Yanga wanatuzid ktk mambo mengi hasa kwa upande wa management skills... interaction ya management kuu na wachezaji pengine na wafanyakaz wote wa club ni kubwa sana... hakuna matabaka viongozi wanajishusha sana ndo maana unaweza kuona Hersi anataniana na wachezaji utadhan sio rais wa club, pia ushirikishwaji Wa mashabiki wao na club ni mkubwa sana ndo maana wanafanya events kama supu day, utoaji wa misaada kwa wahitaji n k hii inaongeza sana morally kwa wachezaji kuifia timu.. mchezaji ana feel yanga ni yeye na yeye ni yanga hata wachezaji wa kigeni wa yanga wanaonekana kufurahia maisha zaid kuliko wachezaji wa kigeni wa timu zingine... congratulations mtani🎉
@user-iv4qe3ox1s7 ай бұрын
Umeongea point sana, wenzetu wana Upendo wa hali ya juu,viongozi wanajishusha daah hii moment hadi raha, Hongera kwao 🎉
@ErastoOmari-cx2qv7 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤ameni
@matukimerchant51707 ай бұрын
Nimekubali Sana ndugu yetu ulichokiandika. Ijapo wewe ni mtani wetu lakini hukusita kuandika ukweli wa mambo ulivyo. Nadhani hizi timu mbili ukiachilia kutaniana kwamba nimekufunga au umefungwa, ohh! Wewe ni WA mkiani, badala ya hayo yote tungekuwa tunajifunza Nini mtani kafanya vyema zaidi yangu ili nami nijitahidi kukifikia, au timu zingine huko nje zinafanyaje tutohoe, turekebishe Kisha tulete home. Ingekuwa vyema zaidi kwa maendeleo ya soka letu Tanzania.
@SwigoJr-vy3gv7 ай бұрын
We are Young African💚💚💛💚
@barakawabuge52857 ай бұрын
Hehe
@wizfbeb7 ай бұрын
Hii ni zaidi ya timu ya mpira wa miguu. Hii ni familia ya waafrika weusi. Mungu ibariki Yanga Afrika
@ahmadsalim44177 ай бұрын
Dah hii club ina kila sababu ya kupendwa, hongera sana Rais wetu hels kila uchao unazidi kuitofautisha hii timu na vikundi vya waguni, kama katiba ingeruhusu ungekaa kwenye kiti cha urais hati useme basi
@imanibakili80287 ай бұрын
Ndiyo maana mchezaji akisikia anakuja Yanga hataki kupoteza fursa
@sharifabahar99057 ай бұрын
🙏💛💚 Mungu awe na nyinyi wakati wote furaha yenu hidumu milele
@vicentsagudasheyi5647 ай бұрын
Tazama inavyopendeza ndugu kukata pamoja Kwa umoja... congratulations...God bless our team Young Africans SC 💚💛🖤
@user-mw3yp6kl5c7 ай бұрын
Yaani Adi raha
@rozamabagala62427 ай бұрын
Zaburi 133
@mamboshepea88887 ай бұрын
Ameen...💚💛
@awetumtengera11477 ай бұрын
Hongereni kwenu nyote Mungu awajalie afya njema.
@user-hf2pk9gc7y7 ай бұрын
Hindiyo Tim pekee yenye upendo mkubwa kwa wachezaji na viyongozi wao hongereni sana yanga Africans
@edachengula7967 ай бұрын
Nimeipenda hii kiongozi wa kujishusha na kujunuika na wachezaje wake,daima mbele nyuma mwiko🎉
@elizabethrichard49747 ай бұрын
Nyieeee, yanga wanaishi kwa upendo Hadi Raha🥰💚💚💚, mungu azidi kuwainua yanga yangu💚💚💚
@mweyoms55487 ай бұрын
Pongezi zangu za dhati ni Mhandisi Hersi Said.Ameleta mageuzi,mapinduzi makubwa kwenye uongozi wa Vilabu nchini.Kila staff ya Yanga anatambua kwa nini yupo Yanga.Hii morali na umoja wa wachezaji hauji kibahati mbaya bali hujengwa na UONGOZI THABITI.
@user-wr6dt6xh8t7 ай бұрын
naipenda hii timu mimi jamani,naipenda kwa moyo wangu woooteee mpaka sielewi aaani🥹
@paulmushi24287 ай бұрын
Aaaah Happie!!!!! anayestahili kupendwa Kwa moyo wako woooote ni Mungu aliyekuumba na anakupa uhai na fya njema Hadi unapata wakati wa kufurahia!!😅😅 Ipende Yanga Kwa Kwa moyo wako kiduchuuuu😅😅😅 samahani lakini🎉
@shamimtunge16647 ай бұрын
Hunizidi mm kuipenda yanga nipo tayari nisile kwaaajili yao 💛💚
@mamboshepea88887 ай бұрын
@@paulmushi2428 Nadhani ameongelea kati ya vitu anavyovipenda kwa moyo wake wote ni yanga....usimchanganye Mungu na vitu Mungu atabaki kuwa Mungu milele wala hafananishwi na kitu chochote!!
@ahamadnalinga68257 ай бұрын
So amazing, congratulations Kwa management nzima, mnafanya kazi iliyotukuka
@Zubaiba7 ай бұрын
Hongera sana, Allah akuzidishie umri mrefu wenye manufaa ❤🎉🎉🎉
@ezekielmirambo87047 ай бұрын
Fantastic! All the best!
