha soya?
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Ndyo inafaa
@dhinatsimbano88543 жыл бұрын
@@AGALUSTV Na kipindi cha kuotesha maharage ndo kipindi sahihi cha kuotesha soya? Na je mbolea za maharage ndo hizohizo za soya?
@monysulloo5904 Жыл бұрын
Samahani kaka,nikiwa nitapanda maharage Yale ya njano mwezi huu was kumi na moja katikati yataiva VIZURI
@AGALUSTV Жыл бұрын
Inawezekana ndugu vp utakua unamwagilia au
@monysulloo5904 Жыл бұрын
Samahani naomba namba zako
@AGALUSTV Жыл бұрын
Ok
@gracebenjaminnapokeakatika95652 жыл бұрын
Samahan naomba ushauri nataka nipande kilimo mseto yaan maharage na alizeti je inawezekana?
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Yaaah japo mahindi weka mbali mbali 🙏🙏
@MohamedHassan-zs4jx3 жыл бұрын
Mm nimexhambanda tayar nina kama wk naweza kuweka mbolea?,na kama uwezo wng mdogo naweza kuweka mbolea moja t ya keni
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Kama ulipanda mbalimbali waweza weka lakini kama ni karibu sana kua makini waweza umguza miche yako
@joharijj21643 жыл бұрын
*mohamed* umewahi panda Tena? Je soko lipo?
@ellykibale1903 жыл бұрын
Somo zuri,umesema samadi ya kuku ni nzuri zaidi.. Nimewahi kusikia samadi ya kuku ni kali sana,Je Ni kweli? Kwamba unahitaji kuipunguza makali? Naomba kujua namna ya kuitumia samadi ya kuku na Kama Ni kweli mpaka uipunguze makali,Je unaipunguzaje?
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Thnx. Bt samadi ya kuku inatakiwa itolewe kwenye mfuko kama ni mbichi ikae wazi ipumue kwa muda kdogo ata mwezi ivi apo ukali utapungua
@ellykibale1903 жыл бұрын
@@AGALUSTV Asante
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Pa 1
@laureenlumumba98193 жыл бұрын
Mbolea ya jamii ya keni, no mbolea kama gani hio? Usaidizi hapo kidogo kiswahili imenipitia. From Kenya.
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Kwa Tanzania 🇹🇿 ni mbolea ina itwa CAN cjajua kwa uko Kenya 🇰🇪 ndugu
@salimLempakany2 жыл бұрын
Kenya pia ni CAN
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Hatujajua kwa uko ila iyo ni mbolea ya Matunda tusaidiane jina la iyo mbolea kwa uko🙏
@shadrackjacob8002 жыл бұрын
Sawa muelimishaji , naombakueleweshwa dawa ya ukungu kwenye maharage.
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Izi dawa Zipo nyingi sana. Ushauri ni vizur tu ukaenda Duka la karibu nawe ukamwambia atakupatia haina shida ndugu
@yothampetro6755 Жыл бұрын
Kwahiyi minjingu ndo sahihi
@AGALUSTV Жыл бұрын
Hutegemea na eneo yaani Aina ya udongo C kila sehemu utumika iyo. Kwa hiyo angalia eneo lako mbolea ipi utumika kupandia
@bornifacecharles2 Жыл бұрын
Je kuchanganya mahind na maharage wanaita kilimo mseto inatakiwa upande kwa mahindi yakiwa na mtu gani
@AGALUSTV Жыл бұрын
Usawa futi 1
@bornifacecharles2 Жыл бұрын
@@AGALUSTV shukrani na je yako karibia kuweka mbelewele haitakiwi?
@AGALUSTV Жыл бұрын
Weka tu ILa matunda
@AGALUSTV Жыл бұрын
Inafaa
@WiliamObedi-mv3fr11 ай бұрын
je nmikoa gan nilafiki kwa kilimo cha mahalage
@karimjuma7442 Жыл бұрын
Mbolea nishingap
@AGALUSTV Жыл бұрын
Aina gani ya mbolea ndugu
@winstonkachema17313 жыл бұрын
Heka moja ya maharagwe Una uwezo wa kuvuna gunia ngapi endapo utazingatia hatua zote
@AGALUSTV3 жыл бұрын
10, hadi 13
@revocatusmartine71596 ай бұрын
10 had 13 mara 3 had 5 za debe sita kipi n kip?
@AGALUSTV6 ай бұрын
Ndugu izo ni idadi za gunia Kuna kadirio la chini kabisa....
@johnnico71143 жыл бұрын
Mbolea ya CAN iwe kwa uwiano gan
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Sijakuelewa una maana gani? ni kiasi gani au uwiano ?
@vickmlumbe75343 жыл бұрын
Mimi ninamaharange aina ya kingoma mtanisaidia soko
@djredtiger10882 жыл бұрын
Kipatochakekwahekamoja ni kipi
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Mchanganuo wa mtaji na faida yake👇🙏 fuatilia somo hili kzbin.info/www/bejne/jIbVdYZ4qMSEebs
@johnnditi90792 жыл бұрын
Kwa wilaya ya NJOMBE ni kijiji gani wanalima zao la maharage
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Kiukweli kwa uko hatufahamu ngoja tuzidi kufutilia Kujua zaidi
@tukaiadventures37822 жыл бұрын
Je urea inafaa kukorogea kwenye maji alafu utumie kwa Bomba kunyunyuzia shambani?
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Inafaa japo c njia nzuri. Ni vizur ukatumia mboles za maji