Ushuhuda wa binti aliyeishi kuzimu na duniani kwa wakati mmoja | Part-1

  Рет қаралды 19,222

PROMOVER TV

PROMOVER TV

Күн бұрын

Пікірлер: 47
@evelyneernest8854
@evelyneernest8854 6 жыл бұрын
MUNGU AKUSAIDIE SANA MTANGAZAJI UBARIKIWE 😍😍😘👏👏👏👏👏congratulations eee 💭💭💭💪🏾💪🏾💪🏾💪🏾 Mungu yupo ❤️💗 HABARI ADIMU SANA MAMBO YA KIROHO UBARIKIWE MWAYA
@plastidiacasmiry2234
@plastidiacasmiry2234 Жыл бұрын
Wewe ambaye hutoam8ni baso ..uburudike tu! Twakupenda mtumishi wa Mungu.
@dreamcity9441
@dreamcity9441 4 жыл бұрын
Yesu nifundishe kuacha dhambi nije kwako mwokozi
@wilsonmapesa798
@wilsonmapesa798 6 жыл бұрын
Mtangazaji tunakupenda sana maana unatupa vitu admu sana.
@blessedlovedandfavoured4129
@blessedlovedandfavoured4129 6 жыл бұрын
Yani hi stori ya msikule nimeiskia Mara ya Kwanza katika hizi testmonies .. so many people don't know about those things especially in Kenya uchawi ujakolea sana hapa ....but now am now suspecting my few neighbors walikufa wadogo Tena kiajabu inaezekana wako msikuleni pia?? Sijui niwaite njoo Kama Gwajima😕😕
@josephatjoseph1755
@josephatjoseph1755 5 жыл бұрын
everyday when ur praying call the misukules just njoo when praying
@mabulamasunga7378
@mabulamasunga7378 5 жыл бұрын
Very good narrations
@lilyrose4066
@lilyrose4066 5 жыл бұрын
Ubarikiwe sana Kaka Jacktan.
@PromovertvTz
@PromovertvTz 5 жыл бұрын
Ameen
@polinepoline2863
@polinepoline2863 6 жыл бұрын
Na damu ya yesu ikulinde jacktan kwa kutuletea shuhuda hizi aliye na maskio ajifunze.
@PromovertvTz
@PromovertvTz 6 жыл бұрын
Amina Kubwa
@SAYFANMUSSA
@SAYFANMUSSA 6 жыл бұрын
safi sana bro kwahivyo saluti tupe vitu adimu hivyo
@mafinamaizez2514
@mafinamaizez2514 6 жыл бұрын
Mungu atupiganie yarab
@sarahmanase2442
@sarahmanase2442 6 жыл бұрын
Mungu atusaidie
@mariamfritsi9761
@mariamfritsi9761 6 жыл бұрын
Mhh jamani yaani nimeduwaa hasa hizi simulizi,hivi ni kweli kabisa.sasa Mungu ndie muumbaji ila kuna watu wanaoharibu.hiyo power wanaipata wapi?22.02.19.
@josephatjoseph1755
@josephatjoseph1755 5 жыл бұрын
ni fallen angels walikuwa na nguvu pia
@evelyneernest8854
@evelyneernest8854 6 жыл бұрын
VIPI NA MISIKITINI...!👀👀
@millicentayangokunting3728
@millicentayangokunting3728 4 жыл бұрын
Huko ndio kubaya saidi
@jaqlinemsaki7263
@jaqlinemsaki7263 6 жыл бұрын
Lakini ukisimulia ww inanoga MAJOGORO kijana mvuvi umefikia wapi nipo Dubai napenda nimsaidie mie mtanzania MWANZA TZ.
@PromovertvTz
@PromovertvTz 6 жыл бұрын
Majogoro hajapatikana,bado tunaendelea kumtafta,pia tunaendelea kupokea michango ya pesa kwaajili ya kumtafta
@fadhiliswalehe9554
@fadhiliswalehe9554 6 жыл бұрын
ni story ya kweli au kutangaza ulokole tu
@sadockapronary9737
@sadockapronary9737 6 жыл бұрын
OKOKA
@zenassylvester125
@zenassylvester125 6 жыл бұрын
Kua mchawi alafu utajua kama story au ukweli
@giftielinganga6707
@giftielinganga6707 6 жыл бұрын
Nikweli we achakuangalia ulokole jifunze dunia iłivyo
@barakajacobs5485
@barakajacobs5485 6 жыл бұрын
Napenda majibu yenu
