Huyu mzee ana hekima kweli mungu akujalie kila unachoomba kwa mwenyezi mungu
@dawaseif36993 жыл бұрын
Aamin
@juliethhope72813 жыл бұрын
Sanaa.amen
@mishikitendo44413 жыл бұрын
Amiin
@integerconsulting93443 жыл бұрын
What a wonderful elder. May God bless him and his family.
@zulfaissa78143 жыл бұрын
Jaman sikuwaona akina babu seya namwanae 2
@athmanihaji77713 жыл бұрын
Anaweza Sana kuwa kiongozi mzuri mfano wa mwendazake
@skulfees5453 Жыл бұрын
Amen
@frenkreuben56503 жыл бұрын
Big Up mzee Kimbwembwe. Una roho ya upendo. Mwenyezi Mungu akubariki sana.
@sharifabwamkuu50753 жыл бұрын
Hongera mzee kimbwembe umewakilisha Lindi yetu na kilwa pia, kufika chato ni ushujaa na mapenzi makubwa sana
@aloycesamba9987 ай бұрын
Mzee unaupendo sana,mungu akubariki sana
@leylahbillah48763 жыл бұрын
Mzee anaongea maneno ya busara huchoki hata kusikiliza maashallah Allah ampe umri mrefu inshaallah
@dawaseif36993 жыл бұрын
Umeongea kweli
@ahmedh98823 жыл бұрын
Amin
@safiyatheonlything78483 жыл бұрын
Kabisa yani nilimsikiliza dar na huyu ndo alimuoji yani nimependa mno
@neemaruben65313 жыл бұрын
Kabisaàaaa
@labnalast75513 жыл бұрын
Masha allah mzee umeongea kitu kizuri Sana mungu akubariki
@juliethhope72813 жыл бұрын
Uyu baba nimempendaaa.MUNGU ambariki sana kwa kuja kumzika mwanae.maguful wkt yupo hai.alisema uyo atakua baba yake.amen amen amen
@msetijacklinegmail.commset30933 жыл бұрын
Msingi mzuri wa malezi ya heshima,upendo wa dhati na yenye utu na uzalendo wa kweli.Mbegu iliyopandwa Kwenye udongo mzuri ikatuzalia matunda ya kazi njema,wajibu,haki na usawa kwa kumtanguliza MunguBaba kwanza.
@rahabnkya82763 жыл бұрын
Mzee kimbwembwe umenifurahisha sana juu ya kauli zako. Umeweza kufika CHATO KUMZIKA BABA YETU TENA UMEFUATANA NA MKEO HONGERA SAAAAAANA. BARIKIWA.BABAAAA UKO VIZURI KIMAWAZO KABISA.
@dawaseif36993 жыл бұрын
Mzee Kimbwembwe nampenda kwa Ajili ya Allah!!
@clementiddi62443 жыл бұрын
Tunahitaji sana wazee kama hawa kwenye jamii yetu.
@bakarirutengwe30363 жыл бұрын
Na wewe ALLAH AKUPENDE.
@charlesaketch32643 жыл бұрын
Sasa yametimia kuwa mzee kimbwembwe amefika chato maajabu mungu amenijibu maombi na masomo yangu amen barikiwa mzee mungu akipenda nikutane nawe tuombee amen
@ruqayaruqaya42833 жыл бұрын
Duuh kumbe babu hd chato kafika mungu akutie nguvu babu tupo pamoja kwenye majonzi Mazito 😢😢😢
@gregorychogelo20133 жыл бұрын
Nimefarijika sana kumuona mzee Kimbwembwe amefanikiwa kumzika Rais wetu mpendwa. Mzee aa mapenzi ya kweli kwa Magufuli na ana busara ya hali ya juu. Mungu akutunze mzee wetu.
