KISHIMBA AWAVUNJA MBAVU WABUNGE KWA HOJA ZAKE "KWANINI MSITOE NUSU DEGREE? MNAYOONGEA NI MAUTAPELI"

  Рет қаралды 71,365

Millard Ayo

Millard Ayo

2 ай бұрын

Пікірлер: 171
@murattywamuratty9778
@murattywamuratty9778 2 ай бұрын
Huyuu mtu mnamuona anachekesha ila yupo sahihi Sanaa, mie nashangaa mpka leo watu wanasomeswa vita vya kwanza vya dunia, chifu mkwawa, vita vya pili ujinga mtupu, watu wanafundiswa utaalam wa maisha yanowakabili sie tunapumbazwa tu akilii mpka unamaliza chuo unakaa miaka kumi Huna ajira wala mawazo ya kufanya coz hatukupewa mafunzo ya maisha baada ya hapoo tumefundishwa mambo yasiyoo tuhusu kabisaa
@mohamedally6390
@mohamedally6390 Ай бұрын
Haya maelimu useless wanashadadia sijui kwann yaan wanaficha elimu ya msingi wanaleta madudu ya hovyo kabisa inauma sana
@MeshackLukanda
@MeshackLukanda Ай бұрын
kweli mkuu chief kila sehemu chief mkwawa
@boazychaulla2909
@boazychaulla2909 Ай бұрын
Mh kishimba ni genius tumuelewe tuu
@GibsonNtamamilo
@GibsonNtamamilo 2 ай бұрын
Du! Huyu mzee Kishimba ni genius sana. Nimefika kwenye hifadhi zetu nyumba zimeezeka kwa nyasi.
@theonestrenatus954
@theonestrenatus954 Ай бұрын
Huyu mzee haongei bila facts
@emmanuelmayunga1518
@emmanuelmayunga1518 2 ай бұрын
Kumuelewa huyu mzee hadi uwe umeishi maisha ya hali ya chini na kwenye kusomesha uwe umeshapata changamoto,,wanaojifanya wazungu hawawezi kumuelewa huyu mzee
@FestoMalisati-lf8hj
@FestoMalisati-lf8hj 2 ай бұрын
Sana yaani anagusa kwenye uhalisia, angekua raisi Tanzanie ingekua bora sana.
@mohamedally6390
@mohamedally6390 Ай бұрын
Fact blaza sisi tunaoishi this time tomorrow tunamuelewa sana
@matthewmichaelsylvester5612
@matthewmichaelsylvester5612 2 ай бұрын
akili kubwa baba mungu akutunze
@Mapenzi2635
@Mapenzi2635 2 ай бұрын
Free thinkers are rare in African politics. Huyu Kishimba ana akili sana. Shida ni kuwa hajui kuwa Serikali inaendeshwa na wafanyabiashara wa Kiyahudi
@edsonnelson4464
@edsonnelson4464 2 ай бұрын
Ndiyo
@marianmartin7483
@marianmartin7483 2 ай бұрын
Sahihi
@ramsochacha5798
@ramsochacha5798 2 ай бұрын
Anaujua xana kua wafanyabiashara wa kiyahudi ndo wanaoparat ila anakazia tu
@TheNichym
@TheNichym 2 ай бұрын
Yan huyu Mzee yuko njema sana, ila kumuelewa lazima uwe umetulia sana
@Bobhov
@Bobhov 2 ай бұрын
Yes
@mmassyferguson4959
@mmassyferguson4959 2 ай бұрын
Mwenyez mungu akubariki mh kishimba tatizo la elim yetu ya kukariri kuaminishwa wazungu ndio kila kitu
@thesilencer5114
@thesilencer5114 2 ай бұрын
Mnacheka lakini kiongozi anaongea kitu sahihi kabisa👏🏼👏🏼
@michaelaloyce2072
@michaelaloyce2072 2 ай бұрын
Mjinga2 huyu paka pori
@Ndu-wa.uroony2
@Ndu-wa.uroony2 2 ай бұрын
Kishimba kichwani yuko vizuri kuliko hao vilaza wote.
@mohamedally6390
@mohamedally6390 Ай бұрын
Hao wwngne hawajitambui kazi kupiga meza na kusubir posho na kupokea madudu kutoka kwa wazungu ndio kazi yaooo
@zakariamalembela3974
@zakariamalembela3974 Ай бұрын
​@@michaelaloyce2072 wewe akili yako mgando.
