Nakuelewa sana mwingira Moja ya manabii WA ukwel waliobaki Tanzania..naomba Bwana Yesu akutetee..tunakuombea
@issaalfani10302 жыл бұрын
Serikali yangu ya Tanzania nawaomba sana sana sana kiongozi yeyote atakae soma msg hii awe mjumbe wa tarifa kuifikisha juu, tufanyieni yooooote ila msiwaguse guse viongozi wa Dini nihatari sana kwa Taifa nawaomba sana sana asanteni
@shaddybmc83422 жыл бұрын
Huyu ndio mtumish wa Mungu. Hapend kupepesa macho
@shaddybmc83422 жыл бұрын
Mwingira anayo macho ya kuona mambo ya mbele sana. Jitu la mbinguni.
@nancyfamilysharesmoments76342 жыл бұрын
Sinashaka naye kabisa
@shaddybmc83422 жыл бұрын
Mwingira anao msimamo , nakumbuka hata kipind cha kikao cha viongoz wa din alisema, maswala ya haki
@kubwaichebestfriend86732 жыл бұрын
Muziki wa nini sana wakati watu wanataka kusikiliza maelezo, hopeless
@catherineezekiel3292 Жыл бұрын
Mungu akutunze baba yangu Mwingira, Nakupenda sana
@paschalpaul38622 жыл бұрын
Zaburi 14:2 toka mbinguni Bwana aliwachungulia wanadamu aone Kama Yuko mtu mwenye akili,Amtafutaye Mungu
@emmanuelmichael30122 жыл бұрын
Kwa kweli MUNGU akubariki sana umetukumbusha kuwajibika kwenye nafasi Zetu
@Ezekiel_abel2 жыл бұрын
Askofu we pray for you,GOD IS THE WINNER!
@neemashayo-mg7mv Жыл бұрын
Huyu ni mtumishi was mungu jaman ni mungu amemchagua
@amazi67962 жыл бұрын
Hii channel Ni ya Kihuni, press ya mwaka juzi kabisa 2020 akiwa kibaha. Channel hii imetumwa na wahuni
@mchungajihekimafungo80722 жыл бұрын
Mbona aliongea vizuri tuuu!!!!
@faustinammilla757 Жыл бұрын
Baba we love you forever nakupenda daddy
@calimahad92742 жыл бұрын
Usipotoshe , tuhuma zake hazijaleta ukakasi kwa wananchi , wananchi tulifurahi kumsikia akitoa maoni yake.
@danielshimora53152 жыл бұрын
Mungu amesha muinua na sisi wanadamu wa Dunia nzima tutamuinua. Samia Suluhu Hassan.
@godlovemunuo41672 жыл бұрын
Wewe mwandishi ni pumbafu kabisa... kwanini unahadaa watuu..Mungu akakukemee mwenyewe
@youngsonsiwale54042 жыл бұрын
God blesses
@mathewjohn87402 жыл бұрын
Sijaelewa Mtanzania mwenzangu kwa clip hii ni kibaya alichoongea Askofu Mwingira mpaka akaitwa kuhojiwa na jeshi la polisi?au haikurushwa yote?
@barrynzeyimana62702 жыл бұрын
Haya mambo ya mungu kaniambia au kanipatia kibali siyapendi. Kwakua Hawa watu ni wanasiasa ambao wamejificha nyuma ya pazia. Hivi mungu kwanini akutume kwangu wakati na mimi nipo? Huo sio umbea? Mungu Hana taifa. Mataifa yamegawanywa na watu. Mwingereza, Germany, Marekani, ufransa, sio mungu kugawa africa,
@amiwitu14452 жыл бұрын
Eti kuna uhuru!!!uhuru gani??? Maneno tu, uhuru wa watu fulani tu!! Ni neema ya Mungu tu inayoibeba Tanzania.
@konshazikonsha61802 жыл бұрын
Kumbe unajua kiswahili vizuri hivi🤔🤔!!!!!!
@user-hp1xe4tf4p Жыл бұрын
Ameen Baba 🙏🙏🙏
@maishaedward36282 жыл бұрын
Ukakasi kwa jambo la kweli, ni wapi au wananchi wangapi umewahoji na kuwauliza na kusema ni ukakasi?? Na hii press conference ni ya zamani Sana kipindi Cha corona miezi kama Tisa iliyopita, acheni uongo NYIE kwa jamii mnayoisema, si ya wiki iliyopita
@rehemadaudi7422 жыл бұрын
Mmm huyu mtumishi ana utiisho na mamlaka isiyo ya kawaida, ombeni macho ya rohoni mumuone hakika kila mtu atahofu na kutetemeka, namuona Yesu ndan ya mtu huyu
@danielshimora53152 жыл бұрын
Askofu ondoa shaka tuko kwenye mikono Salama ya Rais Samia Suluhu Hassan.
