USITAZAME VIDEO HII KAMA UPO PEKEAKO

  Рет қаралды 274,850

TALIKISIO Tv

TALIKISIO Tv

Күн бұрын

Пікірлер: 580
@JudithMamayao
@JudithMamayao 3 ай бұрын
Uko vizuri kaka mungu Yuko at magabulini yuko
@MercyKanjiru-n6c
@MercyKanjiru-n6c 3 ай бұрын
I will never reject my heavenly God because of money hii Dunia imeisha kwa sababu ya tamaA ya pesa weh kijana okoka ya ukweli muogope mungu aliyejuu binguni hio mmh na umemrudia mungu kweli God is the saviour no one else can save someone except God
@trizamueni6637
@trizamueni6637 5 ай бұрын
Marko amelala katika Bwana,Mungu atamfufua atakaporudi duniani
@YusterMgaya-f6l
@YusterMgaya-f6l 5 ай бұрын
Tumwachie mungu ashughulike yy ndiye anaye ujua ukweli wakila mwanadamu
@mwahijaseleman4247
@mwahijaseleman4247 2 ай бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@VeronicahOtwori
@VeronicahOtwori 5 ай бұрын
Muongoooooooo at stki kuskia story zenu munaudhi n mmbo yenu mwenye anakubali gonga like apo chini twende nalo😢😢
@GracePatrick-zc2eb
@GracePatrick-zc2eb 5 ай бұрын
Kaka hyo samweli Mimi nimeshawasiliana nae alikuwa ananiomba Hela nkamwmbia ctak mazoea mwiz halafu n tapeli.aminini nawaambieni
@SaumuJuma-h1v
@SaumuJuma-h1v 4 ай бұрын
Mwache aongee ukweli
@JeniAlex-e4v
@JeniAlex-e4v Ай бұрын
Kweli wanadanganya nipo nawe my
@MenaMwitega
@MenaMwitega 2 ай бұрын
Ww mungu anakuona usihalibu watumishi wamungu
@yustakaduma1068
@yustakaduma1068 4 ай бұрын
Unatafuta laana wew kutumia Msiba wa mwenzako km advantage kwako, Mungu ajidhihirishe kwako akufundishe kuwa Marco hakupenda na wew natamani akuonjeshe machungu ya kifo!
@AnoldRojasi
@AnoldRojasi 28 күн бұрын
Kweli kaka
@JANETHAthanas-d3t
@JANETHAthanas-d3t 4 ай бұрын
Acha kudharirisha watumishi wa mungu mungu mwenyew ndo anaejua.
@LeokadiaOscar
@LeokadiaOscar 3 ай бұрын
Wewe ni wakupelekwa milembe wew haukotimamu wew ni chiz kabisaa
@JeniAlex-e4v
@JeniAlex-e4v Ай бұрын
Jamaa liongo
@SwabahaFaridi
@SwabahaFaridi 5 ай бұрын
Uongoooo, Mungu pekeake ndie anaeza toa roho ya mwanadamu.. wewe pia ni binadamu huna nguvu zozote., basi Mungu ni nani
@OfficialChopra-sd4wq
@OfficialChopra-sd4wq 5 ай бұрын
Yani samweli ndugu yangu kaz uliyonayo ningumu san kibinadu ila kwa roho ya mungu wa yesu Bristol utashida naamiin endelea kumuangusha shetan sikuzote muda wote maana ana wafuasi wengi sana apa dunian
@SimonMwangi-l5d
@SimonMwangi-l5d 3 ай бұрын
Let GOD reveal him self
@DianaFilbert-s2e
@DianaFilbert-s2e 4 ай бұрын
Mungu ndo anaejuwa
@FranciscoLaurent-f3f
@FranciscoLaurent-f3f 4 ай бұрын
Mmmmh mambo ya Dunia n mengi sana
@ElizaGama-f5t
@ElizaGama-f5t 4 ай бұрын
Mhh we kaka muogope mungu
@sarahmaro215
@sarahmaro215 5 ай бұрын
Wewe nj chizi
@magrethdaniel8441
@magrethdaniel8441 5 ай бұрын
We unatakiwa uchukuliwe hatua za kisheria
@RoddaMsabi
@RoddaMsabi 5 ай бұрын
Kweli kabia
@barnababarack4773
@barnababarack4773 3 ай бұрын
Ivi wew fala unakosaga vitu vya kufanya tafut ela
@Matridaelly
@Matridaelly 5 ай бұрын
Muumbue kaka angu màn atuna aman na napepo na ingekua unadanganya ungesha kufa ata yesu aliubili injili na watu awakumwamini kwaiy ataa wew wapo watakao kuvunja moyo ila tupo tunaekuamin
@SamwelDanielDaniel-r1l
@SamwelDanielDaniel-r1l 5 ай бұрын
Ila unavituko sana ww jaama dah 😂😂😂😂😂 utakuwa muongo adi line. Okoka my freindy
@jeniphermyingajeniphermyin8029
@jeniphermyingajeniphermyin8029 5 ай бұрын
Hongera kwakuonywa namakaburi,kwelj umethibitisha wenimtumishi wa kuzimu,mwache kaka wawatu amemtumikia Mungu,na Mungu akamwita kwake,kwataarjfa yako siku yakufa mtu huona kifo chake niwewe tu hujuu.wapo wanaoona vifo vyao kabisa wananeema ndy maana wanaona,lkn wapo ambao hawaoni hawakumpa Mungu nafasi ndani yao..Mtu akiwa na Mungu hujuzwa naroho mtakatifu yajayo,soma Yohana 16:7-15 acha kupotosha nakuchafua watu nakuwaumiza wafiwa pia,Mungu anakuona nashungi lako hilo.
