SAKATA LA NABII SHILLAH KUDAIWA KUMTUKANA 'YESU', AFUNGUKA kwa MARA ya KWANZA KILICHOTOKEA..

  Рет қаралды 10,962

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

Пікірлер: 110
@deboradaniel9685
@deboradaniel9685 2 жыл бұрын
Mungu akurehemu mana hujui utendalo
@eliamwasomola578
@eliamwasomola578 2 жыл бұрын
Mungu hutuma mapigo yake . Wapo wengi walio wahi mtukana Mungu lkn miisho yao ni aibu vifo vya aibu
@uwesusaid5334
@uwesusaid5334 2 жыл бұрын
Kwa maana watatokea makristo wa uongo, na manabii wa uongo, nao watatoa ishara kubwa na maajabu; wapate kuwapoteza, kama yamkini, hata walio wateule. 🙌
@zahranomar8523
@zahranomar8523 2 жыл бұрын
Ila Huyu sie
@jacksonmsuya5833
@jacksonmsuya5833 2 жыл бұрын
Huyu sio nabii anakunywa mapombe anapenda masifa mitandaoni huyu mganga wa jadi
@franciscoblawrent8128
@franciscoblawrent8128 2 жыл бұрын
Bibilia inasema usihukumu ili usije hukumiwa sa mnavyosema tapeli Mara mganga n.k nyie mnaezaje kutoa kibanzi wakati ndan ya jicho lako mnaboriti .Tatzo ni tafsri za wenye chuki ndo wanakuza mambo yasiyo stahili. Mungu abariki kazi yako mtumishi @SHILLA
@dhulmamwiko8452
@dhulmamwiko8452 2 жыл бұрын
Moja ya mambo nayoyashukuru kila siku ni kwamba nimezaliwa katika jamii ambayo haifuati dini yoyote; tunafuata mila za mabibi na mababu zetu. Nawahurumia Wakristo, kama na huyu ni "Nabii!" Ha! Tutayaona mengi, na kuna wendawazimu wanamwamini! Yaani, ana wafuasi huyu. Nchi yetu ya ajabu kweli!
@binhussain3445
@binhussain3445 2 жыл бұрын
Karibu katika Uislamu
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 жыл бұрын
Pole saaana
@anodearsulusi7536
@anodearsulusi7536 2 жыл бұрын
Endelea kuamini unachoamini kama moyo wako una amani kwasababu tunajifunza " ibada na dini zetu( zetu, za kimzimu za kigeni) ni upuuzi mtupu Kama mwisho wake sio kumfikia Mungu, na hatuwezi kumfikia Mungu isipokuwa kwa njia ya kifo" hivyo basi mtukuze Mungu kwa namna yoyote ile Ila ujue kuwa njia unayoitumia iwe ya kumfikia yeye
@estermachea3373
@estermachea3373 2 жыл бұрын
@@binhussain3445 asante Sanaa
@abdulismail8418
@abdulismail8418 2 жыл бұрын
Tatizo bongo mnapeana vyeo tu unabii unatolewa na Mungu yeye huyo kapewa unabii na nani pia hakuna nabii mnywaji wa pombe jamani hilo muelewe huyo hana sifa za kuwa nabii hata moja kujua mistari ya bibilia hakukufanyi uwe nabii
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 2 жыл бұрын
Subuhanallah. Hakuna nabii Tena na hatotikea mpaka kiyama. Mtunewa mwesho Muhammadi swalallahu alahi wasalam💕👈
@ip_header
@ip_header 2 жыл бұрын
Yaan kuna watu wana wafuata Nabii Shila, nabii Tito, kweli dunia ina viumbe ...
@georgekimasaofficial1629
@georgekimasaofficial1629 2 жыл бұрын
Shilla usiwe na shaka we piga kazi maneno yapo na hayawezi kuisha wengi wanakuchukia kwa wivu wao tu.
