USICHOKIJUA JUU YA IKULU YA DAR ES SALAAM ILIKUA NDIO KITUO CHA KUASAMBAZA DINI AFRIKA

  Рет қаралды 11,131

arkas online tv

arkas online tv

Күн бұрын

USISAHAU KU SUBSCRIBE

Пікірлер: 72
@zuhoor-mc7hq
@zuhoor-mc7hq 4 ай бұрын
😢😢leo ndio nimejua hii history subhaanallah 😭..aise makafiri wanafnyg juu chini kuhakikish usilam uzim .. Yaa rabbi tujaalie tuwe waislam Tabiti na tufishe tukiwa waislam 🤲
@ayoubbilatuka7012
@ayoubbilatuka7012 4 ай бұрын
Ndo maana somo la historia hapa Tz nilikuwa silipendi kwa uongo wa wazungu wakoloni.
@AlbadawiyHaji
@AlbadawiyHaji 4 ай бұрын
Leo watu wanawatukana Warabu na kuwasema wameleta Utumwa Uingo Mtupu Historia Sahihi haizungumguzwi
@sss3s867
@sss3s867 4 ай бұрын
yupo mwanaharakatinmmoja wa dini isi9julikana. akiijiita shekh ELIYAS. ALOSEMA WAZI WQKATI MAGUFULI YUKO HAI. ALIMWAMBIA TUPE IKULU YETU KAZI YAKE KUWA KITUO CHA WAISLAMU
@AusiSaidi
@AusiSaidi 4 ай бұрын
Lengo ni kuonyesha uisilam ni dini yenye ustaarabu hata kama histori imefichwa itajulikana kwa ustaarabu wake
@praygodmawalla7884
@praygodmawalla7884 4 ай бұрын
Ikulu ya Dar es Salaam iliyojengwa na wajerumani imekuwa kituo cha dini.
@charlesshitobelo6870
@charlesshitobelo6870 4 ай бұрын
Kama Kibra ni Kaskazini ukiwa hapa Tanzania, yapo makanisa mengi tu yamejengwa kuelekea Kibra.
@AlbadawiyHaji
@AlbadawiyHaji 4 ай бұрын
Hao ndo makarifi Wazungu Wajeruman
@zenapembe3170
@zenapembe3170 4 ай бұрын
Hata boti la wareno ambalo liligeuka jiwe pamoja na Askari wake huko kilwa historia hii haielezwi
@HASSANWAZIRIGAO
@HASSANWAZIRIGAO 4 ай бұрын
MJI WOTE WA DSM NI MALI YA WAISLAAM WAKRISTO WAMEKUJA KUFANYA KAZI Dsm
@alhandumtalemwa8468
@alhandumtalemwa8468 4 ай бұрын
Shukran shekh kwa elim nzur
@alialamoudi9729
@alialamoudi9729 4 ай бұрын
Kwa ufupi mtume mohamed alitajwa katika taurati NA njil NA zabur NA mtume wa mwisho kwa hiyo asiye fatilia dini ya mungu NA mtume wake mohamed wamepotea kwa sababu mungu hatakupali ila uslamu tu NA uslaam ni kwa ulimwengu wote hakuna huyo bora kuliko wengine wazungu waarbu waafrika wa china wote ni sawa sawa kitu muhimu ni imani NA salah tano NA zakah NA kuhiji NA kufunga ramathani
@praygodmawalla7884
@praygodmawalla7884 4 ай бұрын
ATA ipi Ustadhi
@praygodmawalla7884
@praygodmawalla7884 4 ай бұрын
Aya ipi ustadhi
@CharlesMafwimbo
@CharlesMafwimbo 4 ай бұрын
Ni vizuri kujua Historia lakini leo hii tufikirie kuendeleza Tanzania yetu isiyokuwa na dini
@alialamoudi9729
@alialamoudi9729 4 ай бұрын
Inasikitsha sana kuwa dar eslaam iliyofundisha NA kuoneza uslaam afrika nzima NA dunia
@HabibuUrasa
@HabibuUrasa 4 ай бұрын
Tusikae kimya makafiri watupe majengo yetu
@mwawekomiuda9779
@mwawekomiuda9779 4 ай бұрын
Sheikh toboa siri iliyofichwa na makafiri. Wape wape vidonge vyao wamezoea hao. M'mungu atawadhalilisha tu, kama si hapa duniani itakua Akhera inshaAllah.
