Usikubali kudanganywa kwa kuambiwa Utaletwa Ulaya kwa njia kama hizo☝️❤️🙏☝️

  Рет қаралды 22,708

Amina Kupila

Amina Kupila

Күн бұрын

Пікірлер: 399
@seifally4457
@seifally4457 14 күн бұрын
Hongera dada kwa kutufafanunulia kutupa elimu juu ya kuja ulaya mungu akubariki .Ndoto yangu nikuja ulaya kufanya kazi
@HawaAbell
@HawaAbell 6 ай бұрын
Asante sana dada Amina ninandoto yakuja kufanya kazi huko je unaweza kunitajia kazi nakupenda❤
@samanthalyimo4598
@samanthalyimo4598 Жыл бұрын
Asante sana dada Amina kwa maelezo mazuri na ya uwazi ,ndoto yangu ni kufika ulaya kufanya kazi kwa njia sahihi
@florathomas6234
@florathomas6234 3 жыл бұрын
Asante dada Amina kwa ushauri mzuri,well received and noted
@lilliansalvatory8183
@lilliansalvatory8183 Жыл бұрын
Asanteh sana dada Amina.. samahani naomba niwaeleze vizuri hiko chuo kipo posta pale karibu na holland house CRDB au ilipokua steers zamani pale posta .
@DaudiKunambi-z2x
@DaudiKunambi-z2x 9 ай бұрын
Dada Amina asante sana kwa kipindi chako kizuri na Mungu wa mbinguni akubariki sana
@saidrusuma8523
@saidrusuma8523 3 жыл бұрын
Bi. Aminah kwakweli leoo umenikosha saana, kuanzia jinsi unavyoongea hadi pia unavyotufikishia ujumbe Mzuuri kabisa, yaani wewee ni LULU ambayo hatupaswi kuipotezaa!! Namuomba mwenyezi akutunze na akulinde, piaa watu wabaya wakupitie mbaali Mama.!! 🥰😍😘
@paskalishida7525
@paskalishida7525 Жыл бұрын
Mi mtanzania naweza pata kazi
@aminakupila3079
@aminakupila3079 Жыл бұрын
Asante sana ndugu yangu Namshukuru MUNGU kwa kukupa moyo ulionao na Samahani sijui a comment yangu ni vigumu kuona zote na kuzijibu nakushukuru sana🥂🥰🥰🥰🙏🙏🙏
@Mosesy_Bright
@Mosesy_Bright 2 жыл бұрын
Ubarikiwe sanaa na Mungu aliye hai.... Na roho mtakatifu azidi kukuongoza....🙏🇹🇿🌦️❤️
@kisalaTV
@kisalaTV 3 жыл бұрын
Asante, kwa ukweli unao tupa, lakini mimi naacha tangazo wara sifanyi next, nakupenda dada unajuwa kufumbua macho ya watu
@Francis-kx1sb
@Francis-kx1sb Жыл бұрын
Safi sana dada yangu yangu wengi tuna ndondo za kufanya kazi huko asante umetuelimisha
@SANGTINAGODETRUDMAKONYOLA
@SANGTINAGODETRUDMAKONYOLA 2 ай бұрын
Naomba unisaidie nifike ulaya❤❤❤❤ I'm struts you my mom
@VeronicaJanuary-lf5io
@VeronicaJanuary-lf5io 5 ай бұрын
asante naitaji kazi najua lugha ya kiswahili tu
@Witnessvlog
@Witnessvlog Жыл бұрын
Asante dada kutwambia Ukweli. Mwenyew nimewahi kuokota chupa. Walioko ulaya nao wengine wanafeki maisha ndio maana wanaombwa Hela
@asmahtamla4749
@asmahtamla4749 10 ай бұрын
nimekupenda sana dada kwa ushauri wako mzuri ,thanks be blessed sister.