@hanifatanzania72583 жыл бұрын
Maashallah Imani ndiyomsingi WA kilakitu Mungu yupo in Allah maswabirin
@berthamakortha83873 жыл бұрын
Safiii sana. Asante MZEE WETU kwa kuja CHATO KUWA PAMOJA NASI. MUNGU AKULINDI KWA MOYO WAKO SAFII. UBALIKIWE BABA
@tanzaniaoman64233 жыл бұрын
Pole baba MwenyenziMungu amrehemu rais 💔
@aminaibrahim41483 жыл бұрын
Baba ana hekima sana mungu akupe maisha marefu insh'allah baba ipo siku nita kuja kuuona nikija tz
@sinailarajabu61113 жыл бұрын
Mashaallh yani hua huchoki ukimuangalia uyu mzee mashaallh mungu ampe maisha mlefu
@marrymenas3 жыл бұрын
Safi sana Babu, umenipa amani moyon mwangu, kwamba Maguful alishamaliza kazi yake ndio maana Mungu kamchukua. Pumzika kwa aman Baba. 🙏
@azizairakoze12303 жыл бұрын
Yaani babauyu anaongeya vizurisana mungu ampekilalaheri amiina
@minazsaid24703 жыл бұрын
Mzee nampenda huyu anajiamini mno ningependa apewe japo mwenyekiti wa kijiji huko kwao
@binbaya9233 жыл бұрын
Nikweli ndugu, anaongea kwa kujiamini na wala sio limbukeni wa kamera anaongea kama mzoefu. Mola ampe mwisho mwema
@hanifatanzania72583 жыл бұрын
Maashallah Baba kimbwembwe una mapenzi ya zati 😭😭😭🤲
@ivaniavianarodrigo72013 жыл бұрын
safi sana mzee wangu, mungu mbele.
@rosemaryalex31523 жыл бұрын
Mzee Mungu akubariki akuongenze imani
@ifgodsayyes.nobodycansayno17963 жыл бұрын
NILITAMANI SANA KUMUONA AFIKE JU MAOMBI YAKE ALISEMA HANA PESA ILAANA TAKA KUFIKA CHATO KUMUAGA MR PRESENTS MAGUFULI I'M SO HAPPY FOR THAT REST IN PEACE🇰🇪 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭🇨🇿
@raziaidd23923 жыл бұрын
Ma shaa Allah umeaema ukweli kabisa Allah akupe maisha mema
@happysanga65953 жыл бұрын
Mungu akubariki kwa mapenz ya kweli na rais wetu😭😭🙏🇹🇿
@aminaomary55673 жыл бұрын
Mungu akujalie mzee,tulikuona Siku ile unatoa joogo mkubwa,na mwanafunzi akapewa Ml.5 za shule ya Msingi Somanga.
@eshyndibalema15293 жыл бұрын
Mzee upo vizuri na umejitoa sana çhato mbali
@omarisarai76993 жыл бұрын
Swadakata baba,Mungu azidi akuongoze katika njia hiyo ya imani Inshallah
@rabbithare3813 жыл бұрын
Wonderful and smart old man.. Very impressive speech... Poleni
@aminanamoyo833 жыл бұрын
👍🏼👌🏿 nimempenda kwaajili ya Allah huyu mzee natumai kwa uwezo wa mungu siku moja nikipita Somanga kwenda nyumbani masasi nitamtafuta inshallah naomba namba ya huyo mzee please 🇨🇭🇹🇿🇹🇿
@shanifesto90373 жыл бұрын
Mzee kimbwembwe mwenyezi mungu akubariki sana baba,,Big up mzee
@جنيتكينيا3 жыл бұрын
MashaAllah. Wazee kama hawa siowengi wakumtanguliza mungu.weengi wao wamejjaa uchawe
@@hamidahamadi6488 sawa uyo ni brother na iyo ndio namb yake mm naish mwanza ata jana wakat anatoka dar mm ndio nilienda kumpokea stend Nyegezi maana yeye ni mgen uku
@trophywilson72113 жыл бұрын
Nitumie namb yake ya Simu
@athmanihaji77713 жыл бұрын
Maa Shaa Allah Mzee wetu amejaaliwa ufasaha na hekma katika uzungumzi wake utadhani nimaneno anayasoma
@dawaseif36993 жыл бұрын
Yaan anajua kuongea Maa sha Allah!!