@papsmicrocreditcompanylimi1443
@papsmicrocreditcompanylimi1443 4 ай бұрын
Kazi kukufurisha watu mnawaita makafiri lakini kila kukicha wakimbizi wanatoka nchi za Kiara kiarabu kwenda ulaya na marekani mnaowaita makafiri. Kwa nini mckimbilie Iran, Saudi 🇸🇦 Arabia au Yemen
@jumamussantuiche
@jumamussantuiche 4 ай бұрын
​@@papsmicrocreditcompanylimi1443ww na wao ni wamoja kifikra.nyinyi ndo munapiga vita nchi ya kiarabu ila kuwazulumu mali zao waende wap?
@MilloWamilonga-ft8ir
@MilloWamilonga-ft8ir 4 ай бұрын
​@papsmicrocreditcompanylimi1443 mkimbizi gani anaetoka arabuni akakimbilia ulaya? Wewe bwege nini kafiri mkubwa.
@selemaniigosha
@selemaniigosha 4 ай бұрын
Makafiri ni nyie mnaoabud majin
@MilloWamilonga-ft8ir
@MilloWamilonga-ft8ir 4 ай бұрын
@@selemaniigosha hata mzee wa upako na wengine wameshawapasha yesu hakuwa mkristo na hajawahi kuingia kanisani. Sasa sijui yesu wenu nyie ni na yupi? Endeleeni kucheza sebene ndani ya kanisa na wasichana wakiwa nusu uchi eti ndio ktk kumuabudu Mungu. Mnaleta mchezo mkubwa mbele ya M/Mungu. Na mnaabudu sanamu hilo halina ubishi, eti yesu kabebwa na Maria na lile salaba la kijinga kwamba yesu ndio alisulubiwa hapo, sasa ndio muelewe ukafiri wenu ulipo na ndio maana mnaitwa makafiri ktk makafiri waliopo chini ya jua. Muda mnao jisafisheni, Mungu ni mwingi wa kusamehe pale mtapoomba msamaha. Kila jumapili mbaibiwa makanisani eti ndio sadaka ya bwana, sijui bwana gani huyo padri au nani? Bado eti mna mitume na manabii kama akina Mwamposa wanaozimung'unyua pesa zenu kutoka kwenu wajinga nyie. Na mkitaka kujua mnaibiwa muangalieni Masanja alivyo na mkwanja haramu wa sadaka zenu nyie mandondocha. Mitume iliisha muda wake zama nyingi zilizopita na MUHAMMAD (s.w.a.) ndie mtume pekee wa mwisho. Mmefumbwa macho hamuoni na hao majambazi wanajifanya kuwa na makanisa ya ufufuo na uzima kudadadeki. STUKENI MAPEMA.
@kazungukakiyo
@kazungukakiyo 4 ай бұрын
Wakoloni adui tangia zamani.
@SaidiAmiri-y1t
@SaidiAmiri-y1t 4 ай бұрын
ALLAH AQBAR ifikie mahala sasa WAISLAM KTK HISTORIA KATIKA MADRASA ZETU TUPATE HII ELIMU WA maana kunakizazi kikiondoka hatutayajua haya
@abasingaruka1872
@abasingaruka1872 4 ай бұрын
Ni vizuri utuomyeshe kitabu Cha historian, kilichoelezea hayo,
@mohammedmfamau43
@mohammedmfamau43 4 ай бұрын
Nyerere katuharibu kisaikolojia maana hata mashuleni hatukufundishwa ukweli huu tulipewa historia ya uwongo na hadi leo hatujui ukweli kuhusu tanganyika ni aibu tupu nchi gani wanadharau true history yaani ni kweli kabisa ukweli maisha utanyooka tu.
@CharafimalisalimoAli-qw3hk
@CharafimalisalimoAli-qw3hk 4 ай бұрын
WALLAHU inaumasana hiz historia. halafu serekalizetu bado zinawakumbatia kwa mahabakabisa bila hata angalau kwa unafiQ😢
@fadhilisecha4268
@fadhilisecha4268 4 ай бұрын
Hii ni historia tu, tunaipokea kama gumzo tu. Haina maana sana, tujikite na Maendeleo na kuimarisha imani zetu. Walipita Waarabu wakafanya yao, waremo wakafanya yao, wazungu hali kadhalika. Na sasa tupo Sisi tunafanya yetu, watakuja na wengine. Ni kawaida sana
@kazungukakiyo
@kazungukakiyo 4 ай бұрын
Ukweli ndio huu,, ukiitaka kuongoza mutu basi munyime historia yake.
