Рет қаралды 11,507
USIPITWE! Duka Linalouza Magari ya Kifahari ya Watoto,Lazua Gumzo Kariakoo
Prince Stationery ni Maduka yanayoongoza kuuza Magari Mazuri ya Watoto, Drone, Camera za watoto, Dressing table za watoto wa kike, nguo mbalimbali za watoto, Michezo Mbalimbali ya watoto pamoja na vifaa vya watoto vya shule.
Kutokana na ubora pamoja na uzuri wa Bidhaa zao zinazopatikana kwa jumla na rejareja hali inayofanya kuwa gumzo kila kukicha kutokana na watu mbalimbali kutoka pande zote za Tanzania na Visiwani Zanzibar kufurika kwenye maduka hayo na kujipatia bidhaa hizo.
Hata hivyo Prince Stationery wametangaza punguzo kubwa sana la Mauzo ya bidhaa zao ikiwemo vifaa vya shule hivyo kuwapa fursa wamiliki mbalimbali wa shule pamoja na wazazi kufika kwenye Maduka yao na kujipatia bidhaa hizo kwa jumla na rejareja hasa ndani ya mwanzo wa mwaka huu 2019 ,Tazama video hii ili ujionee mwenyewe mambo yalivyo Konki.
Kwa mawasiliano nao kwa namba za simu 0774 880 082 kwa Duka la Mtaa wa Congo na 0686 942 978 kwa Duka la Mtaa wa Lindi, au unaweza kuwatembelea kwenye mitandao ya kijamii; Instagram: prince_stationery_tz, Facebook: prince stationery, Twitter: prince_ssb_tz au watumie barua pepe kwa anuani ya info@princesecretaria.co.tz.
Waweza pia kuwatembelea kwenye mtandao wao kwa anuani ya www.princesecretarial.co.tz .
Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram: globalpublishers Twitter GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho USIKUBALI KUPITWA NA HII, BONYEZA LINK www.youtube.com/watch?v=L4UGw.