@derrickazenze820
@derrickazenze820 4 ай бұрын
Mtumishi wa mungu.kumbuka mungu sio mungu wawafu
@NashoniNtabo
@NashoniNtabo 4 ай бұрын
Jamanimarco mungu akutunze
@SharonChepngeno-o6z
@SharonChepngeno-o6z 5 ай бұрын
❤❤❤❤i understand you
@MaureenOgutu-i9d
@MaureenOgutu-i9d 3 ай бұрын
Wacha Mungu ashugulike na wewe.
@RhobiJames-dx1he
@RhobiJames-dx1he 4 ай бұрын
Mungu akuhurumie kaka
@JOYCEMACHUGU
@JOYCEMACHUGU 5 ай бұрын
acha uongo wako mungu anakuona mjue mungu na uijue kwel nayo kwel itakuweka huru kwelkwel kijana mdogo hvo dah!!! 16:34
@Joycemarco-j8g
@Joycemarco-j8g 4 ай бұрын
Mmh mungu wang
@NURDINIABUKARI
@NURDINIABUKARI 5 ай бұрын
Wewe una Mungu toka pepo
@JacoboFideris
@JacoboFideris 4 ай бұрын
Muogope mungu we kijana Marko amekufa akiwa mtakatifu
@ESTERSAMWEL-u1b
@ESTERSAMWEL-u1b 5 ай бұрын
Mungu pekeake ndie mwenye mamlaka
@mijashushu9321
@mijashushu9321 5 ай бұрын
Mungu si Mungu wawafu. Hakuna ibada ya wafu kwa watu wa Mungu. Wewe maelezo yako hayana mana kijana. Mungu siwamakaburini . Huyo anayeongea nishetani yuko ndani yako. Wewe ndiye unayetakiwa uombewe utoke kwenye using, uje kwenye wokovu.
@mijashushu9321
@mijashushu9321 5 ай бұрын
Kwenye ujinga
@RaphaelMuhuta
@RaphaelMuhuta 4 ай бұрын
Mbona unazunguka ,hueleweki unasimulia kisa Cha Marko au unajisafisha mwenyew, cc tutaaminije kama ww ni WA mungu pia, na kwann uende kuhojiana makaburini ,Kwa mungu ni Nuru na makaburini tena hee😅
@DevotaSamsohn
@DevotaSamsohn 5 ай бұрын
Tena usimuite kaka marko marehemu pepo wewe marehemu mwenyewe 😭😭🤸🤸🤸marko wetu kapumzika kalala usingizi
@SpelathaSimon-u2b
@SpelathaSimon-u2b 5 ай бұрын
Wewe kaka Mungu hakusaidie wew bado kijana mdogo, naumia sana kuona unavyokubali kutumiwa na shetani , naomba Mungu hakufungue katika jina la Yesu, ilibhufanye kazi ya Mungu wa Mbinguni.
