UTAIPENDA! CDF MABEYO ALIVYOONGOZA KUPIGA BENDI YA JESHI KWENYE UZINDUZI WA TRENI ARUSHA

  Рет қаралды 183,889

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

Пікірлер: 152
@magrethkizinga1189
@magrethkizinga1189 4 жыл бұрын
Kazi nzuri amani idumu tanzania mungu bariki jeshi letu
@mariabora1358
@mariabora1358 4 жыл бұрын
Nimenogewa nikakaa kabisa, hongeren kaz nzur sana
@tadyabdul7414
@tadyabdul7414 4 жыл бұрын
Naipenda Tanzania, najivunia kuwa mtanzania. Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Afrika
@izodnice3659
@izodnice3659 3 жыл бұрын
Roho Yangu , Yako, Yao, ROHO YETU YA AMANI TUNAYOITEGEMEA (JITEGEMEE). AMANI JWTZ MUNGU AWAONGOZE KATIKA UTIIFU WA UTENDAJI WA MAJUKUMU YA KUJITOLEA. YENYE HATA RISK SOME TIME KWA UTAYARI WAO JWTZ (WAZALENDO WAKWELI) I SALUTE JWTZ.
@latenitepiano
@latenitepiano 4 жыл бұрын
“🤩 MWENYEZI MUNGU IBARAKI TANZANIA 🇹🇿🦚🦒🌴🏝🏔🥀❤️💫, AMEN 🙏🏽”
@ausonjustinian5494
@ausonjustinian5494 4 жыл бұрын
Kwakweli mmenogesha. Safi sana. Wabaya wenu wafe.
@ambrosethomas5922
@ambrosethomas5922 4 жыл бұрын
Mungu ameipenda Tz kweli, vipaji Kila kona
@mhojamsafiri2273
@mhojamsafiri2273 4 жыл бұрын
Dah! Mungu atupe nini watanzania jaman kwa furaha hii Mungu ibariki Tanzania
@emanuelshayayi54
@emanuelshayayi54 4 жыл бұрын
Hadi raha kabisa.Mungu wabariki viongozi wa vyombo vya ulinzi.
@derrickthedon91
@derrickthedon91 3 жыл бұрын
Safi sana.. Hii ndio Tanzania yetu Imara. Imependeza sana
@rukiamndeme3466
@rukiamndeme3466 4 жыл бұрын
Kweli tuna mshukuru mwenyezi mungu kwakila jambo,tunamuambia magufuli asante kwa alioyafanya hapa nchini.
@goodmorningafrica6409
@goodmorningafrica6409 4 жыл бұрын
Congratulation Tanzanians from Kenya
@izodnice3659
@izodnice3659 3 жыл бұрын
Tudumishe AMANI AFRICA. BRAVO TANZANIA , BRAVO AFRICA. FOR REAL
@izodnice3659
@izodnice3659 3 жыл бұрын
Tudumishe AMANI AFRICA. BRAVO TANZANIA , BRAVO AFRICA. FOR REAL
@fabianchitojo7406
@fabianchitojo7406 4 жыл бұрын
Hongeren watanzania
@rehemashabhay2205
@rehemashabhay2205 4 жыл бұрын
Kama band ya Gare boys.hangereni sana.Nimekumbuka mbali.. MAISHA HAYA....mmm Mungu ibariki Tanzania kwa vipaji.
@omarimwalim9331
@omarimwalim9331 4 жыл бұрын
Mungu awabaarik tz
@zabronmfungo8503
@zabronmfungo8503 4 жыл бұрын
TANZANIA ni raha sana
@josephkimweli2212
@josephkimweli2212 4 жыл бұрын
Mungu Ubariki Tanzania ..
@kalegapeter2715
@kalegapeter2715 4 жыл бұрын
Mungu Abariki Tanzania yeti Pamoja na jpm na ccm Yote
@greysondavid3417
@greysondavid3417 4 жыл бұрын
A man who is blessed for having a very powerful spiritually intelligence appeared in Arusha in Tanzania.God blessvTanzania;God bless Africa.He is not only the president of Tanzania but also for the whole Africa.