@fatmaahmed8637
@fatmaahmed8637 4 ай бұрын
ALLAH AKBAR ! KIWANYA CHAKE.MALI YAKE..WAKAHAMISHE KWA KUTAKA DUNIA! MASHA ALLAH
@lukumanisharifu
@lukumanisharifu 4 ай бұрын
Eee apo shekh umeenda ndivyo sivyo ktk kabari la sharifu mh
@omarimahela7690
@omarimahela7690 4 ай бұрын
Pale unapomaliza daraja la Tanzanite upande wa Oysterbay baharini kuna inland ndogo inasemekana ni kaburi la mtu maarufu. Mwenye kujua atujuze
@ImanSaid-ox3po
@ImanSaid-ox3po 4 ай бұрын
Ndomana magufuli aliamua kutengeneza yake ili awaachie wenyewe
@salumrashid813
@salumrashid813 4 ай бұрын
Wanapita huku huko kudanganya eti Daru Salaam imejengwa na Mjerumani Waongo wakubwa.
@saidishineni7966
@saidishineni7966 4 ай бұрын
Asalam alaykum,nauliza mashehe ikiwa makanisa yote na Mali za makanisa zinarudishwa au zimerudishwa nabado wakiristu wanaendelea kudai vilivyo vyao,Swali ni jee kunahatua gani zinazofanywa na nyinyi viongozi wetu kudai majengo yetu yote?hususani kushirikiana na nguvu ya umat islamia?
@AlkadoNkundwe-wb3of
@AlkadoNkundwe-wb3of 4 ай бұрын
Akina nani hao ?? Waislam hawa hawa ? Sisi tuko mbumbumbu sana
@user13375
@user13375 4 ай бұрын
Mngepigana na wajerumani sasa hapo tusilaumiane
@vincentcharles4385
@vincentcharles4385 4 ай бұрын
Sheikh bora uendelee kunywa kahawa,K-vant hazikupendezi
@salimusalim3610
@salimusalim3610 4 ай бұрын
Baki na historia ya binadamu ametokana na sokwe inawezekana wewe ndo asili yake
@omaribrahim1087
@omaribrahim1087 4 ай бұрын
Hata utumwa haukufanywa Zanzibar kama inavyoelezwa duniani na kk historia kwa sababu hizi moja waliofika watumwa Marekani salama ni 150 mil idadi hizi ya watu tulikuwa hatuna Afrika mashariki na pia km hawa wamechukuliwa hapa haiwezekani wakafika salama Marekani kwa msafara mrefu wazunguke cape town au wapitie suez canal. Pili utumwa hutakiwa kwa sababu mbili ina unataka vibarua kwenye viwanda na kujenga reli au una mashamba makubwa arabuni kuna jangwa hakuna kilimo hakuna viwanda Lon utumwa umetokea Afrika magharibi na wanaohusika ni kanisa katoliki Wareno wa Hispania wataliana na wafaransa
@Sheba4651
@Sheba4651 4 ай бұрын
Ndio hao wakristo wanaotukana humu, mabibi zao na mababu zao walisagwa utumwani, wakalishwa imani ati Mungu anaweza kufa.
@CharafimalisalimoAli-qw3hk
@CharafimalisalimoAli-qw3hk 4 ай бұрын
JAMANI NAULIZA KWA AMANITU. HIVI WAKATIHUO MAWAHABI WALIKUWEPO AU HAWAKUWEPO ?.