@bahatadof5543
@bahatadof5543 5 ай бұрын
Utakuwa una shida kichwani,huyu samwelu anatumiwa na shetani gan Huwa unamsikiliza au unaripoka tu,ndio nyie mnashinda makanisani hata aluchohubiti mchungaji huelewi,samwelu ni muhubiri mkubwa sana
@charlesmahuna
@charlesmahuna 5 ай бұрын
Hakusaidie ( akusaidie)
@charlesmahuna
@charlesmahuna 5 ай бұрын
Hakufungue(akufungue)
@EmilianSaidi
@EmilianSaidi 5 ай бұрын
Hovyo kweli wew​@@bahatadof5543
@vailetvailet6475
@vailetvailet6475 5 ай бұрын
Mungu amsaidie huyu maana hakuna muhubir wa kukaa makaburini
@RAPHAELJOLAMU
@RAPHAELJOLAMU 3 ай бұрын
Acha uongo kijana
@samyomondi
@samyomondi 5 ай бұрын
awa watu wanajuana haimanishi alikuwa Adventist sasa asiseme mpaka tujue😮
@LaCostamusic23
@LaCostamusic23 Ай бұрын
Mbona mimi na itazama pekeyangu
@Divina-pr6vr
@Divina-pr6vr 4 ай бұрын
Time alikuwa hai mbona hukufichua ziri saa hii imefika mwisho ndio unafichua pia uko na rahana kutokumzaidia wachana nayo juu it's too rate😊
@Vionanandy
@Vionanandy 5 ай бұрын
Poleni sana
@stellahrose512
@stellahrose512 5 ай бұрын
Usichezee jina la mungu kama wewe ni mtu wa mungu wafanya Nini makaburini
@ScholarSikiliza
@ScholarSikiliza 5 ай бұрын
Amekufa katk Yesu hayo mengine ajua Mungu
@NashoniNtabo
@NashoniNtabo 4 ай бұрын
Mmmmh kwel!
@HidayaSabi
@HidayaSabi 5 ай бұрын
mbwa wew unamaliza mb zetu
@EsterMazoya
@EsterMazoya 5 ай бұрын
ushindwe kwa jina la yesuu
@RonethMdee
@RonethMdee 4 ай бұрын
We dini gami
@OyooOnyango07-kc1yk
@OyooOnyango07-kc1yk 5 ай бұрын
Ushindwe katika kina la yesu
@nkombemwita3737
@nkombemwita3737 5 ай бұрын
Heli aliekufa kwahaki kaka tutaonana tena yesu akija tena
@AlexandaJerome
@AlexandaJerome 5 ай бұрын
Mbona Huna point ndugu
@samwelnyangi5138
@samwelnyangi5138 5 ай бұрын
Mbona sijaelewa?
@joshuakimario1528
@joshuakimario1528 5 ай бұрын
😂😂😂😂 mwaka huu tutaona mengi saa
@SophiaJapheth-c9m
@SophiaJapheth-c9m 4 ай бұрын
Yn mim uyu kijana namchukia atriiii bas tu
@NeyEmmanuely-ji4ki
@NeyEmmanuely-ji4ki 5 ай бұрын
Kaka pole. Zindi kumuomba mungu ili ujue yakupasayo kutenda. Acha uongo imeadikwa wapi. Kwamba marehem anaombewa toba
@SalomeBupule
@SalomeBupule 4 ай бұрын
Na nguo nyeusi unafanya nini makaburini????😂😂😂😂😂
@Antia-eq5kl
@Antia-eq5kl 5 ай бұрын
Nakumbuka ulisema umefanya utafiti ukaona kiboko ya wachawi Ni mtumishi wa Mungu wa kweli, na leo ntakuaminije mimi
@vumiliamgendi148
@vumiliamgendi148 5 ай бұрын
Mnziiiiiiiiu
@BillyWanda-nr6kl
@BillyWanda-nr6kl 5 ай бұрын
Mhubiri yupi bado unavaa nguo nyeusi na bado unasimulia ukiwa kaburini kwenda kabisa shetani pepo mbaya
@winfredangastin2117
@winfredangastin2117 5 ай бұрын
Huyu bado ni 😈 devil whorshper Mungu gani wewe unamuomba ukiwa kablini na nguo nyeusi shindwe katika jina la yesu ni nyinyi mlijua kile kilimkula mkamtumia mkuki rohoni shindwe roho chafu ktk jina l yesu
@JacksonMutinda-jw5qw
@JacksonMutinda-jw5qw 5 ай бұрын
Wanaogea yenye wageogea akiwa hai,makafiri awa
@jamuuhaman-ed2ij
@jamuuhaman-ed2ij 5 ай бұрын
acha ujinga wewe anakufikishia ujumbe uweze kuelewa ​@@winfredangastin2117
@annmuthoni1487
@annmuthoni1487 5 ай бұрын
Inaovofya, hata sijaweza kumsikiliza nikamaliza, nashangaa anaendeleza nini na kitambaa cheusi
@EstherOloo-no3bz
@EstherOloo-no3bz 5 ай бұрын
😂😂😂😅😅😅
@AnniesamSam
@AnniesamSam 5 ай бұрын
we ni pepo
@AnnaKapela-t4o
@AnnaKapela-t4o 4 ай бұрын
