Kazi nzuri amani idumu tanzania mungu bariki jeshi letu
@mariabora13584 жыл бұрын
Nimenogewa nikakaa kabisa, hongeren kaz nzur sana
@tadyabdul74144 жыл бұрын
Naipenda Tanzania, najivunia kuwa mtanzania. Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Afrika
@izodnice36593 жыл бұрын
Roho Yangu , Yako, Yao, ROHO YETU YA AMANI TUNAYOITEGEMEA (JITEGEMEE). AMANI JWTZ MUNGU AWAONGOZE KATIKA UTIIFU WA UTENDAJI WA MAJUKUMU YA KUJITOLEA. YENYE HATA RISK SOME TIME KWA UTAYARI WAO JWTZ (WAZALENDO WAKWELI) I SALUTE JWTZ.
@latenitepiano4 жыл бұрын
“🤩 MWENYEZI MUNGU IBARAKI TANZANIA 🇹🇿🦚🦒🌴🏝🏔🥀❤️💫, AMEN 🙏🏽”
@ausonjustinian54944 жыл бұрын
Kwakweli mmenogesha. Safi sana. Wabaya wenu wafe.
@ambrosethomas59224 жыл бұрын
Mungu ameipenda Tz kweli, vipaji Kila kona
@mhojamsafiri22734 жыл бұрын
Dah! Mungu atupe nini watanzania jaman kwa furaha hii Mungu ibariki Tanzania
@emanuelshayayi544 жыл бұрын
Hadi raha kabisa.Mungu wabariki viongozi wa vyombo vya ulinzi.
@derrickthedon913 жыл бұрын
Safi sana.. Hii ndio Tanzania yetu Imara. Imependeza sana
@rukiamndeme34664 жыл бұрын
Kweli tuna mshukuru mwenyezi mungu kwakila jambo,tunamuambia magufuli asante kwa alioyafanya hapa nchini.
@goodmorningafrica64094 жыл бұрын
Congratulation Tanzanians from Kenya
@izodnice36593 жыл бұрын
Tudumishe AMANI AFRICA. BRAVO TANZANIA , BRAVO AFRICA. FOR REAL
@izodnice36593 жыл бұрын
Tudumishe AMANI AFRICA. BRAVO TANZANIA , BRAVO AFRICA. FOR REAL
@fabianchitojo74064 жыл бұрын
Hongeren watanzania
@rehemashabhay22054 жыл бұрын
Kama band ya Gare boys.hangereni sana.Nimekumbuka mbali.. MAISHA HAYA....mmm Mungu ibariki Tanzania kwa vipaji.
@omarimwalim93314 жыл бұрын
Mungu awabaarik tz
@zabronmfungo85034 жыл бұрын
TANZANIA ni raha sana
@josephkimweli22124 жыл бұрын
Mungu Ubariki Tanzania ..
@kalegapeter27154 жыл бұрын
Mungu Abariki Tanzania yeti Pamoja na jpm na ccm Yote
@greysondavid34174 жыл бұрын
A man who is blessed for having a very powerful spiritually intelligence appeared in Arusha in Tanzania.God blessvTanzania;God bless Africa.He is not only the president of Tanzania but also for the whole Africa.
@solomonllaizer92323 жыл бұрын
Parsonal
@majaliwabisama93604 жыл бұрын
Mpo juu juu kabisa
@hassanovajunior69724 жыл бұрын
My Country love you🇹🇿🇹🇿❤❤
@KS-iw7qv4 жыл бұрын
Tanzania is a Gifted LAND 🇹🇿✔
@amranikigolo59743 жыл бұрын
Naipenda Tz jamani hadi raha maashaallah,
@rwandaafrika61734 жыл бұрын
Jameni unaona nginsi C.C.M Tanzania ni salama na amani Kwakweli TUNDU lisu ni shetani
@hafidhhamza15164 жыл бұрын
Mungu ibariki Tanzania
@felixmagulu61424 жыл бұрын
Hii imetulia, Hongera sana wadau wa Amani..
@umulithokyarema64914 жыл бұрын
Safi sana
@azizajarwan3034 жыл бұрын
Aisee hii amani tuliyonayo sifa njema zote anastahiki mwenyezimungu na yeye tunamuomba atuepushe na watu wabaya lazima kuna mataifa wakiona hivi wanaumia maana waonsizani kama wakubwa wa majeshi wanapata muda kama huu lazima iwaume tumuombe mungu atulinde.