@dorsandollah3384
@dorsandollah3384 5 жыл бұрын
Hakunaga kutangaza ulokole tunashuhudia matendo makuu ya MUNGU
@alphoncemichael5798
@alphoncemichael5798 4 жыл бұрын
Huko kuzimu alikokuwa akiishi ni wapi sasa?
@jennjaja1586
@jennjaja1586 6 жыл бұрын
Story poa. Musukule ni mutu gani? Not so good with TZ swa!!
@matridalule4664
@matridalule4664 6 жыл бұрын
zombi
@jennjaja1586
@jennjaja1586 6 жыл бұрын
Lo
@jennjaja1586
@jennjaja1586 6 жыл бұрын
@@matridalule4664 thanks Boo
@hanceedward3243
@hanceedward3243 6 жыл бұрын
The people who dead in miracle way
@robertgeofrey4118
@robertgeofrey4118 5 жыл бұрын
Musukule is the person whose death is staged by witchcraft means In human world the person is seeing dead by any cause but reality is that his/her spirit is taken by witches so that his/her spirit may be used in World darkness(spiritual World) They become invisible to normal human,Their mind is blinded by power of darkness and are used as slaves to serve witches wishes.
@mwalimumhunzi6694
@mwalimumhunzi6694 6 жыл бұрын
Hapo bila uficho unatangaza Kanisa. Kweli Uchawi upo, majini wapo Ila mtoa mada anaposema ameokoka aaa! Wakati hakuna kuokoka duniani kuoka ni cku ya mwisho cku ya Kiama ndo kunawatakaookoka baaada kuonekana hawanadhambi. Unasema unasali Kanisani kwamaana ww ni Mkristo lkn Biblia inasema Ukristo ni jina la kupangwa limepangwa na Wapagani (MATENDO YA MITUME 11:18-21) sasa kama ndivyo Ukriso nijina (dini) la kupanga sasa Unaabudu dini na Mungu wakupanga na Watu(Wapagani)?! Nia kuu ya shetani mikumpoteza mja hata kama shetani ataingia ukweli lkn kunauwongo uliojigivha japo uwonngo kiduchu lkn unamadhara makubwa uwongo huo. Uwongo uliopo hapo uonekane Ulokole/kuokoka kupitia Uktisto ni ndo Suruhisho pekee wakati c kweli unaendeleaje Upagani na UKAFIRI ili kupoteza watu kiujanjaujanja. Mtafute MUNGU wa kweli kupitia dini ya Ukweli ili upate kuabudu kwa haki.
@channychachamick4399
@channychachamick4399 5 жыл бұрын
Usipo okoka duniani utakuja kuwokoka wap kaka unajidanganya
@benbaraka9475
@benbaraka9475 5 жыл бұрын
Kuokoka ni duniani sio mbinguni au uelewi nn maana ya kuokoka
@benbaraka9475
@benbaraka9475 5 жыл бұрын
Kuokoka ni duniani sio mbinguni au uelewi nn maana ya kuokoka
@salvatorysponda7602
@salvatorysponda7602 5 жыл бұрын
Subili tuone hapo mwisho
@fetrishakaza1473
@fetrishakaza1473 5 жыл бұрын
dini yamajini uslamu nani aje ukitakakujua dini yakweli kuwa mchawi
黑天使只对C罗有感觉#short #angel #clown
00:39
Super Beauty team
Рет қаралды 36 МЛН
Гениальное изобретение из обычного стаканчика!
00:31
Лютая физика | Олимпиадная физика
Рет қаралды 4,8 МЛН
Что-что Мурсдей говорит? 💭 #симбочка #симба #мурсдей
00:19
BINTI ALIYEKUWA WAKALA WA SHETANI KWA MIAKA 12 | Part-1
18:24
PROMOVER TV
Рет қаралды 66 М.
USHUHUDA WA MTEULE WA MAJINI | Part-1
25:22
PROMOVER TV
Рет қаралды 13 М.
USHUHUDA WA MCH.DANIEL MAYUNGA ALIYEKUWA MGANGA MAARUFU WA KIENYEJI
1:16:53
黑天使只对C罗有感觉#short #angel #clown
00:39
Super Beauty team
Рет қаралды 36 МЛН