USIKU HUU HARMONIZE NA MKURUGENZI KADOGOSA WAKITOKA MOROGORO KWA TRENI YA UMEME WAFUNGUKA ILIVYOKUWA

  Рет қаралды 22,849

Millard Ayo

Millard Ayo

27 күн бұрын

Пікірлер: 58
@afraeliazaelayo
@afraeliazaelayo 24 күн бұрын
Ahsante kwa wote wanaosema ukweli kuhusu Nchi yetu na Miradi ya Maendeleo, na ni ukweli ni mipango ambayo hupangwa na kutekelezwa na Serikali,kwa vipaumbele vya Kiongozi Mkuu wa Nchi. Asante Rais wetu na Wote walioko chini yako. Mungu Ibariki Tanzania.
@sund2553
@sund2553 24 күн бұрын
Pazuri kama airport safi tunaendelea jamani watz tusipachafue sasa kwa uchafu 😅
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 25 күн бұрын
Kauli niliyoipenda " uthubutu" kwa hakika tunaweza, bado msalato iko mbioni, dar Moro Barabara maalum za kulipia, ujenzi wa miundo mbinu Nchi nzima, pia niwapongeze wakandarasi wa huo mradi hao jamaa wasiachwe wapewe miradi mingine
@GibsonNtamamilo
@GibsonNtamamilo 24 күн бұрын
Aliyethubututu hayupo hizo ruti mpya mnazowaza mtaota tu.
@starjay3052
@starjay3052 25 күн бұрын
magufuri kazi kaifanya noma alafu acheni kufanya kama mme saau magu ndio tanzania 🇹🇿 one kwa upande wangu
@AmourAmour-ux3nm
@AmourAmour-ux3nm 24 күн бұрын
Magu . samia ni wajibu wao tusipowataj tukapowataj Hain umuhimu.Magu hajatoa mia ya mfukoni mwake Wal samia na kwann usisem hatujamtaja mkwawa acheni siasa aliyemalizia ndio atakaekul sifa magu alianzisha hakumalizia hem tulieni Kwan taifa alianz kuljeng magu nyiny hamumpend samia.
@emmanuelfari8924
@emmanuelfari8924 24 күн бұрын
💯🙌
@DeogratiusAndrew-zi7zv
@DeogratiusAndrew-zi7zv 24 күн бұрын
Sisi timu Magu hawa tutendei haki, maneno yao ya unafiki eti awamu ya sita, kwahiyo Jembe lililo tifua udongo mpaka tunaona kustwi mmea wamesahau
@AmourAmour-ux3nm
@AmourAmour-ux3nm 24 күн бұрын
@@DeogratiusAndrew-zi7zv Kwan maendeleo yalianza kw magu alijitahidi kiasi chake
@user-en1uq1eg6h
@user-en1uq1eg6h 24 күн бұрын
Rest in peace Magufuli 🙏🙏🇹🇿
@AllyBabu-kr6lg
@AllyBabu-kr6lg 24 күн бұрын
Ila harmonize😊😊😊😊😊😊😊
@denissanchawa7689
@denissanchawa7689 22 күн бұрын
Ni vema kupongeza Jitihada za Viongozi wote walioshiriki katika hatua mbalimbali. Na sio kupongeza kiongozi mmoja.
@joshuasamson9618
@joshuasamson9618 24 күн бұрын
😮😮😮 Siasa humu marufuku
@vt-kn6qf
@vt-kn6qf 25 күн бұрын
Mbowe na tundi nawana chadema tunawaalika SGR, please you guys, we need you😅😅
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 25 күн бұрын
Hahahahahaha 😂😂🤣😂 hawajawahi hata kuizungumzia nahis wanasubiri ipate ajali hahahhaha
@abdallahdataguy
@abdallahdataguy 25 күн бұрын
@@ndukulusudikucho_ 🤣🤣
@michaelmisago3671
@michaelmisago3671 24 күн бұрын
Mkurugenzi wa shirika anaakili sana
@suleimanikirassahassan9711
@suleimanikirassahassan9711 24 күн бұрын
Sema reli sio leri
@salimsuweid1499
@salimsuweid1499 25 күн бұрын
Congratulations
@AmanaAmos-hv3yz
@AmanaAmos-hv3yz 24 күн бұрын
Hizo ni akili na nguvu za magufuri,tena angekuepo ingeshaisha kitambo sana,R.I.P magufuri wetu
@AmourAmour-ux3nm
@AmourAmour-ux3nm 24 күн бұрын
Aliyemalizia ndio anaekula sifa Kwan bill ya juhudi za wapigania Uhuru ingejengwa hiyo magu ni kama Nyerere
@AmourAmour-ux3nm
@AmourAmour-ux3nm 24 күн бұрын
@@AmanaAmos-hv3yz kwakuwa anaviwanda
@AmanaAmos-hv3yz
@AmanaAmos-hv3yz 24 күн бұрын
