Ahsante kwa wote wanaosema ukweli kuhusu Nchi yetu na Miradi ya Maendeleo, na ni ukweli ni mipango ambayo hupangwa na kutekelezwa na Serikali,kwa vipaumbele vya Kiongozi Mkuu wa Nchi. Asante Rais wetu na Wote walioko chini yako. Mungu Ibariki Tanzania.
@sund255324 күн бұрын
Pazuri kama airport safi tunaendelea jamani watz tusipachafue sasa kwa uchafu 😅
@ndukulusudikucho_25 күн бұрын
Kauli niliyoipenda " uthubutu" kwa hakika tunaweza, bado msalato iko mbioni, dar Moro Barabara maalum za kulipia, ujenzi wa miundo mbinu Nchi nzima, pia niwapongeze wakandarasi wa huo mradi hao jamaa wasiachwe wapewe miradi mingine
@GibsonNtamamilo24 күн бұрын
Aliyethubututu hayupo hizo ruti mpya mnazowaza mtaota tu.
@starjay305225 күн бұрын
magufuri kazi kaifanya noma alafu acheni kufanya kama mme saau magu ndio tanzania 🇹🇿 one kwa upande wangu
@AmourAmour-ux3nm24 күн бұрын
Magu . samia ni wajibu wao tusipowataj tukapowataj Hain umuhimu.Magu hajatoa mia ya mfukoni mwake Wal samia na kwann usisem hatujamtaja mkwawa acheni siasa aliyemalizia ndio atakaekul sifa magu alianzisha hakumalizia hem tulieni Kwan taifa alianz kuljeng magu nyiny hamumpend samia.
@emmanuelfari892424 күн бұрын
💯🙌
@DeogratiusAndrew-zi7zv24 күн бұрын
Sisi timu Magu hawa tutendei haki, maneno yao ya unafiki eti awamu ya sita, kwahiyo Jembe lililo tifua udongo mpaka tunaona kustwi mmea wamesahau
@AmourAmour-ux3nm24 күн бұрын
@@DeogratiusAndrew-zi7zv Kwan maendeleo yalianza kw magu alijitahidi kiasi chake
@user-en1uq1eg6h24 күн бұрын
Rest in peace Magufuli 🙏🙏🇹🇿
@AllyBabu-kr6lg24 күн бұрын
Ila harmonize😊😊😊😊😊😊😊
@denissanchawa768922 күн бұрын
Ni vema kupongeza Jitihada za Viongozi wote walioshiriki katika hatua mbalimbali. Na sio kupongeza kiongozi mmoja.
@joshuasamson961824 күн бұрын
😮😮😮 Siasa humu marufuku
@vt-kn6qf25 күн бұрын
Mbowe na tundi nawana chadema tunawaalika SGR, please you guys, we need you😅😅
@ndukulusudikucho_25 күн бұрын
Hahahahahaha 😂😂🤣😂 hawajawahi hata kuizungumzia nahis wanasubiri ipate ajali hahahhaha
@abdallahdataguy25 күн бұрын
@@ndukulusudikucho_ 🤣🤣
@michaelmisago367124 күн бұрын
Mkurugenzi wa shirika anaakili sana
@suleimanikirassahassan971124 күн бұрын
Sema reli sio leri
@salimsuweid149925 күн бұрын
Congratulations
@AmanaAmos-hv3yz24 күн бұрын
Hizo ni akili na nguvu za magufuri,tena angekuepo ingeshaisha kitambo sana,R.I.P magufuri wetu
@AmourAmour-ux3nm24 күн бұрын
Aliyemalizia ndio anaekula sifa Kwan bill ya juhudi za wapigania Uhuru ingejengwa hiyo magu ni kama Nyerere
@AmourAmour-ux3nm24 күн бұрын
@@AmanaAmos-hv3yz kwakuwa anaviwanda
@AmanaAmos-hv3yz24 күн бұрын
@@AmourAmour-ux3nm asiejua maana usimwambie maana🧠,but ukiumia sema💉
@mikidadymohammedy760323 күн бұрын
Ni kwel ndugu yangu naungana na ww ingekuwa kitambo
@mmassyferguson495924 күн бұрын
Hongera sana uongoz wa awamu ya sita ❤
@DeogratiusAndrew-zi7zv24 күн бұрын
Awamu ya tano haikufanya kitu?
@mmassyferguson495924 күн бұрын
@@DeogratiusAndrew-zi7zv nilikua sijazaliwa
@shivobs448524 күн бұрын
Harmonize wakupongezwa ni rais marehemu sio samia
@user-nb5fk2qh9c24 күн бұрын
Kama asingemalizia ingeisha
@shivobs448524 күн бұрын
@@user-nb5fk2qh9c tumpongeze kwa kusimamia
@timothypengejoshua869224 күн бұрын
Ukweli kabisa watanzania wote wamesahau sana kama Ile ni Mradi wa magufuli
@AmourAmour-ux3nm24 күн бұрын
@@timothypengejoshua8692angesema simalizii hay huo ungekuwa ni mradi ni uthubut wa raisi samia magu ni kama Nyerere hem tulieni mrad wa magu kakwambia nani hiyo ni ilani alitakiwa lazim sio hiyar yake aliyemalizia ndio atakaekul pongezi
@shivobs448524 күн бұрын
@@AmourAmour-ux3nm tutulie kwani tunaruka ruka sio ilani ni kodi zetu
@akidakombo25922 күн бұрын
R I p John Joseph pombe magufur milele regace umeiacha mwamba
@kidsontemba164124 күн бұрын
HONGERA MUHESHIMIWA KADOGOSA. UMEPAMBANA SANAA
@TresorMajibu-t7w22 күн бұрын
Ongera konde boy konde jeshi
@DioufMuze24 күн бұрын
Kazi ya magufuli hiyo 3:13
@hadija84624 күн бұрын
YAOYAO JESHII❤
@timothypengejoshua869224 күн бұрын
Kweli alie kufa ndiye mjinga...Kazi ya magufuli mnayo malizia nasiyo ya samia rip magu
@DeogratiusAndrew-zi7zv24 күн бұрын
Wewe unazo akili nyingi lakini kuna mmoja anasema hongera serikali ya awamu ya sita kwani ya awamu ya tano haija fanya kitu ?
@allysanya834624 күн бұрын
@@DeogratiusAndrew-zi7zv yulee mpumbavu tu anamsifia mvisiwani mwenzie