@deborahrehema5819
@deborahrehema5819 3 жыл бұрын
Ubarikiwe sana kweli nipo Miaka 16 ulaya niliishi Holland na hivi naishi Ireland unasema kweli keep telling them the truth wengi sana wana wadanganya na wengine kuwaogopesha wengine sababu hawataki wake nao wa enjoy maisha ya huku 🥰🥰🥰
@aminakupila3079
@aminakupila3079 3 жыл бұрын
Asante sana ndugu yangu 👍☝️💕💕💕💕😘☝️🙏🙏🙏
@lydiagabrielshirima4717
@lydiagabrielshirima4717 Жыл бұрын
Waaaoooooo asante dada kwa ushauri wako nitaftie nami kazi huko
@agnescarlos8868
@agnescarlos8868 Жыл бұрын
​@@aminakupila3079asante kw ushauli
@frankplatinam
@frankplatinam Жыл бұрын
Safi nahogera dada. Pia natamani nihishi ulaya lakini sina njisi please nisahidiyeni
@brownjoseph5154
@brownjoseph5154 Жыл бұрын
@@frankplatinam dada ubarikiwe Sana dada nimeipenda maelzo Yako mungu akubariki sana
@reginaoyugi7283
@reginaoyugi7283 Жыл бұрын
Amina nimekupenda Buree. Na pia nakuheshimu. Unaongea mambo muhimu sana kutoka moyoni mwako. Unaupendo Kwa watu wako. Mungu akubariki🙏🙏
@aminakupila3079
@aminakupila3079 Жыл бұрын
Asante sana ndugu yangu🥰🥰🥰🙏🙏🙏
@blackninjaentertainmentssh8076
@blackninjaentertainmentssh8076 2 жыл бұрын
Hongera Sana Amina Kwa mafundisho yako Kwa wengine walio hawajui na mengine hawaja wapata god bless you big thanks Emmanuel from Italy milano
@waukweelinikkon6555
@waukweelinikkon6555 3 жыл бұрын
Leo umeongea vizuri sana amina,nimekuelewa kuliko siku nyingine,mimi niko ujerumani,waafrika wapo wengi wanaishi kwa tabu mnooo,siyo rahisi kwa kweli,
@gracekaniki789
@gracekaniki789 3 жыл бұрын
Tujuane ndugu yangu
@evarramdhani539
@evarramdhani539 Жыл бұрын
Asante sana dada, nafurahi sana kukutana nawe.naomba ukipata Muda tuongee unisaidie asante sana.
@aishamsandawe3029
@aishamsandawe3029 2 жыл бұрын
Dada amina nitafutie kazi ya usafi na mumewa.ngu nidereva Dada nifanyie msaadana amini mungu amekusimamisha utusaidie
@newtonnyembe8228
@newtonnyembe8228 Жыл бұрын
Nimekumiss sanaaa nakumbuka tu Mandela 😀
@mog791
@mog791 Жыл бұрын
Mungu atusaidie San kwa vizazi vyetu vya ss
@peaceisrael8158
@peaceisrael8158 3 жыл бұрын
Nakuita Dada wa Ulaya kwa sababu wapo wengi wanafurahi kusifiwa tu ila wewe umejitolea kutueleza uhalisia ...unatusaidia sana coz kuna vingi hujui umuulize nani for better advice...Mungu akubariki sana🙏😍🇩🇪
@aminakupila3079
@aminakupila3079 3 жыл бұрын
Asante ndugu yangu 💗💕☝️🙏🙏
@abdallahmagera9160
@abdallahmagera9160 3 жыл бұрын
@@aminakupila3079 MUNGU akulinde sana Dada yangu kwakutueleza ukweli
@shohamuwokovuhalisi.2648
@shohamuwokovuhalisi.2648 3 жыл бұрын
Namshukuru MUNGU BABA kwa mafunzo yako. Barikiwa
@chalzsenior9075
@chalzsenior9075 3 жыл бұрын
Asante Mungu wangu kuweza kunikutanisha na uyu Dada... Ntakupenda maisha yang yote
@loirucklaizer52
@loirucklaizer52 3 жыл бұрын
Samahani Kuna swali nimekuuliza hujanijibu Dada Amina,swali langu nauli ya kuja na kurudi ni sh ngapi? Pia nyumba ya kulipia kwa miezi mi3 Ina gharimu kiasi gani? Naomba usichoke kutoa darasa.