@pescopenterprises2728
@pescopenterprises2728 2 жыл бұрын
Mimi nilikuelewa vizuli sana nabii shila ulitolea mfano kua kama sisi watumishi tunalaumiwa katika hili bas inamaana na yesu alikua hivi mimi nilikuelewa ila uelewa tumetofautiana
@lilyrose7983
@lilyrose7983 2 жыл бұрын
Sasa kwani huyu Shila ni Yesu?Yesu atabaki kuwa mtawala wa Dunia na Shila atabaki kuwa Shila
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 2 жыл бұрын
Kwendenikule Yesu si MUNGU ni nabii wetu wote
@agapemwasomola.777
@agapemwasomola.777 2 жыл бұрын
Pesa zisiwafanye mjione wakubwa kuliko Yesu
@sylviermuhonjah8411
@sylviermuhonjah8411 2 жыл бұрын
Misifa yako itakuweka pabaya hatakama unatafuta unga W C B
@johnsonnade7476
@johnsonnade7476 2 жыл бұрын
Alafu watu wenye sura mbaya huwa wanahela sana inamana itakuwa wamapitia makandokando
@Mkemia..Kirigiti
@Mkemia..Kirigiti 2 жыл бұрын
We dogo mswahili swahili sana⛹️
@soccertv293
@soccertv293 2 жыл бұрын
Ulipofunga ulikua unafutari saa ngapi au ulifunga siku zote bila kula?
@aminanamoyo83
@aminanamoyo83 2 жыл бұрын
Manabii wa uongo ndio hawa hukufanya hivyo ki vipi wakati dunia nzima tuliona matukio na kauli zako tulisikia, unacho kiongea sasa wala hakieleweki we omba msamaha si kwa binaadam bali kwa muumba wako.
@musokedios8162
@musokedios8162 2 жыл бұрын
Mhhhh Mungu awe na rehema, shuka baba shuka, lakina mbona mimi niliona live na haikuwa oudio, anyway tutawatambuaje???
@anodearsulusi7536
@anodearsulusi7536 2 жыл бұрын
Tutawatambuaje? Nimeipenda hapo bro
@deborangura2712
@deborangura2712 2 жыл бұрын
Kw matendo Yao.biblia imesema
@habibrwegoshora6624
@habibrwegoshora6624 2 жыл бұрын
YESU ALIKUWA NI MUISLAM..HUU UKRISTO AKUUACHA WALA AUJUI ..WALA AKUICHA HII BIBLIA AJAIACHA NI UONGONGO TU..NI VITU VYA KUMZUSHIA BW.YESU..NA WALA HAKUNA MTU YEYOTE ANAYEJUA NCHI ILIKOTOKA BIBLIA AU HATA MJI ...UA ANAYEJUA MAANA KRISMAS AYUPO KABISAA..MM NASUBILI MAJIBU KWA ANAYEJUA
@IntelligentCreatures
@IntelligentCreatures 2 жыл бұрын
Naomba namba yako ya WhatsApp
@umibana6759
@umibana6759 2 жыл бұрын
Huyu mpiga pesa kabisaa
@robertempire9542
@robertempire9542 2 жыл бұрын
Kwendaaaaaaaaa
@dostovan5142
@dostovan5142 2 жыл бұрын
Hafai hata kuskiilzwa, ajifungue arudi 2025
@hamzaadrin941
@hamzaadrin941 2 жыл бұрын
Wallah huyu dogo sijawahi kumuaminigi kwalolote
@amanikafonogo9695
@amanikafonogo9695 2 жыл бұрын
Tribulations
@Commentsplus
@Commentsplus 2 жыл бұрын
Bangi bangi achaa kaka bangi acha
@petergadiye7911
@petergadiye7911 2 жыл бұрын
Achakujitetea uliongea hadharani kwanza haionyeshi we kuwa mtumishi wa Mungu Bali wa shetani.