@yusuphswai6851
@yusuphswai6851 2 ай бұрын
Kishimba ajawai kuchangia pumba
@officialshelomwangole256
@officialshelomwangole256 2 ай бұрын
Mkimpa huyu mzee wizara ya elimu atafuta vitu vingi sana 🤣🤣🤣🤣🤣
@johannesjoseph7496
@johannesjoseph7496 Ай бұрын
Hakika😂
@Mc_Gwajee
@Mc_Gwajee 2 ай бұрын
Daaaah huyu Mzee akili sanaaa
@mapoluchalya280
@mapoluchalya280 2 ай бұрын
Ahsante Sana mh.kishimba yaan wewe na king msukuma 🙏🙏🙏🙏
@adamhamisi2638
@adamhamisi2638 2 ай бұрын
mzee kishimba, moja ya watu muhimu sana bungeni
@frankrefresh6850
@frankrefresh6850 2 ай бұрын
Kaongea facts kwenye uasili wa maisha ya kiafrica! Asili, tamaduni zikiwa hazizingatiwi na wahusika wenyewe kwa kuacha asili yao na kuziendea asili nyingine maisha yao yanakuwa na uharibifu mkubwa sana! Mataifa yaliyofanikiwa yote huwa yanaishi kwa kuzingatia tamaduni na asili zake!
@Loshiphameliyomoleli
@Loshiphameliyomoleli 2 ай бұрын
Good point
@dicksonvicent8139
@dicksonvicent8139 2 ай бұрын
Hatari sana aisee
@HamisaAli
@HamisaAli Ай бұрын
Big point Masha Allah
@DanielDaniel-gx2ou
@DanielDaniel-gx2ou 2 ай бұрын
Mashimba mungu ambariki sana hakika kahama wakizingua njooo update Jimbo sengerema
@LatwifSued
@LatwifSued 2 ай бұрын
Uko vizuri sana,
@AichiMpole-yo2uh
@AichiMpole-yo2uh Ай бұрын
Nilikuwa namkubar sanaa ila hatoboi tena
@stanslauslugendo31
@stanslauslugendo31 2 ай бұрын
Akili kubwa!💪🏻🌹
@kazimoto-eq2th
@kazimoto-eq2th 2 ай бұрын
Mzee kaeleweka ila tatizo lipo kwa hawa wajanjawajanja upo umuhimu sana watoto kupata chakula shule uwezekano upo ila ila hoja ikiwekwa wazi kama ivo inapotezewa nchi hii.
@hamidafundi-pw1gw
@hamidafundi-pw1gw Ай бұрын
Hiki ni kichwa hasa , mawazo yake na tafakari zake ni nyepesi kuelewa kwa mtu yeyote. Ni mwalimu hasa. Tumpe maua yake Kishimba. Mawazo yake yakitekelezwa kwa vitendo bila shaka maendeleo yangeonekana dhahiri shahiri.
