😢😢leo ndio nimejua hii history subhaanallah 😭..aise makafiri wanafnyg juu chini kuhakikish usilam uzim .. Yaa rabbi tujaalie tuwe waislam Tabiti na tufishe tukiwa waislam 🤲
@ayoubbilatuka70124 ай бұрын
Ndo maana somo la historia hapa Tz nilikuwa silipendi kwa uongo wa wazungu wakoloni.
@AlbadawiyHaji4 ай бұрын
Leo watu wanawatukana Warabu na kuwasema wameleta Utumwa Uingo Mtupu Historia Sahihi haizungumguzwi
@sss3s8674 ай бұрын
yupo mwanaharakatinmmoja wa dini isi9julikana. akiijiita shekh ELIYAS. ALOSEMA WAZI WQKATI MAGUFULI YUKO HAI. ALIMWAMBIA TUPE IKULU YETU KAZI YAKE KUWA KITUO CHA WAISLAMU
@AusiSaidi4 ай бұрын
Lengo ni kuonyesha uisilam ni dini yenye ustaarabu hata kama histori imefichwa itajulikana kwa ustaarabu wake
@praygodmawalla78844 ай бұрын
Ikulu ya Dar es Salaam iliyojengwa na wajerumani imekuwa kituo cha dini.
@charlesshitobelo68704 ай бұрын
Kama Kibra ni Kaskazini ukiwa hapa Tanzania, yapo makanisa mengi tu yamejengwa kuelekea Kibra.
@AlbadawiyHaji4 ай бұрын
Hao ndo makarifi Wazungu Wajeruman
@zenapembe31704 ай бұрын
Hata boti la wareno ambalo liligeuka jiwe pamoja na Askari wake huko kilwa historia hii haielezwi
@HASSANWAZIRIGAO4 ай бұрын
MJI WOTE WA DSM NI MALI YA WAISLAAM WAKRISTO WAMEKUJA KUFANYA KAZI Dsm
@alhandumtalemwa84684 ай бұрын
Shukran shekh kwa elim nzur
@alialamoudi97294 ай бұрын
Kwa ufupi mtume mohamed alitajwa katika taurati NA njil NA zabur NA mtume wa mwisho kwa hiyo asiye fatilia dini ya mungu NA mtume wake mohamed wamepotea kwa sababu mungu hatakupali ila uslamu tu NA uslaam ni kwa ulimwengu wote hakuna huyo bora kuliko wengine wazungu waarbu waafrika wa china wote ni sawa sawa kitu muhimu ni imani NA salah tano NA zakah NA kuhiji NA kufunga ramathani
@praygodmawalla78844 ай бұрын
ATA ipi Ustadhi
@praygodmawalla78844 ай бұрын
Aya ipi ustadhi
@CharlesMafwimbo4 ай бұрын
Ni vizuri kujua Historia lakini leo hii tufikirie kuendeleza Tanzania yetu isiyokuwa na dini
@alialamoudi97294 ай бұрын
Inasikitsha sana kuwa dar eslaam iliyofundisha NA kuoneza uslaam afrika nzima NA dunia
@HabibuUrasa4 ай бұрын
Tusikae kimya makafiri watupe majengo yetu
@mwawekomiuda97794 ай бұрын
Sheikh toboa siri iliyofichwa na makafiri. Wape wape vidonge vyao wamezoea hao. M'mungu atawadhalilisha tu, kama si hapa duniani itakua Akhera inshaAllah.
@papsmicrocreditcompanylimi14434 ай бұрын
Kazi kukufurisha watu mnawaita makafiri lakini kila kukicha wakimbizi wanatoka nchi za Kiara kiarabu kwenda ulaya na marekani mnaowaita makafiri. Kwa nini mckimbilie Iran, Saudi 🇸🇦 Arabia au Yemen
@jumamussantuiche4 ай бұрын
@@papsmicrocreditcompanylimi1443ww na wao ni wamoja kifikra.nyinyi ndo munapiga vita nchi ya kiarabu ila kuwazulumu mali zao waende wap?