@mohamedkitwiko3675
@mohamedkitwiko3675 Жыл бұрын
Safi kabisaaaaa dada
@baharesavip-yu8zk
@baharesavip-yu8zk Жыл бұрын
Dada nimekuelewa
@mohamedsuleiman8991
@mohamedsuleiman8991 Жыл бұрын
Ubarikiwe sana usemavyo upo sahihi
@mohammedbonero
@mohammedbonero 8 ай бұрын
Ukwel ni mzur sana mimi nataka kujua kwa mtu akitaka kuja huko kwa ajili ya kutafuta maisha vipi kuhusu vibali vya kuishi huko zinapatikana
@zainabibrahim4183
@zainabibrahim4183 3 жыл бұрын
Yote uliyosema ni kweli it's not easy than it's look, na sio kukurupuka.Ahsante dada 😍😍❤💕💖👍
@emelesianaluambano5900
@emelesianaluambano5900 2 жыл бұрын
Amina sijui niseme ninimimi nimekuelewa sanaaa maneno yako ushauli wako nimefika mbali sana
@aminakupila3079
@aminakupila3079 2 жыл бұрын
Shukurani ndugu yangu 🥰🥰🥰🙏🙏🙏
@adammussa2730
@adammussa2730 Жыл бұрын
Asante sana Dada asiye kuelewa unayo ongea uyo ni mfu
@reginaoyugi7283
@reginaoyugi7283 Жыл бұрын
Nashukuru Mungu Kwa kuniunganisha na chanel yako... Amina nitakutafuta maana naitaji sana ushirikiano wako... Naisi moyoni mwangu nimekuelewa sana. 🙏🙏🙏🙏
@saumusulaiman4742
@saumusulaiman4742 Жыл бұрын
Ubarikiwe dada❤
@jumakalukule5312
@jumakalukule5312 3 жыл бұрын
Asante sana ant somozuli sana mungu atakulipa nimekuelewa vizuli
@mjukuuwakabonga2031
@mjukuuwakabonga2031 3 жыл бұрын
Amina ,,asante my dear somo zuri
@aminakupila3079
@aminakupila3079 3 жыл бұрын
Thank you 🙏 ❤️☝️🙏
@ameliawayua142
@ameliawayua142 3 жыл бұрын
Mungu akubariki Amina nilikua nataka kukuja kutafuta kazi, ila nimeogopa watu wanakatwa kichwa, wacha nikae na umasikini wangu
@aminakupila3079
@aminakupila3079 3 жыл бұрын
Kikweli nikipata yule ndugu nitamleta awasimulie.💕💗☝️🙏
@mariamtumwebaze389
@mariamtumwebaze389 3 жыл бұрын
Oh hhhhhhhhh my God kila nikisikiza video za huu dadangu nazidi kumupenda mungu akubaliki kwa roho yako nzuri mashallah
@aminakupila3079
@aminakupila3079 3 жыл бұрын
Shukurani ndugu yangu 💗☝️💕💕🙏
@allanquaterman98
@allanquaterman98 Жыл бұрын
Dada hakika mungu yuko nawe, nakushukuru sana ,umenifundisha kitu kikubwa sana ambacho nimekua naumiza kichwa maana mpaka nikawa naseach nitafute nijue taratibu, nilikua na ndoto kama hizo za kubadilisha maisha yangu, hapo ngoja niendelee kufwatilia umenipa mwongozo mkubwa sana mAana niliona simple
@rishidihamza7782
@rishidihamza7782 3 жыл бұрын
Amina kupila nataka kukumbusha usiji pasuwe kichwa kuwajibu walala Hoi ambao hawana maisha rasmi. Wengi maisha magumu. Nawa natamani sana wewe uwe kama wenyewe. Kwaiyo usijisimbue Bure. Wooooote Hao ikibidi wa block hawajui Maendeleo. Mimi nipo nawewe team mmoja. All the way Australia 🇦🇺🇦🇺👍👍 take care
@aminakupila3079
@aminakupila3079 Жыл бұрын
Thank you dear 🥰🥰🥰🥰🥂🙏
@tupilikeallan8990
@tupilikeallan8990 Жыл бұрын
Asante,kwa maelekezo mazuri,Mungu akubariki sana! natamani sana kufanya kazi ya uuguzi huko Uk, nilifanya IELTS hapa british Counsel Dar es salam nikapata 4,ila pia ilikuwa general training, UK inaitajika UKIV IELTS! so msaada wako please,
@BwizzaChufu-ig7ux
@BwizzaChufu-ig7ux Жыл бұрын
Amina naomba nisaidie namba yako nikuulize vizuri
@joycemuhoja4729
@joycemuhoja4729 7 ай бұрын
Kama Kuna Mateso mbona huludi Afrika Mimi Naishi Poland Karibuni sana
@pueblo148
@pueblo148 9 ай бұрын
Hello Amina.pls we communicate
@amosmbugulu7301
@amosmbugulu7301 10 ай бұрын
safi sana dada
@kbdesgners
@kbdesgners Жыл бұрын