@solomonllaizer9232
@solomonllaizer9232 3 жыл бұрын
Parsonal
@majaliwabisama9360
@majaliwabisama9360 4 жыл бұрын
Mpo juu juu kabisa
@hassanovajunior6972
@hassanovajunior6972 4 жыл бұрын
My Country love you🇹🇿🇹🇿❤❤
@KS-iw7qv
@KS-iw7qv 4 жыл бұрын
Tanzania is a Gifted LAND 🇹🇿✔
@amranikigolo5974
@amranikigolo5974 3 жыл бұрын
Naipenda Tz jamani hadi raha maashaallah,
@rwandaafrika6173
@rwandaafrika6173 4 жыл бұрын
Jameni unaona nginsi C.C.M Tanzania ni salama na amani Kwakweli TUNDU lisu ni shetani
@hafidhhamza1516
@hafidhhamza1516 4 жыл бұрын
Mungu ibariki Tanzania
@felixmagulu6142
@felixmagulu6142 4 жыл бұрын
Hii imetulia, Hongera sana wadau wa Amani..
@umulithokyarema6491
@umulithokyarema6491 4 жыл бұрын
Safi sana
@azizajarwan303
@azizajarwan303 4 жыл бұрын
Aisee hii amani tuliyonayo sifa njema zote anastahiki mwenyezimungu na yeye tunamuomba atuepushe na watu wabaya lazima kuna mataifa wakiona hivi wanaumia maana waonsizani kama wakubwa wa majeshi wanapata muda kama huu lazima iwaume tumuombe mungu atulinde.
@lembrisschristopher6170
@lembrisschristopher6170 4 жыл бұрын
Natamani niwape zawadi ila niko mbali hongereni kaz nzuri sana jeshi letu Tanzania
@amranikigolo5974
@amranikigolo5974 3 жыл бұрын
Maashaallah
@sudymgeni701
@sudymgeni701 4 жыл бұрын
Yani zamani tulikua atupati raha kama ihii wacha kabisa
@hamadsempombe2533
@hamadsempombe2533 4 жыл бұрын
Najisikia fahari kuwa Mtanzania
@hamisimanja5089
@hamisimanja5089 4 жыл бұрын
Dahh! Hivi kuwakodi kwenye shughuli binafsi ni sh ngapi? nimeirudiarudia mpaka GB moja imeisha
@munaahmed8499
@munaahmed8499 4 жыл бұрын
🤣🤣 GB imeisha eeeeee
@petertabitha287
@petertabitha287 Жыл бұрын
Enda central kaulize wautaratibu wao
@michaelndilima6210
@michaelndilima6210 4 жыл бұрын
Tanzania naiombea kwa mungu baba was ukweli na haki aibariki.
@georgengongi1887
@georgengongi1887 4 жыл бұрын
Hivi intellegencia ya nchi hii mnaijua nyinyi kweli haiwezei kukabidhi nchi kwa mtu kam Tundu lissu na kule zanzibar yule babu haiwezekani jamani mnapoteza muda wenu bure kumuongelea mtu kama Lissu na yy anajua hilo hawezi kupewa nchi hii
@narmyheart2021
@narmyheart2021 4 жыл бұрын
😂🤣😂🤣Nyumbu hawaelewi wanapoteza muda
@hongerazabron1759
@hongerazabron1759 4 жыл бұрын
Ccm kuzuri nyee
@mwitajackson1157
@mwitajackson1157 4 жыл бұрын
Najivunia kuzaliw tz
@kalumbugideon4159
@kalumbugideon4159 4 жыл бұрын
Safiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii Sanaaaaaaa Wakubwaaaaaaaaaaa
@izodnice3659
@izodnice3659 3 жыл бұрын
Oyooooooooo!!. God "Goooood...!!
@alexandermutakha882
@alexandermutakha882 11 ай бұрын
An display of humility and good leadership.
@malelabmalela5016
@malelabmalela5016 4 жыл бұрын
jaman
@alexandermutakha882
@alexandermutakha882 11 ай бұрын
A special display of peace of heart through aesthetic music.