@faryjay808
@faryjay808 2 ай бұрын
Fact sanaaa🔥🔥🔥🔥
@lucykristensen7145
@lucykristensen7145 2 ай бұрын
👏👏👏👏👏Brilliant ❤
@eddiemohamed9003
@eddiemohamed9003 Ай бұрын
BIG UP👏👏👏
@calvinmalale1761
@calvinmalale1761 2 ай бұрын
Naam mbunge hongera sana KWA kuongelea MAISHA halisi wengi wanataka aige MAISHA ya watu na watu wanaishi MAISHA SIO Yao kabisa
@matwerangulichedr3985
@matwerangulichedr3985 2 ай бұрын
Big brain, out of the box
@thedchannel
@thedchannel 2 ай бұрын
He is talking sense
@faustinhommedetatnifasha9669
@faustinhommedetatnifasha9669 2 ай бұрын
Kama huna #D mjo huwezi muelewa😂😂💪💪
@davidlelo6192
@davidlelo6192 2 ай бұрын
Asante sn bb ukovizr
@robertnkaragano298
@robertnkaragano298 2 ай бұрын
Duh! Kishimbaa! Wew ni professor wa mambo yote!! Kishimba ooyee! Kishimba ooyee!!😂😂😂
@sengiyumvaathanas8815
@sengiyumvaathanas8815 2 ай бұрын
Big brain
@ScholasticaDomonko
@ScholasticaDomonko 2 ай бұрын
👏👏👏
@user-my7fj6wn7y
@user-my7fj6wn7y 2 ай бұрын
Yani Mzee nakubali,
@kileoisaac
@kileoisaac 2 ай бұрын
Kweli kabisa
@jrkaluli5638
@jrkaluli5638 24 күн бұрын
Pragmatism philosophy! GreAt
@gaddafiofficial3200
@gaddafiofficial3200 2 ай бұрын
🔥
@petermabale4320
@petermabale4320 2 ай бұрын
@mohamedmbalazi748
@mohamedmbalazi748 2 ай бұрын
Mmmh kazi kwelikweli. Mbona hamjadili kama je ni sahihi kumlipa posho mbunge posho ya siku laki 3 sawa na kima cha chini cha mshahara wa mtumishi? Mjadili na maslahi ya watumishi na nyie. Ukiwa mbunge form 4= unalipwa 10M ila mwalimu huyohuyo analipwa 300K, ufala mtupu
@vicentdaud2632
@vicentdaud2632 2 ай бұрын
Huyu jamaa akisikilizwa mawazo yake na kufanyiwa utekelezaji yanaweza kufanya mageuzi makubwa ya kiuchumi....
@anacletferuz4954
@anacletferuz4954 Ай бұрын
Tatizo wanaongea yanaishia hapo tu
@medystarter
@medystarter 2 ай бұрын
Tatizo la bunge letu lipo kusikiliza tu sio kutekeleza, SIASA za kikoloni ndio zina tuludisha nyuma
@msukumamnywamaziwa2785
@msukumamnywamaziwa2785 2 ай бұрын
❤❤❤❤❤🎉🎉
@felisterphilemon1852
@felisterphilemon1852 Ай бұрын
GOD be with you forever
@user-by9qr6ov7n
@user-by9qr6ov7n 2 ай бұрын
Mh,ameongea vzr sana
@Avith-lj2sp
@Avith-lj2sp Ай бұрын
Kweli vitabu vyetu vya syllabus no hopeless kabisa
@kimandafukitefu2999
@kimandafukitefu2999 Ай бұрын
Hoja zote za huyu mzee zichukuliwe zinafaa kwa matumizi ya nchi
@directorimmah_vfx3043
@directorimmah_vfx3043 2 ай бұрын
uyuu mzeee ni ana akili sana naomba BUNGE limpe mda wakutosha kumskiliza TZ itasogea mbelee
@sylivesterleonard5133
@sylivesterleonard5133 2 ай бұрын
Akili kubwa sana hii!!
@godfreymagoso5334
@godfreymagoso5334 2 ай бұрын
Hivi mnakiona wanachokifanya Chalinze Modern primary school?!! Kuna haja ya viongozi kujifunza kwenye hii shule,,,,, na inawezekana kumjenga mtoto tangu awali
@Ndu-wa.uroony2
@Ndu-wa.uroony2 2 ай бұрын
Wanafanyaje?
@johnassey2327
@johnassey2327 2 ай бұрын
Fact
@ericklibaba1198
@ericklibaba1198 Ай бұрын
📌 📌 📌
@josemoko530
@josemoko530 Ай бұрын
Hongera Sana 😂
@marianmartin7483
@marianmartin7483 2 ай бұрын
Yuko sawa huyu mzee
@hamzakimaro3764
@hamzakimaro3764 2 ай бұрын
Hawawezi kuwafundisha somo la kutafuta pesa sababu miitaala ya elimu bado ni wakoloni na watawala wetu leo hii ni wakoloni weusi,na wakoloni elimu yao ilikuwa ni kwa ajili ya kuwapata watu wa kuwasaidiana nao kuwaswaga punda wao,.
@MwaniPh
@MwaniPh Ай бұрын
Genius
@user-ru7yc8dn5h
@user-ru7yc8dn5h 2 ай бұрын
Yupo sahihi mzee wangu muhimu tuwekeze watoto wetu katika mazingira yanayo wazunguka kilimo ufugaji nk. Huko ndipo wanaweza kuwa matajiri baadae. Lazima tutambae kwanza ndio usimame. Tusitake kukimbia kwanza kama wachina na wao walitambaa ndio sasa tunawaona wanakimbia.