@@AmourAmour-ux3nm asiejua maana usimwambie maana🧠,but ukiumia sema💉
@mikidadymohammedy7603
@mikidadymohammedy7603 23 күн бұрын
Ni kwel ndugu yangu naungana na ww ingekuwa kitambo
@mmassyferguson4959
@mmassyferguson4959 24 күн бұрын
Hongera sana uongoz wa awamu ya sita ❤
@DeogratiusAndrew-zi7zv
@DeogratiusAndrew-zi7zv 24 күн бұрын
Awamu ya tano haikufanya kitu?
@mmassyferguson4959
@mmassyferguson4959 24 күн бұрын
@@DeogratiusAndrew-zi7zv nilikua sijazaliwa
@shivobs4485
@shivobs4485 24 күн бұрын
Harmonize wakupongezwa ni rais marehemu sio samia
@user-nb5fk2qh9c
@user-nb5fk2qh9c 24 күн бұрын
Kama asingemalizia ingeisha
@shivobs4485
@shivobs4485 24 күн бұрын
@@user-nb5fk2qh9c tumpongeze kwa kusimamia
@timothypengejoshua8692
@timothypengejoshua8692 24 күн бұрын
Ukweli kabisa watanzania wote wamesahau sana kama Ile ni Mradi wa magufuli
@AmourAmour-ux3nm
@AmourAmour-ux3nm 24 күн бұрын
​@@timothypengejoshua8692angesema simalizii hay huo ungekuwa ni mradi ni uthubut wa raisi samia magu ni kama Nyerere hem tulieni mrad wa magu kakwambia nani hiyo ni ilani alitakiwa lazim sio hiyar yake aliyemalizia ndio atakaekul pongezi
@shivobs4485
@shivobs4485 24 күн бұрын
@@AmourAmour-ux3nm tutulie kwani tunaruka ruka sio ilani ni kodi zetu
@akidakombo259
@akidakombo259 22 күн бұрын
R I p John Joseph pombe magufur milele regace umeiacha mwamba
@kidsontemba1641
@kidsontemba1641 24 күн бұрын
HONGERA MUHESHIMIWA KADOGOSA. UMEPAMBANA SANAA
@TresorMajibu-t7w
@TresorMajibu-t7w 22 күн бұрын
Ongera konde boy konde jeshi
@DioufMuze
@DioufMuze 24 күн бұрын
Kazi ya magufuli hiyo 3:13
@hadija846
@hadija846 24 күн бұрын
YAOYAO JESHII❤
@timothypengejoshua8692
@timothypengejoshua8692 24 күн бұрын
Kweli alie kufa ndiye mjinga...Kazi ya magufuli mnayo malizia nasiyo ya samia rip magu
@DeogratiusAndrew-zi7zv
@DeogratiusAndrew-zi7zv 24 күн бұрын
Wewe unazo akili nyingi lakini kuna mmoja anasema hongera serikali ya awamu ya sita kwani ya awamu ya tano haija fanya kitu ?
@allysanya8346
@allysanya8346 24 күн бұрын
@@DeogratiusAndrew-zi7zv yulee mpumbavu tu anamsifia mvisiwani mwenzie
@DeogratiusAndrew-zi7zv
@DeogratiusAndrew-zi7zv 24 күн бұрын
@@allysanya8346 aahahaha
@ColethaKomba
@ColethaKomba 25 күн бұрын
🔥🔥
@DioufMuze
@DioufMuze 24 күн бұрын
Kazi ya magufuli hiyo
@richkaja3317
@richkaja3317 24 күн бұрын
Waeleze watanzania kwa uyakinifu acha kingereza
@shigetemteremko7551
@shigetemteremko7551 22 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉
@nicodemusfidelis3772
@nicodemusfidelis3772 24 күн бұрын
Magufuli hoyeeee
@SalimSalimu-z5c
@SalimSalimu-z5c 24 күн бұрын
Kirandage
@DioufMuze
@DioufMuze 24 күн бұрын
Kazi ya magufuli hiyo 3:13
@DioufMuze
@DioufMuze 24 күн бұрын
Kazi ya magufuli hiyo
@DioufMuze
@DioufMuze 24 күн бұрын
Kazi ya magufuli hiyo 3:13
@DioufMuze
@DioufMuze 24 күн бұрын
Kazi ya magufuli hiyo 3:13
KAIZER CHIEFS VS YANGA SC: MAGOLI YOTE / ALL GOALS (TOYOTA CUP 2024)
8:46
Why Is He Unhappy…?
00:26
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 15 МЛН
Llegó al techo 😱
00:37
Juan De Dios Pantoja
Рет қаралды 54 МЛН
DEFINITELY NOT HAPPENING ON MY WATCH! 😒
00:12
Laro Benz
Рет қаралды 63 МЛН
No empty
00:35
Mamasoboliha
Рет қаралды 3,9 МЛН
Why Is He Unhappy…?
00:26
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 15 МЛН