Huyuu mtu mnamuona anachekesha ila yupo sahihi Sanaa, mie nashangaa mpka leo watu wanasomeswa vita vya kwanza vya dunia, chifu mkwawa, vita vya pili ujinga mtupu, watu wanafundiswa utaalam wa maisha yanowakabili sie tunapumbazwa tu akilii mpka unamaliza chuo unakaa miaka kumi Huna ajira wala mawazo ya kufanya coz hatukupewa mafunzo ya maisha baada ya hapoo tumefundishwa mambo yasiyoo tuhusu kabisaa
@mohamedally6390Ай бұрын
Haya maelimu useless wanashadadia sijui kwann yaan wanaficha elimu ya msingi wanaleta madudu ya hovyo kabisa inauma sana
@MeshackLukandaАй бұрын
kweli mkuu chief kila sehemu chief mkwawa
@boazychaulla2909Ай бұрын
Mh kishimba ni genius tumuelewe tuu
@GibsonNtamamilo2 ай бұрын
Du! Huyu mzee Kishimba ni genius sana. Nimefika kwenye hifadhi zetu nyumba zimeezeka kwa nyasi.
@theonestrenatus954Ай бұрын
Huyu mzee haongei bila facts
@emmanuelmayunga15182 ай бұрын
Kumuelewa huyu mzee hadi uwe umeishi maisha ya hali ya chini na kwenye kusomesha uwe umeshapata changamoto,,wanaojifanya wazungu hawawezi kumuelewa huyu mzee
@FestoMalisati-lf8hj2 ай бұрын
Sana yaani anagusa kwenye uhalisia, angekua raisi Tanzanie ingekua bora sana.
@mohamedally6390Ай бұрын
Fact blaza sisi tunaoishi this time tomorrow tunamuelewa sana
@matthewmichaelsylvester56122 ай бұрын
akili kubwa baba mungu akutunze
@Mapenzi26352 ай бұрын
Free thinkers are rare in African politics. Huyu Kishimba ana akili sana. Shida ni kuwa hajui kuwa Serikali inaendeshwa na wafanyabiashara wa Kiyahudi
@edsonnelson44642 ай бұрын
Ndiyo
@marianmartin74832 ай бұрын
Sahihi
@ramsochacha57982 ай бұрын
Anaujua xana kua wafanyabiashara wa kiyahudi ndo wanaoparat ila anakazia tu
@TheNichym2 ай бұрын
Yan huyu Mzee yuko njema sana, ila kumuelewa lazima uwe umetulia sana
@Bobhov2 ай бұрын
Yes
@mmassyferguson49592 ай бұрын
Mwenyez mungu akubariki mh kishimba tatizo la elim yetu ya kukariri kuaminishwa wazungu ndio kila kitu
@thesilencer51142 ай бұрын
Mnacheka lakini kiongozi anaongea kitu sahihi kabisa👏🏼👏🏼
@michaelaloyce20722 ай бұрын
Mjinga2 huyu paka pori
@Ndu-wa.uroony22 ай бұрын
Kishimba kichwani yuko vizuri kuliko hao vilaza wote.
@mohamedally6390Ай бұрын
Hao wwngne hawajitambui kazi kupiga meza na kusubir posho na kupokea madudu kutoka kwa wazungu ndio kazi yaooo
@zakariamalembela3974Ай бұрын
@@michaelaloyce2072 wewe akili yako mgando.