@@selemaniigosha hata mzee wa upako na wengine wameshawapasha yesu hakuwa mkristo na hajawahi kuingia kanisani. Sasa sijui yesu wenu nyie ni na yupi? Endeleeni kucheza sebene ndani ya kanisa na wasichana wakiwa nusu uchi eti ndio ktk kumuabudu Mungu. Mnaleta mchezo mkubwa mbele ya M/Mungu. Na mnaabudu sanamu hilo halina ubishi, eti yesu kabebwa na Maria na lile salaba la kijinga kwamba yesu ndio alisulubiwa hapo, sasa ndio muelewe ukafiri wenu ulipo na ndio maana mnaitwa makafiri ktk makafiri waliopo chini ya jua. Muda mnao jisafisheni, Mungu ni mwingi wa kusamehe pale mtapoomba msamaha. Kila jumapili mbaibiwa makanisani eti ndio sadaka ya bwana, sijui bwana gani huyo padri au nani? Bado eti mna mitume na manabii kama akina Mwamposa wanaozimung'unyua pesa zenu kutoka kwenu wajinga nyie. Na mkitaka kujua mnaibiwa muangalieni Masanja alivyo na mkwanja haramu wa sadaka zenu nyie mandondocha. Mitume iliisha muda wake zama nyingi zilizopita na MUHAMMAD (s.w.a.) ndie mtume pekee wa mwisho. Mmefumbwa macho hamuoni na hao majambazi wanajifanya kuwa na makanisa ya ufufuo na uzima kudadadeki. STUKENI MAPEMA.
@kazungukakiyo4 ай бұрын
Wakoloni adui tangia zamani.
@SaidiAmiri-y1t4 ай бұрын
ALLAH AQBAR ifikie mahala sasa WAISLAM KTK HISTORIA KATIKA MADRASA ZETU TUPATE HII ELIMU WA maana kunakizazi kikiondoka hatutayajua haya
@abasingaruka18724 ай бұрын
Ni vizuri utuomyeshe kitabu Cha historian, kilichoelezea hayo,
@mohammedmfamau434 ай бұрын
Nyerere katuharibu kisaikolojia maana hata mashuleni hatukufundishwa ukweli huu tulipewa historia ya uwongo na hadi leo hatujui ukweli kuhusu tanganyika ni aibu tupu nchi gani wanadharau true history yaani ni kweli kabisa ukweli maisha utanyooka tu.
@CharafimalisalimoAli-qw3hk4 ай бұрын
WALLAHU inaumasana hiz historia. halafu serekalizetu bado zinawakumbatia kwa mahabakabisa bila hata angalau kwa unafiQ😢
@fadhilisecha42684 ай бұрын
Hii ni historia tu, tunaipokea kama gumzo tu. Haina maana sana, tujikite na Maendeleo na kuimarisha imani zetu. Walipita Waarabu wakafanya yao, waremo wakafanya yao, wazungu hali kadhalika. Na sasa tupo Sisi tunafanya yetu, watakuja na wengine. Ni kawaida sana
@kazungukakiyo4 ай бұрын
Ukweli ndio huu,, ukiitaka kuongoza mutu basi munyime historia yake.
@fatmaahmed86374 ай бұрын
ALLAH AKBAR ! KIWANYA CHAKE.MALI YAKE..WAKAHAMISHE KWA KUTAKA DUNIA! MASHA ALLAH
@lukumanisharifu4 ай бұрын
Eee apo shekh umeenda ndivyo sivyo ktk kabari la sharifu mh
@omarimahela76904 ай бұрын
Pale unapomaliza daraja la Tanzanite upande wa Oysterbay baharini kuna inland ndogo inasemekana ni kaburi la mtu maarufu. Mwenye kujua atujuze
@ImanSaid-ox3po4 ай бұрын
Ndomana magufuli aliamua kutengeneza yake ili awaachie wenyewe
@salumrashid8134 ай бұрын
Wanapita huku huko kudanganya eti Daru Salaam imejengwa na Mjerumani Waongo wakubwa.
@saidishineni79664 ай бұрын
Asalam alaykum,nauliza mashehe ikiwa makanisa yote na Mali za makanisa zinarudishwa au zimerudishwa nabado wakiristu wanaendelea kudai vilivyo vyao,Swali ni jee kunahatua gani zinazofanywa na nyinyi viongozi wetu kudai majengo yetu yote?hususani kushirikiana na nguvu ya umat islamia?
