Ushahidi Askofu Mwingira Siku 4 Akihojiwa Polisi, Waliotaka Kumua ikiwa baada ya Kauli zake alizotoa

  Рет қаралды 69,752

Taifa Digital

Taifa Digital

2 жыл бұрын

Пікірлер: 56
@jesusiscomingback4896
@jesusiscomingback4896 2 жыл бұрын
Nakuelewa sana mwingira Moja ya manabii WA ukwel waliobaki Tanzania..naomba Bwana Yesu akutetee..tunakuombea
@issaalfani1030
@issaalfani1030 2 жыл бұрын
Serikali yangu ya Tanzania nawaomba sana sana sana kiongozi yeyote atakae soma msg hii awe mjumbe wa tarifa kuifikisha juu, tufanyieni yooooote ila msiwaguse guse viongozi wa Dini nihatari sana kwa Taifa nawaomba sana sana asanteni
@shaddybmc8342
@shaddybmc8342 2 жыл бұрын
Huyu ndio mtumish wa Mungu. Hapend kupepesa macho
@shaddybmc8342
@shaddybmc8342 2 жыл бұрын
Mwingira anayo macho ya kuona mambo ya mbele sana. Jitu la mbinguni.
@nancyfamilysharesmoments7634
@nancyfamilysharesmoments7634 2 жыл бұрын
Sinashaka naye kabisa
@shaddybmc8342
@shaddybmc8342 2 жыл бұрын
Mwingira anao msimamo , nakumbuka hata kipind cha kikao cha viongoz wa din alisema, maswala ya haki
@kubwaichebestfriend8673
@kubwaichebestfriend8673 2 жыл бұрын
Muziki wa nini sana wakati watu wanataka kusikiliza maelezo, hopeless
@catherineezekiel3292
@catherineezekiel3292 Жыл бұрын
Mungu akutunze baba yangu Mwingira, Nakupenda sana
@paschalpaul3862
@paschalpaul3862 2 жыл бұрын
Zaburi 14:2 toka mbinguni Bwana aliwachungulia wanadamu aone Kama Yuko mtu mwenye akili,Amtafutaye Mungu
@emmanuelmichael3012
@emmanuelmichael3012 2 жыл бұрын
Kwa kweli MUNGU akubariki sana umetukumbusha kuwajibika kwenye nafasi Zetu
@Ezekiel_abel
@Ezekiel_abel 2 жыл бұрын
Askofu we pray for you,GOD IS THE WINNER!
@neemashayo-mg7mv
@neemashayo-mg7mv Жыл бұрын
Huyu ni mtumishi was mungu jaman ni mungu amemchagua
@amazi6796
@amazi6796 2 жыл бұрын
Hii channel Ni ya Kihuni, press ya mwaka juzi kabisa 2020 akiwa kibaha. Channel hii imetumwa na wahuni
@mchungajihekimafungo8072
@mchungajihekimafungo8072 2 жыл бұрын
Mbona aliongea vizuri tuuu!!!!
@faustinammilla757
@faustinammilla757 Жыл бұрын
Baba we love you forever nakupenda daddy
@calimahad9274
@calimahad9274 2 жыл бұрын
Usipotoshe , tuhuma zake hazijaleta ukakasi kwa wananchi , wananchi tulifurahi kumsikia akitoa maoni yake.
@danielshimora5315
@danielshimora5315 2 жыл бұрын
Mungu amesha muinua na sisi wanadamu wa Dunia nzima tutamuinua. Samia Suluhu Hassan.
@godlovemunuo4167
@godlovemunuo4167 2 жыл бұрын
Wewe mwandishi ni pumbafu kabisa... kwanini unahadaa watuu..Mungu akakukemee mwenyewe
@youngsonsiwale5404
@youngsonsiwale5404 2 жыл бұрын
God blesses
@mathewjohn8740
@mathewjohn8740 2 жыл бұрын
Sijaelewa Mtanzania mwenzangu kwa clip hii ni kibaya alichoongea Askofu Mwingira mpaka akaitwa kuhojiwa na jeshi la polisi?au haikurushwa yote?