@yusuphswai68512 ай бұрын
Kishimba ajawai kuchangia pumba
@officialshelomwangole2562 ай бұрын
Mkimpa huyu mzee wizara ya elimu atafuta vitu vingi sana 🤣🤣🤣🤣🤣
@johannesjoseph7496Ай бұрын
Hakika😂
@Mc_Gwajee2 ай бұрын
Daaaah huyu Mzee akili sanaaa
@mapoluchalya2802 ай бұрын
Ahsante Sana mh.kishimba yaan wewe na king msukuma 🙏🙏🙏🙏
@adamhamisi26382 ай бұрын
mzee kishimba, moja ya watu muhimu sana bungeni
@frankrefresh68502 ай бұрын
Kaongea facts kwenye uasili wa maisha ya kiafrica! Asili, tamaduni zikiwa hazizingatiwi na wahusika wenyewe kwa kuacha asili yao na kuziendea asili nyingine maisha yao yanakuwa na uharibifu mkubwa sana! Mataifa yaliyofanikiwa yote huwa yanaishi kwa kuzingatia tamaduni na asili zake!
@Loshiphameliyomoleli2 ай бұрын
Good point
@dicksonvicent81392 ай бұрын
Hatari sana aisee
@HamisaAliАй бұрын
Big point Masha Allah
@DanielDaniel-gx2ou2 ай бұрын
Mashimba mungu ambariki sana hakika kahama wakizingua njooo update Jimbo sengerema
@LatwifSued2 ай бұрын
Uko vizuri sana,
@AichiMpole-yo2uhАй бұрын
Nilikuwa namkubar sanaa ila hatoboi tena
@stanslauslugendo312 ай бұрын
Akili kubwa!💪🏻🌹
@kazimoto-eq2th2 ай бұрын
Mzee kaeleweka ila tatizo lipo kwa hawa wajanjawajanja upo umuhimu sana watoto kupata chakula shule uwezekano upo ila ila hoja ikiwekwa wazi kama ivo inapotezewa nchi hii.
@hamidafundi-pw1gwАй бұрын
Hiki ni kichwa hasa , mawazo yake na tafakari zake ni nyepesi kuelewa kwa mtu yeyote. Ni mwalimu hasa. Tumpe maua yake Kishimba. Mawazo yake yakitekelezwa kwa vitendo bila shaka maendeleo yangeonekana dhahiri shahiri.
@faryjay8082 ай бұрын
Fact sanaaa🔥🔥🔥🔥
@lucykristensen71452 ай бұрын
👏👏👏👏👏Brilliant ❤
@eddiemohamed9003Ай бұрын
BIG UP👏👏👏
@calvinmalale17612 ай бұрын
Naam mbunge hongera sana KWA kuongelea MAISHA halisi wengi wanataka aige MAISHA ya watu na watu wanaishi MAISHA SIO Yao kabisa
@matwerangulichedr39852 ай бұрын
Big brain, out of the box
@thedchannel2 ай бұрын
He is talking sense
@faustinhommedetatnifasha96692 ай бұрын
Kama huna #D mjo huwezi muelewa😂😂💪💪
@davidlelo61922 ай бұрын
Asante sn bb ukovizr
@robertnkaragano2982 ай бұрын
Duh! Kishimbaa! Wew ni professor wa mambo yote!! Kishimba ooyee! Kishimba ooyee!!😂😂😂
@sengiyumvaathanas88152 ай бұрын
Big brain
@ScholasticaDomonko2 ай бұрын
👏👏👏
@user-my7fj6wn7y2 ай бұрын
Yani Mzee nakubali,
@kileoisaac2 ай бұрын
Kweli kabisa
@jrkaluli563824 күн бұрын
Pragmatism philosophy! GreAt
@gaddafiofficial32002 ай бұрын
🔥
@petermabale43202 ай бұрын
❤
@mohamedmbalazi7482 ай бұрын
Mmmh kazi kwelikweli. Mbona hamjadili kama je ni sahihi kumlipa posho mbunge posho ya siku laki 3 sawa na kima cha chini cha mshahara wa mtumishi? Mjadili na maslahi ya watumishi na nyie. Ukiwa mbunge form 4= unalipwa 10M ila mwalimu huyohuyo analipwa 300K, ufala mtupu
@vicentdaud26322 ай бұрын
Huyu jamaa akisikilizwa mawazo yake na kufanyiwa utekelezaji yanaweza kufanya mageuzi makubwa ya kiuchumi....