@jomiAfrica
@jomiAfrica 2 жыл бұрын
Mbona unamtaja yesu wakati ulisema ni tapeli
@zahranomar8523
@zahranomar8523 2 жыл бұрын
How did this happen?(eti nani(nabii?)nabii my foot
@barakajustine7029
@barakajustine7029 2 жыл бұрын
Mkitaka kujua hawa manabii uchwara kuwa hawana chochote wavue hayo mapete
@ilovejesus666
@ilovejesus666 2 жыл бұрын
Yn kuponya sio tatizo yn mimi mwenyewe nikienda Nigeria nikiludi kazi imeisha miujiza kama yote lakini jina la YESU haliponyi nileteeni mtu alieponya kwa jina la yesu kama lingekua na maajabu basi lingewaumbua wengi lakini kwakua ni biashara ya shetani bas ngoja tupige pesa zetu
@IntelligentCreatures
@IntelligentCreatures 2 жыл бұрын
¹² Amin, amin, nawaambieni, Yeye aniaminiye mimi, kazi nizifanyazo mimi, yeye naye atazifanya; naam, na kubwa kuliko hizo atafanya, kwa kuwa mimi naenda kwa Baba. ¹³ Nanyi mkiomba lolote kwa jina langu, hilo nitalifanya, ili Baba atukuzwe ndani ya Mwana. ¹⁴ Mkiniomba neno lo lote kwa jina langu, nitalifanya. Yohana 14 KUPONYA KWA JINA LA YESU Akafanya hayo siku nyingi. Lakini Paulo akasikitika, akageuka akamwambia yule pepo, Nakuamuru kwa jina la Yesu Kristo, mtoke huyu. Akamtoka saa ile ile. Matendo 16:18 33 Akamwona mtu mmoja huko, jina lake Ainea, mtu huyo amelala kitandani miaka minane; maana alikuwa amepooza. 34 Petro akamwambia, Ainea, Yesu Kristo akuponya; ondoka, ujitandikie. Mara akaondoka. Matendo ya Mitume 9 ¹⁷ Ndipo wale sabini waliporudi kwa furaha, wakisema, Bwana, hata pepo wanatutii kwa jina lako. ¹⁸ Akawaambia, Nilimwona Shetani, akianguka kutoka mbinguni kama umeme. ¹⁹ Tazama, nimewapa amri ya kukanyaga nyoka na nge, na nguvu zote za yule adui, wala hakuna kitu kitakachowadhuru. Luka 10 ... Wala hakuna wokovu katika mwingine awaye yote, kwa maana hapana jina jingine chini ya mbingu walilopewa wanadamu litupasalo sisi kuokolewa kwalo Matendo 4:12
@liesharehema5193
@liesharehema5193 2 жыл бұрын
Acha kubwabwaja wewe laana lazima ikukute acha uongo je unahofu yamungu ila tutawajua kwa matendo yaoooo hamta jificha maana ndo wakati wakeeeee
@agriparose3942
@agriparose3942 2 жыл бұрын
Lilevi tu hata sura ilivyokaa mlevi mlevi tu mijisifa tuuuuuu
@emmadora7848
@emmadora7848 2 жыл бұрын
Uhai uo umeazimwa tu ndugu, kuna mwenye nao likumbuke hilo
@liesharehema5193
@liesharehema5193 2 жыл бұрын
Hata hajui najua nihaki yake kupumua kila siku hajui ipo siku mwenye nao atauchukua shetani anajua kumdanganya mtu utajili namambo mengine ila hawezi kumpa mtu uhai anatukana mokozi wa ulimwengu ajabu sana
@lilyrose7983
@lilyrose7983 2 жыл бұрын
Ni kweli
@zaburi2386
@zaburi2386 2 жыл бұрын
Huyu ni nabii kwa nan alitabiriwa na nan Katka kitabu gani katabiliwa ??