@lembrisschristopher61704 жыл бұрын
Natamani niwape zawadi ila niko mbali hongereni kaz nzuri sana jeshi letu Tanzania
@amranikigolo59743 жыл бұрын
Maashaallah
@sudymgeni7014 жыл бұрын
Yani zamani tulikua atupati raha kama ihii wacha kabisa
@hamadsempombe25334 жыл бұрын
Najisikia fahari kuwa Mtanzania
@hamisimanja50894 жыл бұрын
Dahh! Hivi kuwakodi kwenye shughuli binafsi ni sh ngapi? nimeirudiarudia mpaka GB moja imeisha
@munaahmed84994 жыл бұрын
🤣🤣 GB imeisha eeeeee
@petertabitha287 Жыл бұрын
Enda central kaulize wautaratibu wao
@michaelndilima62104 жыл бұрын
Tanzania naiombea kwa mungu baba was ukweli na haki aibariki.
@georgengongi18874 жыл бұрын
Hivi intellegencia ya nchi hii mnaijua nyinyi kweli haiwezei kukabidhi nchi kwa mtu kam Tundu lissu na kule zanzibar yule babu haiwezekani jamani mnapoteza muda wenu bure kumuongelea mtu kama Lissu na yy anajua hilo hawezi kupewa nchi hii
A special display of peace of heart through aesthetic music.
@davylomay14522 жыл бұрын
kazi nzuri
@seducerkapero73064 жыл бұрын
LlSSU HANA NCHI HAPO... KAMA ANA AKILI ATAFUTE TU SHUGHURI NYINGINE YA KUFANYA.
@narmyheart20214 жыл бұрын
Walitaka kumpa kazi yakusimamia TAUSI pale ikulu kaleta jeuli sasa atabaki kama makonda🤣😂😂🤣
@munaahmed84994 жыл бұрын
@@narmyheart2021 jmn kwan makonda hana kaz eeeeee maan simsikiii popote ck hiz
@michaelndilima62104 жыл бұрын
Tanzania ni nchi tamu angalia at a maskali was like wana band wazuri kweli.
@stanleyfocas82504 жыл бұрын
Jeshi langu nalikubali miaka mia
@petermabula34424 жыл бұрын
Penda Tanzania
@hongerazabron17594 жыл бұрын
Asie ipenda ccm ajinyongee
@nyambegamatoro68174 жыл бұрын
Brass band, imenikumbusha enzi zangu za primary in 1970's. Irudisheni mashuleni
@honorinaverani10573 жыл бұрын
Tumebarikiwa sana Tanzania
@michaelndilima62104 жыл бұрын
Tanzania nchi ya furaha
@petertabitha287 Жыл бұрын
Kuna MTU anaumia anapowaona vijana wa uvccm mahala pa mikutano ya serikali( mh rais,makam,waziri mkuu) anasahau kuna uhusiano kati ya chama na serikali ,chama ndio wasimamizi wa ilani ya uchaguzi serikali wao wanatekeleza mengineio tujifunze tusilete uchama ama chuki binafsi hata hao chadema,cuf,act nk mnaowasema hata wao wakishika dola vijana na wanachama wao mtawaona katika mikutano yao pia sote wa Tanzania tuijenge nchi yetu
@titosanga9602 Жыл бұрын
Nafurahi kuzaliwa Tanzania ♥️🇹🇿🇹🇿
@emanuelmakasi66582 жыл бұрын
Mabeyo 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@nyakunga4 жыл бұрын
Congratulations
@petertabitha287 Жыл бұрын
Inaleta msisimko sana ukiitizaman kuna kihali fulan hivi kinakuja ❤❤❤
@daudihalfani46264 жыл бұрын
Tanzania oyeeee
@ausonjustinian54944 жыл бұрын
Najua kuna wakiovimbisha mishavu , kufeni km mnakufa
@barakaomwa44943 жыл бұрын
Exactly mpendwaa
@michaelndilima62104 жыл бұрын
Tanzania INA wanawake wazuri sana halafu tundu anataka wawe na makovo.