@davylomay1452
@davylomay1452 2 жыл бұрын
kazi nzuri
@seducerkapero7306
@seducerkapero7306 4 жыл бұрын
LlSSU HANA NCHI HAPO... KAMA ANA AKILI ATAFUTE TU SHUGHURI NYINGINE YA KUFANYA.
@narmyheart2021
@narmyheart2021 4 жыл бұрын
Walitaka kumpa kazi yakusimamia TAUSI pale ikulu kaleta jeuli sasa atabaki kama makonda🤣😂😂🤣
@munaahmed8499
@munaahmed8499 4 жыл бұрын
@@narmyheart2021 jmn kwan makonda hana kaz eeeeee maan simsikiii popote ck hiz
@michaelndilima6210
@michaelndilima6210 4 жыл бұрын
Tanzania ni nchi tamu angalia at a maskali was like wana band wazuri kweli.
@stanleyfocas8250
@stanleyfocas8250 4 жыл бұрын
Jeshi langu nalikubali miaka mia
@petermabula3442
@petermabula3442 4 жыл бұрын
Penda Tanzania
@hongerazabron1759
@hongerazabron1759 4 жыл бұрын
Asie ipenda ccm ajinyongee
@nyambegamatoro6817
@nyambegamatoro6817 4 жыл бұрын
Brass band, imenikumbusha enzi zangu za primary in 1970's. Irudisheni mashuleni
@honorinaverani1057
@honorinaverani1057 3 жыл бұрын
Tumebarikiwa sana Tanzania
@michaelndilima6210
@michaelndilima6210 4 жыл бұрын
Tanzania nchi ya furaha
@petertabitha287
@petertabitha287 Жыл бұрын
Kuna MTU anaumia anapowaona vijana wa uvccm mahala pa mikutano ya serikali( mh rais,makam,waziri mkuu) anasahau kuna uhusiano kati ya chama na serikali ,chama ndio wasimamizi wa ilani ya uchaguzi serikali wao wanatekeleza mengineio tujifunze tusilete uchama ama chuki binafsi hata hao chadema,cuf,act nk mnaowasema hata wao wakishika dola vijana na wanachama wao mtawaona katika mikutano yao pia sote wa Tanzania tuijenge nchi yetu
@titosanga9602
@titosanga9602 Жыл бұрын
Nafurahi kuzaliwa Tanzania ♥️🇹🇿🇹🇿
@emanuelmakasi6658
@emanuelmakasi6658 2 жыл бұрын
Mabeyo 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@nyakunga
@nyakunga 4 жыл бұрын
Congratulations
@petertabitha287
@petertabitha287 Жыл бұрын
Inaleta msisimko sana ukiitizaman kuna kihali fulan hivi kinakuja ❤❤❤
@daudihalfani4626
@daudihalfani4626 4 жыл бұрын
Tanzania oyeeee
@ausonjustinian5494
@ausonjustinian5494 4 жыл бұрын
Najua kuna wakiovimbisha mishavu , kufeni km mnakufa
@barakaomwa4494
@barakaomwa4494 3 жыл бұрын
Exactly mpendwaa
@michaelndilima6210
@michaelndilima6210 4 жыл бұрын
Tanzania INA wanawake wazuri sana halafu tundu anataka wawe na makovo.
@mc_Mangula
@mc_Mangula 3 жыл бұрын
My nation
@Ambagaye
@Ambagaye 4 жыл бұрын
Niliwahi kusoma sehemu kuwa Mabeyo ni pilot wa fighters, helicopters na ndege za kawaida kama alivyokuwa Mboma. Sikujua kuwa kuwa anajua muziki pia; ila ananifurahisha kuwa uhusiano wake na wakuu wengine wa majeshi yaliyoko chini yake kama polisi, magereza, uhamiaji na uokoaji umekuwa ni mzuri sana kwa maana ya kuwa wanauonyesha wazi wazi hadharani.
@jaydenbanga
@jaydenbanga 10 ай бұрын
mwanae ndo alikuwa pilot ila alifariki kwa ajali ya ndege
@Ambagaye
@Ambagaye 10 ай бұрын
@@jaydenbanga Kumbe! Asante sana kwa ufafanuzi.