@mohammedsururu40473 жыл бұрын
Mzee kimbwembwe Big up
@athmanihaji77713 жыл бұрын
Maa Shaa Allah Mzee anaweza uongozi mfano wa uongozi wa mpendwa wetu Rais John pombe Magufuli,Rais mpya angempa nafasi bungeni au kazi yoyote ya serikali kama mtetezi wa haki za binadamu
@zozonaamani97193 жыл бұрын
Mzee anahikma. Utu. Upendo. Msema kweli. Allah ampe maisha Mema na mkewe wake. Na Familiya na kijiji a apo eshi Namfatiliya nampenda,, muomani from Oman بارك الله لك يا شباب 🇴🇲🇴🇲
@HhhHhhh-yc9hf3 жыл бұрын
Mzee yupo vinzuri safi sana umenifrahisha
@elishamrimi35493 жыл бұрын
Mungu ailinde Tanzania
@mariamjuma41363 жыл бұрын
Mzee nimempenda uyu🤩 anatia raha sn ana mapenzi ya kweli
@Waky-h8u3 жыл бұрын
This reporter should make a quick fundraiser for this old man's return fare. Pls forward this clip to the Presdent. H. E. Suluhu. Maneno ya Busara sana hapo Mungu kamchukua Baba.
@Byoshifidel7 ай бұрын
Hongera mzee wangu
@basilisamsaka84693 жыл бұрын
Huyu mzee alimpenda sana Magufuli .
@MarieHeleneEtienne-bf9ub5 ай бұрын
no speech less mzee wa point
@clementiddi62443 жыл бұрын
Pole sana mzee wetu, maneno yako yana hekima.
@gililwise3 жыл бұрын
Mzee wangu una hekima sana Mungu akuinue zaidi na akupe maisha marefu.
@sharifaabdullah68253 жыл бұрын
Baba upo vizuri mno
@zubedachao39703 жыл бұрын
Mzee maneno yako kuntu ♥️♥️
@peterokalo96323 жыл бұрын
Asante 👏🏽🙏🏽 baba mzee That was true ukiona mtoto wakiwa n’a matambia vyema uwa kuna muzazi au wazazai wako nyuma
@xjxjxnxn26733 жыл бұрын
raisi wangu alipenda hadi watu wa kiwango cha chini,mungu naomba umpokeee kwako raisi magufuli,siyo kawaida kuwa na rahisi kwa huyu africa nzima alikuwa yy tu na ashaondoka,asante mungu mapenzi yako yametimia
Nimefurah sana hakka, Mungu akurnde daima milele Mzee wa busara
@omarymtamajika69473 жыл бұрын
Nakukubali sana father
@omarkimbwembwe92513 жыл бұрын
Hongera kaka umeongea maneno ya busara sana hakika ww ni kichwa cha familia yetu
@mzeewamadodoso18163 жыл бұрын
Big up
@magenierick59393 жыл бұрын
Mungu akubariki sana mzee unaonekana unamtanguliza sana Mungu kwenye maisha yako, umeongea vizuri sana sana. Barikiwa sana.
@binbaya9233 жыл бұрын
Hongera Mzee wetu. Unaongea kwa umakini na kujiamini kama mzoefu wa kamera. Mola akupe umri mrefu na mwisho mwema
@lucaschisamalo28523 жыл бұрын
Nilikuwa sikuelewi leo nimekuelewa uko vizuri mungu akusimamie Sana mzee
@abdul-rahmanfakijuma18793 жыл бұрын
Aisee mzee hongera Allwah akuzidishie akili na afya njema, akili, elimu busara na hekima zako ni tunu hata kwa jamii iliyokuzunguka Allwah akufanyie wepesi riziki zako Aamiyn 🤲🤲🤲
@sikuzanibusanya64233 жыл бұрын
Umeongea vizur sn babu yangu
@tangainyawa66203 жыл бұрын
Mzee SMART sana kwa maongeo yake....very CONFIDENT na pia anafrahisha anavyoongea. Big Up mzee Kimbwembwe.
@andrewsaidesalmo30873 жыл бұрын
Huyu mzee ni wa kweli. Hongera sana kwa hoja kubwa aliyo telemsha. Kweli Magufuli alikuwa mtu wa watu. Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi.
@annaanyosisye86823 жыл бұрын
Ndiyo babaaaaa.mungu akusaidie
@separatebetres53153 жыл бұрын
Namkubali mzee jamani mungu amtunze,amuepushe na matatizo ya dunia
@godfreyjokala98233 жыл бұрын
Mzee pole💁
@kudisalashija98233 жыл бұрын
Hongera sana mzee kwa upendo na hekima yako. Mungu akuzidishie ulipotoa
@omarathman38273 жыл бұрын
Huyu mzee ana hekima sana ateuliwe hata japo mjumbe.