@wilsonmatunda49372 жыл бұрын
Background music inaharibu ujumbe kutoka kwa Askofu.
@octavianmushi99162 ай бұрын
watangazaji na waandishi wetu wajaribu kuwa makini zaidi kwani Apostle Mwingira siyo askofu...
@user-ee1sz4eg6n4 ай бұрын
mungu akubalik
@happynuspilula86702 жыл бұрын
Hii video ya Mtume na Nabii Mwingira, ni ya miaka miwili iliyopita, kipindi kile tumepata wimbi la kwanza la UVIKO-19. HAIHUSIANI NA YANAYOENDELEA KATI YAKE NA JESHI LA POLISI
@EngJosh2 жыл бұрын
Hii Ni wakat Magu akiwa hai
@saidipara41342 жыл бұрын
Tunajua sasahiv lile genge la mama na mwemnzake wa msoga.watakuwekea chuki sana mpa wanaweza kuuwa.magufuri alikupenda na wewe ulimpenda pia wewe ndio ulikuwa rafiki wa kweli wa mjomba.
@lucaelibosco22322 жыл бұрын
Mmh mnafel hii press ni ya mwaka jana au mwaka juzi acha uongo
@jumakalukule53122 жыл бұрын
Kweli hiiyazamani nimekumbuka aisee
@NDEWARA2 жыл бұрын
Nafanya kwa kibali cha Bwana 😭😭😭
@musaandrew6042 жыл бұрын
Unsubstantiated mnatafuta view kumbe CLP ya mwaja juzi mna ileta Leo ?
@wilbertsanze2852 жыл бұрын
Tatizo hili taifa sijuwi kwanini babu akuweka katiba yenye usawa
@user-le1pv5on3y4 ай бұрын
Wenga mwngila nikuona uronda kurotakujela
@sangasanga62902 жыл бұрын
Ya
@sikapendinakapenda41702 жыл бұрын
Yupo nje kabisa ya topic iliyokusudiwa, au kaingia upepo?
@bashemelajohn2 жыл бұрын
Sikuhizi maasikari nao ni ccm 😂 yani inachosha tatizo wanapenda matumboyao lazima wanyoke safari hii
@yakwetutv85252 жыл бұрын
Ma ling ton yani kwenye vitu muhimu kama hivi
@protaskindauji9852 жыл бұрын
Waandishi wa habari mkikosa ueledi na mkazidi kuwa waongo umaskini hauwezi kuwaisha. Hii clip ni ya mda mrefu uliopita.
@barakanestory35212 жыл бұрын
Jamani,viongozi wadini ni hatari,hawaguswi jamani,Mimi naogopa sana,Wako na Mwenyezi mungu Tena Kwa ukaribu sana.Tuche jamani,watu mishi wa mungu wowote wale,wadini yoyote Ile,nihatari mno,sawa.
@luhindakanige29872 жыл бұрын
Tatizo mnachanganya din na siasa
@zainabsaid92642 жыл бұрын
Mtume itakuwa mg on I?watakuja manabii wa uongo wakinena kwa jina langu
@williammajani21522 жыл бұрын
Clip ya Mwaka 2020 inaoletwa kama ya Leo. Waziri mkuu uingereza alilazwa Jana? Rais kama Baba. Maneno hayo yanaonesha ilikuwa wakati wa Magu. Nashauri tu Ukiendelea hivi utapoteza watazamaji acha uhuni
@yussufpandu13202 жыл бұрын
Tafadhali musipige muxiki sisi tunataka taarifa sio muziki
@johnaloycemushi33712 жыл бұрын
Sio clip hii ina tatizo ile aliongea akiwa kanisani
@mchungajihekimafungo80722 жыл бұрын
Mhuuu
@salomemchewa51872 жыл бұрын
Wachungaji ndo mnaharibu mwelekeo w nchi hamjui mkae wapi,, kwenye dini au kwenue siasa, kwanini mwuwe mnahubilia watu vitu ambavyo havihusiki.. Kazi ya mchungaji nikuhubili bibli, mengine yote ya nini,. Sasa kanisani. Ulileta habari ya tundulisu ua nini, kama siyo siasa.. Mnatuchanya bwana
@edmundmato6698 ай бұрын
We endeleaa kuchanganyikiwaa wenye akili tunamuelewaaa
@happinessmwenda27732 жыл бұрын
NYIE VIONGOZI WA DINI ISHINI KTK KWELI NA HOFU YA MUNGU.FATENI MFANO WA AKINA MUSA.