@rehemakiswago4843
@rehemakiswago4843 4 жыл бұрын
Tanzania ayeee
@lucynagerald9427
@lucynagerald9427 2 жыл бұрын
Yani mmetisha
@MS.independent8934
@MS.independent8934 4 жыл бұрын
Jeshi likovizuri naloo🤣🔥🔥🔥🔥❤️🙌
@stimaburito2212
@stimaburito2212 2 жыл бұрын
Naipenda nchi yangu tz
@michaelndilima6210
@michaelndilima6210 4 жыл бұрын
Tundu ana mawazo ya kishetan
@amanafi1288
@amanafi1288 4 жыл бұрын
Jamani Mzee kwani anaapishwa liiin jamn raah hii kaablaaa duuuu!!! JPM MI🖐️ TENAAA...
@drluther1107
@drluther1107 4 жыл бұрын
Aitamiweeee
@SALEHSALEH-lk5jr
@SALEHSALEH-lk5jr 7 ай бұрын
Haitotokea tena collabo km hili
@captendunga1392
@captendunga1392 3 жыл бұрын
Hizo hela walizotoa hapo ukizikusanya hata laki 2 haifiki askari ni wabahili sana sijui hela zao zinaishia wp?
@newman1906
@newman1906 4 жыл бұрын
Ukishajua madhaifu ya watz....unawadanganya kwa mziki tu, then wanasahau mabaya yote uliyowafanyia 😂😂😂
@seifmketo2421
@seifmketo2421 4 жыл бұрын
Kafie huko unapopajua watu wanapiga kazi
@mkushiandikayakoachananaya7944
@mkushiandikayakoachananaya7944 4 жыл бұрын
@@seifmketo2421 Wengine wana roho mbichi hakuna jema kwao, wakuwapuuza ndugu yangu!
@nicethamanonga5855
@nicethamanonga5855 4 жыл бұрын
Umefeli
@luganomwaigomole8849
@luganomwaigomole8849 4 жыл бұрын
HILI JESHI NA CCM CHAMA DOLA... THIS PROVES LACK OF CREDIBILITY
@alvangidion9366
@alvangidion9366 4 жыл бұрын
How!!?
@newforcejv9721
@newforcejv9721 4 жыл бұрын
Tutaona Mengi kabla ya Mwaka Kuisha
@estermathias8354
@estermathias8354 4 жыл бұрын
Hata ukiisha yajayo yanafrahisha ata usiwaze
@agnesshanah2825
@agnesshanah2825 4 жыл бұрын
Na utayaona mpaka kufa unafikili yanaisha tulia dawa iingie
@newforcejv9721
@newforcejv9721 4 жыл бұрын
@@agnesshanah2825 DAWA gani sasa
@newforcejv9721
@newforcejv9721 4 жыл бұрын
@@estermathias8354 Esta wewe nawe Una Jambo lako Unaonesha kabisa
@estermathias8354
@estermathias8354 4 жыл бұрын
@@newforcejv9721 jmn ko ww hauna jambo.mbona naww unaonesha unajambo
@amirakhamis5630
@amirakhamis5630 4 жыл бұрын
Wape salamu wambie nchi haikabidhiw leave mbeligij
@evansmlalo4049
@evansmlalo4049 4 жыл бұрын
CCM inafanya mambo ya kutisha. Wazazi angalieni watoto wenu wanatumiwa na CCM ndivyo sivyo.
