Swadakta Kwa ukumbusho ulio wazi apotea ni apotee Bali amebainishiwa sheikh ALI Abubakar
@maawymuhammad6779 Жыл бұрын
We sheikh hata fiqh hujasoma Maana ya sunnah ni مَا يُثَابُ فَاعِلُهُ وَلَا يُعَاقَبُ تَارِكُهُ Hupata thawabu afanyae na wala hapati dhambi asiyefanya Sasa wewe wasema anayeacha sunnah ni mwovu kuliko anayeaasi huo ni upotofu gani unaozungmza! Haramu ni مَا يُعَاقَبُ فَاعِلُهُ وَيُثَابُ تَارِكُهُ Ywapata madhambi anayefanya na ywapata thawabu anayewacha Sasa haramu asli yake ni kwamba ywapata madhambi anayefanya na sunnah asli yake ni hapati madhambi anayewacha. Leo wewe wadanganya watu wawaambia watu ati awachae sunnah ni mwovu kuliko afanyae haramu. Hemu zungumza ya usawa bana afadhali ungesema anayewacha faradhi hapo sawa na ia uzito wa madhambi inategemea. Wataka kusema asiyeswali ama anayesujudia sanamu yupi ana madhambi makubwa? Think before you talk!!!
@muhammadkarama99966 жыл бұрын
Kama kuna video za ustadh Aliula za part ya kwanza ya taqwallahi na twaa ya viongozi
@salumasaa7933 Жыл бұрын
Usitumie simu na hiyo maiki na Hilo feni Mana hyo yote hayakuwepo wkt was mtume
@salimuawadhi8043 Жыл бұрын
Wewe ufahamu wako mdogo Sana kwani hivo ulivotaja vimenasibishwa na dini kama maulidi na khitma na mengineyo napia kama umesoma hujui vitu mubaah katika Sheria wacheni kuropoka wakati mukiambiwa hak
@carlhence44143 жыл бұрын
Kijana wacha kujifanya mkali huna elimu. Hapo usimemepo hyo Mike unayo pazia sauti yko ni bidaa hlo zulia uswalialo ni bidaa hyo feni nyuma yko ni bidaa ww ona tu maulid ndio bidaa wacheni chuki na hasadi
@isihakambalawa8088 Жыл бұрын
Masufi mnashida gani
@mutomubaya2 жыл бұрын
Tahadharini wale wanamtukana khatibu ambaye yuko juu ya Mimbar. Je! Unajua anazungumza maneno anayoyasema kwa niaba ya Allah na kwa niaba ya Mtume wake, Muhammad, Swalla Allahu alayhi wa sallam? Ukiona kasoro yoyote itaje ikiwa unajua kwa hakika kwamba anaongea uwongo au anaongea makosa na tuwaachie wenye ilmu sahihi wamrekebishe wao ili jamii ipate kuelimika...
@abamohamed70922 жыл бұрын
Msitubabaishe si kila ambalo mtume hakulifanya ni bidaah ,sayyidna Bilal alifanya hiyo bidaah na mtume hakupata kumfundisha,hiyo mic hapo pia ni bidaah na mengi mnayafanya ambayo ni bidaah
@carlhence44143 жыл бұрын
Kasome vzuri ujue hasa maana ya maulid Kisha uzingatie bada kujua Hali halisi ya maulid musiende kimikao na chuki mutatia watu kwenye hasara na upotevu. Eee jameni kumsifu mtume pia kumekua ni balaa. Hebu mtafute shekh hatimy awasomeshe
@mrboma43433 жыл бұрын
Je mitume yetu mitukufu walipiga maulidi ama maswahaba ??kama walipiga pia sisi tupige kama hawakupiga. Pia tujue??
@kibwanasuleiman83253 жыл бұрын
Hawakupiga.je kama dini ilitimia mtume alipokufa mbona adhana ya kwanza ya jumaa haikua na ilikuja wakati wa khalifa uthman bin affan. Je uthman ni mzushi? We nenda usome usiwe na kijielimu chako cha ibtidai hapa
@kibwanasuleiman83253 жыл бұрын
@@ally1702 we unajua maana ya bida'a? Mtume alieleza kua mzushi yyte baada ya dini kutimia.dini ilitimia shekhe.lakin bidaatul hasana ziko so msituletee.uthman alifanya bidaatul hasan kwa kutumia hadith "man sanna sunnatul hassanat...
@abiabi93532 жыл бұрын
@@ally1702 kwani sheikh hukumu ya dini huchukuliwa kwa kauli moja tu?
@hassanmatano35674 жыл бұрын
Do maulidi tutasoma sana sisi hatuna shaka nayo we ongea ukimaliza swalisha ijumaa baba
@alibana7054 жыл бұрын
Hassan Matano you don’t have no 👀eyes and no ears 👂 and no heart ❤️ umepotea kwenye dini ya Islam ’sswhabah weto hajawahi Kufanay maulidi na maimamu wetu 4 na masheikh wetu kama sheikh salahi al fouzan na bin baz na bin ukuthymin
@muhammedngonyani87764 жыл бұрын
Maulid haina tatizo nenda kaelekezwe kwanza MTU mwenyewe elimu ndogo
@abiabi93532 жыл бұрын
Mawahabi ufahamu wao ni mdogo. Huko kukamilika dini maanake ni nini?
@bwagizoselemani84342 жыл бұрын
Wewe nae kasome talakini huko huna unachojua kabisa
@habibumuhammad7303 жыл бұрын
Ww wacha kupija kelele mjinga ww uso kua na maana eti bida bida nikuulize kitu hebu nipe dalili moja 2 mtume alitoa khutba ya kiswahili kwenye mimbari subutu kama ww ni mwana mume ww mwenyewe ulienda جامعة ukafnyiwa inter view ya قرآن ukashindwa siku ya pili ukakimbia mjinga kisha leo wasimama mbele za watu eti jambo hili halifai ww wafaa nn katika duniya hii mjinga sana ww
@umuhanuna505 Жыл бұрын
Shekh mambo yakuongea ni mengi sana wacha kukaa kutwambia maulidi ni bidaa ww kama waona ni haram wacha sisi tupate dhambi ww wachana na mambo yetu yakusoma maulidi .nyie musisome .kwanza jifunze masomo vzri na kutoa khutba bila karatasi .yakusemwa ni mingi ongea mambo mengine
@muhammedngonyani87764 жыл бұрын
Nyinyi MNA chuki Hanna lolote
@abduhamzasungura16425 жыл бұрын
Tatizo Nyinyi mkizi Mnasira Mmno Na kujifanya mnajuwa wakati hamjuwi
@ramadhanomar80934 жыл бұрын
Wewe naona unanuka ukhurafi
@hamisirashidi32134 жыл бұрын
Khurafi uyooo
@dullytezza54183 жыл бұрын
Pingeni kwa hoja Kama shekhe hapo ninyi wanabidaah mshapotezwa na viongozi wenu
@dullytezza54183 жыл бұрын
Twahiby shekhe fikisha dini sahihi ya mtume haki inawafika sana wanaifumbia macho wao na viongozi wao