No video

SAIDA KAROLI| UGUMU wa MAISHA wa MAISHA UNAVYOMTAFUNA kwa SASA, DHURUMA ya PESA ILIVYO MUUMIZA!

  Рет қаралды 109,566

Global TV  Online

Global TV Online

2 ай бұрын

SAIDA KAROLI| UGUMU wa MAISHA wa MAISHA UNAVYOMTAFUNA kwa SASA, DHURUMA ya PESA ILIVYO MUUMIZA!
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9z...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 348
@globaltv_online
@globaltv_online 2 ай бұрын
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
@KhadijakassimMwaipaya
@KhadijakassimMwaipaya 2 ай бұрын
Lanenepa.mashalah
@Ramlakimaro
@Ramlakimaro 2 ай бұрын
Mpaka leo bado zinaishi
@YOSHUAMWAMPETA
@YOSHUAMWAMPETA 2 ай бұрын
SAIDA UMEWAIMBIA SANA WATU LAKINI HUJAMWIMBIA YESU KRISTO WA NAZARETI.Nakuomba nakusihi ANZA SASA KUMSIFU YESU KRISTO WA NAZARETI ATAKULIPA ZAIDI.
@officialdogobdance672
@officialdogobdance672 2 ай бұрын
I respect her so much namuombeaga kila siku mungu amuweke miaka 1000 maana huyu alinilea miaka 7 nilienda kwake nikiwa mdogo sana mpaka saii niko Star kwa sababu ya huyu mama heshima kwake❤❤❤❤❤❤
@ndogoroedson199
@ndogoroedson199 2 ай бұрын
Ukiachana na usanii bado ww ni mama la mama Mungu akubariki sana mdogo wangu
@ettienewand9850
@ettienewand9850 2 ай бұрын
Hivi mtu akitaka kumzawadi huyu mama amfikie vipi.She deserves to be appreciated. Nyimbo zake zinanigusa sana.
@anisiamchembe6552
@anisiamchembe6552 2 ай бұрын
Saida tunakupenda sana!!👑
@salomewandya7257
@salomewandya7257 2 ай бұрын
Maskn anapambana kwa ajili ya watoto wake hongera sana❤❤❤
@liberatusjackson5045
@liberatusjackson5045 2 ай бұрын
Nakataa
@openglo
@openglo 2 ай бұрын
​@@liberatusjackson5045kwanini?
@user-dk8mm9vi3y
@user-dk8mm9vi3y 2 ай бұрын
Mbona kaacha kuimba kipawa akiozi ats kwe. Mie Mkenya ningali na kumbuka nyimbo zako nikiwa jijini Nairobi. Mie Mkenya. ❤
@user-pi6lb6nx3m
@user-pi6lb6nx3m Ай бұрын
Binafamu hawana wema, walimleta Dar wakajinufaisha wao bila kumjali ,Mungu atamuinua tena ❤❤❤
@SimonBinde
@SimonBinde 2 ай бұрын
Huyu tumuheshimu kashfa so nzuri ni mama yetu
@evakessy3282
@evakessy3282 2 ай бұрын
Kwani nani amekoment kashfa na wewe hovyo
@allahisone6386
@allahisone6386 2 ай бұрын
​ 😅😅
@WahidaHilaly
@WahidaHilaly 2 ай бұрын
❤❤❤
@MTOTOWAvitoto
@MTOTOWAvitoto 2 ай бұрын
​@@evakessy3282kwani wewe huoni hiyo title ya hapo juu walivoandika eti UGUMU WA MAISHA UNAVYOMTAFUNA SAIDA KAROLI sasa siuongo huo kwa maisha gani mabaovu alonayo??ni usenge tuu wanataka wapate views wengi
@AlhajiIssa-jb9hr
@AlhajiIssa-jb9hr 2 ай бұрын
😂😂😂muambie huyo.​@@evakessy3282
@linahnyongesa9359
@linahnyongesa9359 7 күн бұрын
Surely Tanzania,give us Kenyans this woman tumjengee ,tumpee Gari Kisha tuwakabidhi mnamwacha ateseke huyu star Kisha akifa mtatusumbua sana mtandaoni na nyimbo zake.