@agustinoezekiel
@agustinoezekiel 7 ай бұрын
Lushoto moja hyo Kama tumetoka kupokea kipaimara vile
@veronikadalali7251
@veronikadalali7251 4 жыл бұрын
Hapo ndo walipo halibu jeshi limekuwa lasiasa
@htvtanzania3483
@htvtanzania3483 4 жыл бұрын
Serikali yote ipo arusha
@arnoldkimaro3887
@arnoldkimaro3887 4 жыл бұрын
Tz raha Sana mungu ibarik
@htvtanzania3483
@htvtanzania3483 4 жыл бұрын
@@arnoldkimaro3887 one Love
@abubakarimussa7584
@abubakarimussa7584 4 жыл бұрын
Sasa hizi ni sherehe za ccm au za jeshi la ccm au ccm ndiyo wenye hii shughuli
@seifmketo2421
@seifmketo2421 4 жыл бұрын
We unaonaje
@beatuskazimily457
@beatuskazimily457 4 жыл бұрын
Hakil t utumie
@mudymudy3132
@mudymudy3132 4 жыл бұрын
Utajijibu
@nicethamanonga5855
@nicethamanonga5855 4 жыл бұрын
Kila kitu mawazo potofu kaulize mwenyewe
@omarisheha7845
@omarisheha7845 4 жыл бұрын
Huu ni mkutano wa kampeni wa ccm au??
@alexkiria1901
@alexkiria1901 4 жыл бұрын
Hapana ni uzinduzi wa reli dar- tanga-arusha
@anoldykamugisha9993
@anoldykamugisha9993 4 жыл бұрын
Mkutano wa kampen huo
@alexkiria1901
@alexkiria1901 4 жыл бұрын
@@anoldykamugisha9993 siyo
@anoldykamugisha9993
@anoldykamugisha9993 4 жыл бұрын
@@alexkiria1901 jez gan zmevaliwa hapo????? Acha kufumbwa macho wew
@anoldykamugisha9993
@anoldykamugisha9993 4 жыл бұрын
@@shaurimtanda1128 kiangazi hichi
@dossantoschannel1808
@dossantoschannel1808 4 жыл бұрын
Saf San mkuu
@veronikadalali7251
@veronikadalali7251 3 жыл бұрын
Jeshi nasiasa wap nawap
@gloryonesmo2244
@gloryonesmo2244 4 жыл бұрын
MNAYAFANYA HAYA WAKATI WA KAMPENI?WHAY???????
@arnoldkimaro3887
@arnoldkimaro3887 4 жыл бұрын
Ni moja ya kazi za serikal tutajuaje Kama wao ndo wamefanya lazima waonyeshe
@gloryonesmo2244
@gloryonesmo2244 4 жыл бұрын
@@arnoldkimaro3887 mmmmhh
@mkushiandikayakoachananaya7944
@mkushiandikayakoachananaya7944 4 жыл бұрын
Sherehe hazina campaign, watu wanaburudika watu waache kama hupendi kuburudika wewe! Maisha haya ni mafupi ikitokea nafasi ya kufurahi itumie vilivyo kwasababu watu wanaoudhi kama wewe ni wengi mno!
@nemestarimo2922
@nemestarimo2922 4 жыл бұрын
Ni yeye
@abubakarimussa7584
@abubakarimussa7584 4 жыл бұрын
Ccm mumechoka kwa uongozi ndiyo munatumia Jeshi la wananchi hili siyo jeshi lenu ndiyo maana ninakosa lidhaa ya wananchi
@bernardoleonard7331
@bernardoleonard7331 4 жыл бұрын
Inakosaa lidhaa ya wanachadema rekebisha kauli zako
@dastanfussy4898
@dastanfussy4898 4 жыл бұрын
Angalia vzur mbele ya kofia afu tujulishe kama jeshi LA wananchi au polisi.
@mkushiandikayakoachananaya7944
@mkushiandikayakoachananaya7944 4 жыл бұрын
Angalia chuki hiyo isije ikakupunguzia umri, huo ni upumbavu kuwachimba wenzako kila mahali, hata kama hupendi ndio wako madarakani, nenda kwenye nchi anayotawala Lissu na Chadema yake!
@nicethamanonga5855
@nicethamanonga5855 4 жыл бұрын
Tafuteni nchi yenu na lisu
@teddykanondo5753
@teddykanondo5753 4 жыл бұрын
Shangilieni sana lakini akishinda Magufuli mjiandae kufilisika kwa kodi kubwa mtakazolipa kufidia gharama za CCM kwenye kampeni. UKIONA MTOTO ANASHANGILIA SANA KILIO CHAKE PIA KIKO KARIBU" Hizi ni sherehe za wakubwa wa CCM, Majeshi wakishangilia kukatwa kwa Madiwani, Wabunge wa upinzani na Mawakala wao.