@tashone7884
@tashone7884 4 ай бұрын
Hawakuwepo
@HaulSidney
@HaulSidney 4 ай бұрын
Ndiyo maana JPM alijenga ikulu Dodoma, kumbe alijuwa history
@MilloWamilonga-ft8ir
@MilloWamilonga-ft8ir 4 ай бұрын
Acha kuutaja uchafu huo wewe
@MohamedAhmada-ie7ke
@MohamedAhmada-ie7ke 4 ай бұрын
Nyerere ndio alie anza
@Shehasweet-hy6xn
@Shehasweet-hy6xn 4 ай бұрын
He makubwa hayaaa!...ingekuwa ni maeneo ya makanisa wangedai eneo lao......sasa serikali irudishe jengo hilo
@fadhilisecha4268
@fadhilisecha4268 4 ай бұрын
Kwa hiyo unadai ikulu urudishwe? Hizi ni historia tu haina maana tena zaidi ya kusikiliza kama gumzo tu
@AlfarouqIslamic
@AlfarouqIslamic 4 ай бұрын
​@@fadhilisecha4268huu ni mtazamo wako wewe kafiri
@CharlesMafwimbo
@CharlesMafwimbo 4 ай бұрын
Irudishe kwa Nani jamani tangulizeni umoja wa kitaifa Archana na hayo sisi pia tujenge sio kurudisha
@HabibuUrasa
@HabibuUrasa 4 ай бұрын
Kwaniini tusidai mali zetu
@user13375
@user13375 4 ай бұрын
Kwa hiyo unataka ikulu iwe chini yenu😂😂😂
@rayisadesigns2646
@rayisadesigns2646 4 ай бұрын
Hiyo ndiyo historia ya kweli kwa taarifa yako
@HabibuUrasa
@HabibuUrasa 4 ай бұрын
Tusikubali hata hospital ya muhumbili ni ya waislamu. Watupe mali zetu
@vincentcharles4385
@vincentcharles4385 4 ай бұрын
Kafirwe na babaako,mkundu unakuwasha,sikiliza huo upumbavu ujambe ukalale.
@HabibuUrasa
@HabibuUrasa 4 ай бұрын
@@vincentcharles4385 Sawa unajua kutukana lakini ujue hii dunia tutaiyacha wote tutakufa na huo mdomo ulionitukana nao kuna siku Mungu ataufunga
@massawemrlowprice3949
@massawemrlowprice3949 4 ай бұрын
Weka namba tukutumie hela yako
@mohammedmfamau43
@mohammedmfamau43 4 ай бұрын
Nyerere katuharibu kisaikolojia maana hata mashuleni hatukufundishwa ukweli huu tulipewa historia ya uwongo na hadi leo hatujui ukweli kuhusu tanganyika ni aibu tupu nchi gani wanadharau true history yaani ni kweli kabisa ukweli maisha utanyooka tu.
@user13375
@user13375 4 ай бұрын
Kama mwarab alijenga hapo alipewa na nani ardhi ya waafrika?
@MilloWamilonga-ft8ir
@MilloWamilonga-ft8ir 4 ай бұрын
​@@user13375 wewe tafuta bashe unfilishe upate mimba
@omaribrahim1087
@omaribrahim1087 4 ай бұрын
Mungu awape adhabu kubwa huko kwa wake waliotudhulumu
@omaribrahim1087
@omaribrahim1087 4 ай бұрын
​​@@user13375waafrika wenyewe ndio walio wakaribisha na dini kuipokea sio km wakiristo kujenga makanisa kwenye milima ili waonekane na kuwalaghai kwa vitu
@rayisadesigns2646
@rayisadesigns2646 4 ай бұрын
​@@user13375huyo ni mtawala wa Zanzibar mpaka Tanganyika na ndiyo maana akajenga mahala hapo.
Je, Wajuwa?! Historia Fupi ya Uislamu na Waislamu Afrika Mashariki - Makala ya Kwanza.
27:55
Stambuli wa Sh. Abdillahi Nassir
Рет қаралды 3,5 М.
小天使和小丑太会演了!#小丑#天使#家庭#搞笑
00:25
家庭搞笑日记
Рет қаралды 33 МЛН
iPhone or Chocolate??
00:16
Hungry FAM
Рет қаралды 44 МЛН
Крутой фокус + секрет! #shorts
00:10
Роман Magic
Рет қаралды 24 МЛН
KAMA HUKUUMIYA KWA HAYA WEWE UNAPATA DHAMBI
20:12
arkas online tv
Рет қаралды 16 М.
KISA CHA MTOTO ALIYEMPA UJAUZITO MAMA YAKE MZAZI // Sheikh Othman Maalim
54:39
KISA CHA NABII MUSSA ALIKUA NA NGUVU ZA AJABU // SHEIKH OTHMAN MAALIM
1:01:05
"TUNAWAKAMATA WASIOFUATA MASHARTI YA SALA" AFANDE AMEFUNGUKA
10:56
arkas online tv
Рет қаралды 8 М.
USIKASIRIKE"* SHEIKH ISSA OTHMAN IMAM MKUU MASJID MAAMUR,UPANGA
15:29
HUYU NDIO ADUI KHATARI WA UISLAM BY Sheikh Ilunga Kapungu
18:25
Sheikh Yusuf Diwan
Рет қаралды 37 М.
WAISLAMU WALIZWA  MSIKITINI
28:59
SHEIKH MWAIPOPO TV
Рет қаралды 110 М.