@SimonBinde
@SimonBinde 2 ай бұрын
Mungu akupe maisha marefu
@sistersade9039
@sistersade9039 6 күн бұрын
Jamani ivo saida mpaka Leo anatafuta kutangazwa? Huyu ni legendary wakutunzwa kwenye hali ya juu sana. Bado hakuna anomfikia sauti yake, wala style yake. Yafaa ashikwe mkono jamani wakati anauwezo. Mungu aendelee kukutunza na azidi kukupa mafanikio unayo stahiki ❤
@ambakisyemwakinunu2002
@ambakisyemwakinunu2002 2 ай бұрын
Hizi interview zinafundisha sana hasa kwa watu wanaoongea ukweli kama mama Saida MWENYEZI MUNGU akujalie zaidi kwa moyo wa kuwasaidia na kuwafunza wengine
@aishakambenga6191
@aishakambenga6191 2 ай бұрын
Mme wangu anapenda nyimbo zako zote ❤
@ZuberiMayanga
@ZuberiMayanga 2 ай бұрын
Angalia utaibiwa mme
@dayana5513story
@dayana5513story 2 ай бұрын
Wow I'm happy to see her,akipata profession interviewer anavitu vingi vya kufundisha vijana
@bodyaman
@bodyaman 2 ай бұрын
Hongereni Global TV Kwa kufanya interview na Saida Karoli rejendri WA Muziki wa bongo akiwa hai
@patricknyiti5303
@patricknyiti5303 2 ай бұрын
Huyu ni Muanga wa cloudz FM ..Walimtumia sana kwa faida yao
@angonzamujunangoma8775
@angonzamujunangoma8775 2 ай бұрын
Hongera sana mama yangu wewe ni mwanamke na nusu,sema rudi kwenye asili ya nyimbo zako utabaki kuwa juu lakini huu ukisasa ndo utakudidimiza.Natamani nikuone wa moto siku zote
@MartinsAgufana
@MartinsAgufana 2 ай бұрын
Hongereni sana kwa Interview yenye mafunzo makubwa na kumleta Bi. Saida Karoli. Tunampenda sana🙏🏿🤗
@magrethmbuma3045
@magrethmbuma3045 2 ай бұрын
Huyu mama nampenda sana mpaka kesho
@SwahiliAmbasador954
@SwahiliAmbasador954 2 ай бұрын
Mungu anatupenda sote huyu mama kanigusa sana lakini mafanikio yapo haijalishi ni umri upi ulio nao jina lako mama nikubwa sana na sio Tanzania tu africa kwa ujumla Mungu akusimamie mshirikishe pia Mungu katika kila jambo kama unavyo kubali ukuu wake katika maisha yako una moyo mzuri Sana Mama
@mariamkibindo1741
@mariamkibindo1741 2 ай бұрын
MashaAllah nafurahi kumuona huyu mama nimekuwa nikisikiliza nyimbo zake za zamani karibia nusu nakujua kuimba kilugha chake❤wote nyumban tunapenda sana saida karoli,
@juliethkatabwa5306
@juliethkatabwa5306 2 ай бұрын
Asante Saida kwa kumkumbuka meneja wako.
@AishaMaganga-vd1jg
@AishaMaganga-vd1jg 2 ай бұрын
Kikubwa uzima mamangu. Hatahivyo Mungu amekubaliki nyumba yakuishi na watoto wako! Tunakupenda sana.❤❤❤❤
@philbertzacharia3087
@philbertzacharia3087 2 ай бұрын
Nimependa sana aliposema ivi "nikazama mtoto wa kike itakavokuwa na iwe Mungu akupe maisha marefu @said
@Boaz-Gwanko
@Boaz-Gwanko 2 ай бұрын
Nashauri Saida akahojiwe na Milard ayo,au atafutiwe mwingine ndani ya global, huyu mwingine hajui kumuhoji mtu aliye kaa mda mrefu bila kuhojiwa, ana mambo mengi kifuani lakini hana mtu wa kuyachokonoa... Nimehuzunishwa na mwandishi wenu anaye chekacheka tu bila kuhoji maswali ya msingi.
