Acha vingine vipite lakini usiruhusu Mwokozi akupite.
Пікірлер: 56
@lucywilson58753 жыл бұрын
Oh! I MISS My Mother, she was down sick ( cancer ) and she use to call us and tell us to sing with her this song. Rest In Eternal Peace Mother.
@christinamwakibolwa3000 Жыл бұрын
Amina, very strong 🎵
@georgemwendamseke3246 ай бұрын
Amen, keep that faith all the time
@happyjeremiahmhuli40434 ай бұрын
Asante Yesu kwa kiumbe huyu anatubari kwa nyimbo ktk Ulimwengu huu wa mapambano
@VoH-Official4 ай бұрын
Utukufu na heshima umwendee Mungu aliye kiumba kiumbe hiki
@EsterNgindo-p1x27 күн бұрын
Yes ndiye njia ya uzima
@febroniakessy65123 жыл бұрын
Mungu akubariki mtumishi. Kazi unayoifanya ni zaidi ya utumishi, Mungu ana makusudi na wewe. Nikutie moyo tu kuwa kazi hii si bure mbele za Bwana bali thawabu yako ni kubwa mbinguni. Amen
@VoH-Official3 жыл бұрын
Aaaaamen
@dissankone34253 жыл бұрын
TUNAKUPENDA SANA MTUMISHI WA MUNGU, SAUTI YAKO IMEPAKWA TUNABARIKIWA SANAA NA UIMBAJI WAKI, BWANA AZIDI KUKUVUVIA NA KUKUTUMIA KWA UTUKUFU WAKE KWA JINA LA YESU TUNAOMBA
@amedesamki4252 ай бұрын
Sauti ya mch gwakisa ina roho ya kumsifu Mungu kwa utakatifu wake
@VoH-Official2 ай бұрын
Utukufu kwa Mungu for sure
@leaparoine74012 жыл бұрын
Nakuomba sana umtafute Mch Oltesh Metili na Mch Chagulilo ili mrekodi hivi vipaji angali mkiwa hai ili vizazi vingine viweze kufaidi mkiondoka Duniani. Nyie mkiimba au kuongoza litrujia kwetu ni mpya kila siku! Mungu awatunze
@user-mu5px9rn6j24 күн бұрын
Kwann siku hizi yuko wapi maana hata azania front simuoni kabisa
@annasamaka35983 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi kwa wimbo mzuri na wenye nguvu
@Beulah13579 Жыл бұрын
YESU UNISIKIE BWANA MWEMA ❤
@veronicantamubano26 күн бұрын
GLORY TO GOD
@linnamauky66083 жыл бұрын
Barikiwa mtu wa Mungu
@moriscollins44943 жыл бұрын
Am spechless its amazing song....God be with you pastor
@VoH-Official3 жыл бұрын
Glory be to God above
@haroldmwangombe2207 Жыл бұрын
Absolutely marvelous
@kamandaagileikamandaagilei68323 жыл бұрын
Barikiwa sana mtumishi Mungu wa mbinguni akutunze
@holliness233 жыл бұрын
Nabarikiwa mno nawewe mtumishi,more grace to you
@user-dq5mm6rt3v Жыл бұрын
Ndugu yangu. Mungu awe na WEWE!!
@christinamwakibolwa3000 Жыл бұрын
Amina
@methodjasson21593 жыл бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu kwani uimbaji wako unaponya roho zetu na tunabarikiwa sana kiroho.
@vedastusmatagi48603 жыл бұрын
MUNGU ni mkuu sana Kupitia utumishi wako nina imani watu wengi wanapokea baraka kupitia uimbaji wako
@isayajuliuskaombwe46753 жыл бұрын
Be blessed Pastor
@emmanuelgosten83063 жыл бұрын
So incredible Stay blessed servant of God
@VoH-Official3 жыл бұрын
Aaamen
@godlovemwanga6963 Жыл бұрын
Ubarikiwe sana mchungaji kwa kazi zako
@emmanuelathanas42912 жыл бұрын
Balikiwa sanaa mtumishi wa Mungu
@janemwigune8232 Жыл бұрын
Unasauti nzuri sana mchungaji.Mungu amekupa vingi,atakudai vingi.
@VoH-Official Жыл бұрын
Amen Jane
@fadhilisecha42683 жыл бұрын
Mkono wa Mungu ukufunike baba. Watu wako tunabarikiwa sana
@harunimmewa94452 жыл бұрын
nabrikiwa sana
@christinamwakibolwa3000 Жыл бұрын
Kayla akusaje
@paskysar50493 жыл бұрын
Barikiwa sana baba, Mungu azidi kuitumia sauti yako kujitwalia sifa
@ceverinlyimo82913 жыл бұрын
Barikiwa sana mchungaji Gwakisa.
@agnesnathanael48913 жыл бұрын
Usinipite mokozi unisikie yes
@haikabosco90493 жыл бұрын
Nabarikiwa Sana na huduma unayotoa mtumishi,nimetafuta namna ya kukupata ktk social media leo nmefanikiwa☺️☺️uzidi kuinuliwa ili nasi tuinuliwe zaidi Barikiwa sana
@VoH-Official3 жыл бұрын
Amina ndugu yangu
@williamnassary60193 жыл бұрын
Ubarikw mtumish
@VoH-Official3 жыл бұрын
Amina ndugu yangu
@esperanto69723 жыл бұрын
Asante Pastor
@sundayulomi95473 жыл бұрын
Kazi hii imetukuka
@VoH-Official3 жыл бұрын
Ahimidiwe awezaye kuliko sisi
@christinamwakibolwa3000 Жыл бұрын
Usinipite Baba
@haroldmwangombe2207 Жыл бұрын
Is this St Albans? Dar-essalaam?
@dissankone34253 жыл бұрын
WAOO WONDERFUL 👏
@harunimmewa94452 жыл бұрын
nimeona ndugu zangu wawil wakikuweka ktk status zao, imenipasa nikufatilie