@anacletferuz4954Ай бұрын
Tatizo wanaongea yanaishia hapo tu
@medystarter2 ай бұрын
Tatizo la bunge letu lipo kusikiliza tu sio kutekeleza, SIASA za kikoloni ndio zina tuludisha nyuma
@msukumamnywamaziwa27852 ай бұрын
❤❤❤❤❤🎉🎉
@felisterphilemon1852Ай бұрын
GOD be with you forever
@user-by9qr6ov7n2 ай бұрын
Mh,ameongea vzr sana
@Avith-lj2spАй бұрын
Kweli vitabu vyetu vya syllabus no hopeless kabisa
@kimandafukitefu2999Ай бұрын
Hoja zote za huyu mzee zichukuliwe zinafaa kwa matumizi ya nchi
@directorimmah_vfx30432 ай бұрын
uyuu mzeee ni ana akili sana naomba BUNGE limpe mda wakutosha kumskiliza TZ itasogea mbelee
@sylivesterleonard51332 ай бұрын
Akili kubwa sana hii!!
@godfreymagoso53342 ай бұрын
Hivi mnakiona wanachokifanya Chalinze Modern primary school?!! Kuna haja ya viongozi kujifunza kwenye hii shule,,,,, na inawezekana kumjenga mtoto tangu awali
@Ndu-wa.uroony22 ай бұрын
Wanafanyaje?
@johnassey23272 ай бұрын
Fact
@ericklibaba1198Ай бұрын
📌 📌 📌
@josemoko530Ай бұрын
Hongera Sana 😂
@marianmartin74832 ай бұрын
Yuko sawa huyu mzee
@hamzakimaro37642 ай бұрын
Hawawezi kuwafundisha somo la kutafuta pesa sababu miitaala ya elimu bado ni wakoloni na watawala wetu leo hii ni wakoloni weusi,na wakoloni elimu yao ilikuwa ni kwa ajili ya kuwapata watu wa kuwasaidiana nao kuwaswaga punda wao,.
@MwaniPhАй бұрын
Genius
@user-ru7yc8dn5h2 ай бұрын
Yupo sahihi mzee wangu muhimu tuwekeze watoto wetu katika mazingira yanayo wazunguka kilimo ufugaji nk. Huko ndipo wanaweza kuwa matajiri baadae. Lazima tutambae kwanza ndio usimame. Tusitake kukimbia kwanza kama wachina na wao walitambaa ndio sasa tunawaona wanakimbia.
@dilludillu27472 ай бұрын
Nusu degree
@user-tu9ps9kr2o2 ай бұрын
Kishimba Oyeeeeee😅😅😅😅 huwa unato vitu vitamu sana Mhe mbunge
Laiti wangemuelewa chishimba ingekuwa sawa kabisa yeye ni profesa OG
@freddiemanento63182 ай бұрын
Huyu mhe namkubali sana sana
@samahabdallahmohamed11352 ай бұрын
Uko vizur
@r14kgroup682 ай бұрын
Huyu ni profesa kabisa
@AnaniaBulaya-rc3jvАй бұрын
Huyu kishimba kwanini asiende kuongeza elimu.anaongea maneno ya maana sana
@ShadowScreamStudioАй бұрын
Huyu jamaa anafaaa kuongoza Africa
@edwardkagombora37822 ай бұрын
Mimi nafikili mitaara itatoa hii kitu kumbe wapi bado tupo pale pale kuna masomo unafundishwa lakini hayatusaidii maishani mwetu na huku umetumia muda mwingi mwingi kujifunza
@fridayjkajange1247Ай бұрын
Duh jamaa anaakili sana
@IsayaMorange-wb5ek2 ай бұрын
Afrika, tumeshindwa kuwa na mifumo mizuri ya elimu ambayo ingetupa maendeleo ya nchi zetu,, na tumechelewa sana na tupo nyuma ya muda lakini ni vyema tujadiri jinsi ya kujikwamua kimaendeleo kama nchi kwa sababu viongozi wetu wameshindwa kuwa wabunifu