@Boniphaceshayo5
@Boniphaceshayo5 2 ай бұрын
Kweli
@filimonmpinge6039
@filimonmpinge6039 2 ай бұрын
@imelidamtema ndo anajua kuhoji mtu
@emanuelsamanii6318
@emanuelsamanii6318 28 күн бұрын
Nilitaka kulisema hili
@mathsngasadm3093
@mathsngasadm3093 2 ай бұрын
Napenda mno jimbo zako, yaani kila nikisikiliza najikuta napata radha ya kipekee mno. Hongera sana Mama saida kwa kipaji ulichojaliwa na Mwenyezi Mungu
@user-sc4ol3yp2x
@user-sc4ol3yp2x 2 ай бұрын
Tunakupenda mno saida
@gracepaul4194
@gracepaul4194 2 ай бұрын
Dada saida anza kumwiimbia Mungu sasa
@user-sx8rq9ku8u
@user-sx8rq9ku8u 3 күн бұрын
Huyu ni Muislam weweee….
@marthaayuma7065
@marthaayuma7065 2 ай бұрын
Natazama toka Kenya.hongera sana dada kipenzi ❤❤❤❤❤❤ nakupenda .sana.nakukubalia kabisa🎉🎉🎉
@kisinza6077
@kisinza6077 2 ай бұрын
Kiukweli mama yangu nikushauri tu, kama hakuna affect unayoipata usukumani; naomba endelea kupiga chaka to Chaka, kama malengo yako Huwa yanatimia; usichague mama kikubwa Hela. Mi najua kilichokufelisha ni technology ya muziki haikuwa imekomaa mpo wengi sana mlipiga kazi kubwa ila hakuna kitu Leo. Watu walichezea sana kazi zenu walitajirika, na mbaya sana mama yangu hukuwa na Elimu kabisa. Piga kazi mama yangu kikubwa Hela. .
@zainabrobbykoroso8912
@zainabrobbykoroso8912 2 ай бұрын
I'm from kenya I truly like this mamaa because nikikua songs zake ndio nilipenda kwaza afu anakaa mama mpoa sana much love ❣️❣️
@aminaomary5567
@aminaomary5567 2 ай бұрын
Safi sana saida. Ludi ktk mziki wako. Tunakupenda sana❤❤❤
@ramadhanmasiku4105
@ramadhanmasiku4105 2 ай бұрын
Mtangazaji kuna maswali ya msingi ulipaswa uulize kwa hii interview huyu mama ni legendary
@dorahy1579
@dorahy1579 2 ай бұрын
Interview nzuri sana, story nzuri sana. Mwenyezi Mungu awabariki nyinyi note wali kwenye kipindi hiki.
@maduhumanyangu1544
@maduhumanyangu1544 2 ай бұрын
Hongera sana...mama Saida kwa Kipaji chako
@athanasjoseph9529
@athanasjoseph9529 2 ай бұрын
Icon. Halafu hataki maisha ya kufake. Nimependa hiyo spirit.