Acha uongo we kaka
@SOPHIABUNZAR
@SOPHIABUNZAR 5 ай бұрын
Mbona kama vile Bado upo katka hicho chama ,muonekano tu,hayo yote unayosema mungu do anajua zaid,
@HappyEquestrianHelmet-iw5co
@HappyEquestrianHelmet-iw5co 5 ай бұрын
Mama wakamatwe mganga wa kieyej na buyo fremason
@MiriamNelima-i3r
@MiriamNelima-i3r 5 ай бұрын
Kijana unafanya nni makaburini kwanza,pili haupo freemason io kitu nyeusi umejifunika ya nni,mwisho ,mtu akifa ni yy na mungu wake ,muache propaganda plz kitu ujui achana naye ,,bytha mnaniudhi mkiongelea Marco na bdo tuna machungu ,hii ujinga Iko tanzanzia ,ninaona Kenya 🇰🇪🇰🇪tukiingilia kati ,ujinga imezidi mipaka😢😢😢
@AganoElia
@AganoElia 3 ай бұрын
Acha uongo kijana mwogope mungu mbona ukufichua Siri akiwa hai mpaka umesubiri amekufa acha uongo kijana
@sophiakunache4982
@sophiakunache4982 5 ай бұрын
HUELEWEKI AGENT WEWE
@JoyceMwita-e3w
@JoyceMwita-e3w 5 ай бұрын
We ni mtumwa wa shetani ushindwe kwa jina la Yesu
@pollineshirima5023
@pollineshirima5023 5 ай бұрын
Sasa unataka kutuambia Marco alikuwa freemanso??
@linetberry3782
@linetberry3782 5 ай бұрын
Pepo hushindwe kwa jina la yesu
@charlesmahuna
@charlesmahuna 5 ай бұрын
Siyo hushindwe andika ushindwe, mbona mnatuharibia lugha yetu nyie?!
@IsraëlLebonCiza
@IsraëlLebonCiza 5 ай бұрын
Kweli uzini yetu ni furaha kwa wengine kabisa mimi ni mkongo lakini nilikuwa na fata sana nyimba za huyu ndugu ,ila kwa hii vidéo sione maana huu jamaa ali ifanyiya kweli hana hata point moya kbs !! Soyons en Jésus Christ et ne jamais laisser le chemin au diable !! Pole kwa Tanzanie zima nawapenda ndugu zangu 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@Benjaminanangisye-e5j
@Benjaminanangisye-e5j 4 ай бұрын
Mungu tu ndo mweza wa yote
@DanielNyandonge
@DanielNyandonge 5 ай бұрын
Acha kutudanganya kwanza hujaokoka sam
@OfficialChopra-sd4wq
@OfficialChopra-sd4wq 5 ай бұрын
Komaa sana kumtangaza yesu binadamu wana mioyo ya maye
@EvalineLoket
@EvalineLoket 5 ай бұрын
Angalia Sana wewe kijana bado mdogo Sana na pia familia ya Marco mnaiumiA Sana kwa hayo maneno ❤❤❤🎉🎉 badala ya kuwafuta machozi mna waongeza machozi Sasa ndo nn na wewe una hubiri injili makabulini unatanya nn
@Sentipaulia
@Sentipaulia 5 ай бұрын
Nyooo 1:14
@AnnahOmagwa
@AnnahOmagwa 5 ай бұрын
Wee kijana pepo wa kuzimuni hushindwe katika Jina la Yesu 🙏
@RoddaMsabi
@RoddaMsabi 5 ай бұрын
Tumekuchoka mpuuzi wew tafuta kaz nyingin uache ujinga mungu hapend unachokifanya
@VeronicaNaliaka-d9s
@VeronicaNaliaka-d9s 5 ай бұрын
Kwa kweli si kila mtu hufurahia mafanikio yako maishani waaaaaaa
@RoseGwandi
@RoseGwandi 5 ай бұрын
Shindwa pepo mchafu
@DIANAANDREW-bq6no
@DIANAANDREW-bq6no 5 ай бұрын
Mungu akusaidie napia akusamehe ulijui urifanyaro
@HidayaNzunda-f3f
@HidayaNzunda-f3f 5 ай бұрын
People wew nakukemea kwajina la yesu acha kumchafua m2 wa wa2
@IreneSwai-t3c
@IreneSwai-t3c 5 ай бұрын
Popeooooooo ushindwe
@sayunilyego
@sayunilyego 5 ай бұрын
marco amelala katika Bwana na Bwana atakuja kumfufua tena
@RojasKimaro
@RojasKimaro 5 ай бұрын
wew ni pepo t
@JemaMatupa
@JemaMatupa 5 ай бұрын
Shindwa pepo yupoo mbingun na Mungu kamuita
@SpelathaSimon-u2b
@SpelathaSimon-u2b 5 ай бұрын
Wewe kijana , Mungu hakai makabulini , na manabii wa huongo mtawatambua kwa matendo yao, wapendwa naomba tuwe tunasoma neno la Mungu ilibtuweze kuelewa siri za Mungu, sio huongo huu.