@mussakituku41903 жыл бұрын
Nakubali mzee kimbwembwe.
@alibell52463 жыл бұрын
Huyu mzee angependeza kua mbunge jmn au mnasemaje
@jasminmohamed61453 жыл бұрын
Subhanallah
@rajabumalupu41843 жыл бұрын
Allah akuhifadh insha'Allah
@jumaigoti86383 жыл бұрын
Hongera sana mzee wetu kwa upendo kwako .mungu akujalie sana tens sana
@hassanjuma62543 жыл бұрын
" Mungu Mbele " mzee hakiyamungu bado anaendelea kutumia busara zake, mzee yuko sahihi mno juu ya neno la imani.
@queenjayztz86153 жыл бұрын
❤️❤️❤️Babu
@medadihoza80993 жыл бұрын
Pole Sana baba mungu ata kupigania
@priscadaniel73 жыл бұрын
Mungu tujarie
@mustafamaulid82763 жыл бұрын
Mzee kimbwembwe umeonesha upendo na uzalendo wajuu kabisa mungu awabariki kilwa
@aminaathumani31483 жыл бұрын
Inshaallah hiyo point babaangu
@godifalsafa69563 жыл бұрын
"Hekima ni Bora kuliko Elimu "
@brendahnamfukwe12813 жыл бұрын
Kweli Baba Mungusi mbele
@nicholasirunguofficial77143 жыл бұрын
From kenya ..pliz help mzee
@annayakobo76863 жыл бұрын
Mzee yuko vizuri
@faumamakwaia50953 жыл бұрын
Umeongea point lkn nimefarijika na maneno ya busara ya kutia moyo mungu akubariki sana
@aloismwenda89753 жыл бұрын
Jamani nimeonana na huyu mzee hapa Chato akiwa anajiandaa kurudi Kilwa. Mungu ambariki, nimeguswa sana ikabidi nimchangie nauli namba yake ni hiyo hiyo iliyowekwa hapo chini
@geraldmakalala60913 жыл бұрын
Huyu Mzee Safi sana
@sahraqaalib9023 жыл бұрын
Naomba namba ya mzee kimbwembwe
@vincentauxerbius75543 жыл бұрын
Mzee una busara sana mungu akubaliki
@mozasaid38693 жыл бұрын
Big up mzee Kimbwembwe! Wa Somanga
@separatebetres53153 жыл бұрын
Mzee jamani amefika??? Jamani mzee huyu wa busara na mkewe mungu awabariki mweeh wazazi wangu natani niende somanga nikawasalimie ,na sipajui mungu awabariki sana
@saitawilson73073 жыл бұрын
💔💔
@niimasinan3 жыл бұрын
Kweli maneno yako mzee 🤗
@DottRoBroc3 жыл бұрын
I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I discovered and appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. Magufuli will forever remain a political example of integrity for all. I agree about Magulification of Africa!
@silverpadana21383 жыл бұрын
Nimekuelewa Sana clever
@jumajuma26893 жыл бұрын
Saf sana mzee
@fatmaallyabdul17323 жыл бұрын
Nimefurahika sana moyoni kumuona mzee aliyempenda sana JPM kufika Chato kumzika Rais wetu...akina Wema kweli mmeshindwa kumsafirisha japo kwa ndege mzee Kimbwembwe anaporejea Dar??barikiwa sana mzee wetu kwa moyo wa upendo....R.I.P MAGUFULI
@basilisamsaka84693 жыл бұрын
Aliletwa na Mungu kweli.
@wardajoseph69093 жыл бұрын
Kwa kweli wale madokta wachunguzwe vizuri huenda wametuulia rais wetu
@chikumuya80633 жыл бұрын
Wallah mzeee anatia raha kumsikiliza hutamani amalize kuongea, Allah ampe afya njema na family yake.
@simontchaz52723 жыл бұрын
Huyo mzee apewe cheo mara moja serikalini atafanya makubwa.
@tsaonethapelo63733 жыл бұрын
Poleni watanzania wenzangu mlioguswa na msiba huu ila baada ya maumivu tujiulize mzee wetu amefariki kihalali?