@Vaiva4254
@Vaiva4254 2 ай бұрын
Hata Saida akija kampala sasa hivi... Hawezi-shindwa kupata watu... Tena watu wengi sana...usikate tamaa mama
@albashakluninshaah3727
@albashakluninshaah3727 2 ай бұрын
Mungu akuweke sana
@samsonhamery3809
@samsonhamery3809 2 ай бұрын
Pole Sana Mama Saida Kaloli Shoo ya Kampala Uganda uwanja ulijaa akatapeliwa pesa yote akaja Tanzania kwa msaada wa lift.Akina FM walimfilisi wakatajirika wao
@benjo_brighter
@benjo_brighter 2 ай бұрын
Legend kabisa 🙌🔥🙌
@hawababy120
@hawababy120 2 ай бұрын
Mashaallah Allah Akutunze zaidi❤
@MASAYUSIDA
@MASAYUSIDA 15 күн бұрын
Nakupend xana saida
@rosetreffert4179
@rosetreffert4179 2 ай бұрын
Pole saida ila umenichesha
@joshuakitunzi9500
@joshuakitunzi9500 2 ай бұрын
Safi sana mama uko vzr kw kujiamini bila hofu ktk upambanaji kimaisha.Endelea kupambana na husikose kumtanguliza na kumuomba mungu💪♥️
@nangabohh3
@nangabohh3 2 ай бұрын
We need you in Kenya my dear Saida,I loved your music,Ngoma Zako zilifanya nimpende Sana make wangu(mapenzi kisungusungu)
@josephjaleen127
@josephjaleen127 2 ай бұрын
My late bro loved nyimbo zako sana nikiwa shule ya msingi uku Kenya,maria Salome na zingine.
@ElisoniMahamba-fr7nu
@ElisoniMahamba-fr7nu 2 ай бұрын
Uko sawa dada. Yetu kukopamoja nawe mungu akulinde type vit😊
@nusrathmanyawa4501
@nusrathmanyawa4501 2 ай бұрын
Nakupenda sana mama yangu Saida ❤❤❤
@REMEASYPIANO
@REMEASYPIANO 2 ай бұрын
nimependa sana anavyo ongea ukweli uhalisia wa maisha yake
@ReginaMwongeli-bt4jv
@ReginaMwongeli-bt4jv Ай бұрын
Twakutakia kila raheli mama,kimbali cha mungu,kikuandame, twakupenda sana huku🇰🇪🇰🇪
@annamussa185
@annamussa185 2 ай бұрын
Wasukuma watu pouwa sana❤
@emanuelsamanii6318
@emanuelsamanii6318 28 күн бұрын
Kweli kabisa ukienda nao sawa Ufaidi kwakwel😊
@user-ei2ud7gh5h
@user-ei2ud7gh5h 2 ай бұрын
Dàh had roho inaumaà kweliiiiiila jaman , maboss hata kama mtu akiwahajui mlipe kisitahiki, mtu mweleze ukweli umepata kiasi hiki mnaweka mezani yote na mnagawana kiasi gani❤❤❤❤❤❤❤
@alorineawuor2205
@alorineawuor2205 2 ай бұрын
Yes mum people learn day after day.... Dust your gown and continue with the race mum , you are still alive
@Rukwembe7712
@Rukwembe7712 2 ай бұрын
Ili litangazaji halijui kuuliza maswali ya maana uzuri Saida anajiongeza anaelezea hata vitu ambavyo ajaulizwa
@Boaz-Gwanko
@Boaz-Gwanko 2 ай бұрын
Yani Hadi kero
@dinachiwaligo
@dinachiwaligo 2 ай бұрын
Yaani mtangazaji ziro kabisa anajikunakuna Tu namiguno kibao
@user-hy6lh7cp1q
@user-hy6lh7cp1q 2 ай бұрын
Kweli bro Yan halijui kuhoj da kumbe umegundua nlhs n mim peke yang
@user-hy6lh7cp1q
@user-hy6lh7cp1q 2 ай бұрын
huyu jamaa hajui kuhoj kabsa jaman anashusha brand
@odilomwemeziernest646
@odilomwemeziernest646 2 ай бұрын
@@user-hy6lh7cp1q ila sometime muwe na heshima siyo kumtusi mtu,unapomuita binadamu mwenzako hili litangazaji unaonyesha jinsi gani wewe hujielewi.
@richardmalekela4786
@richardmalekela4786 2 ай бұрын
Safi sana mama anahekima,tujifunze kitu.
@allyhasani3750
@allyhasani3750 Ай бұрын
Namkubali sana
@user-oy9wr2zc6x
@user-oy9wr2zc6x 2 ай бұрын
Mungu akutunze mafanikio hayana umri.