@uledimude8921Ай бұрын
Mbona hamtuambiagi Hadi kishimba aseme
@user-ch8it5jr8m2 ай бұрын
Huy mtu jamani hapew ata President. Jaman nn shida hii ichi wasukum na wat wa mara hawa ni viongoz bora sana katika nchi hii
@matthewmichaelsylvester56122 ай бұрын
akili kubwa baba
@victorwilliam11112 ай бұрын
Wenye akili zao halisi
@HashimuHashboy-bo2wl2 ай бұрын
He is hero but we ar not use him one day we wil remember the most ,our life not Western lofe
@JeremiahYohana-br2bdАй бұрын
Hii nchi bwana kufika mbali kimaendeleo so leo tunasera za kisenge sana
@user-kz2ci6rh7j2 ай бұрын
😁😁😁
@japhetlinus38912 ай бұрын
Mpak uwe na D 2 ndo utaweza kuelewa
@ibrahmenard2 ай бұрын
bila bangi hoja zake ngumu kuelewa
@Muslim-gs6rn2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂yaani.weww😂😂
@dilludillu27472 ай бұрын
Pesa ni siri professor 😂
@rithaurassaАй бұрын
Kishimba inatakiwa UWE mtu mkubwa san. Unajua hali ya umasikin ULIKO Tz Kwa watoto wetu.
@oliviermulabikokans10132 ай бұрын
❤moja❤kati❤ya❤zote❤
@user-vv9wb9he2xАй бұрын
Mbunge mwenye akili kubwa
@bensonmshiu18942 ай бұрын
Alloo❤❤❤
@johnmgalla73772 ай бұрын
Uyu mzee yupo mbele ya muda sana sikupi maua nakupa na mti wake kabisa
@user-wh3tb9ve8x2 ай бұрын
Wabunge wa Kanda ya ziwa wanaupiga mwingi wapewe maua yaoo🎉🎉🎉🎉🎉
@mohamedally6390Ай бұрын
Wabunge wote wangekuwa kama huyu mzee haya madudu ya wazungu tusingepokea na tungeendelea sana kwakweli.
@jeffreywilliams11712 ай бұрын
Angalizo, akili ya huyu mtu ni zaidi ya kina Vasco da gama, serikali na watu wenu tafadhali yafanyieni kazi haya mawazo yake.
@JafariMtimaАй бұрын
Akili nyingi dingiii
@happynkya97702 ай бұрын
kishimba oye
@maheitumdintunya2928Ай бұрын
huyu jamaa yupo sahihi
@peterdeus60932 ай бұрын
Hakuna mtu anapenda nyumba ya nyasi ispokuwa analazimika kuishi hoja yako mweshimiwa inaeleweka lakin sio smart
@russia12532 ай бұрын
Tatizo izo point zina achwa hapo hapo bungeni 😢 azifanyiwi kazi
@rehemakarafuu-xi1py2 ай бұрын
Akir kubwa
@josephignas3988Ай бұрын
Hawawezi kuingiza pesa kwenye mtaala wanajua watu wote watakuwa matajiri na wao matajiri watapata wanyonge wao wapi
@angelsgabriely35752 ай бұрын
Shusheni mabati bei,..kla mtu wa chini aweze kununua
@pauloropian23672 ай бұрын
Huyu mzee ana akili Sana Mungu uiongezee miaka mingi.
@vicentrogers9465Ай бұрын
😂😂😂😂😂anakitu asikilizwe huyu
@aloyceponela32492 ай бұрын
Uko vinzur
@yonahgideon75612 ай бұрын
Mbona kwenye mtaala mpya Kuna somo jipya linaitwa Elimu ya biashara ambako huko ndani Kuna mambo ya ujasiriamali na jinsi ya kutunza fedha