Mungu akuzidishie kwa kila mda unaotenga kwajil yawatu wengine nauzid kufanikiwa
@mjanaheriyusuph2708
@mjanaheriyusuph2708 3 жыл бұрын
Amina nimependa sana ushauri wako sana nina tamani nipate na mba yako lli nipate kuongea na wewe parayiveti nina ona una weza kunisaidia
@mariamtumwebaze389
@mariamtumwebaze389 3 жыл бұрын
Shukulan Sana dadangu Unanifurahisha Sana Allah akubaliki
@sarahjohn7772
@sarahjohn7772 3 жыл бұрын
Jaman❤️❤️❤️ Nakupenda Sana Na Ntazidi Kukupenda Sana Kiukweli❤️❤️❤️😀🙏🙏🙏🙏🙏
@piliitelewe2826
@piliitelewe2826 Жыл бұрын
Dada Amina nimependa sana kipindi chako!naomba mawasiliano yako
@mog791
@mog791 Жыл бұрын
Dada amin mm nimekupenda San musema kweli ni mupenzi wa mungu mm nipo Oman kwa ss miaka 4 ukimwambia mtu ukwel hawezi kuamin ila kisema uongo ndiyo wanaamin
@HalfaniChande
@HalfaniChande Жыл бұрын
Ahsante dada amina
@kilimba687
@kilimba687 2 жыл бұрын
Ahsante Sana sister Amina nimekuelewa Sana me pia nina ndoto ya kuja kutafuta maisha huko nje! Kwa ajili ya kuwasaidia Ndugu zangu na wazazi wangu!
@khamisjuma39
@khamisjuma39 2 жыл бұрын
dada nakushiru mungu akupe wepesi nitafitie kazitu
@rose_Winchester86
@rose_Winchester86 3 жыл бұрын
Msema kweli ni mpenzi wa mungu. Oga😹😹🚴‍♀️🚴‍♀️🚴‍♀️
@aminakupila3079
@aminakupila3079 3 жыл бұрын
Nakupenda sana my🌹🌹🌹❤️💕☝️🙏😘
@naomiwambua7183
@naomiwambua7183 9 ай бұрын
Mungu akizidishie kwa majinq n khadija kutoka kenya
@mathiascharles607
@mathiascharles607 3 ай бұрын
Asante dada kwa ushauri
@yusrtv2622
@yusrtv2622 Жыл бұрын
Hongera sana dada allah akuhifazi kwa kutuelewesha kwani nna ndoto kuja nje sana
@fatumafarrah2547
@fatumafarrah2547 2 жыл бұрын
Asante sana dada amina ...
@khababuabdallah8078
@khababuabdallah8078 Жыл бұрын
Ubarikiwe sana dada
@marthamlove1342
@marthamlove1342 3 жыл бұрын
Dada Amina Mungu Mungu akubariki sana kwa kueleza ukweli ni watu wachache sana wenye moyo kama wako wengi hawaelezi ukweli juu ya Njia za kuja ulaya.Namshukuru Mungu leo nimepata channel yako kwa mara ya kwanza na nimesubscribe channel yako ili nipate mafundisho zaidi.🙏
@wilsonlorry6948
@wilsonlorry6948 Жыл бұрын
uko vema sana ubarikiwe sana
@oliverhaule-i6v
@oliverhaule-i6v 11 ай бұрын
Dada kwaiyo uk kazi zakawaida zinapatikana
@deboramhanga914
@deboramhanga914 2 жыл бұрын
Amina ubarikiwe mnyalukolo wewe
@SofiaMhoma
@SofiaMhoma 3 ай бұрын
Asante kwa ushauri
@JimmyMbobo
@JimmyMbobo 8 ай бұрын
Dada amina leo umenipa elimu kubwa sana mungo akubariki sana mm nna ndoto za kwenda nje kutafuta maisha naomba cjui ntawasiliana na ww kivipi duh umenigusa sana kiukweli nmeenda sehemu kuongea nao tuh elf 50 jmn tuwe makini cjui dada ntakupata vip hili tuongee private Amina
@subbyluckson6231
@subbyluckson6231 10 ай бұрын
Mungu akubariki sana
@joyceisaka7394
@joyceisaka7394 Жыл бұрын
Mungu akubarikiiii mnoo dada
@abdallahmagera9160
@abdallahmagera9160 3 жыл бұрын
Dada nashukuru sana Leo Mara yangu yakwanza kuona habari zako nimezipenda sana sijawahi kuona habari za kumjenga mtu kiimani upendo na kutuakikishia namna ya kufika, wengi wametasoeliwa sana
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 3 жыл бұрын
Leo nimependa umeongelea topic moja big up sana. Uzuri wabongo wanapenda udaku saana, hizi story zakufanyishwa umalaya ulaya zipo sana wazitafute KZbin wadada na wakaka wanalia kwikwi, wamekaa ulaya miaka hawana hata mia wanaishi kama watumwa au wafungwa.