@Saidy-eu1hc
@Saidy-eu1hc 2 ай бұрын
Mamangu anapenda nyimbo zako sana mpaka anatulela kila mda muweken saida
@asupiaalbertoalberto8122
@asupiaalbertoalberto8122 Ай бұрын
Eu amo essa mamãe más anos de vida , estou online apartir de Pemba Moçambique.❤
@mariamosaideabdo9953
@mariamosaideabdo9953 2 ай бұрын
Minha mãe foi tua fã em toda minha infância, ela gostava muito de escutar as suas músicas 😚 . Pena que eu xtou muito longe dela ia gostar muito de ver. amo a senhora por causa da minha mãe direito de Mz 🇲🇿🇲🇿
@RoseKesi-zj4yy
@RoseKesi-zj4yy Ай бұрын
Nakupenda sana nasikiliza nyimbo zako kila siku naomba nikutumie ata ya soda mama nipee namba
@ramadhanseleman4276
@ramadhanseleman4276 2 ай бұрын
Unajua sana kuimba nyimbo za asili ungejua watu wanavyokupenda sio wahaya peke yao, toa nyimbo nzuri andaa shows watu watakusapoti
@Oman-nu2kc
@Oman-nu2kc 2 ай бұрын
Mm nakupenda sana sana tangia umeanza nyimbo Yako yakwanza nakutafuta sana sana dadaangu
@jmm1840
@jmm1840 2 ай бұрын
Habari studio Naitwa J.M Nahitaji kuonana na Saidia Kaloli. Naomba mniunganishe nae.
@blessedme7852
@blessedme7852 2 ай бұрын
Mbona kataja namba hapo mkuu
@Bilioneabichwa331
@Bilioneabichwa331 2 ай бұрын
We onana nae tu
@maniamba.tz_
@maniamba.tz_ 2 ай бұрын
Uko vizuri Mama
@jogechi2105
@jogechi2105 2 ай бұрын
In proud of her. Sijawai jua sura lakini sauti yake naifahamu sana
@titongholo6261
@titongholo6261 2 ай бұрын
Mtangazaji hajui kazi yake vilivyo, hajui kuulizwa maswali ya uchokozi na ya udadisi
@ramadhaniisihaka295
@ramadhaniisihaka295 2 ай бұрын
Nyimbo zangu pendwa ni kaisiki,iyembe,ngoz zone,
@paulinekamau9633
@paulinekamau9633 2 ай бұрын
Gosh I love her ❤ good to see Saida
@AbihudiMbekomize-py8fb
@AbihudiMbekomize-py8fb Ай бұрын
Wakola mama nakupenda sana
@Darvio
@Darvio 2 ай бұрын
Mama tunakupenda sana hasa sisi wasukuma tukikuona tu tunafurahi utafanikiwa bila kujari umri wala miaka Mungu atakuheshimisha ❤❤❤
@user-nf3dc9fb6v
@user-nf3dc9fb6v 2 ай бұрын
Saida karoli nakukubali sana mama yangu ♥️♥️♥️♥️
@user-qf6dh9hy8c
@user-qf6dh9hy8c 2 ай бұрын
Asante tunakupenda mama
@user-pk7qq3eb5r
@user-pk7qq3eb5r Ай бұрын
Uko vizuri mama mi naona kile kitu kilichokufanya uhit, ndo uendelee nacho Kwa kukiboresha ili uwike zaid
@salomewandya7257
@salomewandya7257 2 ай бұрын
Mashaallah Mungu akupe hitaji la moyo wako❤❤🙏🙏
@OberdKahwa
@OberdKahwa 2 ай бұрын
Nakupenda
@amirhamud3343
@amirhamud3343 2 ай бұрын
Mwandishi unazingua.Kuhoji " F"
@jtheophil5499
@jtheophil5499 2 ай бұрын
Umeanza kujikuza tena Saida.Tulia piga kazi achana na mambo ya brand.Hayo ndo yanakufanya ukose deal.Tunakupenda husijikweze wewe piga kazi.Sema umeiva sana.Umeongea vizuri mno.