@soccertv293
@soccertv293 2 жыл бұрын
Akawadanganye WAKRISTO wenzake , kwa ss waislamu nabii wa mwisho ni Mohammad nahatokubalika nabii mwingine yeyote, Hamza alianza kutuletea Mambo hayo tulimpini down kwa hoja kashindwa
@adamfundikira1620
@adamfundikira1620 2 жыл бұрын
@@soccertv293 wewe ndio unajifanganya mwenyewe Kama ni nabii haikuhusu kaa na dini yako ya kukupeleka motoni
@franciscaaugustino4305
@franciscaaugustino4305 2 жыл бұрын
Huyu mtu alinitokaga toka enzi zile, hii siyo kauli Yake ya kuanza
@wilfredndalahwa1539
@wilfredndalahwa1539 2 жыл бұрын
Hivi nani mwendawazimu anayemwita huyu mhuni nabii?dunia hii ina wahuni wengi,(kataa wahuni).
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 жыл бұрын
Wapo wengi tu
@lilyrose7983
@lilyrose7983 2 жыл бұрын
Nakataa wahuni😂😂😂
@joelyjoely7827
@joelyjoely7827 2 жыл бұрын
TUBU KWANZA SIFA BAADAE SAUT YAKO NITOFAUT ILESAUT ILIKUWA NIWW NA VIDEO NIWW SOMA ZABULI 51 NAUNACHOJIDAIA UASKAL WA BABA YAKO UKEPATA AZABU KAMA MBOWE JAMAAYAKO
@zahranomar8523
@zahranomar8523 2 жыл бұрын
Kwa sasa waumini washamkataa huyu jamaa..na amechoka na matusi yet Hadi akazima coment
@errydeo8865
@errydeo8865 2 жыл бұрын
Eti nabii..nabii my arse..
@josephmuchiri3180
@josephmuchiri3180 2 жыл бұрын
Fala ww
@madamloveness7274
@madamloveness7274 2 жыл бұрын
Huyu ni mganga wa kienyeji tu maana ana mambo ya ajabu Sana
@miltonmachage2462
@miltonmachage2462 2 жыл бұрын
Ningekuwa nakaa mtaa mmoja na ww ningeyakata mashavu yakoo yan leo unakana maneno ulioongea wee boya nn ,,
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 жыл бұрын
Hahaha
@mosesjackson_tz
@mosesjackson_tz 2 жыл бұрын
jamaa ana utani wewe
@taturajabukhalfani7953
@taturajabukhalfani7953 2 жыл бұрын
Nabiii misifa acha unausomi gani wewe
@taturajabukhalfani7953
@taturajabukhalfani7953 2 жыл бұрын
Hata unabii huna
@felisterjames9770
@felisterjames9770 2 жыл бұрын
Lusifa Yuko kutapatapa
@frankcharles2483
@frankcharles2483 2 жыл бұрын
Nabii gani huyu mbwa kabisa tapeli wa kiroho subiri wakati wako ukifika mumgu atakuonyesha
@Commentsplus
@Commentsplus 2 жыл бұрын
Eti kanatembea na kiki
@stevemwakisimba5986
@stevemwakisimba5986 2 жыл бұрын
Huyu kijana ni mpumbavu sana na anataka kutufanya nasisi wapumbavu
@babafranco3366
@babafranco3366 2 жыл бұрын
Anaongea anaona aibu mwenyewe
@joshuamatagane1318
@joshuamatagane1318 2 жыл бұрын
Haka kajamaa bwana....katapeli tu
@mkalimala3564
@mkalimala3564 2 жыл бұрын
NABII KAWA YESU ANABAKI JINS TUPU...???!!¡¡
@Commentsplus
@Commentsplus 2 жыл бұрын
Yani utamke wewe afu akosee edita TCRA pilz naona kosa hapo anawatoa akili kijana eti hamkusoma mi simooooooo
@mbwanakiting7180
@mbwanakiting7180 2 жыл бұрын
Shetani anajitetea
@dianamdaku9802
@dianamdaku9802 2 жыл бұрын
😂😂😂na mbichwa huo!! Hebu tutolee upuuz wako😏
@devotamsemwa7734
@devotamsemwa7734 2 жыл бұрын
Wewe ni ajenti wa shetan tu hata ukikata kripu zako zinakufunga uliongea live halafu unajifanya hukuongea hata hilo kanisa lako lifungwe tu fanya mambo mengine wewe ni sawa na walevi wengine huna hata hofu ya mungu ila jua tu mungu hajalala lazima atashughulika na wewe.