@SalomeKhalfani-cm9xy
@SalomeKhalfani-cm9xy 6 ай бұрын
Amina tumekumusi sana
@HermanPetro-j5y
@HermanPetro-j5y Жыл бұрын
Ubarikiwe Dada
@emmanuelamkinga7828
@emmanuelamkinga7828 2 жыл бұрын
asante dada nimesikiliza leo lakini nimeona kama umeongea leoivi God bless you
@aminakupila3079
@aminakupila3079 2 жыл бұрын
Thank you amen 🙏
@annexemmanuel7771
@annexemmanuel7771 3 жыл бұрын
umesema kwel amina nakupenda😘
@aminakupila3079
@aminakupila3079 3 жыл бұрын
Me to dear💕☝️🙏
@victoriaandrew9398
@victoriaandrew9398 3 жыл бұрын
Dada Amina nimekuwa mlevi wa masomo yako nikianza kuangalia video huwa sitaman kuacha. Ubarikiwe mnooooo
@allyjuma4795
@allyjuma4795 Жыл бұрын
Dada m nakufatiria sana naomba namba yako ya whsp nikuombe maelekezo
@emmymatigula4870
@emmymatigula4870 3 жыл бұрын
Amina,MUNGU BABA ALIYEHAI azidi kukupa maono kazi kubwa unafanya,mwenye masikio na asikie,barikiwa sana.
@aminakupila3079
@aminakupila3079 3 жыл бұрын
Amen 🙏❤️❤️💕💕🙏☝️❤️🙏
@josephirambona343
@josephirambona343 3 ай бұрын
Jambo sana
@khadijamgaya3639
@khadijamgaya3639 3 жыл бұрын
Anty...yangu..Mimi natamani sana sana kuja ulaya..naomba nitakupigia... Ili tuongee vizur..In shaallah.
@aminakupila3079
@aminakupila3079 3 жыл бұрын
InshaAllah ☝️❤️🙏
@neemaswai2767
@neemaswai2767 Жыл бұрын
naomba namba ya Amina kama unayo pls
@mugisha580
@mugisha580 3 жыл бұрын
Uyu maman ni mungu arimureta nakupenda malaika😍😍😍👍🥰
@dotosalim5090
@dotosalim5090 3 жыл бұрын
We dada mungu akujaze afya umeongea kwel
@elesiaamasha1429
@elesiaamasha1429 3 жыл бұрын
asante mama kwa ushaur hakika umenitoa mahali fulani Mungu akubariki sana
@T.W3022
@T.W3022 3 жыл бұрын
Asante sana Dada Amina, Mimi napambana kutafuta scholarship kusoma nje, hii channel yako inafundisha vingi sana, nakupenda sana.
@ashamtoro6619
@ashamtoro6619 3 жыл бұрын
Asante sana bi amina niushauri mzuri sana mungu akubariki
@kombohamad5615
@kombohamad5615 2 жыл бұрын
Heeee Allah akupe kheri na nguvu. Na Imani pia
@SalomeKhalfani-cm9xy
@SalomeKhalfani-cm9xy 8 ай бұрын
Mungu akubariki
@roseney5779
@roseney5779 10 ай бұрын
Nipo London pia nipe namba yako nikutafute tujuane
@lillianeriksson8183
@lillianeriksson8183 3 жыл бұрын
Yaani hii itasaidia sana sana hafadhali umeleta hii topic
@mpawenimanacharline5363
@mpawenimanacharline5363 Жыл бұрын
Mungu akubariki mamy
@khadijahmadua4811
@khadijahmadua4811 3 жыл бұрын
Leo nimesikializa,nakuwaga siangalii vidio zako mpaka mwisho,wallh leo umeongea point nimesikilza kwa umakin,shukran love you❤❤
@AthumaniNgeleza
@AthumaniNgeleza Жыл бұрын
Nakuelewa sana Dada yangu Mimi ni druck driver nipo Tanzania ndoto zangu kufanya kazi nnje unanisaidiaje??