@mc_Mangula3 жыл бұрын
My nation
@Ambagaye4 жыл бұрын
Niliwahi kusoma sehemu kuwa Mabeyo ni pilot wa fighters, helicopters na ndege za kawaida kama alivyokuwa Mboma. Sikujua kuwa kuwa anajua muziki pia; ila ananifurahisha kuwa uhusiano wake na wakuu wengine wa majeshi yaliyoko chini yake kama polisi, magereza, uhamiaji na uokoaji umekuwa ni mzuri sana kwa maana ya kuwa wanauonyesha wazi wazi hadharani.
@jaydenbanga10 ай бұрын
mwanae ndo alikuwa pilot ila alifariki kwa ajali ya ndege
Hizo hela walizotoa hapo ukizikusanya hata laki 2 haifiki askari ni wabahili sana sijui hela zao zinaishia wp?
@newman19064 жыл бұрын
Ukishajua madhaifu ya watz....unawadanganya kwa mziki tu, then wanasahau mabaya yote uliyowafanyia 😂😂😂
@seifmketo24214 жыл бұрын
Kafie huko unapopajua watu wanapiga kazi
@mkushiandikayakoachananaya79444 жыл бұрын
@@seifmketo2421 Wengine wana roho mbichi hakuna jema kwao, wakuwapuuza ndugu yangu!
@nicethamanonga58554 жыл бұрын
Umefeli
@luganomwaigomole88494 жыл бұрын
HILI JESHI NA CCM CHAMA DOLA... THIS PROVES LACK OF CREDIBILITY
@alvangidion93664 жыл бұрын
How!!?
@newforcejv97214 жыл бұрын
Tutaona Mengi kabla ya Mwaka Kuisha
@estermathias83544 жыл бұрын
Hata ukiisha yajayo yanafrahisha ata usiwaze
@agnesshanah28254 жыл бұрын
Na utayaona mpaka kufa unafikili yanaisha tulia dawa iingie
@newforcejv97214 жыл бұрын
@@agnesshanah2825 DAWA gani sasa
@newforcejv97214 жыл бұрын
@@estermathias8354 Esta wewe nawe Una Jambo lako Unaonesha kabisa
@estermathias83544 жыл бұрын
@@newforcejv9721 jmn ko ww hauna jambo.mbona naww unaonesha unajambo
@amirakhamis56304 жыл бұрын
Wape salamu wambie nchi haikabidhiw leave mbeligij
@evansmlalo40494 жыл бұрын
CCM inafanya mambo ya kutisha. Wazazi angalieni watoto wenu wanatumiwa na CCM ndivyo sivyo.
@agustinoezekiel7 ай бұрын
Lushoto moja hyo Kama tumetoka kupokea kipaimara vile
@veronikadalali72514 жыл бұрын
Hapo ndo walipo halibu jeshi limekuwa lasiasa
@htvtanzania34834 жыл бұрын
Serikali yote ipo arusha
@arnoldkimaro38874 жыл бұрын
Tz raha Sana mungu ibarik
@htvtanzania34834 жыл бұрын
@@arnoldkimaro3887 one Love
@abubakarimussa75844 жыл бұрын
Sasa hizi ni sherehe za ccm au za jeshi la ccm au ccm ndiyo wenye hii shughuli
@seifmketo24214 жыл бұрын
We unaonaje
@beatuskazimily4574 жыл бұрын
Hakil t utumie
@mudymudy31324 жыл бұрын
Utajijibu
@nicethamanonga58554 жыл бұрын
Kila kitu mawazo potofu kaulize mwenyewe
@omarisheha78454 жыл бұрын
Huu ni mkutano wa kampeni wa ccm au??
@alexkiria19014 жыл бұрын
Hapana ni uzinduzi wa reli dar- tanga-arusha
@anoldykamugisha99934 жыл бұрын
Mkutano wa kampen huo
@alexkiria19014 жыл бұрын
@@anoldykamugisha9993 siyo
@anoldykamugisha99934 жыл бұрын
@@alexkiria1901 jez gan zmevaliwa hapo????? Acha kufumbwa macho wew
@anoldykamugisha99934 жыл бұрын
@@shaurimtanda1128 kiangazi hichi
@dossantoschannel18084 жыл бұрын
Saf San mkuu
@veronikadalali72513 жыл бұрын
Jeshi nasiasa wap nawap
@gloryonesmo22444 жыл бұрын
MNAYAFANYA HAYA WAKATI WA KAMPENI?WHAY???????