@liesharehema5193
@liesharehema5193 2 жыл бұрын
Yaani huyu mimi nikisimama nae kwenye mambo ya unabii namshinda kabisa huyu nishetani tutawajua kwa matendo yao hawawezi kujificha maana nyakati zilizotabiliwa ndizo hizi tutawajua kwa matendo yao
@zaharamlau8817
@zaharamlau8817 2 жыл бұрын
Boya wewe
@jifunzekuhusuwewe7475
@jifunzekuhusuwewe7475 2 жыл бұрын
Mpuuzi huyu anaongea nini,
@aminahassan4523
@aminahassan4523 2 жыл бұрын
Wewee ni mpumbavu
@vailettarimo4545
@vailettarimo4545 2 жыл бұрын
Acha upuuzi wewe tushakuchoka
@dominickjohn1128
@dominickjohn1128 2 жыл бұрын
Wew ni kenge peleka kende zako huko,ni kweli ulisema na usituchanganye danganya waumin wako
@Commentsplus
@Commentsplus 2 жыл бұрын
Eti chumviiiii
@maulidmkessa4171
@maulidmkessa4171 2 жыл бұрын
Bibilia Haina mwenyewe ndio maana kila kuicha utasikia leo huyu nabii kesho vivyo hvyo mara mtume leo mtu ameoteshwa .Vituko @siku Uisilam ndyo kweli
@josephdomi9393
@josephdomi9393 2 жыл бұрын
mchungaji wa wanini wewe
@deborangura2712
@deborangura2712 2 жыл бұрын
😂😂😂wa watu yn Kansa jose
@mwl.michaelsainethmlowe2641
@mwl.michaelsainethmlowe2641 2 жыл бұрын
Liongo likubwa wewe utapikea malipo yako
@donmswati4483
@donmswati4483 2 жыл бұрын
wewe choko wewe
@estermachea3373
@estermachea3373 2 жыл бұрын
Usijitetee huna lolote mbinguni hakuna mchawi ungebarikiwa usingenitapeli mwizi wewe nikikutana na wewe nakunyonga
@binhussain3445
@binhussain3445 2 жыл бұрын
Pole sana,ilikuwaje kwani
@lilyrose7983
@lilyrose7983 2 жыл бұрын
Pole my kakutapeli nn tena?Duuh!
@estermachea3373
@estermachea3373 2 жыл бұрын
Ilikuwa mwaka juzi aliniambia nipeleke pesa zangu aziatamie akaondoka nazo. Kimiujiza.
@lilyrose7983
@lilyrose7983 2 жыл бұрын
@@estermachea3373 Daah pole sana mpendwa.Dunia ina mambo mengi.
@estermachea3373
@estermachea3373 2 жыл бұрын
@@lilyrose7983 asante alinibadilishia pesa akanipa elfu tano akachukua laki nne na si kwenda kwa lengo LA kuombewa nilienda kuimba
버블티로 부자 구별하는법4
00:11
진영민yeongmin
Рет қаралды 27 МЛН
How I Turned a Lolipop Into A New One 🤯🍭
00:19
Wian
Рет қаралды 13 МЛН
🕊️Valera🕊️
00:34
DO$HIK
Рет қаралды 16 МЛН
Julius Kingalu - Katika Wewe (Official Video)
3:28
Julius Kingalu
Рет қаралды 1,6 М.
I LOVE MY TEACHER | 3 |
20:24
CLAM VEVO
Рет қаралды 143 М.
MTANDAO WA WACHAWI WALIOTUMWA KUMUANGUSHA KUHANI MUSA IBADANI WANASWA
4:53
NGOME YA YESU KRISTO
Рет қаралды 136 М.
Uelewe ulimwengu wa Roho Ufanikiwe katika Maisha I
30:56
Reality of Christ Church
Рет қаралды 18 М.
버블티로 부자 구별하는법4
00:11
진영민yeongmin
Рет қаралды 27 МЛН