@JosephatYatosh
@JosephatYatosh 7 ай бұрын
Asante sana Dada Amina
@kakawamashariki8978
@kakawamashariki8978 3 жыл бұрын
"Hakuna kazi ngumu Kama kuwa msema kweli, maana uongo ni bidhaa yenye wateja wengi ili hali ndani yake hamna Faida"" Safi sana dada yangu, tembea kifua mbele kwa kuzidi kutumbua majipu Wala usione haya ikiwa kusema kweli ndiyo Fungu lako salaam toka Mwanza 🐟🇹🇿. Pongezi pia leo kwa vazi rililo kustiri na utulivu wa pekee katika kuzungumza.
@aminakupila3079
@aminakupila3079 3 жыл бұрын
Asante ndugu yangu☝️🙏
@mbekwamughenya9556
@mbekwamughenya9556 3 жыл бұрын
Pongezi sana dada kwenye hii Mada umeelezea kwa umakini mkubwa na utulivu wa hali ya juu ,umeeleweka vizuri sana . Usife moyo endelea kuelimisha jamii .sisi tuko pamoja na wewe.
@aminakupila3079
@aminakupila3079 3 жыл бұрын
@@mbekwamughenya9556 Namshukuru sana ndugu yangu ☝️💕💕💕💕🙏🙏🙏
@alla1325
@alla1325 3 жыл бұрын
Nimekupenda dada kwa ushauri wako mungu akubariki sana
@aishaabdalllah4149
@aishaabdalllah4149 3 жыл бұрын
Ahsant sana dada mung akujalie kila la kheli nimejifunza kitu kimpya leo
@clarasima5447
@clarasima5447 3 жыл бұрын
Sijutii kukufahamu kupitia mtandao Dada Amina❤️❤️❤️
@JimmyMbobo
@JimmyMbobo 8 ай бұрын
Leo nmepata kitu kikubwa sana asante Mungu
@nasraabdi1529
@nasraabdi1529 3 жыл бұрын
Asante dada yangu mm naishi holland nakuelewa sana tunapita changamoto nyingi sana
@stellatogolai1633
@stellatogolai1633 Жыл бұрын
Dada Santee na kingine Tanzania kuna wazungu wanatapeli uku wanaanza kudanganya Et nimekutumia zawadi
@jacksonmusimo8355
@jacksonmusimo8355 3 жыл бұрын
dada nimekuelewa sana firsttime nakusikiliza kwenye interview yako na sky nimevutiwa sana na wewe kwa maono yako wewe huko very smart nimekukubali na kukupenda bure
@zainabumohamed8541
@zainabumohamed8541 Жыл бұрын
Nimependa ushauri wako nitakua nawe ili nizidi kuelewa ubarikiwe sana
@nelsonpaul4618
@nelsonpaul4618 Жыл бұрын
asante sana dada
NJIA RAHISI ZA KWENDA ULAYA  🇨🇦 🇺🇸 🇪🇺
1:23:46
SHARIF HODARI
Рет қаралды 818
KUJIFUNZA KULA KWA MKONO.
11:04
Amina Kupila
Рет қаралды 7 М.
小丑揭穿坏人的阴谋 #小丑 #天使 #shorts
00:35
好人小丑
Рет қаралды 20 МЛН
НИКИТА ПОДСТАВИЛ ДЖОНИ 😡
01:00
HOOOTDOGS
Рет қаралды 3 МЛН
How I Turned a Lolipop Into A New One 🤯🍭
00:19
Wian
Рет қаралды 13 МЛН
RAHA NA KARAHA ZA KUOA UGHAIBUNI
1:15:26
Official Dating Assistance
Рет қаралды 21 М.
KAZI ZA NDANI ULAYA NDIO NJIA NILIYOTUMIA KUFIKA HUKU
20:05
THE OPPORTUNITY GIVER
Рет қаралды 3,7 М.
Boost Your English Skills With 7 Techniques
28:42
Business English Success Strategies
Рет қаралды 564
Hizi Ndio Courses Ukisomea Huwezi Kosa Kazi Huku Germany 🇩🇪
10:32
Jifunze mbinu na njia za kupata mpenzi mzungu.
15:00
Maggeh New
Рет қаралды 8 М.