@user-st8hd9iq4o
@user-st8hd9iq4o 2 ай бұрын
Hongera Sana mama ulifanya kazi nzri kwa muda mrefu
@AmaniKasekwa-uw8hp
@AmaniKasekwa-uw8hp 2 ай бұрын
Ubalikiwe sana
@bodyaman
@bodyaman 2 ай бұрын
Mimi Nina mjua Mama Saida Karoli anaongea ukweli na anachokiongea ni somo kubwa Kwa Saida KAROLI.
@allahisone6386
@allahisone6386 2 ай бұрын
Eeweeeeeh_🤔
@mugadimon3563
@mugadimon3563 2 ай бұрын
Kabisa maza anaongea ukweli
@PrisicaBitaza-lx8sg
@PrisicaBitaza-lx8sg 2 ай бұрын
Tunakupenda ndugu yetu,, tunakupenda sana ukooo uko pamoja nawe
@milliardere9177
@milliardere9177 2 ай бұрын
Heshima sana
@IsacRobath
@IsacRobath 2 ай бұрын
🇲🇿 kutoka Mozambique Mimi ninamuona Saida nikiwa mtoto, nasema ukeelyi Saida Karoli tunakupenda sana, Mimi APA nitampenda milele.
@damsonwilson5202
@damsonwilson5202 2 ай бұрын
Mama Angu Mungu Atakutukuza siku zako zilobaki kwenye game Mama
@benedictormulagha9022
@benedictormulagha9022 2 ай бұрын
nimeguswa namaneno yako mama angu ❤nakupenda sana❤🎉🎉
@mathiaslyamunda2526
@mathiaslyamunda2526 2 ай бұрын
Huyu mkweli Sana Mungu amsaidie.
@peterkaale6977
@peterkaale6977 2 ай бұрын
She is so beautiful I Love her
@Hakuzwe
@Hakuzwe 2 ай бұрын
Mama,umenenepa sana enda gym.
@SurprisedMacawBird-qh7dg
@SurprisedMacawBird-qh7dg 2 ай бұрын
Kazi nzuri
@patriciambita4469
@patriciambita4469 2 ай бұрын
Saida nakupenda sanaaaa❤
@erickkagisa833
@erickkagisa833 2 ай бұрын
Huyu mama jasho lake lililiwa na watu wachache....wapumbavu tu. Pole mama
@jescaedwardkurumela4333
@jescaedwardkurumela4333 2 ай бұрын
Umebarikiwa ❤
@zabronJoshua
@zabronJoshua 2 ай бұрын
Aliyekuzurumu mungu anamuona
@josephatmgaya7321
@josephatmgaya7321 2 ай бұрын
Hakika ww mpambanaji sana hongera dada
@silassaitoti7689
@silassaitoti7689 Ай бұрын
Wahaya oyeeeee
@listerlujiso6009
@listerlujiso6009 2 ай бұрын
Mi kiukweli mzee Mutta alikuwa na roho nzur sana sana mimi nilimjua kwa mema tu.
@edwinmeenda9171
@edwinmeenda9171 2 ай бұрын
Bonge Moja la interview 💯💯 big up Global TV
@theodorasamwel-fw2uf
@theodorasamwel-fw2uf 2 ай бұрын
Producer wake ni p.cylla salute kwako mama
BABA YANGU KIPOFU Full episode /28/ #love
45:53
BabaJoan
Рет қаралды 183 М.
Чёрная ДЫРА 🕳️ | WICSUR #shorts
00:49
Бискас
Рет қаралды 3,5 МЛН
Вы чего бл….🤣🤣🙏🏽🙏🏽🙏🏽
00:18
Saida Karoli anaendelea kuweka Historia kwenye Tigo Fiesta.
19:49
Mjue Msanii Wako: Saida Karoli
10:15
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 60 М.
MARY AFICHUA TABIA YA STEVE MWEUSI, KIMEUMANA NA MREMBO HUYU
13:04
Чёрная ДЫРА 🕳️ | WICSUR #shorts
00:49
Бискас
Рет қаралды 3,5 МЛН