@dilludillu2747
@dilludillu2747 2 ай бұрын
Nusu degree
@user-tu9ps9kr2o
@user-tu9ps9kr2o 2 ай бұрын
Kishimba Oyeeeeee😅😅😅😅 huwa unato vitu vitamu sana Mhe mbunge
@moseslimonga2337
@moseslimonga2337 2 ай бұрын
Hahahahahahahaahahahhaahahah duuuh wabunge wamevurugwa
@leonardmanawa952
@leonardmanawa952 2 ай бұрын
baba wa mawazo positive ❤
@suchabulunja5611
@suchabulunja5611 2 ай бұрын
Mbunge Genius pekee Tanzania 🎉🎉
@zawadisisto8188
@zawadisisto8188 2 ай бұрын
Laiti wangemuelewa chishimba ingekuwa sawa kabisa yeye ni profesa OG
@freddiemanento6318
@freddiemanento6318 2 ай бұрын
Huyu mhe namkubali sana sana
@samahabdallahmohamed1135
@samahabdallahmohamed1135 2 ай бұрын
Uko vizur
@r14kgroup68
@r14kgroup68 2 ай бұрын
Huyu ni profesa kabisa
@AnaniaBulaya-rc3jv
@AnaniaBulaya-rc3jv Ай бұрын
Huyu kishimba kwanini asiende kuongeza elimu.anaongea maneno ya maana sana
@ShadowScreamStudio
@ShadowScreamStudio Ай бұрын
Huyu jamaa anafaaa kuongoza Africa
@edwardkagombora3782
@edwardkagombora3782 2 ай бұрын
Mimi nafikili mitaara itatoa hii kitu kumbe wapi bado tupo pale pale kuna masomo unafundishwa lakini hayatusaidii maishani mwetu na huku umetumia muda mwingi mwingi kujifunza
@fridayjkajange1247
@fridayjkajange1247 Ай бұрын
Duh jamaa anaakili sana
@IsayaMorange-wb5ek
@IsayaMorange-wb5ek 2 ай бұрын
Afrika, tumeshindwa kuwa na mifumo mizuri ya elimu ambayo ingetupa maendeleo ya nchi zetu,, na tumechelewa sana na tupo nyuma ya muda lakini ni vyema tujadiri jinsi ya kujikwamua kimaendeleo kama nchi kwa sababu viongozi wetu wameshindwa kuwa wabunifu
@uledimude8921
@uledimude8921 Ай бұрын
Mbona hamtuambiagi Hadi kishimba aseme
@user-ch8it5jr8m
@user-ch8it5jr8m 2 ай бұрын
Huy mtu jamani hapew ata President. Jaman nn shida hii ichi wasukum na wat wa mara hawa ni viongoz bora sana katika nchi hii
@matthewmichaelsylvester5612
@matthewmichaelsylvester5612 2 ай бұрын
akili kubwa baba
@victorwilliam1111
@victorwilliam1111 2 ай бұрын
Wenye akili zao halisi
@HashimuHashboy-bo2wl
@HashimuHashboy-bo2wl 2 ай бұрын
He is hero but we ar not use him one day we wil remember the most ,our life not Western lofe
@JeremiahYohana-br2bd
@JeremiahYohana-br2bd Ай бұрын
Hii nchi bwana kufika mbali kimaendeleo so leo tunasera za kisenge sana
@user-kz2ci6rh7j
@user-kz2ci6rh7j 2 ай бұрын
😁😁😁
@japhetlinus3891
@japhetlinus3891 2 ай бұрын
Mpak uwe na D 2 ndo utaweza kuelewa
@ibrahmenard
@ibrahmenard 2 ай бұрын
bila bangi hoja zake ngumu kuelewa
@Muslim-gs6rn
@Muslim-gs6rn 2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂yaani.weww😂😂
@dilludillu2747
@dilludillu2747 2 ай бұрын
Pesa ni siri professor 😂
@rithaurassa
@rithaurassa Ай бұрын
Kishimba inatakiwa UWE mtu mkubwa san. Unajua hali ya umasikin ULIKO Tz Kwa watoto wetu.