@AlkadoNkundwe-wb3of4 ай бұрын
Akina nani hao ?? Waislam hawa hawa ? Sisi tuko mbumbumbu sana
@user133754 ай бұрын
Mngepigana na wajerumani sasa hapo tusilaumiane
@vincentcharles43854 ай бұрын
Sheikh bora uendelee kunywa kahawa,K-vant hazikupendezi
@salimusalim36104 ай бұрын
Baki na historia ya binadamu ametokana na sokwe inawezekana wewe ndo asili yake
@omaribrahim10874 ай бұрын
Hata utumwa haukufanywa Zanzibar kama inavyoelezwa duniani na kk historia kwa sababu hizi moja waliofika watumwa Marekani salama ni 150 mil idadi hizi ya watu tulikuwa hatuna Afrika mashariki na pia km hawa wamechukuliwa hapa haiwezekani wakafika salama Marekani kwa msafara mrefu wazunguke cape town au wapitie suez canal. Pili utumwa hutakiwa kwa sababu mbili ina unataka vibarua kwenye viwanda na kujenga reli au una mashamba makubwa arabuni kuna jangwa hakuna kilimo hakuna viwanda Lon utumwa umetokea Afrika magharibi na wanaohusika ni kanisa katoliki Wareno wa Hispania wataliana na wafaransa
@Sheba46514 ай бұрын
Ndio hao wakristo wanaotukana humu, mabibi zao na mababu zao walisagwa utumwani, wakalishwa imani ati Mungu anaweza kufa.
@CharafimalisalimoAli-qw3hk4 ай бұрын
JAMANI NAULIZA KWA AMANITU. HIVI WAKATIHUO MAWAHABI WALIKUWEPO AU HAWAKUWEPO ?.
@tashone78844 ай бұрын
Hawakuwepo
@HaulSidney4 ай бұрын
Ndiyo maana JPM alijenga ikulu Dodoma, kumbe alijuwa history
@MilloWamilonga-ft8ir4 ай бұрын
Acha kuutaja uchafu huo wewe
@MohamedAhmada-ie7ke4 ай бұрын
Nyerere ndio alie anza
@Shehasweet-hy6xn4 ай бұрын
He makubwa hayaaa!...ingekuwa ni maeneo ya makanisa wangedai eneo lao......sasa serikali irudishe jengo hilo
@fadhilisecha42684 ай бұрын
Kwa hiyo unadai ikulu urudishwe? Hizi ni historia tu haina maana tena zaidi ya kusikiliza kama gumzo tu
@AlfarouqIslamic4 ай бұрын
@@fadhilisecha4268huu ni mtazamo wako wewe kafiri
@CharlesMafwimbo4 ай бұрын
Irudishe kwa Nani jamani tangulizeni umoja wa kitaifa Archana na hayo sisi pia tujenge sio kurudisha
@HabibuUrasa4 ай бұрын
Kwaniini tusidai mali zetu
@user133754 ай бұрын
Kwa hiyo unataka ikulu iwe chini yenu😂😂😂
@rayisadesigns26464 ай бұрын
Hiyo ndiyo historia ya kweli kwa taarifa yako
@HabibuUrasa4 ай бұрын
Tusikubali hata hospital ya muhumbili ni ya waislamu. Watupe mali zetu
@vincentcharles43854 ай бұрын
Kafirwe na babaako,mkundu unakuwasha,sikiliza huo upumbavu ujambe ukalale.
@HabibuUrasa4 ай бұрын
@@vincentcharles4385 Sawa unajua kutukana lakini ujue hii dunia tutaiyacha wote tutakufa na huo mdomo ulionitukana nao kuna siku Mungu ataufunga
@massawemrlowprice39494 ай бұрын
Weka namba tukutumie hela yako
@mohammedmfamau434 ай бұрын
Nyerere katuharibu kisaikolojia maana hata mashuleni hatukufundishwa ukweli huu tulipewa historia ya uwongo na hadi leo hatujui ukweli kuhusu tanganyika ni aibu tupu nchi gani wanadharau true history yaani ni kweli kabisa ukweli maisha utanyooka tu.
@user133754 ай бұрын
Kama mwarab alijenga hapo alipewa na nani ardhi ya waafrika?
Mungu awape adhabu kubwa huko kwa wake waliotudhulumu
@omaribrahim10874 ай бұрын
@@user13375waafrika wenyewe ndio walio wakaribisha na dini kuipokea sio km wakiristo kujenga makanisa kwenye milima ili waonekane na kuwalaghai kwa vitu
@rayisadesigns26464 ай бұрын
@@user13375huyo ni mtawala wa Zanzibar mpaka Tanganyika na ndiyo maana akajenga mahala hapo.