@barrynzeyimana6270
@barrynzeyimana6270 2 жыл бұрын
Haya mambo ya mungu kaniambia au kanipatia kibali siyapendi. Kwakua Hawa watu ni wanasiasa ambao wamejificha nyuma ya pazia. Hivi mungu kwanini akutume kwangu wakati na mimi nipo? Huo sio umbea? Mungu Hana taifa. Mataifa yamegawanywa na watu. Mwingereza, Germany, Marekani, ufransa, sio mungu kugawa africa,
@amiwitu1445
@amiwitu1445 2 жыл бұрын
Eti kuna uhuru!!!uhuru gani??? Maneno tu, uhuru wa watu fulani tu!! Ni neema ya Mungu tu inayoibeba Tanzania.
@konshazikonsha6180
@konshazikonsha6180 2 жыл бұрын
Kumbe unajua kiswahili vizuri hivi🤔🤔!!!!!!
@user-hp1xe4tf4p
@user-hp1xe4tf4p Жыл бұрын
Ameen Baba 🙏🙏🙏
@maishaedward3628
@maishaedward3628 2 жыл бұрын
Ukakasi kwa jambo la kweli, ni wapi au wananchi wangapi umewahoji na kuwauliza na kusema ni ukakasi?? Na hii press conference ni ya zamani Sana kipindi Cha corona miezi kama Tisa iliyopita, acheni uongo NYIE kwa jamii mnayoisema, si ya wiki iliyopita
@rehemadaudi742
@rehemadaudi742 2 жыл бұрын
Mmm huyu mtumishi ana utiisho na mamlaka isiyo ya kawaida, ombeni macho ya rohoni mumuone hakika kila mtu atahofu na kutetemeka, namuona Yesu ndan ya mtu huyu
@danielshimora5315
@danielshimora5315 2 жыл бұрын
Askofu ondoa shaka tuko kwenye mikono Salama ya Rais Samia Suluhu Hassan.
@wilsonmatunda4937
@wilsonmatunda4937 2 жыл бұрын
Background music inaharibu ujumbe kutoka kwa Askofu.
@octavianmushi9916
@octavianmushi9916 2 ай бұрын
watangazaji na waandishi wetu wajaribu kuwa makini zaidi kwani Apostle Mwingira siyo askofu...
@user-ee1sz4eg6n
@user-ee1sz4eg6n 4 ай бұрын
mungu akubalik
@happynuspilula8670
@happynuspilula8670 2 жыл бұрын
Hii video ya Mtume na Nabii Mwingira, ni ya miaka miwili iliyopita, kipindi kile tumepata wimbi la kwanza la UVIKO-19. HAIHUSIANI NA YANAYOENDELEA KATI YAKE NA JESHI LA POLISI
@EngJosh
@EngJosh 2 жыл бұрын
Hii Ni wakat Magu akiwa hai
@saidipara4134
@saidipara4134 2 жыл бұрын
Tunajua sasahiv lile genge la mama na mwemnzake wa msoga.watakuwekea chuki sana mpa wanaweza kuuwa.magufuri alikupenda na wewe ulimpenda pia wewe ndio ulikuwa rafiki wa kweli wa mjomba.
@lucaelibosco2232
@lucaelibosco2232 2 жыл бұрын
Mmh mnafel hii press ni ya mwaka jana au mwaka juzi acha uongo
@jumakalukule5312
@jumakalukule5312 2 жыл бұрын
Kweli hiiyazamani nimekumbuka aisee
@NDEWARA
@NDEWARA 2 жыл бұрын
Nafanya kwa kibali cha Bwana 😭😭😭
@musaandrew604
@musaandrew604 2 жыл бұрын
Unsubstantiated mnatafuta view kumbe CLP ya mwaja juzi mna ileta Leo ?
@wilbertsanze285
@wilbertsanze285 2 жыл бұрын
Tatizo hili taifa sijuwi kwanini babu akuweka katiba yenye usawa
@user-le1pv5on3y
@user-le1pv5on3y 4 ай бұрын
Wenga mwngila nikuona uronda kurotakujela