@juliusmagoti56507 ай бұрын
Mchezaji anapata furaha kiasi hiki, lazima aipende team yake, hawezi kuihujumu hata kidogo. Big up
@user-tq2mm9wo2o7 ай бұрын
Kabisa umenena
@elishamwakihaba9427 ай бұрын
Nyie kweli kwenye umoja, Mungu anabariki ❤
@issahpaul45107 ай бұрын
Wow!! Nimependa hii love ya wachezaji wetu ❤
@amaniomar17557 ай бұрын
Yanga raha jamaniiiiiii..........🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 Kuna tofauti kati ya mwalimu wa ball na Master angalia anavyoshrehekea na vijana wake.
Wenzenu upande wa pili tupo tunadundana wenyewe kwa wenyewe 😭😭😭😭😭
@ashurahatibu50697 ай бұрын
😅😅😅
@matukimerchant51707 ай бұрын
Poleni ndugu zetu watani. Nawaombeeni muwe sawa. Mpate viongozi. Huongozi mzuri mkiupata mawazingua,. Hivi unajua uongozi wa Barbara na Senzo masingisa ulikuwa na kitu kikubwa, lakini zengwe Hadi wakaondoka. Yawezekana wapo wapiga Dili ambao hawajali maendeleo ya club ila matumbo yao tu. Akitokea kiongozi anayejali maslahi ya club huyo anakuwa adui maana anawazibia mianya ya hufujaji, hivyo vichwani mwao ni ondoa huyu.
@Erickmjuni-ev6dc7 ай бұрын
Poleni sana watani
@augustinomkongwa54447 ай бұрын
Yaani mpaka waseeeeemeeeeee na baadoo hamjaseeeemaaaa 😂😂😂😂
@fednandnews22407 ай бұрын
My team I wish to join with you guys one day for dinner😂😂😂😂
@abdulladosantosjr7 ай бұрын
Zaidi ya familia💛💚
@user-by7zf4fh2y7 ай бұрын
Hongera sana management ya yanga na crew nzima iliyofanikisha hili mnachokifanya sio tu kuleta furaha kwa wachezaji bali mnawaleta wachezaji pamoja na mnawapa deni wachezaji wapate moyo wa kuipambania team hongereni sana yanga
@immanuelsaringe85717 ай бұрын
NIMEIPENDA SANA H KAZI ERIS ANAIFANYA MUNGU AKULINDE NAMABAYA YOTE
@WilliamEzekiel-hv9li7 ай бұрын
Kocha amenichekesha full furahaa🎉🎉🎉🎉
@hildakiyabo7 ай бұрын
Mmetixhaaaaa makolo wanaona wivuuuuuu
@ramahkhalfan36577 ай бұрын
mashallah wawooo wawooooh kam barak mpeja injinia baba wew unadunia tako bro 🎉🎉
@fatmasuleiman38857 ай бұрын
Yanga na uongozi mpo vizuri sana kila mnacho fanya kina ubora zaidi hakika vijana nyie wabunifu sana jongereni mtafikambali ktk kila mnacho tengeneza Daima mbele nyuma mwiko mwanachama yanga damu.💚💚🙏
@remidusmwanandenje-yy5gs2 ай бұрын
Oyooooooooooooooooo🎉🎉🎉🎉🎉🎉 yanga bingwa adi 230 utaki au😁😁😁
@namdigumagwenge1937 ай бұрын
Yaani sijui wakumshukuru zaid ya mungu , ametuheshimisha kama sio sisi tuloitwa ombaomba, wazee wa bakuli nyie jmn❤❤❤❤❤❤kila mtu anaejitoa kwa hali na mali kwajili ya YANGA mungu awabariki
@user-vn3bw7lj3z7 ай бұрын
Iiih laah jaman daaah💛💚💚💚💚💛💪🙏
@gracemtonga32637 ай бұрын
Yaani yanga ni raha na amani tu, gamondi anaruka wachezaji ndo usisene meneja wa team yani daah! Mungu tulindie hii amani na upendo viendelee, daima mbele nyuma mwiko 💚💚💚💚💚💛💛💛💛💛🔥🔥🔥🔥🔥💪💪💪💪💪🎂🎂🎂🎂🎂
@peterjanuary4297 ай бұрын
My team 😍💚💛
@salimramadhani52377 ай бұрын
Tuna rahaaaaaaaaaaaa bwanaaaaaaa💚💚💚💚💚💚
@raphaelchauwele35477 ай бұрын
Happy birthday to my players 🎉🎉🎉
@SashaOscar7 ай бұрын
Daaah Yanga raha kwkwl 💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛
@user-lp7uq9ql2p6 ай бұрын
Waoh naipenda hii, wachezaji wangu wote wamezaliwa siku moja, na hii ndio inaitwa kupendana
@jacksonlyimo14917 ай бұрын
Mungu awatunze wachezaji wangu na wana Yanga wooootè..Afya amani na furaha kwenu na kwa familia.. zenu. Awape nguvu na ufanisi katika kuwania makombee yooote yalio mbele yetu na kuyachukua kwa kishindo .uwezo na nia tunayo. MUNGU MWEMA
@ShedrackNgokozela7 ай бұрын
Mungu awalinde sikuzote jaman mnatupatia furaha sanaaa daah upande wapili uko vipi mnateseka eee
@sarahkinyashi62137 ай бұрын
Hii nimeipenda💚💛💪🙏🙏🙏nafurahi kuwa sehemu ya wananchi aisee