@arnoldkimaro38874 жыл бұрын
Ni moja ya kazi za serikal tutajuaje Kama wao ndo wamefanya lazima waonyeshe
@gloryonesmo22444 жыл бұрын
@@arnoldkimaro3887 mmmmhh
@mkushiandikayakoachananaya79444 жыл бұрын
Sherehe hazina campaign, watu wanaburudika watu waache kama hupendi kuburudika wewe! Maisha haya ni mafupi ikitokea nafasi ya kufurahi itumie vilivyo kwasababu watu wanaoudhi kama wewe ni wengi mno!
@nemestarimo29224 жыл бұрын
Ni yeye
@abubakarimussa75844 жыл бұрын
Ccm mumechoka kwa uongozi ndiyo munatumia Jeshi la wananchi hili siyo jeshi lenu ndiyo maana ninakosa lidhaa ya wananchi
@bernardoleonard73314 жыл бұрын
Inakosaa lidhaa ya wanachadema rekebisha kauli zako
@dastanfussy48984 жыл бұрын
Angalia vzur mbele ya kofia afu tujulishe kama jeshi LA wananchi au polisi.
@mkushiandikayakoachananaya79444 жыл бұрын
Angalia chuki hiyo isije ikakupunguzia umri, huo ni upumbavu kuwachimba wenzako kila mahali, hata kama hupendi ndio wako madarakani, nenda kwenye nchi anayotawala Lissu na Chadema yake!
@nicethamanonga58554 жыл бұрын
Tafuteni nchi yenu na lisu
@teddykanondo57534 жыл бұрын
Shangilieni sana lakini akishinda Magufuli mjiandae kufilisika kwa kodi kubwa mtakazolipa kufidia gharama za CCM kwenye kampeni. UKIONA MTOTO ANASHANGILIA SANA KILIO CHAKE PIA KIKO KARIBU" Hizi ni sherehe za wakubwa wa CCM, Majeshi wakishangilia kukatwa kwa Madiwani, Wabunge wa upinzani na Mawakala wao.
@arnoldkimaro38874 жыл бұрын
Hiyo ndo tz hela zilishatoka siku nyingi na ndo maana ya bajet ya nch
@mkushiandikayakoachananaya79444 жыл бұрын
UNA ROHO MBAYA NA DUA LAKO!
@jellymbogo72464 жыл бұрын
Hapo wananchi wanaona kama hawana shda,kumbe wakitoka hapo ni shda tupu,any ways
@mathiaszakaria70524 жыл бұрын
Nimeona kundi kubwa la wanyonge wanapepea mikono Ila sura zimekata tamaa kwa kuwaza kilo ya dona usiku,wenzenu hata wakihenyeka huko ATM zinawasubiri Kila mwisho wa mwezi,sitakubali kuitwa mnyonge labda nkifa
@madenge7314 жыл бұрын
Chezeni kwa mara ya mwisho maana Tar 28 ndo kwa heri yenu
@hajikhatib88404 жыл бұрын
Wewe ulisikia wapi????? 🤪🤪🤪🤪
@arnoldkimaro38874 жыл бұрын
Hahaha
@sixtusmayebwa51284 жыл бұрын
Madenge Wewe unaumwa c bure.
@christianmichael77254 жыл бұрын
Endelea kujidanganya na kujifariji
@najmaulaya88194 жыл бұрын
Ahahaaaa
@abuufauzaanmohd4474 жыл бұрын
Ccm mwaka wenu wa mwisho huuu kwaiyo mukikaaa mujuwe
@kabefiramadhani76104 жыл бұрын
Angalau hta huku kuandika kwa uwezo mdogo ni CCM hyo ndo imesababisha maana bila shule usingekosea
@charlesmaziku92974 жыл бұрын
@@kabefiramadhani7610 😀😀😀😀
@rukiamndeme34664 жыл бұрын
Lamda wew ndiyo mwaka wako wamwisho naona unatapatapa sana.
@jamilambarouk47464 жыл бұрын
Mtaweza kwli! Aaa wapi hata mkiungana na matusi kutukana ccm chama laooo
@kabefiramadhani76104 жыл бұрын
CCM chama lao TRC shirika letu. Hakuna safari najiskia raha Kama nikienda kigoma kwa treni napanda gari hadi iwe dharura isiyokwepeka sipendi kujibana hta nikiukwaa urais siachi panda treni Af nakaa daraja la tatu kwenye stori zote 😋😋😋😋😋😋😋😋