@sangasanga6290
@sangasanga6290 2 жыл бұрын
Ya
@sikapendinakapenda4170
@sikapendinakapenda4170 2 жыл бұрын
Yupo nje kabisa ya topic iliyokusudiwa, au kaingia upepo?
@bashemelajohn
@bashemelajohn 2 жыл бұрын
Sikuhizi maasikari nao ni ccm 😂 yani inachosha tatizo wanapenda matumboyao lazima wanyoke safari hii
@yakwetutv8525
@yakwetutv8525 2 жыл бұрын
Ma ling ton yani kwenye vitu muhimu kama hivi
@protaskindauji985
@protaskindauji985 2 жыл бұрын
Waandishi wa habari mkikosa ueledi na mkazidi kuwa waongo umaskini hauwezi kuwaisha. Hii clip ni ya mda mrefu uliopita.
@barakanestory3521
@barakanestory3521 2 жыл бұрын
Jamani,viongozi wadini ni hatari,hawaguswi jamani,Mimi naogopa sana,Wako na Mwenyezi mungu Tena Kwa ukaribu sana.Tuche jamani,watu mishi wa mungu wowote wale,wadini yoyote Ile,nihatari mno,sawa.
@luhindakanige2987
@luhindakanige2987 2 жыл бұрын
Tatizo mnachanganya din na siasa
@zainabsaid9264
@zainabsaid9264 2 жыл бұрын
Mtume itakuwa mg on I?watakuja manabii wa uongo wakinena kwa jina langu
@williammajani2152
@williammajani2152 2 жыл бұрын
Clip ya Mwaka 2020 inaoletwa kama ya Leo. Waziri mkuu uingereza alilazwa Jana? Rais kama Baba. Maneno hayo yanaonesha ilikuwa wakati wa Magu. Nashauri tu Ukiendelea hivi utapoteza watazamaji acha uhuni
@yussufpandu1320
@yussufpandu1320 2 жыл бұрын
Tafadhali musipige muxiki sisi tunataka taarifa sio muziki
@johnaloycemushi3371
@johnaloycemushi3371 2 жыл бұрын
Sio clip hii ina tatizo ile aliongea akiwa kanisani
@mchungajihekimafungo8072
@mchungajihekimafungo8072 2 жыл бұрын
Mhuuu
@salomemchewa5187
@salomemchewa5187 2 жыл бұрын
Wachungaji ndo mnaharibu mwelekeo w nchi hamjui mkae wapi,, kwenye dini au kwenue siasa, kwanini mwuwe mnahubilia watu vitu ambavyo havihusiki.. Kazi ya mchungaji nikuhubili bibli, mengine yote ya nini,. Sasa kanisani. Ulileta habari ya tundulisu ua nini, kama siyo siasa.. Mnatuchanya bwana
@edmundmato669
@edmundmato669 8 ай бұрын
We endeleaa kuchanganyikiwaa wenye akili tunamuelewaaa
@happinessmwenda2773
@happinessmwenda2773 2 жыл бұрын
NYIE VIONGOZI WA DINI ISHINI KTK KWELI NA HOFU YA MUNGU.FATENI MFANO WA AKINA MUSA.
@zainabsaid9264
@zainabsaid9264 2 жыл бұрын
Unajikosha huna lolote
@user-gn7nk7mw8v
@user-gn7nk7mw8v 5 ай бұрын
Una laaana kubwa wewee
Now THIS is entertainment! 🤣
00:59
America's Got Talent
Рет қаралды 38 МЛН
아이스크림으로 체감되는 요즘 물가
00:16
진영민yeongmin
Рет қаралды 60 МЛН
LIVE: US General CQ Brown speaks at Aspen Security Forum
15:46
Maneno ya mwanzo wa kongamano kutoka kwa Mtume na nabii Mwingira
11:28
maarifa ya baba
Рет қаралды 20 М.
EFATHA MINISTRY: ENZI IZO (sehemu ya pili) ILIPOTOKA EFATHA
34:32
EFATHA CHURCH
Рет қаралды 33 М.
KWA NINI MTUME NA NABII MWINGIRA AMETUMIA PEMBE LA NG'OMBE KIBAHA
29:54