@charlesmahuna
@charlesmahuna 5 ай бұрын
Siyo huongo ni uongo
@THEANGLEGABRIELSFAMILY
@THEANGLEGABRIELSFAMILY 5 ай бұрын
Wewe kijana ogopa kristo...unategea pakutafta kula kwa kuchafua watumishi wa yesu kristo mungu hadhihakiwi...
@JeckaOledy
@JeckaOledy 5 ай бұрын
Mbona ukusema kabla hajafaa?
@benakizmannews
@benakizmannews 5 ай бұрын
Mbn unajifinika nguo nyeusi?ungaliki thu frimanson acha kutudanganya
@linetokari
@linetokari 5 ай бұрын
Mm nkue na msipa alafu ukuje kuongelelea juu ya familia yangu walai utakua funny kwa wengi nitakacho kufana hata shetani hatanikataa
@MamaEster-is9hc
@MamaEster-is9hc 5 ай бұрын
Mungu akusaidie
@NeemaAmos-n7z
@NeemaAmos-n7z 5 ай бұрын
Unalaana wew acha marko apumzike make hajui neno lolote kwa sasa acha kabisa mungu atakuazibu kwa hayo utatoa hesabu ya maneno yako kila neno utalitolea hesabu acha kabisa unachokifanya
@jeniphermyingajeniphermyin8029
@jeniphermyingajeniphermyin8029 5 ай бұрын
Acha kuwachafua watumishi wa Mungu nakuwaumiza wafiwa,
@SadaSada-p8f
@SadaSada-p8f 5 ай бұрын
Wee,uogo,Sana,tapeli,mkumwa,
@YoungDivaKasupuu
@YoungDivaKasupuu 5 ай бұрын
Kazi ya MUNGU Haina makosa
@JoyceVodacom
@JoyceVodacom 5 ай бұрын
Sasa wew kaka kama we umeachana na hayo mambo kwanin uko makaburini na umevaa nguo nyeusi
@JescaJohn-i8r
@JescaJohn-i8r 5 ай бұрын
Sahvi haisaidii kitu .tulia mwache mungu ashughulike
@christineonami2277
@christineonami2277 5 ай бұрын
Mbona nguo nyeuzi ?
@FranciscoDaniel-j3p
@FranciscoDaniel-j3p 5 ай бұрын
Songa mbele upo vzr me nakuelewa
If Your Hair is Super Long
00:53
im_siowei
Рет қаралды 30 МЛН
And what’s your height? 😁 @karina-kola
00:10
Andrey Grechka
Рет қаралды 52 МЛН
MUNGU ALISEMA USIOGOPE SIKILIZA HII
22:13
TALIKISIO Tv
Рет қаралды 367 М.
MATENDO by Joseph Marco Bukuru
4:20
Joseph Marco
Рет қаралды 377 М.
NYIMBO HIZI ZA MASHETANI ZA IMBWA MAKANISANI KOTE TAZAMA. EV PASCHAL CASSIAN
45:59
PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE
Рет қаралды 579 М.
SIMU AINA HIZI ZINAKUUA TARATIBU ZIEPUKE!!
11:19
SHABIRI MOHAMED PICTURES
Рет қаралды 357 М.
TAZAMA MELI YA TAITANIC ILIVYOZAMA NA KUUA MAELFU YA WATU
19:08
Wasafi Media
Рет қаралды 10 МЛН
TAFSIRI YA NDOTO  KUOTA UPO SHULENI AU UNAFANYA MTIANI, NDOTO ZA KUOKOTA HELA, BY PST GODWIN NDELWA
6:30
PASTOR GODWIN NDELWA - MAOMBI NI DAWA
Рет қаралды 222 М.