Daniel kulola jifunze ka mzee kulola marhemu na mavazi ya mkeo ya kikahaba yanamtukanna BWANA YESU kiristo wa nazaleti .toeni dunia kanisani YESU anarudi mtatoa hesabu maana mnapeleka wengi jehanum
@user-ke6bl1vn1i4 ай бұрын
I think this is one of the social clubs one preacher talked about when he said that some churches are just social clubs where people gather to socialize as they feel like 😢😢😢😢😢
@samwelmatemu88734 ай бұрын
Huu ni upagani mnafanya na vaazi ya mke wako sio mazuri ni ya kidunia sana.take care
@jasperjackson88714 ай бұрын
Watachelewa kukuelewa ila ukweliii utabaki ukweliiii tu siku zooote. Kizazi chetu hiki hakitaki ukweliiii Sasa umevaaa vazi zuri na refu km lengo n kujisitiri kwann unalibana hivyo ndo linaongeza utukufu au!!? Ukipewa neema ya kusimama mbele za watu jitahidi usivae tu kujipendeza ww mwenyewe bali jali Mungu alokupa kusimama mbele yao. Nisipoeleweka wala sioni shida ila matokeo yake yatatupa ukweliii. Yaani sahv hatuabudu bali tunajali sana kuburudika na hiyo ndo shida. Sasa mtumishi habari za kuanza kugongesha maeneo ya stara mbele za watu kweliii huo n utukufu kwa Bwana na je kizazi kinachozaliwa kikiona na kujifunza haya kitakuja kuwaje hapo baadae au ndio mzidi kusema hiki kizazi kimelaaniwa!!? Gharama ya ukweliiii isipolipwa tutazidi kulipoteza kanisa kwa kasii mnoooo na hasa kwa vizazi vijavyooo ndo utakuta udunia paseee kuja kanisani hivyo hatukubaliiii hata kama tukiwa wachache haijalishi na hakuna kumuonea aibu mtu kwakua anajina hiyo haipo. Kukosea n kukosea tu bila kujali majina yetu. Niiishie hapa kwa leo.
@christopherchisuligwe5122 ай бұрын
Kanisa la ajibu sana, mavazi ya wadada kwanza sio ya ibada
@ambokileasheengai11403 ай бұрын
Mama mchungaji Mungu alikutoa ubavuni mchana kweupe,,,,,,very beautiful women.....
Haya ndo mambo ya kisasa Daniel kulola unaharibu maadili badilika ili uwe chumvi njema
@Shalom8034 ай бұрын
Hiyo nguo uliyoivaa mama Askofu ulitakiwa uvae nyumbani na siyo kanisani kwenye kadamnasi
@lydiajoseph2571Ай бұрын
Hata nyumbani haipaswi, biblia inasena wanawake na wavae mavazi ya kujistri, haijasema tuvae tu kanisani na nyumbani tuvae ya kikahaba
@ZefaniaChales4 ай бұрын
Kulola ana Lia anapo yaona haya Yesu ana vuja damu😂😂😂😂
@erickmutungi87924 ай бұрын
Kulola alishakufa na kibiblia wafu hawajui neno lolote
@dionisiamlowe67593 ай бұрын
mavazi hayo mhmhmh ya kidunia MUNGU awafungue macho Kabusa
@evancykashaga65763 ай бұрын
Amen amen
@BarakaGmen5 ай бұрын
Powerfull dance from My Spiritual Dad and Mom....More blessings
@Thesowerstv5 ай бұрын
Amen amen tusaidie son kushare na ku subscribe
@BarakaGmen5 ай бұрын
@@Thesowerstv Amen Amen this is huge must be supported.
@samwelmatemu88734 ай бұрын
@@BarakaGmen ningekua nasali hilo kanisa huyu mama asinge chomoka mavaa yanonyesha ni mwepesi sana
@dianadaudi55355 ай бұрын
Mimi nawapenda tu
@laurianogerold51294 ай бұрын
Mama askofu anaonesha maumbile yake
@OwikeSibonike-x3b7 күн бұрын
Sihukumu Kwa Sababu Namimi Sijakamilika. Lakini Hayo Mavazi Ya Mama Mchungaji/Gauni ayampi MUNGU Wetu UTUKUFU. Mnawafundisha Nini Watoto Wenu Wakimwili Na KIROHO? Mngefuata Maadili Ya Baba Yetu Moses Kulola.
@NeemaMalisa-h7g4 ай бұрын
Mmh, ,Mungu atusaidie tusiwe wepesi wa kulahumu
@mecknaika42604 ай бұрын
Ni jukumu letu kuambiana mahali tunakosea, ni kweli hilo vazi si la kuvaliwa na Mama askofu Bali ni la harusi za kiswahili mahali dada zetu wanashindana kwa mitindo na shape
@user-ke6bl1vn1i4 ай бұрын
I'm not a judge nor am I a learned friend, but I don't see Jesus here in this activities anyway
@salummussa98714 ай бұрын
ZAIDI ya upagani mke wa mtumishi kinena Chake lkinaonekana waziwazi
@PatriciaMwinambo4 ай бұрын
That is why we are under judgement, a whole Bishop enaeneza usherati mpaka ndani ya kanisa la Kristo, shame on you
@tabby60644 ай бұрын
Weee shetani ashindwe😢😢
@dullahtza7255 ай бұрын
Nice
@samwelmatemu88734 ай бұрын
Huyu hawafiki mbali christina shusho wapili huyo
@carolinenatembeya67874 ай бұрын
Uko smart Mama
@suzanwang76544 ай бұрын
Watu hawaogopi mvua .
@davidmalisa80434 ай бұрын
Mke wa askofu haya banana mi nipo hapa
@NeemaMalisa-h7g4 ай бұрын
Mtu akivaa magunia ndo tutajua ni mtumishi wa Mungu?
@ConsolataWilla4 ай бұрын
Hata hakuna ushetan apo,cjaona cha hajabu kilicho fanyika
@barkleyherkain20685 ай бұрын
😂nakubqlii sqna
@KennedyNgusa4 ай бұрын
Mama kapendeza atali
@HappyAtv-xu3ew4 ай бұрын
Nyie watu mbona mnawachukulia watumish kama siyo binadam wakati Mfalme yeye Mpaka nguo Zilidondoka!!sion cha ajabu kwa Bishop Kucheza Tatizo N I Mapokeo2!!
@HappyAtv-xu3ew4 ай бұрын
Nyie watu mbona mnawachukulia watumish kama siyo binadam wakati Mfalme yeye Mpaka nguo Zilidondoka!!sion cha ajabu kwa Bishop Kucheza Tatizo N I Mapokeo2!!
@dionisiamlowe67593 ай бұрын
shida ni mavazi Neno linatufundisha mwanamke kujipamba kwa kujisitiri basi Alivyovaa kuna wanaume watazini kwa kumtazama watazini naye kwa nafsi sasa mavazi yamechora maungo hadi aibu Mungu wa Rehema Naomba Rehema