@oliviermulabikokans1013
@oliviermulabikokans1013 2 ай бұрын
❤moja❤kati❤ya❤zote❤
@user-vv9wb9he2x
@user-vv9wb9he2x Ай бұрын
Mbunge mwenye akili kubwa
@bensonmshiu1894
@bensonmshiu1894 2 ай бұрын
Alloo❤❤❤
@johnmgalla7377
@johnmgalla7377 2 ай бұрын
Uyu mzee yupo mbele ya muda sana sikupi maua nakupa na mti wake kabisa
@user-wh3tb9ve8x
@user-wh3tb9ve8x 2 ай бұрын
Wabunge wa Kanda ya ziwa wanaupiga mwingi wapewe maua yaoo🎉🎉🎉🎉🎉
@mohamedally6390
@mohamedally6390 Ай бұрын
Wabunge wote wangekuwa kama huyu mzee haya madudu ya wazungu tusingepokea na tungeendelea sana kwakweli.
@jeffreywilliams1171
@jeffreywilliams1171 2 ай бұрын
Angalizo, akili ya huyu mtu ni zaidi ya kina Vasco da gama, serikali na watu wenu tafadhali yafanyieni kazi haya mawazo yake.
@JafariMtima
@JafariMtima Ай бұрын
Akili nyingi dingiii
@happynkya9770
@happynkya9770 2 ай бұрын
kishimba oye
@maheitumdintunya2928
@maheitumdintunya2928 Ай бұрын
huyu jamaa yupo sahihi
@peterdeus6093
@peterdeus6093 2 ай бұрын
Hakuna mtu anapenda nyumba ya nyasi ispokuwa analazimika kuishi hoja yako mweshimiwa inaeleweka lakin sio smart
@russia1253
@russia1253 2 ай бұрын
Tatizo izo point zina achwa hapo hapo bungeni 😢 azifanyiwi kazi
@rehemakarafuu-xi1py
@rehemakarafuu-xi1py 2 ай бұрын
Akir kubwa
@josephignas3988
@josephignas3988 Ай бұрын
Hawawezi kuingiza pesa kwenye mtaala wanajua watu wote watakuwa matajiri na wao matajiri watapata wanyonge wao wapi
@angelsgabriely3575
@angelsgabriely3575 2 ай бұрын
Shusheni mabati bei,..kla mtu wa chini aweze kununua
@pauloropian2367
@pauloropian2367 2 ай бұрын
Huyu mzee ana akili Sana Mungu uiongezee miaka mingi.
@vicentrogers9465
@vicentrogers9465 Ай бұрын
😂😂😂😂😂anakitu asikilizwe huyu
@aloyceponela3249
@aloyceponela3249 2 ай бұрын
Uko vinzur
@yonahgideon7561
@yonahgideon7561 2 ай бұрын
Mbona kwenye mtaala mpya Kuna somo jipya linaitwa Elimu ya biashara ambako huko ndani Kuna mambo ya ujasiriamali na jinsi ya kutunza fedha
@adkajisi4536
@adkajisi4536 2 ай бұрын
Shida litakavofundishwa
@barakalevis31
@barakalevis31 2 ай бұрын
Uliza walio apply kama wameliona kwenye machaguo
MBUNGE KISHIMBA ALIVYOWAVUNJA MBAVU WABUNGE KWA HOJA ZAKE
14:02
Millard Ayo
Рет қаралды 206 М.
Mbunge Kishimba awavun ja mbavu wabunge "Kwani akili ni Bando?"
10:05
Mwananchi Digital
Рет қаралды 31 М.
Каха и суп
00:39
К-Media
Рет қаралды 2 МЛН
Vivaan  Tanya once again pranked Papa 🤣😇🤣
00:10
seema lamba
Рет қаралды 33 МЛН
Русалка
01:00
История одного вокалиста
Рет қаралды 3,5 МЛН
MBUNGE KISHIMBA AOMBA SERIKALI IANZISHE CHUO CHA WIZI
6:33
Millard Ayo
Рет қаралды 19 М.
Mpina ataka wizara nzima ifukuzwe kazi kuanzia waziri hadi mfagiaji
9:06
Mwananchi Digital
Рет қаралды 12 М.
Каха и суп
00:39
К-Media
Рет қаралды 2 МЛН