@arnoldkimaro3887
@arnoldkimaro3887 4 жыл бұрын
Hiyo ndo tz hela zilishatoka siku nyingi na ndo maana ya bajet ya nch
@mkushiandikayakoachananaya7944
@mkushiandikayakoachananaya7944 4 жыл бұрын
UNA ROHO MBAYA NA DUA LAKO!
@jellymbogo7246
@jellymbogo7246 4 жыл бұрын
Hapo wananchi wanaona kama hawana shda,kumbe wakitoka hapo ni shda tupu,any ways
@mathiaszakaria7052
@mathiaszakaria7052 4 жыл бұрын
Nimeona kundi kubwa la wanyonge wanapepea mikono Ila sura zimekata tamaa kwa kuwaza kilo ya dona usiku,wenzenu hata wakihenyeka huko ATM zinawasubiri Kila mwisho wa mwezi,sitakubali kuitwa mnyonge labda nkifa
@madenge731
@madenge731 4 жыл бұрын
Chezeni kwa mara ya mwisho maana Tar 28 ndo kwa heri yenu
@hajikhatib8840
@hajikhatib8840 4 жыл бұрын
Wewe ulisikia wapi????? 🤪🤪🤪🤪
@arnoldkimaro3887
@arnoldkimaro3887 4 жыл бұрын
Hahaha
@sixtusmayebwa5128
@sixtusmayebwa5128 4 жыл бұрын
Madenge Wewe unaumwa c bure.
@christianmichael7725
@christianmichael7725 4 жыл бұрын
Endelea kujidanganya na kujifariji
@najmaulaya8819
@najmaulaya8819 4 жыл бұрын
Ahahaaaa
@abuufauzaanmohd447
@abuufauzaanmohd447 4 жыл бұрын
Ccm mwaka wenu wa mwisho huuu kwaiyo mukikaaa mujuwe
@kabefiramadhani7610
@kabefiramadhani7610 4 жыл бұрын
Angalau hta huku kuandika kwa uwezo mdogo ni CCM hyo ndo imesababisha maana bila shule usingekosea
@charlesmaziku9297
@charlesmaziku9297 4 жыл бұрын
@@kabefiramadhani7610 😀😀😀😀
@rukiamndeme3466
@rukiamndeme3466 4 жыл бұрын
Lamda wew ndiyo mwaka wako wamwisho naona unatapatapa sana.
@jamilambarouk4746
@jamilambarouk4746 4 жыл бұрын
Mtaweza kwli! Aaa wapi hata mkiungana na matusi kutukana ccm chama laooo
@kabefiramadhani7610
@kabefiramadhani7610 4 жыл бұрын
CCM chama lao TRC shirika letu. Hakuna safari najiskia raha Kama nikienda kigoma kwa treni napanda gari hadi iwe dharura isiyokwepeka sipendi kujibana hta nikiukwaa urais siachi panda treni Af nakaa daraja la tatu kwenye stori zote 😋😋😋😋😋😋😋😋
@michaelndilima6210
@michaelndilima6210 4 жыл бұрын
Safi sana
@emmanuelmambarera141
@emmanuelmambarera141 2 жыл бұрын
Safi Sana
UTAPENDA: MBWEMBWE ZA MAGUFULI AKIKAGUA GWARIDE SHEREHE ZA UHURU MWANZA
12:00
Global TV Online
Рет қаралды 1,1 МЛН
Ouch.. 🤕⚽️
00:25
Celine Dept
Рет қаралды 27 МЛН
НАШЛА ДЕНЬГИ🙀@VERONIKAborsch
00:38
МишАня
Рет қаралды 3 МЛН
Он улетел, но обещал вернуться...
00:30
ПРЕМИЯ ДАРВИНА
Рет қаралды 4,9 МЛН
Ouch.. 🤕⚽️
00:25
Celine Dept
Рет қаралды 27 МЛН